Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Wakuu kwa jinsi upepo wa kisiasa unavyovuma ni wazi hao mawaziri wanaosemwa watajiuzuru.
Inaweza ikatokea baada ya kujiuzuru wakavaa taswira ya ukombozi au upambanaji maana watakuwa wanajua mengi na kuleta ghiba kuwa endapo mambo yatawachachia watajiengua na kuzama CDM kwani tayari watakuwa wamevaa ngozi ya upambanaji wa kinafiki.
Chonde Chonde viongozi wa CDM kuanzia kamanda Mbowe na uongozi mzima wa CDM msikubali kupokea makapi toka CCM ambayo baadae itakuwa chanzo cha migogoro.
Uzoefu unaonyesha watu waliowahi kushika madaraka makubwa kama uwaziri wakihamia vyama fulani bado hujikweza na kujiona wana nguvu kuliko chama. Ni bora likaepukwa hilo ili kuepusha kutumia muda mwingi kusuluhisha migogoro badala ya kuendele M4C.
I stand to be corrected,
Nawasilisha.
Inaweza ikatokea baada ya kujiuzuru wakavaa taswira ya ukombozi au upambanaji maana watakuwa wanajua mengi na kuleta ghiba kuwa endapo mambo yatawachachia watajiengua na kuzama CDM kwani tayari watakuwa wamevaa ngozi ya upambanaji wa kinafiki.
Chonde Chonde viongozi wa CDM kuanzia kamanda Mbowe na uongozi mzima wa CDM msikubali kupokea makapi toka CCM ambayo baadae itakuwa chanzo cha migogoro.
Uzoefu unaonyesha watu waliowahi kushika madaraka makubwa kama uwaziri wakihamia vyama fulani bado hujikweza na kujiona wana nguvu kuliko chama. Ni bora likaepukwa hilo ili kuepusha kutumia muda mwingi kusuluhisha migogoro badala ya kuendele M4C.
I stand to be corrected,
Nawasilisha.