Kwa sababu tarehe 28 October, Watanzania tunakwenda kufanya uamuzi, sasa muda huu kabla ya uchaguzi, najifanyia tathmini nilisema nini kuhusu uchaguzi huu, na baada ya matokeo, nitarejea na kupima kilichotokea na nilichokiona kabla.Nimetoa angalizo hili ili wasije kumkamata na kumhoji, asije akakasirika, kutokana na hasira hizo akitoka asije kuwaambia waumini wake Zaidi ya milioni 10 kuwa "ccm ni adui wa Mungu", hivyo waumini wake hawataipigia kura hata mara moja CCM mwaka 2020.
Paskali
Nafikiri wote hao hawamfikii Da Mange.Kwani Kakobe na Wema Sepenga Nani ana wafuasi wengi kule Insta...?
Kwa Kweli nachefukwa n'a hizi analysis zisizo n'a research.