johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,665
Huu mgogoro wa ama dhaifu au siyo dhaifu unakoelekea ni kama yatageuka kuwa mapambano binafsi.
Ninachomsihi CAG ni kusimama kwenye proffessionilism kama alivyofanya kwenye ile Nissan Patrol ya Chadema. Chonde chonde sisi wananchi hatupendi kuona viongozi wetu mkidumu katika malumbano na ndiposa nikalikumbuka lile bunge la mzee Sitta jinsi wabunge walivyokuwa wananunua dawa za gharama kubwa.
Na kule kwenye bunge la Msekwa kuna waziri aliwahi kuwajibishwa na kujiuzulu kwa haya haya mambo ya matumizi kule bungeni.
Maendeleo hayana vyama!
Ninachomsihi CAG ni kusimama kwenye proffessionilism kama alivyofanya kwenye ile Nissan Patrol ya Chadema. Chonde chonde sisi wananchi hatupendi kuona viongozi wetu mkidumu katika malumbano na ndiposa nikalikumbuka lile bunge la mzee Sitta jinsi wabunge walivyokuwa wananunua dawa za gharama kubwa.
Na kule kwenye bunge la Msekwa kuna waziri aliwahi kuwajibishwa na kujiuzulu kwa haya haya mambo ya matumizi kule bungeni.
Maendeleo hayana vyama!