Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

ikiwa lengo lako ni kujifunza ulitakiwa uwe politely and calm ila kujifanya mjuaji kwa kupinga pinga kila kitu bila vivid evidence to support your claims can sometimes be insane. hujui na hutaki kukubali kuwa hujui at the same time unalamisha mtu akufundishe

swali la solar system nimekuuliza wewe kwa lengo la kutaka kujua unalielewa vipi na kwa kutumia facts zipi unaweza disprove

ni mepesi mbona huyajibu?
Kwanza swali la Solar System nikiyeanza kuuliza ni mimi, kisha wewe hukujibu, badala yake ukauliza tena swali hilo, huu utoto unao sana, na hii tabia hukomi ila mimi nitaikomesha. Sasa vipi nianze kujibu swali lako wakati swali langu hujajibu na ndilo lililo anza kabla ya lako ?

Pili, sijibu maswali yako sababu utakimbia hoja ya msingi, yaani hatuendi mbele mpaka tumalize katika maswali yangu niliyo yauliza, maswali ambayo hujayakosoa wala hujaweka usahihi wa mambo mpaka muda huu.

Tatu, hapa nashangaa kidogo, mpaka najiuliza inakuwaje umuoga sana kijana ? Nimekwambia kuna njia kadha wa kadha za kubatilisha mambo, ndiyo maana nikakwambia miongoni mwa njia hizo ni kuhoji, kwa ufupi maswali yangu ni miongoni mwa maswali yasiyo jibika hili si kwako tu mpaka kwa wakubwa zako, sababu najua misingi yenu imemili wapi na tatizo lenu kubwa ni lipi.
 
Ww unasema kuwa ni uongo kwa ushahidi? Ulete.
Waoi nimesema kuwa ni uongo ? Mimi nimehoji, ili nijue ya kuwa kinachosemwa cha kweli au la ? Sasa ongeza umakini katika kusoma ninacho kiandika.
 
unataka tuijadili solar system sawa

nataka nijue umefika umbali gani kuielewa hiyo solar system kwa upana wake?

mbona swali hilo hujajibu?
Kijana mbona unapoteza muda kwenye hakuna ? Sasa kama maswali marahisi hivi huyajibi, vioi maswali magumu ?

Suala la Solar System nimekuja kuliweka kwa njia ya kuonyesha ya kuwa kuna mengi mnayaamini lakini hayana sifa za kisayansi zaidi ya falsafa na dhana tu. Ndiyo maana nikakuuliza swali kwamba unianbie ni njia gani ya kisayansi ilitumika kufikia hitimisho juu ya jambo ? Hiki ni kipengele tu kidogo kilichokuwa kinadhoofisha swali lako la kunitaka au kunilazimisha nitumie njia dhaifu za kisayansi kukosoa sayansi, huu ni ujinga na upuuzi ulio pea kabisa.

Sasa vipi nijibu swali lako kabla ya wewe hujajibu swali langu dogo kuhusu hiyo Solar System. Sababu najua ninachokifanya na ninacho kiandika, nakujibi swali lako kwa sharti nikishajibu swali hili ujibu maswali yangu ya nyuma kuanzia la kuthibitisha mimi sina idea, pili kuniambia ni njia gani ya kisayansi iliyotumika kuhitimisha ya kuwa kuna Solar System kadhalika The Earth is Stationary.

Lingine, sitaki kuijadili Solar Systen sababu ni jambo dogo sana, na utakimbia zaidi maswali yangu.

Jibua swali lako.
Kwanza mjengeko wa swali lako si sahihi sababu umebabatiza neno la "Umbali" kwa kiwango kisichopimika na umbali. Sahihi ulitakiwa uulize hivi "Nataka nijue umefikia kiwango gani katika kuielewa hiyo Solar System? " . Kadhalika tamko "upana wake" halikuhitajika hapo, sababu tamko kiwango limefidisha maana ya swali lako, na kuandika kwako upana wake, ni kutokuwa na elimu ya ufasaha wa lugha.

Nimefikia kiwango cha kuikosoa Solar System yenyewe.

Angalizo : Usipojibu maswali yangu ujue sitaendelea na mjadala huu, sababu utakuwa unanipotezea muda na huna cha kujadili.
 
Kwanza swali la Solar System nikiyeanza kuuliza ni mimi, kisha wewe hukujibu, badala yake ukauliza tena swali hilo, huu utoto unao sana, na hii tabia hukomi ila mimi nitaikomesha. Sasa vipi nianze kujibu swali lako wakati swali langu hujajibu na ndilo lililo anza kabla ya lako ?

Pili, sijibu maswali yako sababu utakimbia hoja ya msingi, yaani hatuendi mbele mpaka tumalize katika maswali yangu niliyo yauliza, maswali ambayo hujayakosoa wala hujaweka usahihi wa mambo mpaka muda huu.

Tatu, hapa nashangaa kidogo, mpaka najiuliza inakuwaje umuoga sana kijana ? Nimekwambia kuna njia kadha wa kadha za kubatilisha mambo, ndiyo maana nikakwambia miongoni mwa njia hizo ni kuhoji, kwa ufupi maswali yangu ni miongoni mwa maswali yasiyo jibika hili si kwako tu mpaka kwa wakubwa zako, sababu najua misingi yenu imemili wapi na tatizo lenu kubwa ni lipi.
Kwanza hakuna sehemu umeuliza nini maana ya solar system, wewe umeanza direct kui point solar system kana kwamba unaielewa

Pili hoja kuhusu solar system hujauliza kama mtu ambaye hajui habari zake, umeuliza kama ni mtu unayezijua na ndio maana ukataka kunionesha ya kwamba zinaweza kuwa disproved bila kuzingatia itifaki za kisayansi.

Mimi kwa kuliona hilo nikatanguliza kukuuliza swali ili kujua kama unaielewa vyema hiyo solar system kabla hujaanza kusema haithibitishwi kisayansi.

Swali nililokuuliza ni hili "unaielewaje hiyo solar syestem kwa upana wake?"
 
Kwanza hakuna sehemu umeuliza nini maana ya solar system, wewe umeanza direct kui point solar system kana kwamba unaielewa

Pili hoja kuhusu solar system hujauliza kama mtu ambaye hajui habari zake, umeuliza kama ni mtu unayezijua na ndio maana ukataka kunionesha ya kwamba zinaweza kuwa disproved bila kuzingatia itifaki za kisayansi.

Mimi kwa kuliona hilo nikatanguliza kukuuliza swali ili kujua kama unaielewa vyema hiyo solar system kabla hujaanza kusema haithibitishwi kisayansi.

Swali nililokuuliza ni hili "unaielewaje hiyo solar syestem kwa upana wake?"
Kijana kama umekiri ya kuwa nimeuliza kama mtu ninaye ijua Solara, vipi tena utake niulize maana ya Solar ? Hivi huwa una matatizo ya akili au inakuwaje ?

Kwahiyo usikwepe swali na usinirudishe kwenye maana ya Solar System, hapa tunajadili ukweli kuhusu hiyo Solar kama kamfano kadogo na sitaki iwe mada sababu tupo kwenye mada na hili ni jambo dogo sana.

Kuhusu, kuielewa Solar System nailewa kama alivyoielezea mtu wa kwanza, na ndiyo maana nimefikia kiwango cha kuikosoa. Nimejibi tena lako.

Sasa jibu maswali yangu.
 
Sasa wanaangali uwezekano wa watu kuishi huko,si wamtoe kafala mtu mmoja waone kama ata survive na watapata jibu.mbona kwenye vita huwa inafanyika!
 
Kijana mbona unapoteza muda kwenye hakuna ? Sasa kama maswali marahisi hivi huyajibi, vioi maswali magumu ?

Suala la Solar System nimekuja kuliweka kwa njia ya kuonyesha ya kuwa kuna mengi mnayaamini lakini hayana sifa za kisayansi zaidi ya falsafa na dhana tu. Ndiyo maana nikakuuliza swali kwamba unianbie ni njia gani ya kisayansi ilitumika kufikia hitimisho juu ya jambo ? Hiki ni kipengele tu kidogo kilichokuwa kinadhoofisha swali lako la kunitaka au kunilazimisha nitumie njia dhaifu za kisayansi kukosoa sayansi, huu ni ujinga na upuuzi ulio pea kabisa.

Sasa vipi nijibu swali lako kabla ya wewe hujajibu swali langu dogo kuhusu hiyo Solar System. Sababu najua ninachokifanya na ninacho kiandika, nakujibi swali lako kwa sharti nikishajibu swali hili ujibu maswali yangu ya nyuma kuanzia la kuthibitisha mimi sina idea, pili kuniambia ni njia gani ya kisayansi iliyotumika kuhitimisha ya kuwa kuna Solar System kadhalika The Earth is Stationary.

Lingine, sitaki kuijadili Solar Systen sababu ni jambo dogo sana, na utakimbia zaidi maswali yangu.

Jibua swali lako.
Kwanza mjengeko wa swali lako si sahihi sababu umebabatiza neno la "Umbali" kwa kiwango kisichopimika na umbali. Sahihi ulitakiwa uulize hivi "Nataka nijue umefikia kiwango gani katika kuielewa hiyo Solar System? " . Kadhalika tamko "upana wake" halikuhitajika hapo, sababu tamko kiwango limefidisha maana ya swali lako, na kuandika kwako upana wake, ni kutokuwa na elimu ya ufasaha wa lugha.

Nimefikia kiwango cha kuikosoa Solar System yenyewe.

Angalizo : Usipojibu maswali yangu ujue sitaendelea na mjadala huu, sababu utakuwa unanipotezea muda na huna cha kujadili.
Mpaka ukajua kwamba solar system ni moja ya mambo mengi ambayo yamepotoshwa ni ipi reseach yako uliyoifanya ukagundua hayo?

Solar system unaijuaje, unaweza hata kui define na kuielezea namna ambavyo inazungumziwa kisayansi?

Mimi nimeuliza swali inavyotakiwa na nilikua naelewa nacho kifanya ku twist kwako hoja yangu hakubatilishi target ya swali.

Pamoja na kwamba umebadilisha swali liwe katika mtindo ambao umeona itakupa urahisi kujibu lakini bado umeshindwa kulielewa swali.

Swali limeuliza ni umbali gani umefika kuielewa solar system kwa upana wake, halijasema umefika umbali gani kuikosoa solar system.

Wewe huna hata idea na ndio maana huwezi kuhoji kwa facts maswala la kisayansi.

Basic tu ya form one inafafanua ni njia zipi zinazotumiwa kufanya obseravation kisayansi mpaka kufikia hitimisho.

Kwa kuhoji tu hilo swali kua ni njia gani walizotumia wanasayansi kufikia hitimisho kumeweza kukuonesha kwamba ni kiasi gani ni mweupe kichwani.

Mlikimbia shule mkaenda madrasa now mmeanza kutusumbua tuwafundishe kupitia jf kwenye ada ambayo baba yako aliona haina umuhimu.
 
Kijana kama umekiri ya kuwa nimeuliza kama mtu ninaye ijua Solara, vipi tena utake niulize maana ya Solar ? Hivi huwa una matatizo ya akili au inakuwaje ?

Kwahiyo usikwepe swali na usinirudishe kwenye maana ya Solar System, hapa tunajadili ukweli kuhusu hiyo Solar kama kamfano kadogo na sitaki iwe mada sababu tupo kwenye mada na hili ni jambo dogo sana.

Kuhusu, kuielewa Solar System nailewa kama alivyoielezea mtu wa kwanza, na ndiyo maana nimefikia kiwango cha kuikosoa. Nimejibi tena lako.

Sasa jibu maswali yangu.
Kuuliza kama unajua ni tofauti na kuuliza ukiwa unajua. Unaweza ukauliza kama mtu unayejua lakini usijue, unaweza ukawa unauliza tu kwasababu ulisikia mtu fulani anauliza lakini ukawa mweupe kabisa na hicho kitu

Husomi kwa kuelewa kwamba point ya hoja yangu ilikua ni madhanio kwa kile ulichokiandika baada ya mimi kupata doubts kulingana na maoni yako nikataka kujihakikishia kama kweli unayaelewa haya maswala kwa kukuuliza swali kuhusu hayo madai ambayo umeyauliza as if unayajua.

Na kweli kwa kupitia swali langu nimeweza kujua kwamba hujui kitu. Leo hii mtu ambaye ana concept ya sayansi hata kidogo asingeweza kuhoji njia zinazotumika kutafiti vitu kisayansi mpaka kufikia hitimisho


Kwa mfano unaweza ukawa unaonesha kuijua solar system kwa kuisikia tu watu wakiijadili

Mtu wa kwanza nani?

Kaielezeaje hiyo solar system?
 
Hawa jamaa huwa wanashindwa swali hili, kwamba watuambie marejeo yao wao ni wapi katika kujua ukweli wa mambi hayo,sisi swalihili huwa rahisia sana kwetu, ni kwamba marejeo yetu ni Qur'aan na Hadithin
Sasa mkuu unaleta quaran Na hadithi Ku argue kama watu wamefika mars au laa??


Una argue kama mtoto ( sijui umri wako)

Jamaa Scars amekuwa mstaarabu sana kuenda nawewe Ila naona anapoyeza mda wake tu.

Wewe hufundishiki aidha una akili ndogo sana au unajitoa akili makusudj ili ukere Na kuwapotezea watu muda wao.


Jamaa amekwambia toa your scientific arguments kwanza wewe umebaki Na porojo tu huna hujualo lakini unalazimisha kama una utalaamu vile?
 
ikiwa lengo lako ni kujifunza ulitakiwa uwe politely and calm ila kujifanya mjuaji kwa kupinga pinga kila kitu bila vivid evidence to support your claims can sometimes be insane. hujui na hutaki kukubali kuwa hujui at the same time unalamisha mtu akufundishe

swali la solar system nimekuuliza wewe kwa lengo la kutaka kujua unalielewa vipi na kwa kutumia facts zipi unaweza disprove

ni mepesi mbona huyajibu?
Unapoteza ur time.
 
Kwanza hakuna sehemu umeuliza nini maana ya solar system, wewe umeanza direct kui point solar system kana kwamba unaielewa

Pili hoja kuhusu solar system hujauliza kama mtu ambaye hajui habari zake, umeuliza kama ni mtu unayezijua na ndio maana ukataka kunionesha ya kwamba zinaweza kuwa disproved bila kuzingatia itifaki za kisayansi.

Mimi kwa kuliona hilo nikatanguliza kukuuliza swali ili kujua kama unaielewa vyema hiyo solar system kabla hujaanza kusema haithibitishwi kisayansi.

Swali nililokuuliza ni hili "unaielewaje hiyo solar syestem kwa upana wake?"
Unabishana Na MTU anaamini dunia tambarare mwaka 2021.
 
Waoi nimesema kuwa ni uongo ? Mimi nimehoji, ili nijue ya kuwa kinachosemwa cha kweli au la ? Sasa ongeza umakini katika kusoma ninacho kiandika.
Kama hujasema ni uongo basi ni ukweli si ndio boss
 
Sasa mkuu unaleta quaran Na hadithi Ku argue kama watu wamefika mars au laa??
Naanza na wewe, tatizo liko wapi hapo ?
Una argue kama mtoto ( sijui umri wako)
Haoa umeonyesha wazi huna hoja.
Jamaa @Scars amekuwa mstaarabu sana kuenda nawewe Ila naona anapoyeza mda wake tu.
Ustaarabu ni kufata utaratibu, inakuwaje katika mjadala mtu anakimbia maswali, huu unaitwaje ?

Pili, inaonekana hauko serious au wewe ndiyo huyo huyo, ungekuwa unasoma ungeona nani anampotezea muda mwenzake. Haiwezekani avunje utaratibu namsaidia kisha hajibu maswali yangu, angalia katika mjadala kama kuna swali langu lolote alilo jibu zaidi ya kukimbia, na uangalie wapi kuna swali lake sijajibi, sasa acja utoto na ushahbiki wa kijinga.

Mtu anasema sina idea, namwambia athibitishe wu anikosoe na aweke usahihi pia hanashindwa. Huwa nacheka sana napojadiliana na nyinyi. Yaani watupu sana.
Wewe hufundishiki aidha una akili ndogo sana au unajitoa akili makusudj ili ukere Na kuwapotezea watu muda wao.
Labda nikuulize swali, kipi mlichonifundisha humu sijafundishika ? Ukionyesha naacha kutumia hii ID, maana hata kufundisha pia mnaongopa, kijana unamatatizo ya akili nini ?
Jamaa amekwambia toa your scientific arguments kwanza wewe umebaki Na porojo tu huna hujualo lakini unalazimisha kama una utalaamu vile?
Hili nimemjibu zaidi ya mara mbili, na kama ungesoma ninachokiandika huu ujinga au utetezi huu usingeuandika maana naona unaleta "Double standards" za kijinga na za wazi. Hukuona nilipi muuliza anipe njia za kisayansi kuonyesha kuna Solar System au scientific methods au jaribio lolote la kisayansi linalo onyesha dunia inazunguka, hajaonyesha na hana uwezo huo, anachobakia kuuliza maswali na kutaka ajibiwe ila yeye hajibu. Nimemuonyesha ya kuwa siyo kila ukosoaji wa Sayansi hukosolewa kwa sayansi sababu Sayansi yenyewe na njia zake ni dhaifu mno, ndiyo maana tuna hoji, tunarudi katika ufunuo na kuangalia uhalisia. Sasa usilazimishe kosa likosoe kosa.

Sisi hatulei ujinga, na ajabu ninayo iona kwenu ni kujidai mnajua huku mkishindwa kukosoa ninachokiandika na kushindwa kushindwa kujibu maswali ninayo uliza.

Hatulei ujinga.
 
Mpaka ukajua kwamba solar system ni moja ya mambo mengi ambayo yamepotoshwa ni ipi reseach yako uliyoifanya ukagundua hayo?
Hili nimeshakujibu zaidi ya mara moja. Siyo kila jambo hasa lesamwalo la kisayansi kulikosoa linataka Sayansi, ni kuhoji na kutumia akili vizuri na kuangalia uhalisia, sababu msingi wa Sayansi ni DHANA.

Kijana shida yako unakimbia maswali na laiti kama ungekuwa unajibu maswali yangu, huu mjadala ungejuwa ushaisha.

Hakuna tafiti yoyote niliyo ifanya, wewe nitajie ni tafiti gani zimefanyika za kisayansi kuonyesha ya kuwa ni kweli kuna Solar System ?

Na uniambie ya kuwa kwanini unaamini ya kuwa Solar System ipo na ni kweli ?
 
Solar system unaijuaje, unaweza hata kui define na kuielezea namna ambavyo inazungumziwa kisayansi?
Solar System ni nadharia inayosema ya kuwa jua lipo katikati na sayari nyingine zote zinalizunguka jua hilo.

Sasa wewe unae amini kama hiyo ni Sayansi ndiyo unithibitishie ya kuwa Solar System ni Sayansi.

Mpaka muda huu hujajibu swali langu hata moja.
 
Back
Top Bottom