Chombezo: Bao tatu za mgeni!

Chombezo…………BAO TATU ZA MKWEZI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 41

Zubeda hakujua kuwa Lukas amepewa masharti kwa mganga,kwake kumuona ilikuwa ni furaha isiyo kifani,alishangaa Lukas hakumchangamkia zaidi alimsukumia mbali akaendelea na safari!
Zubeda na Zahara walibaki wanashangaa na kuangaliana kwa zamu wasiamini kilichotokea,wakiwa wanashangaa Lukas alikuwa anachapa lapa bila kugeuka hasivunje masharti!
“Shoga huyu jamaa hajapona na nina wasiwasi katoroka kwa mganga!”,alisema Zahara na Zubeda naye akakubakliana naye!
“Sasa anaenda wapi jamani,twende tumfate tuone!”
Walimkimbilia na kumkuita Lukas yuko bize anakata mitaa,hawakuwa na namna
“Lukas mpenzi ina maana hunikumbuki kabisa?”
“Jamani Lukas mimi ni Zubeda mpenzi wangu!”
“Kumbuka basi hata kidogo jamani!”
Aliongea sana Zubeda lakini hakuna alichojibiwa,akaona isiwe tabu alitenbea haraka akasimama mbele ya nia na kunyoosha mikono akiitanua akasema?!
“Hupiti hapa Lukas,mpaka uniambie umenikumbuka!”
Lukas alisimama akamuanagalia Zubeda kwa hasira akiamni anapoelekea anaenda kumvunia masharti yake kabisa!
Alichokifanya alijaribu kupita kwa ustaarabu lakini haikuwa rahisi Zubeda alitanda njia nzima,aliamua kheri lawama kuliko hasara!
Alimsukuma Zubeda akaangukia pembeni kwenye majani Zahara akamuwahi,hata yeye alijiuliza Luka kapatwa na nini?
“Limerogwa hili likaka achana nalo shoga yangu!”
“Hapana siwezi Zahara niacheee,lazima nijue anakoenda!”
Zubeda alisimama wakaanza kumfuata nyuma Lukas lakini safari hii hawakumghasi kwa lolote,walichotaka ni kujua safari ya Lukas itaishia wapi?
Kilichowashangaza ni kuona Lukas anashika barabara ya kwenda kwao,wakajiuliza kazijuaje njia zile huku hajawahi kuzipita!
Hawakuwa na majibu waliendelea kumfuatilia Lukas ambaye sasa alionekana hakuna sehemu anaenda zaidi ya kwa kina Zubeda!
“Anaenda nyumbaniiiiii!”,alisema Zubeda baada ya kumuona Lukas anaingia kwao!
Hatimaye Lukas alifika kwa Mzee Jomo,moja kwa moja akaingia kwenye kijumba chake,Zubeda alipoona Lukas kaingia kwenye kijumba chake alikimbilia ndani na kuwaita ndugu zake!
“Mamaaa!mamaaaa!”
Furaha aliyokuwa nayo haikuelezeka,akaingia ndani bila hodi na kuwakuta wenzake wanakula!
“Weee!vipi mbona tunashtuana?”,aliwaka Johari!
“Mamaaa Lukas karudiiii,mgeni karudi nimemuonaaaa!”
Kauli ile haikuwa na maswali mama Zubeda aliinuka kwa kasi,Selina akafuatia na wa mwisho akiwa Suzy,aliyebaki ndani ni Johari tu ambaye hakuwa na habari kabisa na mgeni!
“Ivi nyie mna akili kweli?mnaacha kula sababu ya huyo mpuuzi anayechunga ng’ombe kwenye mashamba ya wachawi?”
Alisema Johari huku akiendelea kula bila kujali habari zile ambazo hazikuwa na mashiko kabisa kwake,kuacha kula kumkimbilia Lukas kwake ulikuwa ni upuuzi ulipita viwango vya kimataifa!

Familia nzima ilitoka nje kasoro mgumu mmoja tu,wote macho yao yalikua kwa Zubeda wakimuuliza yuko wapi huyo Lukas!
“Mama yupo ndani nimemuona kabisa kaingia!”
“Una uhakika?”
“Nina uhakika kabisa,nimemuona kwa macho yangu muulizeni hata Zahara!”

Lukas alipofika ndani alihema kwa nguvu akiamini amefanikiwa kufika salama bila kuvunja masharti ya mganga,japo Zubeda alitaka kuharibu kila kitu!
Akiwa ndani alisikia sauti ya mama Zubeda inamuita kwa nje,alinyamaza mpaka walipomuita mara tatu!
“Naam!”
Hakuitika tu bali pia alitoka nje kabisa,kitendo cha kutoka nje tu,Selina alipomuona alimrukia akafuatia Suzy na Zubeda pia!
Mama yao ilibidi ajikaze ili hasionekane kummiss sana mgeni,ila kitendo cha wanae kumrukia kilimpa maswali mengi sana,akajiuliza mbona wanae wanampenda sana?
Aliyapotezea mawazo yale aliamini labda wanampenda sababu anaishi nao,hakujua kuwa nyuma ya pazia anashea mwiko mmoja na wanae!
Hata wanae hawakujuwa kuwa wanashea isipokuwa ni Selina na Suzy tu ndiyo wanajuana kabisa,sababu mara ya mwisho anapotelea shambani ni kwa sababu alikuwa anawapa dozi machungani!
Walifurahi sana siku ile na kumkaribisha tena Lukas nyumbani,kwa muda mfupi aliokuwa kwa mganga kwao ilikuwa kama mwaka mzima!
Siku ile alishikwa jogoo mkubwa aliyenona akachinjwa kumkaribisha mgeni tena nyumbani,ilikuwa faraja kwa mgeni,sababu mwanzoni alipokelewa kwa hofu na maswali mengi ila sasa alipokelewa kwa jogoo mkubwa aliyenona!
Mgeni alipakuliwa mapaja na kula kwa raha zake,nyama zote tamu alikula yeye siku ile,kitendo kile kilimkera Johari!
Kama ni damu kupishana basi Luka na Johari walipishana damu,siku ile ndiyo Lukas aligundua Johari anamchukia!Baada ya kumaliza kula Lukas alitoka nje,hapo hapo Johari akainuka na kumfuata nyuma,alitaka akampe vidonge vyake!
JE JOHARI ANATAKA BIFU NA LUKAS ATALIWEZA KWELI?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 42

Lukas hakuwa na habari,baada ya kukandamiza zake nyama ya jogoo aliyenona,alijisomba na kuelekea anakoegesha mbavu zake,ila kabla hajafika alisikia sauti ikimuita kwa nyuma!
“We kakaa!”
Aligeuka na kukutana na Johari msichana pekee ambaye hajaonja rungu lake pale ndani,alishangaa sababu hajawahi kuwa na mazoea kabisa na binti yule!
Johari alifika akasimama na kumshikia kiuno,kwa namna alivyoonekana moja kwa moja tu ule mwito haukuwa wa kheri!
“We msukule!”
Kauli ile ilimfanya Lukas aamini mawazo yake yalikuwa sahihi kuwa binti yule hakuja kwa kheri,alijipa ukimya kuona matokeo ya shari lile!
“Ina maana hunisikii we msukule?”
“Kuna tatizo mbona sikuelewi?”
“Hunielewi eeh!utanielewa tu,unajikuta wewe ndiyo Mzee Jomo hapa eti?unakula mipaja tu unatokwa mishavu eeeh?”
Johari aliropoka maneno machafu kiasi kwamba mpaka Lukas ustaarabu ukamshinda,bahati nzuri mama Zubeda kumbe aliyasikia yale maneno!
“We Johari!unamtamkiaje maneno machafu ivyo kijana wa watu,kakukosea nini?”
“Si aende kwao kwani hana kwao huyu ovyooo,msyuuuuu!”
Licha ya mama yake kuja pale bado Johari aliongea maneno yake na kuondoka zake,akamuacha mama yake kashikwa na butwaa!
Luka alihisi kudhalilika sana,aligeuka ili aingie ndani lakini mama Zubeda akamzuia kwa kumshika mkono!
“Lukas achana nae yule chizi usisikilize maneno yake!”
Lukas hakuwa katika wakati mzuri,tayari hasira yake ilikuwa usoni,alijitoa mkono akaingia ndani!Alijitupia kitandani akiwa na mawazo sana!
Kudharauliwa na mwanamke ni kitu ambacho hajawahi kukikubali kabisa maishani mwake,alianza kumuwazia Johari!
“Nitamfanya kitu hatoamini,mimi ndiyo Lukas!”
Mawazo yake siku ile yalikuwa kwa binti yule ambaye hajawahi kumkubali hata kidogo!Baada ya kuwaza sana aliamua kulala!
Ila moyoni alijua usiku ule lazima kuna shughuli ingetokea tu,aliwaza kwa jinsi amekaa muda mrefu bila kuwapa dozi basi lazima mtu usiku kuchukua dozi yake!

Mawazo yake yalikuwa sawa,usiku alihisi mlango unatikiswa akajua kumekucha!Baada ya kuingia alihisi kupapaswa,bado hakujua nani!
“Baby!”,sauti ile ilimjulisha mgeni yule hakuwa mwingine bali ni Zubeda,binti wa kwanza kabisa wa mzee Jomo!
Aljigeuza na kumkuta Zubeda kashasaula anamuangalia,mikono ya Zubeda ilikosa utulivu ikaingia ndani ya shuka na kuitoa bakora ya Lukas ambayo mnara ulishaanza kusoma!
“Kwanini mchana ulikuwa unanisukuma Lukas?”
“Umekuja kuenjoi au kunisomea kesi?”
“Jamani sasa nisiu….!”
Kabla hajamalizia Lukas alimpindua na kumlaza kitandani kisha ulimi wake ukazikamata zile embe mbichi za Zubeda!
“Jamani nijibuuu baasiiiii aaaahsiiiiii tamuuuu!”
Zubeda hakuwa na nguvu tena ya kuuliza maswali tayari mgeni kashamshika kubaya,ulimi wa mgeni ulikuwa kama una shoti,unapoangukia lazima usisimke!
Lukas aliazinyonya zile embe mbichi kisha akapandisha shingoni huko hakuchelewa akazama sikioni na kumfanya Zubeda aheme kwa kasi!
“Oooh!mamaaa!ooh mamaaa!”
Baada ya maandalizi ya kutosha na kuona chemchem imetoa maji tayari,aliishika bakora yake ila hakuingiza moja kwa moja!
Aliisugua kwa juu kama anampiga katerero,kitendo kile kilimfanya Zubeda ahisi utamu wa ajabu na kuanza kuwatukana wanaume wote aliowahi kufanya nao mapenzi!
Kitendo kile kilimfanya Lukas aongeze kasi,Zubeda akatangaza anataka kuvunja dafu lake mapema tu!
Kabla hajalivunja dafu lake Lukas aliizamisha bakora ghafla na kuisugua kwa nguvu kitendo kile kilimfanya apige kelele kubwa sana na kurusha bao lake lililomrukia kiunoni Lukas!

**********

Mama Zubeda alikuwa na mawazo kama ya mwanaye,alichokiwaza Zubeda na yeye ndicho alichokiwaza!
Alikuwa anasubiri wanae walale ili yeye atoke kwenda kwenye kijumba cha mgeni,alikuwa hoi maana tangu apate penzi la mgeni siku ile hakuwahi kupata tena mkuno wa kweli,achilia mbali siku ile ambayo mzee Mtata alimtia shombo!
Tatizo alikosea akaegesha kichwa kitandani,usingizi ulikuja kumchukua akaja kushtuka muda umeenda!
“dahh!hivi nililala,ila poa naenda!”,alisema Mama Zubeda!
Moyoni alijiapia kuwa lazima azamie kwa Lukas,alijichunguza na kuona yuko sawa akatoka chumbani ili kwenda kupata penzi la Lukas!

JE ITAKUWAJE NA ZUBEDA YUKO KWA LUKAS TAYARI?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 43

Wanasemaga kama arobaini zako hazijafika basi hazijafika tu,Mama Zubeda alikuwa anataka kwenda kwa Lukas,jambo ambalo lilikuwa ni hatari sana sababu mwanaye Zubeda alikuwa kwa Lukas wanafanya mapenzi!
Mama Zubeda alitoka chumbani taratibu akinyata mpaka mlangoni,akaushika mlango lakini haukufunguka!Alipojaribu kushika kitasa cha ndani hakikuwa kimefungwa!
“Ina maana mlango umefungwa kwa nje?”
Mama Zubeda alijiuliza lakini hilo ndiyo lilikuwa jibu sahihi,Zubeda aliufunga mlango kwa nje alipotoka tu kwenda kwa Lukas!
“Hiki kijiji hiki!au ndo tushaanza kuchezewa?’”
Aliwaza Mama Zubeda lakini ghafla akapata wazo lililomfanya ashtuke haraka akaingia kwenye chumba cha binti zake!
Alipofika aliwasha taa akahesabu mabinti zake akakuta mmoja amepungua,jambo lile lilimshtua akaanza kuzikagua sura ajue ni nani hayupo!
“Zubeda!nilijua tu ni huyu kahaba huyu mtoto huyu anataka niitwe bibi mapema hivi jamani?”
Alisema kisha akageuka kurudi chumbani kwake akiwa na jazba akiamni binti yake kaenda kwa mpenzi wake na kumkatili yeye kwenda kwa Lukas!
“Huyu mtoto mshenzi sana na kesho atanieleza alikokuwa!”
Mama Zubeda alilala akiwa na hasira kali,wazo la kuwa huwenda Zubeda yuko kwa Lukas hakuliwaza kabisa,angeanzaje kuwaza kuwa anashea bakora na binti yake!

*******

Zubeda na Lukas walikuwa na siku nzuri sana siku ile,ni kama Zubeda alijua akafunga mlango kwa nje,bila ivyo mama yake angemfumania na sijui ingekuwaje?
Bado walikuwa wanasakata ngoma,uwanja mzima wakicheza wao na kujishangilia wao wenyewe,ilikuwa ni kulia kwa kuupokezana!
Zubeda alikuwa mpya siku hii,kiuno chake kilikuwa sumu kali kwa hisia za Lukas mpaka wakati huo alishavnja dafu mbili huku Zubeda akiwa amevunja dafu tano tena njia panda kabisa!
“Lukassiii…umeipakaaa asaaaliiiii babaaaaaaa!”
Alilalamika Zubeda akiwa kapiga magoti juu ya kitanda na kukibinua kiuno chake vizuri!Lukas alikuwa kwa nyuma mikono yake akiwa amekishika kiuno cha zubeda akiwa ansukuma nyonga kwa kasi hali iliyomfanya Zubeda atoe milio mingi ya mahaba!
“Najaaaa….naja mpenziiiii…najaaaaaaaa….nakojoa mimi ….nakojoaaa babaaa …bababababaaaa!”
Zubeda alikubali kuangusha dafu la sita kiurahisi,moyoni alikiri kuwa amefanya mapenzi na wanaume ila Lukas ni kiboko!
Mpaka wanamaliza kufanya yao Lukas alikuwa na bao zake tatu kali kama kawaida yake,bao za jasho siyo penati za mbeleko,huku Zubeda akiwa amevunja dafu nane za nguvu!
“Lukas!”,alimuita kwa sauti ya chini!
“Naam!”
“Naomba unioe!”
“Unasema?”,alishtuka Lukas, maana lile ni suala gumu sana sababu kashatembea na wadogo zake wawili na kingine kibaya zaidi ameshafanya mapenzi na mama yake,akajiuliza itawezekana vipi?na ataanzaje kumuita Mama Zubeda Mkwe?
“Mbona unashtuka Lukas naomba uwe mume wangu!”
“Unahisi wazazi wako watakubali?”
“Kwanini wakatae?wewe siyo ndugu yangu mi kesho namwambia mama kuwa wewe ni mpenzi wangu!”
“Unaona sasa ulivyo na haraka!”
“Kwani wewe unasemaje?”
“Subiri kwanza tufanye siri muda utafika tu,usiwe na haraka!”
“Kwa hiyo umekubali kunioa?”
“Ndiyo!”
Zubeda aliondoka akiwa na furaha sana akiamini si muda Lukas atakuwa mume wake,bila kujua Lukas ni sukari ya warembo,hajawahi kuwaza kuoa akiamini muda bado sana,japo kidogo Selina alimuingia sana akilini!
Mawazo ya Lukas muda huo yalianza kufikiria kurudi alipotoka,kitendo cha Mzee Mtata kusema kuwa anaweza kumpa dawa ya kuwafanya watu wamsahau na wasahau mabaya yake aliyofanya kilimpa nguvu sana!
Alitamani siku ziende haraka sana ili wiki iishe arudi zake kwa mganga kutibiwa,alikumbuka mengi starehe za mjini alizoziacha na wanawake aliowaacha mjini!
“Ntarudi mjini huku hakuna maisha!”
*********
Kulikucha Mama Zubeda akawa wa kwanza kuamka akawahi mlangoni,alipugusa akaonoa umefungwa kwa ndani kumaanisha kuwa Zubeda alirudi usiku!
Alitoka nje akiwa na hasira sana akaanza kufanya maandalizi kwa ajili ya kukamua maziwa,asilimia kubwa ya maisha yao pale yaliendeshwa na kipato wanachokipata kwenye maziwa hasa Mzee Mtata anapokuiwa safari!
Alipomaliza aliingia zizini akawachukua ng’ombe watano akawaandaa vizuri kisha akaanza kuwakamua!
Zubeda aliamka akiwa hana hili wala lile akaingia zizini na kumsalimia mama yake,cha ajabu mama yake alimwangalia kwa jicho kali na hakuitikia salamu yake!
“Mama bhana mi nataka nikwambie kitu!”,alisema Z ubeda!
JE ZUBEDA ANATAKA KUMWAMBIA NINI MAMA YAKE?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 44

Mama Zubeda alikuwa na hasira sana,kitendo alichokifanya jana Zubeda kilimfanya akose penzi la Lukas!
Upande wa Zubeda yeye alimfuata mama yake ili ampe habari za Lukas,kitendo cha Lukas kumwambia eti asubiri hakikumuingia akilini kabisa,alitaka lile suala lijulikane kwa mama yake,bila kujua hata mama yake anampenda Lukas!Mapokezi ya mama yake yalimshangaza hakujua kwanini mama yake kamnunia!
“Mama usinune bhana nataka nikuambie kitu!”
“Nitolee upuuzi hapa unaenda kufanya umalaya usiku unatufungia mlango,kijumba chenyewe cha nyasi unataka kutuua?na tukibanwa haja tujisaidie kwenye mabakuli?”
“Mama jamani nilikuwa chooni!”
“NYINYINYUA NYOONI!nitolee upuuzi hapa mi siyo mtoto mwenzio!”
Zubeda alitoka akiwa amekosa nguvu kabisa ya kuongea jambo lake,isingewezekana tena kusikilizwa,mama yake alikuwa kachafukwa tayari!
Wakati anatoka alikutana na Lukas ambaye inaonekana alisikia kila kitu,hakumsemesha aliondoka zake kwa aibu aibu za kike!
Wakati Lukas anasogea pale,mama Zubeda alijua ni Zubeda karudi akaanza kupaka bila kujua aliyesimama ni Lukas!
“Nimesema nitokee hapa mpuuzi wewe unanichefua kwa….!”
Alisita baada ya kugeuka na kumkuta Lukas kasimama anamuangalia huku anatabasamu!
“Jamani mbona tunafokeana!”
“Ahh..samahani Lukas kuna mtu kanivuruga kazijua bakora sasa anajikuta kama utamu anaujua yeye tu!”
“Hhahahahah!”
“Yani kanivuruga nilikuwa na ratiba ya kuja kwako jana,kaondoka kwa bwana yake katufungia mlango mpuuzi kweli!
Kauli ile ilimfanya Lukas ashtuke baada ya kugundua kumbe jana ilikuwa wafumaniwe!
“Leo nakuja kwako usiku!”
Mama Zubeda alimalizia kwa kusema atakua mgeni wake usiku,Lukas hakuwa mchoyo alimkaribisha kisha akaendelea na taratibu zingine za kujiandaa kwenda machungani!
“Selina na Suzy watakupeleka machungani wakuonyeshe sehemu ambazo hazipo karibu na mashamba ya watu!
Moyo wa Lukas ulilipuka kwa furaha kubwa kusikia kuwa atakuwa na Selinma na Suzy machungani,maana anampenda sana Selina!
Kama ingetokea anaambiwa achague mwanamke pale kijijini basi chaguo lake lilikuwa Selina,ndiye aliyefanikiwa kuingia moyoni mwake!
Baada ya mama Zubeda kumaliza kukamua maziwa Lukas aliondoka machungani akiwa ameongozana na Selina pamoja na Suzy!
Safari yao ilikuwa ndefu sana sababu machungo ambayo yalikuwa mbali na mashamba ya watu yalikuwa mbali sana!
Walipoziacha mbali nyumba za watu,Selina na Suzy walianza kuonyesha hisia zao wazi wazi huku wakimshika shika Lukas ambaye sasa amekuwa mume wa familia!
“Tulikumiss!”,alisema Suzy huku anampapasa kifuani!
“Subirieni tufike bhana hapa njiani bhana!”
Walifika machungani wakaanza michezo yao iliyowafanya mifugo iingie kwenye mashamba ya watu siku ile!
Selina na Suzy walikuwa na kiu kikubwa cha mapenzi,walimfakamia kwa pupa Lukas ambaye aliwapa dozi inayostahili!

Lukas sasa akawa mtu wa dozi kwa ile familia akiwa nyumbani usiku hasipolala na Mama Zubeda basi ni Zubeda na Zahara pia alikuwa anapata penzi japo kwa wizi wizi!
Selina na Suzy wao walikuwa wakijisika kufanya mapenzi na Lukas wanamfuata machungani wanamalizana huko!
Hayo ndiyo yakawa maisha ya Lukas,malipo ya fadhila ya mzee Mtata ikawa ni kuivuruga familia yake bila huruma!
Licha ya yote aliyofanya Lukas hakuridhika kabisa,bado alimtaka Johari binti ambaye amekuwa akimdharau sana pale nyumbani!
Johari alikuwa na dharau iliyopitiliza,alifikia hatua hata akiwa na kiu anamtuma Lukas maji kitendo ambacho kilikuwa kinawashangaza hata ndugu zake!
“Lukas niletee maji ya kunywa!”
“Hiiiii dada jamani siunitume hata mimi?”,alidakia Selina!
“Usifundishe kwani huyu ana kazi gani hapa,anakula bure analala bure!”
“Kwani we dada unalipia nini?”,aliuliza Suzy!
“Usinifananishe mimi na vitu vya kipumbavu mi kojo la Mzee Mtata na huyu ni kojo la nani?”
Kauli ile ilimchefua Lukas akatamani aamke ampige hata kofi lakini akajizuia,Selina na Suzy hawakuwa na uwezo wa kumzuia dada yao walimuacha apake anavyoweza,Lukas alivyoona maneno yamezidi aliondoka akaingia ndani!
Selina na Suzy walimsubiri mama yao wakampa zile habari akaishia kumsema tu Johari,Zubeda hakuzipata habari zile,kama angezipata pangechimbika!
Siku moja sijui ilikuwaje bahati nzuri nyumbani walibaki wawili tu johari na Lukas,Johari kama kawaida yake alianza umwinyi wake!
“Lukas niletee maji ndani!”,Lukas alimuangalia Johari kwa hasira kisha akainuka na kuingia ndani akachukua maji ila kuna kitu aliweka ndani yake akampelekea Johari akanywa!
JE LUKAS AMEWEKA NINI KWENYE KILE KIKOMBE?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 45

Lukas baada ya kumpa maji aliondoka zake akaingia kwenye kijumba chake,alichokiweka kwenye maji alikijua yeye mwenyewe!
“Nimekupata leo subiri uone!”,alijsemea kisha akajilaza kusubiri matokeo!
Johari alijiona amemuweza Lukas bila kujua kuwa kama ni choo basi kaingia cha kiume,baada ya kunywa yale maji ilimchukua dakika tano tu akaanza kuhisi vitu vya tofauti mwilini mwake!
Alianza kujihisi msisimko wa ajabu mwili wake ulikuwa haueleweki kabisa,hata yeye alianza kujishangaa!
Kadri muda ulivyokwenda ndivyo hali ilizidi kuwa mbaya,alikimbilia chumbani akavua nguo zote akiwa haelewi nini kimemkuta!
Alipojigusa kwenye sehemu zake za siri zilikuwa zimelowa kama mtu aliyeandaliwa tayari kwa kuifanya mapenzi!
“Mama yangu!ni nini hiki?”
Johari alijikuta kwenye wakati mgumu sana,alianza kujipapasa labda itatulia lakini ndiyo kwanza ikazidi,alipojishika ili walau kujiridhisha na vidole haikuwezekana!
Alichukua kanga akakimbilia jikoni bahati nzuri akakutana na maji ya moto akayachukua na kuingia nayo bafuni,alijimwagia kidogo akahisi nafuu!
“kwani nimekuwaje mbona ghafla!”
Alijisemea akiamini hali ile imekwisha akaingia chumbani akajitupia kitandani,ghafla hali ile ikarudi kwa kasi kuliko mwanzo!
Alijikuta anatamani kupiga kelele kwa jinsi alivyokuwa anajisikia,alijihisi anaenda kuwa kichaa,hata kama hamu ya mapenzi ile ilizidi!
“Mama yangu nina nini mimi oooshiiiiii!”
Aliamka na kukimbilia tena jikoni lakini kabla hajaingia akakiona kijumba cha Lukas,hapo ndipo alipopata wazo ambalo alipingana nalo!
“Hapana siwezi mpa penzi yule mpuuzi,aaaahhsiiiii jamani sijui nimpe tu!”
Nafsi mbili zilikuwa zinabishana,moja ilimtaka aende akajipoze kwa Lukas nyingine ilimkumbusha vile alivyokuwa anamdharau,hakujua asimamie wapi?
“Potelea mballi!”
Kwa kasi ya kimbunga Johari aliingia ndani na kumkuta Lukas kajilaza,Lukas alipomuona alijifanya kushtuka japo moyoni alitegemea ugeni ule!
“Vipi?”
Johari hakuwa na muda wa kujieleza,hali yake ilikuwa mbaya bila aibu akavua nguo zake na kuzitupilia mbali,Lukas akabaki anamshangaa!
Johari alishadhamiria kama mbwai iwe mbwai tu,alimrukia Lukas kitandani mkono wake akauzamisha ndani ya suruali na kuichomoa bakora!
“Sitaki maswali nataka hii!”
Kabla hajajibiwa alimkalia Lukas na kuisukumia bakora yote chunguni,joto lilikuwa kali likamfanya Lukas asisimke kwa utamu!

*********

Huzuni ilitawala nyumbani kwa Mzee Mtata,baada ya kuondoka kwa Lukas ni kama walirudi kifungoni tena!
Hakukuwa na mwanaume mwingine pale kijijini wa kuwagusa wake wa yule mzee isipokuwa Lukas,Kijiji kizima kilimuogopa yule mzee!
Hakuna aliyethubutu hata kukatisha kwake,kiufupi huwezi kwenda kwa mzee yule bila kuwa na jambo maalumu,unaweza usirudi ukapotea kabisa!
Wake wa mzee Mtata waliamua kukaa kikao kuona wanatatuaje tatizo lile ambalo liliwamyima raha kabisa,walijikuta wamezoea bakora,penzi tamu la Lukas liliwaacha hoi!
“Jamani nadhani mnaona,hali imekuwa tete shoga zangu!”,alisema Chiku ambaye ndiye alikuwa kiongozi wa kikao kile!
“Jamani mi nimefanya uchunguzi yule kijana anaishi kwa Mzee Jomo na anakaa kwenye kijumba chake cha pembeni,naona kama tungekuwa tunaenda usiku lakini siyo wote hata wawili wawili!”
Wote walikaa wakalitafakari wazo lile mwisho Chiku akaamua kusema!
“Jamani kama mnavyojua hakuna mwanaume wa kutugusa hapa kijijini,huyu mzee anaogopwa kama ukoma,mwanaume pekee wa kutupa tunachotaka ni Lukas,kama hilo wazo la mwenzangu naona liko sawa tuweke zamu za kwenda wawili wawili japo si kila siku!”
“Ila jamani huyu mzee si mchawi atashtuka!”,alisema Vero
“ Hana jeuri hiyo kilichokuwa kinamshtua nilishakitupilia mbali!,alisema Chiku!
Mwisho walikubaliana kufanya vile ila baada ya wiki moja mbele,kikao kilivunjwa wote wakaendelea na mambo yao!

*******
‘Usiyempenda kaja’,ndiyo kauli tunayoweza kuitumia kwenye hili sakata la Lukas na Johari!Hakuwa na ujanja tena,Johari alikuwa kalala kitandani mguu bara mguu pwani,huku Lukas akiwa katikati ya Zanziba na Tanganyika anafanaya yake!
“Aaaaasiiiiih…nakujaaaa…haaaaaaaaaashiiiiii”
Ilikuwa ni banduka bandua,licha ya kuvunja madafu kadhaa bado Johari aliitaka bakora ya mgeni,na kama tunavyojua mgeni siyo mchoyo,alimpa kitu roho inapenda!
Lukas aliamua kuua mende kwa rungu,alimpa penzi ambalo anaamini baada ya hapo Johari ataacha upuuzi wake kabisa!mchozi yalimtoka Johari aliguswa kwenye ngome ya raha,sehemu ambayo hajawahi kuguswa kabisa!
Sasa rasmi Lukas akawa kashafanya mapenzi na familia nzima ya mzee Jomo!
JE NINI KITAENDELEA BAADA YA HAPO JOHARI ATAFANYAJE!?
Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 46

Lukas alikuwa nafanya mapenzi ila kwa Johari ilikuwa ni tiba,tiba kwa ugonjwa uliomshika ghafla!japo tiba ile ilimfanya Johari agundue kuwa Lukas ni fundi sana kwenye sita kwa sita!
Kiu chake kilikatwa kwa bao tatu tamu mgeni,Johari alikuwa mwepesi kabisa,hali ile ilikata kabisa ila akabaki na aibu kubwa kiasi aligeukia pembeni!
Hakutaka kuamini kama mtu aliyekuwa anamdharau ndiye kamfuata tena yeye mwenyewe na kumvulia nguo bila hata kutongozwa!
Alitamani kufungua mdomo amshukuru Lukas lakini hakuweza kabisa,aibu iliufunika uso wake,licha ya kupewa tiba lakini alikiri moyoni kuwa Lukas amemfikisha ambapo hakuna mwanaume aliyewahi kumfikisha!Mgeni alikuwa bora sana kwenye hii sekta!
Kwa aibu alijizoa kitandani na kuvaa nguo zake alipomaliza alitoka bila kuaga akaishia zake huku Lukas akiwa amekaa kitandani anatabasamu!
“Kwisha habari yako nitukane tena sasa!”
Alijisifu Lukas kwa kufanikisha jambo lake,kwake mbali na kuenjoi mapenzi ila kilikuwa ni kisasi pia kwa lugha chafu alizokuwa anamwagiwa na yule binti!
Ile nafasi aliitafuta siku nyingi,aliamini ili aache kumdharau siyo kumpiga bali ni kumvua nguo yake ya ndani,sasa hakumvua wala kutumia nguvu nyingi!
Ukisikia kuku kukamatwa kwa mchele ndiyo kule sasa,Johari aliingia bila kuitwa na kusaula nguo zake bila kusurutishwa wala nini!
“Ivi imekuwaje?mbona ghafla?mbona nimejidhalilisha hivi jamani?Nimelogwa au?”,hayo ndiyo maswali alijiuliza Johari akiwa chumbani,kwake ilikuwa haijawahi kutokea kugawa penzi kirahisi namna ile,kujipeleka mwenyewe na kusaula mwenyewe!yalikuwa mambo mageni kwake!
“Yani kirahisi hivi,kwa hiyo atasema nilikuwa namchukia sababu namtaka?itakuwaje nyumbani wakijua,aah potelea mbali kwanza nimefaidi na ikibidi ntarudi tena!”
********
Baada ya wiki moja kupita Lukas alikumbuka ana miadi na mzee Mtata,akafunga safari mpaka kwa mzee yule anayeogopwa na kijiji kizima!
Alifika na kuwakuta wake wa Mzee wakiwa wanashughulika na shughuli zao mbali mbali,wa kwanza kumuona alikuwa ni Vero!
“LUKASIIII!”
Aliita kwa mshangao lakini hakumsogelea sababu mume wao alikuwepo,walimpokea kwa tabasamu wakiamini Lukas alirudi kwa ajili yao,biila kujuwa Lukas amefuata tiba kwa mzee Mtata,alipewa kiti akaketi!
“Vipi mzee yupo?”
“Jamani Lukas unamuulizia mzee tu ina maana hujatumiss?”
“Nina shida naye ya muhimu nyie tutaongea baadae!”
“Yupo kilingeni!”
“Yupo na mtu?”
“Hapana ngoja nikampe taarifa kama akikuruhusu uingie!”
“sawa!”
Chiku alienda kilingeni aliporudi alimchukua Lukas na kumpeleka kwa Mzee Mtata!
“Karibu kijana,karibu kijana hahahahahaha!”
“Ahsante sana mzee wangu shikamoo!”
“Marahaba kijana wangu!Karibu sana kijana naona umekuja kwenye lile zindiko eeh?”
“Ndiyo mzee wangu!”
“Hii dawa ni ya gharama sana,inagharimu laki tano!”
Kauli ile ilimfanya Lukas apate mawazo ya ghafla,maana alipo hana hata senti,tangu afike kijijini kazi kubwa anayofanya ni kuchunga mifugo tu na halipwi chochote,kiufupi hakuwa na uwezo wa kuipata hiyo pesa kabisa!
“Hahahaha kijana usiwaze,umeishi vizuri na familia yangu,hii dawa nitakufanyia bure kabisa!”
“Ahsante mzee wangu ahsante sana!”
“Usijali mshukuru aliyekufundisha busara,napenda vijana kama wewe,ungekuwa mwanangu ningekurithisha mikoba yangu hahahahaha!”
Tabasamu lilitawala usoni kwa Lukas,kuna muda alijihisi kujuta kwa matukio aliyomfanyia yule mzee,kitendo cha kutembea na wake zake wote kilimuuma sana!
Wanasema hata shetani kuna muda anakuwa mwema,Mzee Mtata aliamua kumtibu bure kabisa bila hata shilingi!
Maskini hakujua nyuma ya pazia Lukas ni mchepuko wa wakeze wote,hawezi kuhisi tena hiyo hali sababu Chiku alishaitoa dawa yake inayomjulisha mambo mengi,ile ilikuwa kama CCTV kwake!
Hakujua kuwa mkewe mkubwa ambaye ndiye msiri wake alishaitoa na kwenda kuitupilia mbali,bila kujali kuwa ile dawa ni ulinzi kwa mumewe anaoutegemea!
Bila kupoteza muda Mzee Mtata alianza kumfanyia dawa anazojua yeye,siku ile Lukas alikula nyungu mpaka akahisi kuchanganyiiwa,ilikuwa ni nyungu na kuoga madawa!
“Sasa kijana hapo kapumzike kwenye kile kibanda chako,usiku ntakufuata twende sehemu tukamalizie dawa!”
Lukas alitoka akiwa anahisi kizunguzungu,nyungu siku nzima haikuwa mchezo,aliingia kwenye kile kijumba akajilalia kwenye kingozi cha ng’ombe akiwa hoi!
Baada ya kupata chakula cha usiku alilala fofofo akisubiri Mzee Mtata aje amchukue waende kumalizia dawa!
Akiwa usingizini alihisi kupapaswa!aliposhtuka hakuamini alikutana na Vero na Lole wakiwa watupu ni wazi walitaka penzi lake,ilikuwa ni hatari sababu muda wowote Mzee Mtata anamfuata!
Kabla hajasema kitu alisikia sauti ya Mzee Mtata kwa nje ikimuita,siyo yeye wala wale wnawake wote walitetemeka!
“Kijana amka kumekucha!”
JE NINI KITAENDELEA?ATANUSURIKA TEANA Lukas?
Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 47

Sauti ile iliwapa hofu sana,Lukas alijua haukuwa muda wa kulaumiana,maana wale wake zake walikuja bila kujua,kibaya na yeye alisahau kuwaambia kuwa usiku ule atatoka na Mzee Mtata!
“Kijana ina maana umelala?”
Mzee Mtata sasa aliongea huku anaingia ndani akakutana na Lukas aliyetanda mlangoni,Mzee Mtata akawa ameishia hapo!
“Nilijua umelala nikuamshe!”
“Haa…hapana mzee nilikuwa macho!”
“Sawa nifuate!”
Siku ile ngamia alipita kwenye tundu la sindano,Lukas hakuamini kama amenusurika kufumaniwa na Mzee yule anayeogopwa hata na mbwa wa pale kijijini!
Alimshukuru Mungu kwa kumuepusha na msala ule,amfuata yule mzee nyuma bila kujua wanaenda wapi?
Safari ilikuwa ya lisaa lizima mwisho wakatokea makaburini na safari ikawa imeishia hapo,Lukas alibaki ameduwaaa,hakuwaza kama tiba yenyewe ni kupelekana makaburini!
“Kijana ulitaka tiba,sasa utalala kaburini siku tatu,kisha nitakuja kukutoa,kule ulikofanya utakuwa mpya,tutakuwa tumeyazika mambo yako yote na utakuwa mpya!”
Lukas alibaki anatetemeka kwa hofu kubwa,kitendo cha kuambiwa alale kaburini ulikuwa mtihani mkubwa kwake!
“Kwa…kwani hamna tiba nyingine?”
“Uliniambia nikutibu kumbe unaweza kujitibu,jitibu basiii!”
“Haa…hapana mzee tuendelee!”
Mzee Mtata alisogea karibu kaburi moja la zamani sana alipofika alichukua kibuyu ambacho kilikuwa na maji meusi!
Aliulowanisha usinga wake akaanza kuyarusha yale maji huku anaongea kwa lugha ambayo aliielewa mwenyewe!
Baada ya muda lile kaburi lilianza kutoa moshi mweusi,akaendelea kusema lugha zake mpaka ukatoka moshi mwekundu,akaendelea tena mpaka ukaja moshi mweupe!
Moshi mweusi wa kwanza ulimaanisha kuwa maiti iliyozikwa pale alikuwa imekasirika na kama angeacha na kuitoa muda ule ingewadhuru,na ule moshi mwekundu ulimaanisha kuwa sasa haina hasira ila inataka damu,kwahiyo ingetoka muda ule,ingeenda kijijini na kudhuru watu!Lakini ule mweupe wa mwisho ulimaanisha kuwa sasa amani ipo,mzimu hautakuwa na fujo!
Baada ya ule moshi mweupe kutoka mzee Mtata alisita kusema akanyamaza,ghafla kaburi lile likafunguka na jeneza likajileta juu lenyewe!
Mzee Mtata aliendelea kulirushia jeneza maji kwa usinga wake mpaka likafunguka ikaonekana maiti iliyokuwa imefungwa sanda!
Mzee Mtata aliita kwa jina lake ikaanza kuamka mpaka ikasimama na kutoka ndani ya jeneza!
Lukas haja kubwa iligonga hodi achilia mbali mkojo ambao ulikuwa umepita kabisa alikuwa anatetemeka kama katoka kulala ndani ya friji!
“Samahani ninakupa matembezi ya siku tatu,nataka kijana wangu atumie kitanda chako,alale kwenye nyumba yako kwa siku tatu,baada ya hapo utarudi nyumbani kwako tena,ila usidhuru watu sababu sitakuja kukupa matembezi tena!”
Ile mzimu ulikuwa umesimama tu hausemi chochote,Mzee Mtata aliusogelea akaupiga na usinga kichwani akauamrisha ukaondoka taratibu kwa mwendo wa kizombi mpaka ukapotelea kizani!
Akamgeukia Lukas ambaye alikuwa anatetemeka kwa hofu,akaanza kumsogelea alitaka kukimbia lakini alimchapa usinga kichwani akabaki kaduwaa!
Kuanzia hapo ikawa kila anachoambiwa anatii bila shuruti,kiufupi ni kama Mzee Mtata alimchota akili zake na kumfanya zuzu kwa muda!
Mzee mtata alisogea kwenye lile jeneza akalifanyia dawa zake kisha akamgeukia tena Lukas ambaye alikuwa kasimama kama sanamu!
“Ingia humo,usifanye fujo kwenye nyumba ya watu kama king’amuzi kimeisha umnunulie sawa!”
“Sawa mzee!”
Bila uoga Lukas aliingia kwenye jeneza likajifunga kisha taratibu likaanza kuingia kaburini kisha kaburi likajifukia na kuwa kama hamna chochote kilichotokea!
Baada ya kumaliza kufanya yake ,mzee Mtata aliondoka na kumuacha Lukas kaburini,ambaye haikujulikana atatoka mzima au lah!

*******

Mama Zubeda alishangaa kutokumuona Lukas,mwanzo alijua kuwa amelala lakini kadri muda ulivyokwenda ndivyo wasiwasi uliongezeka!
“Selina ebhu kamuangalie Lukas humo ndani!muamshe mbona kalala sana leo!”
“Subiri nikamuamshe mimi”,alidakia Johari mpaka kila mtu akabaki anamshangaa!
“Kulikoni unataka ukamtie makofi mkaka wa watu huko eeh!”,alisema mama Zubeda hakumuamini kabisa Johari sababu anamchukia sana Lukas,bila kujua Lukas alishambadilisha sasa anampenda kufa!
Johari alirudi na majibu kuwa Lukas hakuwepo!walijuliza kaenda wapi?Waliamua wavute subira pengine atarudi lakini mpaka jua linazama Lukas hakutokea!
Siku ikapita Lukas haonekani,ndipo kesho yake Mama Zubeda aliamkia kwa mzee Mtata kujua tatizo ni nini?
Alifika na kumkuta Mzee Mtata kilingeni kajaa tele,alipomuona tu akatabasamu akamkaribisha kwa bashasha!
“Mzee mdogo wangu haonekani,usinambie umemchukua tena!”
“Lakini hukutimiza matakwa yetu,au umesahau mpenzi?”,Mzee Mtata aliamua kutumia fursa!
JE NINI KITAENDELEA?MAMA ZUBEDA ATAKUBALI KUMPA MZEE TIGOPESA?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 48

Mzee mtata hakuwa amemchukua Lukas kama kipindi kile,tatizo Lukas hakuwa ameaga nyumbani na alifanya ivyo akiamini angerudi siku ile,hakujua kama atalazwa ndani ya kaburi siku tatu!
Mzee Mtata hakuwa na mpango na ahadi aliyowekeana na mama Zubeda kipindi kile,alikuwa ameshaipotezea,ila alipomuona kaja pale kisa hamuoni Lukas nyumbanui na yeye akaamua kuitumia ile kama fursa!
Akakubali kuwa amemchukua Lukas kimazingara kwa sababu hakutimiza ahadi yao waliyokuwa wamewekeana!
“Kwahiyo unamtesa mtoto wa watu sababu ya hiyo kitu kweli mzee Mtata!”,alihoji mama Zubeda!
“We unaona kidogo icho?”
“Lakini si tufanye kawaida tu kwani lazima mpaka unifanye huko jamani?”
“Usivunje ahadi!”
Mzee yule aliamka bila aya na kuanza kumpapasa Mama Zubeda,hakuwa na haya alitaka kufanya uchafu ule palepale kilingeni bila kujali kama mizimu ingekasirika!
“Mzee Mtata subiri,subiri kwanza naomba nikuahidi kuwa ukimuachia safari hii nakupa unachokitaka!”
“Una uhakika?”
“Ndiyo ila hatutofanyia hapa mi naogopa matunguli yako,tutakutana kule kwenye shamba lako!”
“Sawa nitamrudisha kesho kutwa,atakuwa mzima mwenye afya na nguvu kuliko mwanzoni!”
Walikubaliana ivyo huku ikiwa ni janja ya yule mzee akiamni atamtoa kaburini Lukas baada ya siku tatu!
Mama Zubeda aliondoka huku akijilaumu kwanini hakumpa yule mzee anachotaka mapema,yasingetokea yale,bila kujua Lukas alikuwa anatibiwa ili arudi mjini!

********
Lukas alikuwa kama yupo kwenye ndoto nzito sana,usingizi ulimchukua na kuota ndoto zenye kutisha!
Maisha yake kaburini yalitawaliwa na ndoto zenye kutisha,aliota mara nyingi wale aliowakosea wanamkimbiza na mapanga!
Alikuwa naweweseka sana,jasho lilimtoka lakini cha ajabu alikuwa anapumua vizuri tu ila macho hayakufumbuka!
Zilikuwa ndoto zenye mateso makubwa,kukimbia huku na kule akitetea maisha yake,hayo ndiyo yalikuwa maisha yake ya ndotoni
********
Kijiji kilipata ugeni wa ajabu!ile mzimu uliofukuliwa na mzee Mtata ulianza kuleta ghasia kijijini!ulianza kuvamia nyumba za watu usiku wakiwa wamelala na kufanya mapenzi na mabinti!
Ilifikia hatua kila binti anaamka akiwa amebakwa,ulikuwa unatembea nyumba hata ishiruini na kufanya mapenzi na wanawake hata ishirini kwa usiku mmoja!Ulikuwa na moto Lukas anasubiri!
Wanawake walianza kulalamika juu ya mgeni yule wa ajabu,wengine walianza kukutana na ule mzimu maporini ukiwa unatembea!
Mashtaka yalizidi mzimu ulikuwa unatembeza dozi kama haina akili nzuri,viongozi wa kijiji ilibidi wakae wajadiliane juu ya mgeni yule wa ajabu!
“Jamani hii ni aibu,inauma ila niseme tu jana sijamgusa mkewangu ila asubuhi kaamka ananiuliza kama nimefanya naye mapenzi,acha huyo tu binti zangu wawili nao jana hiyo hiyo wamefanya mapenzi usiku na hicho kiumbe!”,alilalamika mjumbe wa kijiji!
“Jamani mimi kama mwenyekiti naona hili suala limekuwa zito sana!Na haliwezi kutatuliwa kisheria!”
“Sasa tufanyeje?”,aliuliza mjumbe!
“Mimi nina wazo!”
“Wazo gani?”,waliuliza kwa pamoja
“Kwanini tusimfuate mzee Mtata atusaidie kumaliza hili jambo,mnakumbuka zamani kuna kipindi ilishawahi kutokea maiti inatembea akairudisha,japo ile haikuwa kama hii!”;
“Wazo zuri naona twendeni sasa ivi!”
Wazee walijikusanya na kuanza safari kuelekea kwa mzee Mtata ambaye kwa asilimia zote anahusika na usumbufu wa ule mzimu,sababu ndiyo aliifukua na kumlaza Lukas!
Ule mzimu ni kama ulibadilishana makazi na Lukas,baada ya kufanya mizunguko yake yote na kutembeza bakora kijijini ulikuwa inarudi kwenye kijumba cha Lukas unalala!
Hakuna aliyejua sababu ilikuwa inalala chini ya kitanda!Na kingine ilitembeza bakora nyumba zote ila haikugusa nyumba ya mzee Jomo sijui kwanini!
Wazee walifika na kumkuta mzee Jomo kilingeni hana habari anavuta zake kiko,habari za mzimu wala hakuzisikia popote,kiufupi hakuwa na habari!
Ugeni ule ulimshtua sababu viongozi wote waliongozana,aliwakaribisha wakaketi kisha wasalimiana,wote walimuheshimu mzee yule mwenye sifa zake za utata pale kijjini!
“Mzee mwenzangu sijui una habari!”,mwenyekiti alifunguka!”
“Habari gani tena!”
“Kuna kiumbe kinabaka wanawake usiku,yaani kinazunguka kila nyumba na kufanya ufusika sijui utatusaidiaje!
Mzee Mtata alipopata habari zile alijua moja kwa moja ni mzimu aliyoufukua tu ndiyo unayoleta matatizo!
“Mnataka nifanyeje?”
“Kikamatwe na kidhibitiwe ikibidi kirudi kilipotoka!”
“hahahahahahahahahaha!”
JE NINI KITAENDELEA?MZEE MTATA ATAFANYAJE?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 49

Habari zile zilimshtua sana Mzee Mtata ila hakutaka kuonyesha hofu mbele ya viongozi wale wanaomwamini,kwa mara ya kwanza alianza kuhisi vitu vya tofauti,haikuwezekana hata kidogo mzimu aliyoufukua ufanye fujo namna ile!
Kuna kitu alianza kuhisi hakipo sawa,aliwaza kuwa atalifanyia kazi baadae!Ila vilevile alitaka kuitumia ile kama fursa!
Mzee Mtata aliwaza mali kwa tatizo alilolitengeneza mwenyewe!alikohoa kidogo kisha akawaangalia wale viongozi!
“Nitawasaidia ila nahitaji ng’ombe kumi na mbuzi watano!”
Wale viongozi waliangaliana malipo aliyotaka yalikuwa makubwa sana,ila hawakuwa na namna baada ya kimya kirefu mwenyekiti alifunguka!
“Kutokana na hili jambo lilipofikia mimi naona tutakupatia unachotaka ila tafadhali fanya mapema sana!”
“Sawa kesho nitaukamata huo mzimu!”
“umejuaje kama ni mzimu?”,mwenyekiti alishtuka kusikia mzee anasema ni mzimu na huku hajauona!
“Mimi ni mganga ujue,na usisahu wananiita mzee mtata!”
“Samahani ivi unamaanisha mkewangu alilala na mzimu na binti zangu pia?”
“Hhahahahahahaha!walibakwa siyo kulala!”,alijibu mzee Mtata!
Yule mjumbe aliinama chini kwa aibu,aliwaza mengi kitendo cha kusikia eti anayetembeza bakora ni maiti kilimchefua sana alihisi kinyaa!
Waliondoka na kumuacha mzee Mtata ambaye aliwataka kesho yake wapige ngoma kijiji kizima wakutane uwanja wa kijiji!
Siku ile ndiyo ilikuwa siku ya kumtoa Lukas aliyetimiza siku tatu kaburini,alijiandaa na kuweka vifaa vyake tayari kwa kazi ile ya usiku wa manane!
Alipanga amtoe Lukas ila maiti auache uendelee kutoa dozi mpaka alipwe ng’ombe kumi na mbuzi watano ndiyo aurudishe!
************
Siku ya tatu ilitimia Lukas akiwa kaburini kwenye usingizi mzito,,kadri siku zilivyokuwa zinasogea ndivyo hali ya ndoto zenye kutisha iliongezeka!
Alikuwa anaweweseka sana,watu aliowakosea walikuwa wanamkimbiza na siraha kali sana kama mapanga marungu,visu,mikuki nk!
Ilifikia sehemu akachoka kabisa ,alikimbizwa akafika sehemu hakuna njia,maadui zake walimfikia wakaanza kumpiga na kumchoma visu,wengine walimkata mapanga wakamchoma mkuki!
Kipigo kilizidi nguvu zikamuishia,alivuja damu kila kona,mwisho kabisa mmoja alikuja na jiwe akalinyanyua akilielekeza kichwani!
“Msiniueee!msiniueeee!”
Kelele zake hazikufua dafu yule aliebeba jiwe aliliachia Lukas akaliona linakuja kichwani alipiga kelele!
“Mamaaaaaaaa!”
Alipiga kelele lakini alishangaa jeneza linafunguka akajikuta yuko nje ya kaburi,alimuona mzee Mtata kasimama na usinga wake mkononi!”
Alianza kujikagua akijiangalia kama ana alama ya vitu,lakini hakuhisi maumivu sehemu yoyote ile!Alikumbuka lile jiwe lililotua kichwani,akajishika kichwa lakini hakikuwa na tatizo!
“SIJAFAAA!”,alishangaa sana Lukas!
“UMEKUFA MIOYONI MWAO!”,alijibu mzee Mtata!
“Unamaanisha nini?”,aliuliza Lukas huku anatoka ndani ya lile jeneza!
“Wamekuua kwenye mioyo yao,sasa utakuwa huru kwani ulishaona kuna mtu anaidai maiti?”
“Hapana!”
Mzee Mtata alilirudisha kaburi lilivyokuwa,jambo lile lilimshtua sana Lukas,maana alijua kabisa alitakiwa akitoka yeye kaburini ile mzimu urudi!
“Mzee ile maiti iko wapi?”
“Nina kazi nayo ila iwe siri yako kwa chochote kitakachotokea!”
“Sawa!”
Lukas hakujua mzimu umeliamsha dude kijijini untembeza bakora kama ukwaju wa bakhresa!
“Tuondoke!”
Safari yao iliishia nyumbani kwa mzee Mtata,waliingia kilingeni mzee akaanza upya kufanya mambo yake!
“Kijana!”
“Naam!”
“Sasa nataka nikupe kinga,kinga ambayo itakukinga na uchawi wa aina zote hata majini watakuogopa,hakuna atakayeweza kukuloga hata mimi pia!Sijawahi kumpa mtu hii kinga ila kwa kuwa nimekuona ni kijana mzuri basi nakupa hii kijana,ila usiitumie kuwadhuru watu!”
Machozi yalimtoka Lukas,yule mzee alionekana kuwa mwema sana kwake,alijuta kwanini alitembea na wake zake!
Baada ya kumpatia ile kinga alimruhusu akamwambia akalale kwenye kile kijumba,lakini Lukas alisema anaondoka nyumbani!
Hakutaka kulala pale sababu aliwahofia wake wa mzee Mtata wanaweza kumvamia,njiani wakati anarudi alishangaa baada ya kupishana na ile mzimu ukiwa na sanda!
Kwa ujasiri aklianza kuifuatilia kwa nyuma mpaka ikaingia kwenye nyumba moja hivi,liashangaa baada ya kuchungulia na kuiona inamvua nguo mdada mmoja kisha nayo ikatoa bakora tayari kwa kumuingilia,Lukas hakukubaliana na lile jambo akataka apambane na ile mzimu!
JE NINI KITAENDELEA?MASU ATAWEZA KUPAMABNANA NA ILE MAITI?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 50

Maneno ya Mzee Mtata yalimjia kichwani kuhusu kinga aliyopewa,akajiona ni kama anaweza kupambana na ule mzimu!
Alimuonea huruma yule binti aliyekua kalala hajitambui huku mzimu ukifanya naye mapenzi,Lukas alishikwa na huruma pia wivu ulimkaba maana alikuwa anakula binti mrembo hatari!
Aliujua ule mzimu ni ule uliyofukuliwa ili yeye apate tiba,akakumbuka jibu alilopewa na Mzee Mtata kuhusu ule mzimu!
Mzee alisema ana kazi nao Lukas aliwaza labda ile ndiyo kazi yenyewe ile,alikumbuka pia aliambiwa afiche siri!
Nguvu zilimuishia akajikuta kaganda kama sanamu akishuhudia jinsi ule mzimu inavyosukuma kiuno chake kwa pupa!
Baada ya muda kama dakika ishirini ilimalizana na yule binti ikarudisha bakora yake kisha ikaondoka,cha ajabu ulimuona kabisa Lukas lakini haukuwa na muda naye,ni kama ulikuwa unamfahamu!
Lukas aliufuatilia tena ukazama kwenye nyumba nyingine kutoa dozi,aliufuatilia mpaka akachoka maana ulikuwa unatembeza dozi balaa!
Lukas alichoka akaamua kwenda zake nyumbani,alifika akaingia kwenye kijumba chake akaanza kutafakari!
Alikumbuka sana maisha ya mjini,akakumbuka vitu alivyoacha na kukimbilia kijijini kisa wanafunzi na wake za watu!
“Ivi sitakamatwa kweli?”
Alijiwazia bado hakuamini sana kauli ya mganga,hakutaka kuyaamini maneno ya mganga moja kwa moja!
Usingizi ulimchukua mpaka aliposhtuka baada ya kusikia kama kuna mtu mle ndani,hakuamini baada ya kuuona ule mzimu,wazo lililokuja ni kuwa mzimu unataka kumuambaruti!
“We vipi humu hakuna mwanamke!”
“Ina maana hunisikii?nimesema humu hamna mwanamke!”
Mzimu haukuwa na mpango naye uliingia chini ya uvungu ikalala zake,akabaki Lukas ana wasiwasi mkubwa!
Usiku ulikuwa mrefu sana kwake,aliogopa kulala akiamini mzimu utamfanyia mchezo mbaya!
Usigizi ulikuja ukamchukua akalala,alikuja kushtuka asubuhi kumekucha,kitu cha kwanza aliinama akaangalia uvunguni hakuona chochote!
Ule mzimu ulikuwa umeshaondoka,haraka akajishika ili ajue kama mzimu ulimfanyia mchezo mchafu,lakini alijikuta mzima malinda yalikuwa salama!
“Eeeefuuuuuuuuuuh!”
Aliivuta pumzi ndefu akazishusha,aliinuka akatoka nje akamkuta mama Zubeda anaandaa vifaa vyake aingie kukamua maziwa!
“Wow Lukas umerudi!”
Mama Zubeda alishindwa kujizuia akaweka chini vitu vyake akamkumbatia kwa furaha,bahati ilikuwa kwao sababu wanae walikuwa bado wamelala!
“Hey watatuona!”
Alisema Lukas akajitoa kwenye mikono ya Mama Zubeda,mama Zubeda akaona isiwe tabu alimshika mkono akamrudisha kwenye kijumba chake,humo akaanza kumpiga mabusu mfululizo!
Mama Zubeda alishindwa kuvumilia alijikuta anataka penzi asubuhi ile jambo ambalo Lukas hakutaka kukubaliana nalo!
“No!siyo saivi tutakutwa!”
“Nipe kidogo bhanaaaa!”
“Hapanaaa!”
Mama Zubeda aliambulia manyoya kwa Lukas,alimkazia akiamini si muda sahihi wa kufanya vile,kwa mara ya kwanza Lukas akajifunza uchoyo!
Mama Zubeda alitoka kishingo upande mpaka zizini akaanza kukamua ng’ombe,akili yake ilikuwa mbali sana!
Alijua kurudi kwa Lukas kunamaanisha nini?Aliikumbuka ahadi yake na Mzee Mtata anayeyataka malinda yake ili Lukas awe salama!
“Huyu mzee jamani,hivi kweli anataka kuniambaruti jamani kisa Lukas,Lukas mwenyewe ananipa kwa masharti wakati malinda yangu yako hatarini hapa!”

Familia nzima iliamka na wote walifurahi uwepo wa Lukas,sasa hata Johari alikuwa anampenda Lukas,alibadilika mpaka wenzake wakawa wanamshangaa!
Lukas alifurahi sana kumuona Selina,maana kati ya wote pale mahaba yake yalikuwa kwa Selina!
Alikuwa ameshaanza kuwaza kuondoka kijijini arudi zake mjini,maana alikuwa na uhakika kabisa kwa tiba aliyopewa na Mzee Mtata hakuna atakayemgusa mjini!
Kutokana na mahaba aliyokuwa nayo kwa Selina aliwaza akiondoka aondoke naye,tatizo lilikuwa je atakubali?
********
Ngoma ilipigwa kijijini ikiwataka wanakijiji wote waende kwenye uwanja wa kijiji kumshuhudia mzee Mtata akimkamata anayebaka wanawake usiku!
Zilikuwa ni habari njema sana kwao,wote walikusanyika uwanjani kumshuhudia huyo anayebaka watu usiku!
Mzee Mtata tayari alikuwa uwanjani na vifaa vyake,tayari kumtoa huyo anayesumbua kijini,Lukas naye alikuwa uwanjani tayari!
Lukas alijua kabisa ile ni janja ya mzee Mtata ambaye ndiye aliyeufufua ile mzimu ili kumtibu yeye,lakini sasa anautumia ili kupata mali,ilimbidi kukaa kimya kuitunza siri ile!
Mzee Mtata alianza kufanya yake,aliongea lugha zake huku watu wanasubiria maajabu!
JE NINI KITATOKEA?MZEE MTATA ATAFANIKIWA KUIRUDISHA?
,,,,,
 
Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 51

Shauku ilikuwa kubwa sana kwa wanakijiji,kuna waliobakiwa wake zao pia binti zao!kijiji kilikuwa na hasira sana!
Mzee Mtata alisimama kabla hajamleta hadharani alitaka kutoa onyo kwa wanakijiji wale ambo walionyesha hasira za waziwazi!
“Jamani mnataka nimtoee?”
“Ndiyooooo!”,waliitikia kwa pamoja!
“Mnata mumuone mchumba wenuuuu?”,alitania lakini hapo wanakijiji walikaa kimya!
“Hahahahahhaha!natania jamani!sasa nisikilizeni namtoa hadharani anayesumbua kijiji hiki,lakini chonde msimguse wala kumpiga,atakayemgusa ajue atakuwa anatembelewa kila siku na huyu mgeni awe mwanaume au mwanamke!”
Mzee Mtata ilibidi awatishe maana walikuwa na hasira za wazi wazi kabisa,baada ya kusikia vile wanakijiji waliogopa sana!
“Jamani tumeelewanaaaa!”
“Ndiyooooo!”
“Hamtamgusaaaaa?”
“Ndiyooooo!”
“Shauri yake atakayemgusa sitamtibia!”
Baada ya kutoa vitisho Mzee Mtata alichora duara kubwa kwa majivu kisha akaweka dawa zake akachukua kibuyu chake akaweka maji mdomoni na kuanza kuyapuliza juu!
Alipomaliza alianza kuuita ule mzimu ambao ghafla ulitokea kwenye lile duara huku unatetemeka na kuzunguka ndani ya ile duara!
Wanakijiji walipigwa na butwaa,kilikuwa kiumbe kinachotisha sana,wanawake waliokuwa wamehisi kufanya mapenzi na kile kiumbe walipatwa kichefuchefu wengine hadi wakatapika!
“Mmemuona eeh,ndiyo huyuuu!sasa namrudisha alipotoka hamtamuona tena kijijini,mimi ndiyo mzee Mtataaa!”,alisema huku anajipiga kifuani!
“OYOOOOOOOOOHH!”,wanakijiji walipiga kelele kumshangilia mzee huyu waliyemuona kama mkombozi wao,bila kujua kuwa ndiye mkandarasi wa kila kitu!
Lukas pekee ndiye alikuwa anaujua mchezo ule,alijua ni maigizo tu hakuna chochote pale,pembeni yake alikuwa na Selina
Alimshika mkono Selina akatoka naye pembeni,Selina alimshangaa Lukas kwa kumtoa pale uwanjani!
“Unanipeleka wapi?”,alihoji Selina!
“Nyumbani!”
Hakuwa na jinsi binti yule waliondoka mpaka nyumbani,moja kwa moja akaingia naye kwenye kijumba chake,Selina ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuingia mle ndani!
Lukas hakuwa na subira alianza kumpapasa Selina ambaye si muda alilegea na muda mfupi baadaye wakawa watupu tayari kwa kuvunja chaga!
********

Huku kwa mzee Mtata alifanya manyanga yake na mwisho akaufanya ule mzimu ukapotea mbele za macho ya watu!
Ni yeye pekee alijua ulipoenda,wanakijiji walimshangilia na kumpa zawadi mbali mbali huku viongozi wakimkabidhi ng’ombe zake kumi pamoja na mbuzi wake watano!
Ilikuwa ni sherehe kubwa kumuondoa aliyewanyima amani kijijini,waliamini sasa watalala kwa amani!
Mzee Mtata alipomaliza kazi yake aliondoka na kurejea kwake,wake zake walimpokea kishujaa na kumsifia kwa kufanikiwa kuudhibiti mzimu!
Mzee Mtata hakuwa na hofu na ngvu zake kupungua,alijua kila kitu kiko sawa bila kujua dawa yake ambayo iebeba nusu ya nguvu zake imetupwa,na kadri anacvyotumia nguvu alizonanzo sasa zinazidi kupungua!
*********
Lukas na Selina walienda mzunguko mmoja tu wakatulia,hawakuwa na muda sababu muda wowote ule wengine wangerudi kutoka uwanjani!
“Selina mi nataka kuondoka hapa kijijini!”
Kauli ya Lukas ilimshtua sana Selina ambaye alijikuta anaacha kuvaa nguo zake kwanza amsikilize!
“Unasema!!!!?”
“Naondoka!”
“Unaenda wapi?”
“Narudi zangu mjini
“Lukasiiiii!”
Selina aliachia alichokuwa kakishika mikono akaitupia kichwani akiwa haamini alichokisika,alikaa kitandani machozi yalikuwa yanamtoka!
“Sasa unaniacha na nani jamani?”
“Naondoka na wewe!”
“Lukasiiiiiii!”
Alishtuka Selina hakujua Lukas anaondoka naye kivipi?na wataondokaje na nani atawaruhusu?kichwani yalipita maswali mengi!
“Hutaki?”
“Siyo sitaki Lukas,tunaondokaje na nani ataturuhusu!”
“Hatuhitaji ruhusa ya mtu!”
“Lukasiiiii!unamaanisha tutoroke?”
JE NINI KITAENDELEA?SELINA ATAKUBALI ?NA VIPI MZIMU UMEONDOKA?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 52

Kila mzazi ana kipenzi chake kati ya wanae wote,atawapenda wote lakini yupo mmoja mzani utaelemea kwake!
Mzee Jomo alikuwa na mapenzi mazito juu ya binti yake wa mwisho ambaye ni Selina,na Lukas naye kajikuta kafanya mapenzi na familia nzima ila kwa Selina ndipo kaweka kituo!patamu hapo!
Selina ilimuwia ngumu kukubaliana na maneno ya Lukas,hakutaka kuamini kwamba ni yeye anataka kutoroka na mwanaume!
“Lukas mi siwezi!”
“Selina utaishi kijijini mpaka lini?mi mjini nina maisha mazuri,utakuwa mkewangu acha huku unanishea na dada yako Suzy!”
“Lukas mi naogopaaa!”,alisema Selina huku akilia!
“Usilie Selina mi nimekupenda na niko tayari kufanya kila kitu kwa ajili yako,tafadhali naomba ukubali kuondoka na mimi!”
Baada ya kubembeleza sana mwisho alikubali kishingo upande kuondoka na Lukas mjini,Lukas alifurahi sana akamuahidi baada ya siku mbili kila kitu kingekuwa tayari!
Baada ya kuachana na Selina alianza kufanya mpango wa nauli,hakuwa na njia nyingine zaidi ya kuuza ng’ombe za mzee Jomo!
Alitafuta mteja wa ng’ombe akampata dalali ambaye alimpa dili,kesho yake akiwa machungani dalali alikuja na mteja akawauzia ng’ombe wawili wakubwa ambao thamani yao ilikuwa zaidi hata ya milioni,lakini aliuza kwa laki tano tu!
Ilikuwa ni ngumu kujua ng’ombe wamepungua sababu zilikuwa ni nyingi sana,akawa tayari amepata nauli ya kwenda mjini!
Baada ya kuirudisha mifugo nyumbani alipumzika akapewa chakula akawa anakula,wakati anakula alishangaa kumuona mzee Jomo anakuja na begi lake!
Alipatwa na mshangao mkubwa sana akashindwa hata kula kabisa,hofu na wasiwasi vilimtawala!
“Babaaaaaaaaa!”,wanae walimpokea kwa furaha kubawa!
Mzee Jomo akaingia nyumbani kwake,akiamini kila kitu kiko sawaa hakujua alimkabidhi fisi bucha,na fisi kaitumia vizuri nafasi ile!
“Lukas!”,alimuita Lukas!
“Naam mzee shikamoo pole na safari!”
“Marahaba!vipi umeenda machungani?”
“Ndo nimefika si muda mrefu napoza njaa hapa karibu!”
“Safi sana!”
Mzee Jomo aliingia ndani na kumuacha Lukas anakula,kwa upande wake Lukas alikuwa na hofu kubwa sana!
Mambo aliyoyafanya yalimfanya ajishtukia na kushindwa kabisa kumtazama mzee Jomo machoni!
Wanasema mwizi akimuona askari huwa anajistukia hata kama askari ana mambo yake tu,anaweza kujikuta anakimbia tu!
Alipopata tu upenyo wa kuongea na Selina alimvutia pembeni akamuambia suala la kuondoka!
“Tunaondoka kesho!”
“Lukas!huoni ni hatari baba karudi!”
“Hatuwezi vuruga ratiba yetu!”
“Lukas tusubiri baba aondoke!”
“Hatuna muda kama huondoki sawa mi kesho hutoniona,kama unaondoka ujue unaamka usiku saa tisa utanikuta nakusubiri!”
Lukas aliondoka na kumuacha Selina kasimama akiwa njia panda,hakujua afanyaje?abaki na ndugu zake au akubali kuondoka na mgeni huyu ambaye ndiye aliyemuingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi!

Familia ya mzee Jomo ilikuwa na furaha sana siku ile,kawaida akirudi na zawadi kibao kutoka mjini,aliwapa zawadi zao wakafurahi sana!
Hakumsahau Lukas,alimletea suruali na shati jipya kabisa,hakujua kuwa anayemthamini katembea na familia nzima na kama haitoshi anataka kutoroka na mwanaye kipenzi Selina!
Usiku uliingia wakatawanyika Lukas akaingia kwenye makazi yake,alikuwa na mawazo sana kuhusu Selina!
“Itakuwaje hasipotoka,dah ila itabidi niondoke niliyoyafanya hapa yanatisha,huyu mzee ataniua!”
Usingizi ulimchukua akalala,lakini alikuja kushtuka akipapaswa usiku wa manane,alipoamka alimkuta Zahara ndiyo kamvamia usiku ule!
“Wewe unafanya nini?”,aliuliza Lukas kwa mshangao!
“Unajua nachotaka Lukas acha kujichetua,unataka Zubeda akufaidi peke yake,hujanipa siku nyingi nimeijia utamu wangu!”
“Zahara mi leo sijiskii utakuja kesho!”
“Yani kati ya vitu sitaki kuviskia ni huo upuuzi wako,ukitaka niondoke nipe hutaki nalala hapa Zubeda anikute mpaka asubuhi!”
“We unamuwaza Zubeda tu hujui kwamba mzee Jomo karudi”
“Afadhali tena akiona huyo atanipeleka kwa baba halafu baba atanileta unioe!”
“Unasemaje?”
Lukas alijua kabisa Zahara atamharibia mipango yake ya kuondoka!
JE LUKAS ATAFANYA NINI?ATAFANIKIWA KUONDOKA?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 53

Ulikuwa mtihani mkubwa sana kwa Lukas,kwake siku hiyo muda ulikuwa ni kitu muhimu kuliko vyote!
Zahara hakutaka kuelewa kabisa somo siku ile,alichotaka ni penzi la Lukas!licha ya kumkatalia sana lakini hakuelewa somo!
“Lukas we ongea vyote ila penzi utanipa ndiyo niondoke hapa!”
“Lakini nime…!”
Kabla hajamalizia kusema Zahara alimvamia na kuitoa bakora nje,Lukas hakuwa na namna,alichokifanya alimuacha Zahara afanye anachotaka!
“Zahara mi naumwa nakupa bao moja tu hapa kesho uje tutafanya vizuri!”
“Hayo ndiyo mambo sasa siyo nitoke usiku wote huu nirudi bila bao,huo ni ushamba!”
Lukas aliamua kufanya mapenzi na Zahara ili aondoke,alichokifanya ni kutumia staili zilizomchosha haraka Zahara!
Baada ya Zahara kuvunja dafu tatu tu alianza kuomba po!Lukas alipomaliza bao moja tu Zahara akavaa nguo zake!
“Nitarudi kesho umalizie bao zangu!”
Lukas hakuongea neno alimuacha Zahara akiondoka zake,aliona haukuwa muda wa kulala tena,alivaa zile nguo mpya alizoletewa na Mzee Jomo tayari kwa safari!
Kabla hata hajatoka nje alisikia sauti inamuita nje akajua pengine ni Zahara amerudi tena,akaisikiliza tena kwa makini!
“Lukas!Lukaas!”
Hakuamini alipotoka na kumkuta kipenzi chake Selina,ilikuwa bado kidogo tu amfumanie ila bahati ilikuwa upande wake,ni kama shetani alimlinda siku zote.
Kwa furaha ya kumuona Selina alimkumbatia kwa nguvu sana,hakuamini kama kweli Selina ameamua kuacha familia yake na kuongozana naye mjini!
“Selina siamini!”
“Nakupenda Lukas nimekubali kuiacha famili yangu sababu yako!”
“Naahidi nitakupenda daima mpenzi wangu!”
“Tuondoke Lukas baba huwa anatoka nje usiku!”
Hawakuwa na cha kubeba hata Selina alitoka na nguo alizovaa tu,safari ilianza huku Selina akiongoza njia!
Bahati nzuri walipata gari lililokuwa linapeleka mahindi mjini,wakapanda na kuendelea na safari walifika mjini na siku hiyo hiyo wakapata basi la alfajiri la kwenda Dar!
MGENI AKAWA KAONDOKA KIJIJINI!!
********
Mzee Mtata mambo yalikuwa si mambo tena,baada ya kufanikiwa kuwaaaminisha wanakijiji kuwa ameurudisha ule mzimu ulikotoka,alianza kuona mambo yanamwendea kombo!
Ile dawa yake ambayo mkewe mkubwa aliitupa ilimletea matatizo,sababu ilikuwa ni moja ya nguvu yake kubwa ya uchawi!
Ilikuwa inailinda misukule yake na pia iliwafanya hata maadui zake waogope kuingia kwenye ngome yake!
Kumbe siku ile baada ya kuutoa ule mzimu mbele za watu aliupeleka kilingeni kwake akiamini usiku unaofuata ataurudisha kaburini!
Kweli usiku uliingia mzee Mtata akafunga safari mpaka makaburini akafanya manyanga yake kaburi likafunguka na jeneza likatoka kama kawaida!
Tatizo likaja kwenye ule mzimu,aliuita uje lakini haukutokea,hali ile ilimchanganya sana Mzee Mtata!
Alijaribu mara kadhaa lakini hali bado ilikuwa ileile,mzimu haukutokea kabisa alipotaka kulirudisha lile kaburi kwenye hali yake liligoma pia kujifunga!
Mtata alichanganyikiwa kabisa kijasho kilimtoka,kila alichokifanya kaburi lilimzomea tu,muda ulizidi kwenda mpaka kukakaribia kukucha!
Hakuwa na namna alirudi nyumbani kwake na kuliacha kaburi lile wazi,moja kwa moja aliingia kilingeni alipongalia kwenye misukule yake aliuona ule mzimu umekaa umetulia hauna habari!
Aliuangalia kwan hasira lakini hakuwa na cha kuufanya maana ule ni mzimu siyo msukule wake!Alitoka nje kwa hasira akaanza kujiuliza imekuwaje hali ile inatokea?
Baada ya kuwaza sana aliingia ndani kwa mkewe mkubwa akachukua jembe Chiku akabaki kumshangaa!
“Mume wangu wapi na majembe usiku?”
Chiku hakujibiwa kitu,Mtata alitoka moja kwa moja mpaka alipofukia dawa yake ambayo ndiyo inabeba asilimia nyingi ya uchawi wake!
Alifika akachimba lakini kwa jinsi alivyokuwa anachimba aligundua mahari pale pamefukuliwa siku si nyingi,ardhi yake ilikuwa rahisi sana kuchimbika!
Alijipa moyo akaendelea kuchimba lakini hakuona kitu,hakutaka kuamini kuwa dawa yake haipo alichimba shimo refu sana lakini hakuona kitu!
Mtata alichanganyikiwa kabisa hakuamini kama dawa yake haipo,ile peke yake ndiyo ingemuwezesha kuurudisha mzimu kaburini!
Alijiuliza pengine labda alikosea sehemu siyo ile,kila akivuta hisia akili inamrudisha pale pale!
“Hapana ni hapa hapa,sasa imeenda wapi?oooh Maskini ntaadhilika hapa kijijini!”
Mzee mtata alirudi kilingeni akiwa na mawazo,usingizi haukuja alitamani kukuche awaite wake zake na kuwahoji juu ya wapi dawa yake ilipo!
Alikuwa na wasiwasi sana na mkewe mkubwa Chiku,sababu ndiyo msiri wake mkubwa na ndiye peke yake anayejua siri ya dawa ile ya mzee Mtata!
JE NINI KITAENDELEA?MZEE MTATA ATAFANYAJE AKIJUA CHIKU AMEITUPA ILE DAWA?


Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 54

Siku ile Mzee Mtata aliamka mapema akachukua kiti chake na kukaa nje karibu na jikoni kabisa akiwasubiri wake zake waamke!
Kwa alipokaa alikuwa anaona kila mlango wa nyumba za wake zake,katika hali ya kushangaza alimuona mkewe mdogo Vero akitoka mbio mbio ndani na kuanza kutapika kisha akarudi ndani bila kujua mumewe kamuona!
Hali ile ilimshangaza sana mzee Mtata kwa akili ya kikubwa alijua kabisa ile itakuwa mimba tu jambo ambalo hakutaka kuliamini sababu anajua kabisa hana uwezo wa kumpa mimba mwanamke yoyote duniani!
Akiwa kwenye hali ya kujiuliza alishangaa kuona mkewe mwingine ambaye ni Lolenza naye anatoka mbio akatapika na kurudi ndani!
“Hii ni nini?”,alijiuliza Mtata!
Hatimaye wake zake walitoka nje na kushangaa kumkuta mzee yule nje kakaa,mzee Mtata alimuita Chiku!
“Abee mumewangu”
“Naomba waite wenzako wote hapa nina kikao na nyinyi!”
“Sa..sawa mume wangu!”
Sauti ya Mtata ilimtia hofu sana Chiku,hakuongea kama kawaida alionekana ni mtu mwenye hasira sana!
Wake zake walikusanyika kwa pamoja wakakaa kumsikiliza ana nini cha kusema,alionekana amejaa sumu haswa!
“Nauliza hivi nani alichimba dawa yangu pale uwanjani,na aliipeleka wapi?”
Chiku alishtuka sana kusikia vile sababu ni yeye aliitupa ili wapate uhuru wa kufanya mapenzi na Lukas,sababu ile ilikuwa kama inampa machale mume wao!
“Chiku najua ni wewe peke yako unajua niliweka pale ile dawa nambie umeipeleka wapi?”
“Mi..mi…si..si..sjiui mume..!”
“Nyamazaaaa sitaki kusikia upumbavu hapa,nisubirini nije!”
Mzee mtata aliondoka akiwa na hasira akaingia kilingeni kwake,haikujulikana alifuata nini?Huku wake zake wakaanza kutupiana karata!
“Jamani mi simo,Chiku ndiyo uliitupa!”,alisema Vero!
“Hajitoi mtu hapa zilikuwa ni nyege zenu hakuna mtu kujitoa hapa!”,alisema Chiku!
Hakuna aliyejua Mzee Mtata kafuata nini ndani,walikaa kusubiri mpaka alipotoka alikuwa amebeba kinu!
“MUNGU WANGUU!”,Chiku alishtuka baada ya kuona kile kinu sababu alijua maana yake ni nini?
“Nini mbona unashtuka ni nini kwani?”
“Kinu cha kiapo kile tumekwishaaa!”
Mzee Mtata alirudi akiwa na kinu chake akakishusha chini,akamimina maji ndani ya kinu akachanganya na dawa kisha akaongea maneno yake!
Wakati anafanya yake alishangaa sana kumuona mkewe mwingine ambaye ni Tausi akiwa kashika ndimu analamaba muda wote!
Alimezea mate jambo lile akaendelea na jambo lake,alipomaliza kusema maneno yake alikaa huku chungu kikiwa katikati yao!
“Chiku nadhani unajua maana ya hiki kinu,kwa nyie wengine labda niwaambie tu kuwa hiki ni kinu cha kiapo,nitakuuliza kitu unatakiwa useme ukweli,ukitia mikono yako ndani ya hiki chungu kama umedanganya unakauka na kufa hapa hapa!”
“Nadhani mmenielewa,Vero simama ya juu!”
Mzee Mtata alimuamrisha mke wake mdogo asimame akafanya ivyo huku anatetemeka kwa hofu!
“Nadhani umenielewa ukweli wako ndiyo utakuweka hai aya nakuuliza je una mimba?”
Aliuliza swali ambalo lilikuwa nje kabisa na mada aliyokuwa ameianzisha,walibaki wameduwaa,hakuana aliyetegemea swali lile kabisa!
“Nijibu nina mambo mengi ya kufanya,una mimba!”
“Ndiyo!”
“Siyo mimba yangu si ndiyo?”
“Ni..ni…yako mume…!”
“Weka mikono humo usipoteze muda!”
Hapo ndipo palikuwa pagumu,Vero hakutaka kuweka mikono mzee Mtata akamuamsha mkewe Lolenza akasimama!
“Una mimba?”
“Ndiyo mume wangu”
“Kama ni yangu weka mikono kwenye kinu msiniletee mambo ya mzee Nyage na diamond hapa!”
Lole naye alishindwa kuweka mikono akaambiwa akae,akaamshwa Tausi naye alikuwa na mimba lakini hakutia mikono kwenye kinu!
Mpaka hapo ni wazi alijua kuwa wake zake wote wana mimba na siyo mimba zake,sababu hata yeye anajua hana uwezo wa kuzalisha!
Ilifika zamu ya Chiku ambaye aliulizwa swali tofauti na wenzake,Chiku alitetemeka kwan hofu!
“Nambie dawa yangu umeitupa wapi?kama hujaitupa tia mikono kwenye kinu!”
“Mume wangu na…nasema!”
“Ndiyo useme sasa!”
“Nili,,niliitupa!”
“Unasemaje wewe!!!”
ITAKUWAJE MZEE MTATA ATAFANYAJE?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 55

Mzee Mtata alihisi mapigo ya moyo wake yanaenda mbio sana,kijasho kilimtoka jazba na hasira zilimkaba!
“Umeitupia wapi!!!!?”
“Mtoni!”
“Hivi unajua umenimaliza?dah ivi iviiiii daaah!”
Mtata alikosa neno la kusema,alipatwa na kigugumizi,bora ingekuwa imetupwa hata vichakani angesema wakaitafute ila siyo mtoni!
Wake zake wote walikuwa wanamwaga machozi,lilikuwa ni jambo la aibu kwao kusimama mbele ya mume wake na kusema wana mimba lakini siyo zake!
“Kwanini uliitupa?ilikukera nini?”
Chiku hakusema kitu alilia kwa sauti mpaka kwikwi ikamshika,hakuweza kujibu swali la mumewe!
“Sema kabla sijakugeuza nyau hapaaa!’,alifoka akijua njia pekee ya kumpata mwanamke ni kumtia hofu!
“N..nananananasema babaanguaa nasema!”
Chiku kwa hofu alianza kueleza yote mwanzo mpaka mwisho jinsi ilivyokuwa hakuacha hata punje,na mwisho akamtaja Lukas!
“Lukasiiii!!!!”
Alisimama mzee Mtata akiwa haamini kabisa kama kijana aliyeamua kumtibu bure bila malipo na kumpa kinga dhidi ya uchawi wa aina yoyote ndiye aliyewajaza mimba wake zake!
Tiba ya Lukas ndiyo inamfanya saivi mzimu anamsumbua hataki kurudi kaburini,huku mkewe akiwa ametupa nguvu zake mtoni!
“Unamaanisha Lukas ndiyo kawapa mimba hawa !”
“Siyo hao tu na mimi pia nina mimba!”,alijibu Chiku!
“Niniiiiiiii!
Mtata alianguka presha ilipanda akapoteza fahamu na katika kuanguka kwake aliangukia kile kinu cha kiapo yale maji yakamwagikia miguuni,wake zake wakaanza kulaumiana!
“Unaona sasa tatizo umesema kila kitu!”
“Mlitaka nife acheni ujinga njooni tumbebe tumuingize ndani!’
Walimbeba mume wao wakamuingiza ndani akiwa hajitambui kabisa,hali ya mzee Mtata ilikuwa mbaya sana,kwa vile Chiku anajua baadhi ya amadawa akaanza kumtibia!tatizo alimwagikiwa na maji yale miguuni miguu yake ikapooza!

*********

Mzee Jomo aliamka akiwa hana hili wala lile ,alizunguka nyumba yake akapita zizini huku anapiga miluzi,mkononi kashika mswaki waake wa mti!
Alizunguka na kuridhika na mazingira ya nyumba yake,ndipo akafikiria kwenda kumuamsha Lukas maana alimuahidi kumfundisha baadhi ya madawa!
Taratibu akazipiga hatua zake mpaka kwenye kijumba ambacho Lukas amekuwa akiegesha mbavu zake tangu amkaribishe kijijini!
Alifika akagonga sana mlango akimuita Lukas lakini ukimya ulimpa mashaka sana,hakukuwa na muitikio ndipo akaamua kuingia ndani,alishangaa kukuta kitanda kikiwa kitupu!
“Huyu kijana kashakuwa mwenyeji sasa”
Alijisemea mzee Jomokisha akaendelea na mambo yake,hakuwa na wasiwasi aliaminikama ametoka basi hatokuwa mbali!
Suzy alishtuka baada ya kuamka na kumkosa Selina kitandani,kama kuna watu walikuwa wavivu kuamka mapema ni Selina,alijiuliza inakuwaje leo aamke mapema kiukweli alistaajabu sana!
Aliamua kupotezea akiamini pengine mdogo wake kaamua kubadilika,maana walishapiga kelele mpaka wakachoka!
Aliamka akamkuta baba yake nje akamsalimia kisha akaendelea na shughuli zake kama kawaida,ila kadri muda ulivyozidi kwenda ndivyo wasiwasi ulimjaa!

Mama Zubeda kama kawaida aliingia zizini kukamua maziwa,lakini kuna kitu kilimshangaza siku ile,alijisikia kichefuchefu sana akiwa anakamua maziwa hadi akatapika!
Ilibidi amuite Zubeda aje akamue yeye akashindwa kabisa kuendelea,hali ile ilimshangaza sana mzee Jomo ila akachukulia pengine ni homa za kawaida!
Selina ndiye alikuwa binti anayempenda kuliko mabinti zake wote,alimjua binti yake ni mvivu sana kuamka,hivyo alipoona mabinti zake wote wapo nje ila yeye hajaonekana akajua tu atakuwa amelala!
Alivumilia sana mwisho uvumilivu ukamshinda na muda ule hata Lukas naye alikuwa hajaonekana bado!
“Suzy ebhu kaniamshie huyo Selina analalaje mpaka saivi amekua sasa!”
Kauli ile ilimfanya Suzy aanze kuwaza upya ni wapi mdogo wake alipo,alimsogelea baba yake karibu!
“We sinimekwambia ukamwamshe mdogo wako?”
“Baba misijui hata nisemeje?”
“Usemeje ndiyonini?”
“Baba mimi nimeamka sijamkuta Selina kitandani?”
Mzee alisimama kichwa kilimzunguka,alijiuliza binti yake atakuwa ameenda wapi?Haraka akaiita familia yake yote!
“Nambieni Selina yuko wapi na kaanza lini hii tabia?”
“Mume wangu kwa kweli nayaona haya ni mageni kwa wengine naweza kukubali ila siyo kwa Selina hata mi sielewi!”
“Hayo siyo majibu nayotaka kusikia,nataka kusikia mnaniambia Selina alipo!”
“Baba labda kwa mgeni!”,Suzy alijikuta karopoka!
“Nini?umesema nini wewe?unamaanisha Lukas huyu au mwingine?”
Mzee Jomo kijasho kilimtoka akaanza kuunganisha matukio,Suzy alichafua hali ya hewa!

JE NINI KITAENDELEA?ZUBEDA ATAFANYAJE AKIGUNDUA LUKAS KAONDOKA NA MDOGO WAKE?


Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 56

Haliya hewa ilichafuka,Suzy aliyaibua yaliyojificha na kumfanya Mzee Jomo asimame akiwa amefura kwa hasira!
Suzy baada ya kuona daliliya kutokumuona mdogo wake alijua moja kwa moja atakuwa kwa Lukas,na ukizingatia kuwa jana yake aliwaona waliondoka uwanjani kabla hata shughuliya kuutoa mzimu haijaisha!
“Naomba uniambie kila kitu,unajua nini kuhusu Selina na Lukas?”
“Baba mi niliwafumania siku moja kwenye zizi wanafanya mambo ya ajabu,nikamkanya Selina akasema hatorudia lakini jana tulikuwa kwenye shughuli uwanjani kule,ila waliondoka kabla haijaisha,nikawafutailia wakaingia humo kwa Lukas!”
“Kwanini hukumwambia mamayako?”
“Baba nilitaka nikuambie asubuhi!”
“Baba Suzy muongo Lukas ni mchumba wangu,nilikuwa nakusubiri tu urudi nikuambie?”
“Paaaaa”
Mzee Jomo alishindwa kuvumilia alimtandika kofi zito Zubeda akaangukia pembeni akaanza kulia!
“Mama Zubedaaaa hivi ndivyo unavyolea mabinti zako?”
Mama Zubeda alikuwa analia na mengi,aliwaza mpaka hapo ameshea penzi na binti zake wawili Zubeda na Selina!
“Baba unanipiga bure tu Lukas ni mchumba wangu nampenda!”
“Nyamaza kenge wewe!”,alifoka mzee Jomo akaelekea kwenye kijumba cha Lukas akafanya ukaguzi akagundua Lukas katoka na kavaa nguo alizomletea jana!
Alitoka akiwa na hasira isiyoelezeka alizunguka kama chizi,Selina ni binti ambaye alikuja na neema mapema tu,mpaka hapo alikuwa anategemea mwanae ataolewa na tajiri mkubwa mjini,ambaye alishaonyesha nia ya kumtaka binti yake!
Walishaongea na kukubaliana kabisa ilikuwa mahari tu itoke japo hilo suala hakuwa amemshirikisha hata mkewe!
“Nawaambia kama Lukas kaondoka na Selina na nyie mnaondoka hapa!”
“Baba Zubeda kwani hayupo ndani!”
“Unauliza makofi polisi,watoto mpaka wanapelekwa mazizini eti wapo wanaishi na mama!”
Kilio cha mama Zubeda alilia akiwaza mpaka hapo ana mimba na Lukas kakimbia na mwanaye!
Mzee mtata alichukua baiskeli yake akawahi mpaka katikati ya kijiji huko akaiweka baiskeli kwa mtu akapata gari mpaka Sumbwanga mjini!
Aliangaza huku na kule lakinihakuambulia kitu ni wazi alikuwa amechelewa sana,mgeni kaondoka na mwenyeji wake,kamchukua kampeleka mjini!
Alichoka akatafuta sehemu akakaa kwanza akiwa hana hamu na Lukas,Lukas kampokonya dhahabu yake!
“Lukas nakuua,utakauka kama mti,utateketea kama mkaa,nitakufanya majivu!”,alisema kwa hasira mzee Jomo kisha akaanza safari ya kurudi kijijini!

Huku kila mtu alibaki ana sikitikia moyoni hakuna aliyekuwa nauwezo wakumwambia mwenzake,kila mtu alibaki na aibu yake!
Mama Zubeda alikuwa chumbani akiwaza mengi,kitendo cha kushea bakora na binti zake ilikuwa ni aibu kubwa sana kwake,kibaya zaidi Lukas hakumuacha hivi hivi kamuacha na ujauzito ambao anajua kabisa si wa mumewe!
“Lukas mbona hufananii na matendo yako,ivi kweli we ni wa kunichanganya na binti zangu!”,machozi yaliuosha uso wake siku ile!

Suzy licha ya kusema yale mbele ya baba yake kwa kuona wivu ila moyo ulimuuma sana,hasa alipogundua kuwa licha ya Lukas kufanya mapenzi na yeye na Selina pia alikuwa anatoka na Zubeda!
Aliumia kwa upande mwingine alitamani Selina angemshirikisha katika safari ile wakalifaidi wote penzi tamu la lukas!
“Lukas ivi wewe ni binadamu au mnyama?”,alijisemea akiwa haamini !

Kwa Zubeda yeye kilikuwa ni kilio tu kwa kwenda mbele,kati wanawake waliowahi kumpenda Lukas kupitiliza ni Zubeda,lakini ndiyo ivyo tena moyo Lukas ulikuwa kwa Selina!
Johari yeye hakuumia sana ila alikuwa anajicheka tu! Mpakawakati huo alikuwa hajui kabisa alilalaje na Lukas!
“Huyu kaka jamani au mchawi,yani nikamfuata nikavua nguo mwenyewe mmmmh!hapana hii siyo kawaida!”
Siku hiyo hakuna kazi iliyofanyika,hata chakula hakikulika kabisa,kila mtu alikuwa na majonzi yake!
Mifugo ililia zizini hakukuwa na mchungaji,kama walishindwa kujilisha wao wangewezaje kuwalisha wengine?
Mzee Jomo alirudi akiwa mpole tayari alijua kapoteza,alijuta kumkaribisha Lukas nyumbani kwake,kibaya zaidi hajui anaishi wapi?alimpokea kama msaada tu!
Aliikuta nyumba imekuwa kama imepatwa na msiba,tabasamu lilienda likizo kwa muda na haikujuikana litarudi lini!alitamani kujilaumu lakini hakuona alikosea wapi,anachoamini yeye alitenda wema kama binadamu wengine!
Akatamani kumlaumu mkewe lakini akakumbuka ile siku anampokea yule mgeni muharibifu mkewe alimzuia kabisa,yeye akalazimisha!
“Umeumia Lukas hii ni Sumbawanga,pole sana kijana!”

Siku ile ilipita kesho yake asubuhi na mapema mzee Jomo akapanda baiskeli mpaka kwa swahiba wake wa muda mrefu,naye si mwingine ni mzee Mtata!
Aliuamini uwezo wa Mzee Mtata alijua kwake ni jambo dogo sana,kiufupi alitaka kumfanyia Lukas michezo ya kiswahili ikibidi awe hata kipofu kabisa!
Alifika salama kwa Mzee Mtata lakini alichokutana nacho kilimkatisha tamaa,Mtata alikuwa hoi kitandani anaumwa hawezi kutembea!
“Mzee mwenzangu mbona kitandani?”,aliuliza mzee Jomo!
“Acha tu mzee mwenzangu,ninaumwa umwa ila niko sawa!”
“Kuna kazi nataka unifanyie utaweza kweli?”
“Kazi gani tena?”
Mzee Jomo hakumficha kitu alieleza kila kitu jinsi alivyompokea Lukas na mwisho kaondoka binti yake Selina!
“Umesema Lukas kaondoka na binti yako?”
“Ndiyo!”,mzee Mtata presha ilipanda ghafla hadi Mzee Jomo akashangaa!
“Mzee mwenzangu,mzee mwenzangu vipi tena?”
JE NINI KINAENDELEA?MZEE JOMO AKIJUA KUWA LUKAS KAWATIA MIMBA WAKE WA MGANGA WOTE ITAKUWAJE?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 57

Mzee Mtata hakuwa yule katili wa kuogopwa tena,alikuwa mdogo kama pilitoni,aliposikia jina la Lukas,hasira ilipanda na presha ikawa juu!
Machozi yalibisha hodi na hata kabla hajayaruhusu yalitoka kwa wingi,Mzee Jomo alimshangaa sana Mzee mwenzie,amemzoea ni mtu mwenye kiburi na majivuno,hakuwahi kufikiria kwamba kuna siku atatokwa na machozi mbele yake!
“Mzee mwenzangu nini tatizo!”
“Acha tu mzee mwenzangu!”
Bila kuficha kitu japo alijihisi aibu lakini aliamua kumueleza kila kitu mzee Jomo,jinsi alivyomkamata na kumleta kwake!Alieleza mengi sana kuhusu Lukas!
“Mzee Mtata kwa hiyo unamaanisha Lukas kawapa mimba wake zako wote?”
“Ndiyo!”
“Dah!hiki kitoto kumbe kishetani hivi!”
“Nakushauri mzee mwenzangu kaipime familia yako yote,yule kijana sidhani kama ametembea na binti zako wawili tu mpime hadi mkeo!”
“Mkewanguuu hapana hapo nakataaa!”
Mzee Mtata alimueleza jinsi mke wake alikuwa anakuja kwake akisema Lukas ni mdogo wake,kwahiyo ana wasiwasi pia na mkewe!
“Kama kamgusa mkewangu namuua namuua mende yule!”
“Humuwezi!”
“Unasema?”,aliuliza Mzee Joma kwa mshangao!
“Nasema humuwezi na hicho ndicho kinachoniuma mimi,yule kijana nilimuamini sana,kwa upendo niliokuwa nao kwake nilimpa kinga kali sana ambayo hata mimi nikitaka kumfanyia ubaya siwezi,muache tu!”
“Haiwezekeni nasema haiwezekani!”,aliondoka kwa hasira mzee Jomo na kumuacha Mtata anamuita bila mafanikio!

Alirudi kwake akachukua ndimu tatu akazikata kisha akachanaganya na madawa aliyoyajua yeye,alipomaliza aliita familia yake yote!
“Huyo mpuuzi kawatia mimba wake wa mzee Mtata wote,navyoongea na nyinyi hapa Mzee Mtata yuko hoi kitandani!”
“Siyo kweli baba siyo kweli Lukas wanamsi…!”
“Kimyaaa!mwanaizaya wewe!”
Zubeda alijaribu kumtetea Lukas lakini baba yake alimnyamazisha!
“Sasa nisikilizeni hapa,ninawapima mimba!”
Mama Zubeda alishtuka sana,kauli ya mume wake ilimfanya apate hofu kubwa sana,aliamua kujitetea mbele ya mume wake!
“Sasa baba Zubeda kwanini usiwapime watoto mimi mambo yao yananihusu nini?”
“Tena unyamaze Mtata kaniambia kila kitu!naomba mchukue ndimu hizo kila mtu alambe!”
Alisema lakini hakuna aliyeshika ndimu kila mtu alibaki kukodoa macho,mzee Jomo akasimama!
“Msinitanie kila mtu achukue ndimu hapo!”
Kwa hofu wote walichukua ndimu wakiwa wanatetemeka baada ya kulamba wakakaa kusubiri,ile ni dawa ambayo imechanganywa ili kama mtu ana mimba akilamba atahisi kichefuchefu na kutapika!
Johari ndiye alikuwa wa kwanza kutapika wote wakamshangaa,mzee Jomo alijiuliza ina maana na Johari ametembea na Lukas!
Wakati anajiuliza swali lile Suzy naye ngoma ikatiki akarudisha chenji wote wakashangaa ,maana yeye anasema aliwafumania Lukas na Selina!
“Wewe si ulisema umewafumania?”
Kabla hajajibu kitu alishangaa kumuona mkewe anarudisha chenji kumaanisha na yeye naye kitu kimetiki!
“Mamaaaaaaaaaaaaaaa!na wewe!”,binti zake waliuliza kwa mshangao!
Mzee Mtata aliingia ndani akatokana panga akasimama akiwaangalia,wote walikuwa wanatetemeka!
Ajabu Zubeda hakuwa na mimba alisubiliwa lakini hakukuwa na matokeo yoyote,jambo lile llimuuma sana akabaki kulia tu!
Mzee Jomo aliwauliza na wote walikiri kuwa mimba ni za Lukas,alitetemeka kwa hasira alihisi kujutia sana!
“LUKASIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII!!!!”
Alipiga kelele kubwa akiwa haamini kama Lukas ndiye kanmfanyia unyama ule,akiwa katika sintofahamu ghafla alikuja mgeni akiwa ameongozana na binti yake!
Hakuwa mwingine alikuwa ni mama Zahara na Zahara,alipofika tu hakuuliza moja kwa moja akauliza!
“Yuko wapi huyo klidume aliyemtia mimba binti yangui?”
“Kuna nini?”,aliuliza Mzee Jomo!
“Kuna kijana anaishi hapa anaitwa Lukas kamtia mimba binti yangu!”
Kauli ile ilimfanya Zubeda aanguke na kupoteza fahamu,shughuli ikawa imeishia pale!Mzee Jomo hakuwa na namna japo moyoni alisema atamfanya kitu kibaya Lukas!
Siku ile ilipita lakini kesho yake asubuhi walipoamka hawakumkuta Zubeda ,alikuwa ameacha ujumbe kuwa anaenda mjini kumtafuta Lukas!
“Lukas!Lukas!Lukas!”,alilia Mzee Jomo familia yake iligawanyika,mpaka hapo kapoteza binti zake wawili!
JE NINI KITAENDELEA?


Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 58

Kijiji kiliingia gharika,ule mzimu uliokamatwa na Mzee Mtata na kuwahakikishia kuwa hautorudi,ulirudi kwa kasi sasa ukawa unabaka watu mpaka mchana!
Mzimu ule ulikuja na nguvu kubwa sana,safari hii hii ulikuwa unabaka na kupotea,wanakijiji waliogopa hata kutembea hasa mabinti na wanawake!
Siyo ivyo tu misukule nayo ilionekana mara kwa mara ikikatiza mitaani,walionekana hata watu waliosadikika kufa zamani ambo kumbe walikuwa wamechukuliwa na mzee Mtata!
Kucha zao zilikuwa ndefu na nywele zao pia,kiufupi walikuwa wanatisha sana,hawakuwa wakiongea wengine walikuwa wamekatwa ulimi na wengine walikuwa wana ndimi ila zilikuwa nzito kuongea!
Viongozi walifunga safari mpaka kwa mzee Mtata hili wakamuulize imekuwaje mzimu umerudi na kingine ile misukule imetokea wapi?
Walipofika walishangaa kukuta mazingira ya nyumba yakiwa yamebadilika kila kitu kilikuwa ovyo ovyo tu,ng’ombe walikuwa wamekufa na mbuzi pia,wake wa mzee Mtata hawakuonekana!
Inasemekana walikimbia baada ya kuona misukule imetoka na inaanza kufanya fujo,ule mzimu pia ulianza kuwabaka hata wao!
Mazingira ya nyumba yaliwatisha viongozi lakini walijikaza wakaingia kilingeni ambako hawakuamini walimkuta mzee Mtata kafariki siku nyingi mpaka kaoza,pembeni yake ulikuwaa umekaa ule mzimu ila ulipowaona ukapotea!
Viongozi walitoka mbio baada ya kuona tukio lile,hawakuwa na namna mdaiwa wao alikuwa amekufa!
Hata ng’ombe walizompa walizikuta zimekufa zote na mbuzi,ilibidi wakakae upya kutafakari hatima ya kijiji chao ambacho sasa kila kona ni misukule na ule mzimu ulishika kasi!
Baada ya kutafakari sana walimtafuta mganga nguli kutoka kijiji cha jirani ili aje awasaidie kufanya ile kazi arudishe amani kijijini!
Alikuja nguli kutoka kijiji cha jirani ambaye alipofika tu aliitisha kikao cha wanakijiji wote wakakusanyika!
Alifanya manyanga yake mwisho akaamrisha aitwe mtu anayeitwa mzee Jomo,watu walishangaa sana!
Mzee Jomo alikuwa nyumbani na mawazo yake akafuatwa na sungusungu wa kijiji na kupelekwa mpaka kwenye ule umati!
Hakuwa anajua chochote kuhusu wito ule alibaki kushangaa,Mganga alipomuona tu alisema!
“Matatizo yote yameanzia kwa huyu mzee!”
Wanakijiji walishangaa sana na kubaki kuulizana imekuwaje mzee Jomo anahusikaje na mzimu ule,hata mzee Jomo alibaki kushangaa tu!
“Najua mnashangaa ila huyu mzee kuna mgeni alimkaribisha kwake,mzee uongo kweli?”
Kidogo sasa mzee Jomo akaanza kuelewa alitingisha kichwa kuashiria ni kweli alimkaribisha mgeni ,japo mpaka hapo hajui mgeni yule anahusikaje na ule mzimu!
Alipewa nafasi aelezee kilichotokea mpaka akamakaribisha mgeni nyumbani kwake,alisimama kwa masikitiko makubwa sana!
Kwanza aliwataka radhi wanakijiji kisha akahadithia jinsi alivyokutana na mgeni yule na kumpa hifadhi nyumbani kwake!
Alielezea yote kila kitu mpaka alivyotoroka na mwanaye na kuacha amewatia mimba binti zake wawili,ila hakumtaja mkewe!
Bila kuficha alieleza pia kuwa mgeni aliwatia mimba wake wote wa mzee Mtata hadi kupelekea akapata presha iliyomlaza kitandani na kuuchukua uhai wake!
Wanakijiji walishika kichwa walitamani sana kumjua huyo mgeni shujaa aliyeingia kwa mzee Mtata na kuwajaza mimba wake zake wote!
Waliona ni mtu wa ajabu sana,baada ya kumaliza kuongea aliomba radhi tena huku analia machozi,aliumia kuona kumbe mgeni ndiye amesababisha mambo ya mizimu kuja kijijini!
Mganga alisimama na kuanza kuelezea chanzo sasa rasmi kilichopelekea mzee Mtata autoe mzimu kaburini!
Wanakijiji walishangaa kusikia kuwa mgeni alilala kaburini siku tatu ili aweze kurudi mjini,ila mganga alisema pia mzee Mtata alipoteza nguvu nyingi kumpatia kinga mgeni yule ambayo amekufa akijutia mapa leo!
Kila kilichoongewa kilikuwa kama ndoto au filamu fulani iliyoigizwa na waigizaji mahiri sana duniani!
Baada ya hapo yule mganga alifanya manyanga yake na kuutoa hadharani ule mzimu,wanakijiji walitaka kuushambulia lakini akawazuia!
Baada ya hapo akaongozana na wanakijiji mpaka makaburini huko akafika mpaka kaburini ulipotoka!
Walishangaa kukuta kaburi liko wazi na jeneza liko wazi juu likiwa limechakaa sababu ni la zamani sana!
Mganga alifanya yake mzimu ukakubali kuingia kwenye jeneza na kisha akaurudisha kaburini,kanuri likafukiwa,wanakijiji ili kuhakikisha hautokuja tena kutokea waliufukia kwa mawe na kokoto nyingi sana!
Amani ikarejea kijijini tena mganga yule aliiondoa misukule haikuonekana kabisa amani ilirejea kama zamani!
Ndipo hapo likatolewa tamko kubwa kuhusu wageni kuingia ndani ya kijiji hiko,na hapo ndipo chuki dhidi ya wageni ilianzishwa rasmi!
Wageni hawakukaribishwa tena vizuri katika kijiji kile,ukipata mgeni unaenda kumtambulisha kwa mjumbe kwanza na unaulizwa anakaa siku ngapi?
JE NINI KITAENDELEA?USIKOSEEEE!


Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 59

Mzee Jomo alianza kuhangaika huku na kule akitafuta dawa ya kumfanyia ubaya Lukas,lakini kila alipoenda aliambiwa haiwezekani na wengine wakamtapeli tu!
Aliuza mpaka ng;ombe zake akasafiri mpaka Nigeria lakini hakuambulia kitu,kinga aliyoweka mzee Mtata ilikuwa kiboko!
Hatimaye mkewe alijifungua na binti zake wakajifungua pia,watoto ambao ukiwaona unasema huyu ni Lukas mtupu!
Hali ile ilimchefua zaidi mzee yule ambaye aliongeza juhudi za kutaka kumfanyia ubaya Lukas ambaye zote ziligonga mwamba!
Mzee Jomo hakula kwa amani,alikonda kwa mawazo na huzuni,miaka ikakatika watoto wakawa wanakuwa na kibaya walichukua sura ya baba yao mtupu!
Mawazo hayakumuacha salama Mzee Mtata alifariki miaka mitano baadae, na kumuacha mkewe akiwa analea familia!
Wake wa mzee Mtata waliondoka na kwenda kuishi kijiji cha jirani,ambako wengine walishaolewa huku kila mtu akiwa na chata ya Lukas!
Miaka kumi sasa imepita siyo Lukas,Selina wala Zubeda walioonekana kijijini,hakuna aliyewaona wala kupata tetesi za wapi walipo!
Historia ya mgeni ikawa imeishia hapo,mgeni alikuja mwenyewe kaondoka na watu wawili,hakuja na mtoto lakini kaacha watoto!
Mgeni kamuua shujaa wa kijiji hiki aliyeogopwa mpaka na sisimizi,mgeni kamuua mzee Jomo kabla hata ya siku zake!
Mgeni kafufua mizimu,mgeni kaleta mizimu mgeni kaleta taharuki,ni nani atampenda mgeni tena katika kijiji hiki?Nani atamkaribisha mtu hasiyemjua tena katika kijiji hiki?nani?nani atamuamini tena mgeni katika kijiji hiki!Hakuna hakuna hakuna!
MGENI ALISHUSHA THAMANI YA WAGENI KATIKA KIJIJI CHETU,VIJIJI VINGINE WANAFURAHI WAKIPATA WAGENI LAKINI HAPA MGENI ANATOA KUMBUKUMBU MBOVU SANA ILIYOWAHI KUTOKEA!

**************


“EFUUUUUUUUUUUUHHHHHHH!”
Nilishusha pumzi ndefu sana,hakika ilikuwa ni simulizi yenye kusisimua na kusikitisha sana,hata mimi nilikubali kwa namna ile ni haki wageni tuchukiwe!
“Ndiyo hivyo kaka!”
“Aiseeh poleni sana!”
“Tulishapoa ila ndo ivyo hatupendi wageni!”
“Kwahiyo na mimi unanichukia?”
“Kidogo maana umeonyesha utofauti!”
“lakini hujaniambia mwanzo kabisa ulisema ulimpoteza dada yako kisa mgeni!”
“Zahara alikuwa dada yangu,alifariki akijifungua yeye pamoja na mtoto!”
“Dah pole sana!”
Wakati tukiwa pale tunajadili walipita watoto watatu wanacheza ndipo Regina akanishtua!
“Eeeh unamuona yule mtoto?”
“Ndiyo!”
“Sasa yule mtoto wa Johari yule aliyekuwa anamchukia mgeni basi unaambiwa ndo kaizaa kopi yake yani ukimuona huyo wanasema ni sawa na Lukas kabisa kwa wanaomjua!”
“Ebhu muite!”
“Unataka ufanyeje?”
“We muite tu!”
Regina alimuita yule mtoto alipofika akatusalimia kisha nikachukua simu yangu nikampiga picha kama tatu hivi!
“Sasa mbona umempiga picha?”
“Aaah nimependa tu!”

Kiukweli nilikuwa sina sababu ya kubaki kijijini sababu nilikuwa nimemaliza utafiti wangu kwa asilimia zote,mbali na utafiti wangu lakini pia mbali na utafiti nilipata story nzuri ambayo nina uhakika itapendwa sana na wengi!
Niliomba nipelekwe kwa mama Zubeda wakafanya ivyo,haikuwa rahisi lakini kutokana na kwamba niliwaambia nataka niwasaidie kuwatafuta binti zao yaani Selina na Zubeda walikubali nikaongea nao kisha nikawapiga picha ya pamoja na picha moja moja!
Niliaga nikaondoka kijijini huku Regina akionekana kuhuzunika sana,hata mzee wake aliumia akinisihi nibaki lakini sikukubali!
Niliondoka nikiwaahidi kuwa nitarudi na Selina,Zubeda na pia nitamleta Lukas aje aombe msamaha kwa kijiji ili wageni tupokelewe tena kijijini!
Nilipanda gari asubuhi na mapema na kuanza safari ya kurejea Dar,safari yangu ilitawaliwa na tabasamu pana kwa kupata simulizi nzuri!
Lakini kichwani nilitamani kuyajua maisha ya Lukas baada ya kurudi mjini,je ni kweli wabaya wake walimsamehe au mzee Mtata alimuingiza choo cha kike!
Nilifika nikapumzika wiki nzima kisha nikachukua ile picha ya yule mtoto wa Lukas nikaitoa kisha nikamtafuta mchoraji hodari na maarufu sana kwa jina la Masoud Kipanya!
“Mdogo wangu mambo vipi?”
“Safi kaka shikamoo!”
“Ahh unaniona mzee,nilishakukataza kunizeesha nambie vipi hatuonani?”
“Kaka Masoud nina shida!”
“Ipi tena!”
“Nina picha hapa”,nilimpa ile picha akaiangalia kisha nikamuambia!”
“Kaka nataka iyo picha unichoree lakini huyo mtoto akiwa mtu mzima,yani uvute taswira huyo dogo akiwa mtu mzima atafananaje najua unaelewa cha kufanya we mzoefu!’
Nilimuelezea Masoud kwanini naitaka ile picha akakubali kunifanyia,baada ya wiki moja aliniita na kunikabidhi picha tatu zikiwa tofauti nyingine zina ndevu nyingine hazina!
Nilizichukua zile picha nikarudi nyumbani nikazihifadhi,nilitamani sana kumpata Lukas ili anipe stori yake na Selina mjini!
Bado namtafuta na hakika nikimpata nawaahidi nitawaletea simulizi nyingine ya Lukas kama season ya pili ya hadithi hii!
Bado nina shauku ya kumjua Lukas kiundani,nataka nimjue aliishije baada ya kutoka kijijini?

Nawashukuru sana kwa kuwa pamoja unaweza kutoa maoni yako kuhusu simulizi hii,mwisho wa hadithi hii ni mwanzo wa hadithi nyingine!TUTEGEMEE SEASON TWO KAMA NIKIMPATA NDUGU YETU LUKAS!


MWISHOOOOOOOOO**********
JACK MAMBO THE KING OF STORIES****
Stor iko vizur sanaa, japo kuna sehem umemchanganya sana mzee jomo na mzee mtata
 
Ama kwa hakika story hii ilikuwa tamu Sana,ahsante kiongozi,Nini alikifanya Lucas mjini mpaka akakimbilia kijijini?
 
Hii story imenimalizia bia nyingi sana pongezi nyingi
Sema mzee mtata kafanyiwa mambo ya mzee nyange
 
nimeusoma kwa juhudi zote nikitegemea nitakuta kipande mama zubeda akipelekwa kwa mpalange na mzee mtata
umenikatili sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom