Chombezo: Bao tatu za mgeni!

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 51

Shauku ilikuwa kubwa sana kwa wanakijiji,kuna waliobakiwa wake zao pia binti zao!kijiji kilikuwa na hasira sana!
Mzee Mtata alisimama kabla hajamleta hadharani alitaka kutoa onyo kwa wanakijiji wale ambo walionyesha hasira za waziwazi!
“Jamani mnataka nimtoee?”
“Ndiyooooo!”,waliitikia kwa pamoja!
“Mnata mumuone mchumba wenuuuu?”,alitania lakini hapo wanakijiji walikaa kimya!
“Hahahahahhaha!natania jamani!sasa nisikilizeni namtoa hadharani anayesumbua kijiji hiki,lakini chonde msimguse wala kumpiga,atakayemgusa ajue atakuwa anatembelewa kila siku na huyu mgeni awe mwanaume au mwanamke!”
Mzee Mtata ilibidi awatishe maana walikuwa na hasira za wazi wazi kabisa,baada ya kusikia vile wanakijiji waliogopa sana!
“Jamani tumeelewanaaaa!”
“Ndiyooooo!”
“Hamtamgusaaaaa?”
“Ndiyooooo!”
“Shauri yake atakayemgusa sitamtibia!”
Baada ya kutoa vitisho Mzee Mtata alichora duara kubwa kwa majivu kisha akaweka dawa zake akachukua kibuyu chake akaweka maji mdomoni na kuanza kuyapuliza juu!
Alipomaliza alianza kuuita ule mzimu ambao ghafla ulitokea kwenye lile duara huku unatetemeka na kuzunguka ndani ya ile duara!
Wanakijiji walipigwa na butwaa,kilikuwa kiumbe kinachotisha sana,wanawake waliokuwa wamehisi kufanya mapenzi na kile kiumbe walipatwa kichefuchefu wengine hadi wakatapika!
“Mmemuona eeh,ndiyo huyuuu!sasa namrudisha alipotoka hamtamuona tena kijijini,mimi ndiyo mzee Mtataaa!”,alisema huku anajipiga kifuani!
“OYOOOOOOOOOHH!”,wanakijiji walipiga kelele kumshangilia mzee huyu waliyemuona kama mkombozi wao,bila kujua kuwa ndiye mkandarasi wa kila kitu!
Lukas pekee ndiye alikuwa anaujua mchezo ule,alijua ni maigizo tu hakuna chochote pale,pembeni yake alikuwa na Selina
Alimshika mkono Selina akatoka naye pembeni,Selina alimshangaa Lukas kwa kumtoa pale uwanjani!
“Unanipeleka wapi?”,alihoji Selina!
“Nyumbani!”
Hakuwa na jinsi binti yule waliondoka mpaka nyumbani,moja kwa moja akaingia naye kwenye kijumba chake,Selina ilikuwa ni mara yake ya kwanza kuingia mle ndani!
Lukas hakuwa na subira alianza kumpapasa Selina ambaye si muda alilegea na muda mfupi baadaye wakawa watupu tayari kwa kuvunja chaga!
********

Huku kwa mzee Mtata alifanya manyanga yake na mwisho akaufanya ule mzimu ukapotea mbele za macho ya watu!
Ni yeye pekee alijua ulipoenda,wanakijiji walimshangilia na kumpa zawadi mbali mbali huku viongozi wakimkabidhi ng’ombe zake kumi pamoja na mbuzi wake watano!
Ilikuwa ni sherehe kubwa kumuondoa aliyewanyima amani kijijini,waliamini sasa watalala kwa amani!
Mzee Mtata alipomaliza kazi yake aliondoka na kurejea kwake,wake zake walimpokea kishujaa na kumsifia kwa kufanikiwa kuudhibiti mzimu!
Mzee Mtata hakuwa na hofu na ngvu zake kupungua,alijua kila kitu kiko sawa bila kujua dawa yake ambayo iebeba nusu ya nguvu zake imetupwa,na kadri anacvyotumia nguvu alizonanzo sasa zinazidi kupungua!
*********
Lukas na Selina walienda mzunguko mmoja tu wakatulia,hawakuwa na muda sababu muda wowote ule wengine wangerudi kutoka uwanjani!
“Selina mi nataka kuondoka hapa kijijini!”
Kauli ya Lukas ilimshtua sana Selina ambaye alijikuta anaacha kuvaa nguo zake kwanza amsikilize!
“Unasema!!!!?”
“Naondoka!”
“Unaenda wapi?”
“Narudi zangu mjini
“Lukasiiiii!”
Selina aliachia alichokuwa kakishika mikono akaitupia kichwani akiwa haamini alichokisika,alikaa kitandani machozi yalikuwa yanamtoka!
“Sasa unaniacha na nani jamani?”
“Naondoka na wewe!”
“Lukasiiiiiii!”
Alishtuka Selina hakujua Lukas anaondoka naye kivipi?na wataondokaje na nani atawaruhusu?kichwani yalipita maswali mengi!
“Hutaki?”
“Siyo sitaki Lukas,tunaondokaje na nani ataturuhusu!”
“Hatuhitaji ruhusa ya mtu!”
“Lukasiiiii!unamaanisha tutoroke?”
JE NINI KITAENDELEA?SELINA ATAKUBALI ?NA VIPI MZIMU UMEONDOKA?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 52

Kila mzazi ana kipenzi chake kati ya wanae wote,atawapenda wote lakini yupo mmoja mzani utaelemea kwake!
Mzee Jomo alikuwa na mapenzi mazito juu ya binti yake wa mwisho ambaye ni Selina,na Lukas naye kajikuta kafanya mapenzi na familia nzima ila kwa Selina ndipo kaweka kituo!patamu hapo!
Selina ilimuwia ngumu kukubaliana na maneno ya Lukas,hakutaka kuamini kwamba ni yeye anataka kutoroka na mwanaume!
“Lukas mi siwezi!”
“Selina utaishi kijijini mpaka lini?mi mjini nina maisha mazuri,utakuwa mkewangu acha huku unanishea na dada yako Suzy!”
“Lukas mi naogopaaa!”,alisema Selina huku akilia!
“Usilie Selina mi nimekupenda na niko tayari kufanya kila kitu kwa ajili yako,tafadhali naomba ukubali kuondoka na mimi!”
Baada ya kubembeleza sana mwisho alikubali kishingo upande kuondoka na Lukas mjini,Lukas alifurahi sana akamuahidi baada ya siku mbili kila kitu kingekuwa tayari!
Baada ya kuachana na Selina alianza kufanya mpango wa nauli,hakuwa na njia nyingine zaidi ya kuuza ng’ombe za mzee Jomo!
Alitafuta mteja wa ng’ombe akampata dalali ambaye alimpa dili,kesho yake akiwa machungani dalali alikuja na mteja akawauzia ng’ombe wawili wakubwa ambao thamani yao ilikuwa zaidi hata ya milioni,lakini aliuza kwa laki tano tu!
Ilikuwa ni ngumu kujua ng’ombe wamepungua sababu zilikuwa ni nyingi sana,akawa tayari amepata nauli ya kwenda mjini!
Baada ya kuirudisha mifugo nyumbani alipumzika akapewa chakula akawa anakula,wakati anakula alishangaa kumuona mzee Jomo anakuja na begi lake!
Alipatwa na mshangao mkubwa sana akashindwa hata kula kabisa,hofu na wasiwasi vilimtawala!
“Babaaaaaaaaa!”,wanae walimpokea kwa furaha kubawa!
Mzee Jomo akaingia nyumbani kwake,akiamini kila kitu kiko sawaa hakujua alimkabidhi fisi bucha,na fisi kaitumia vizuri nafasi ile!
“Lukas!”,alimuita Lukas!
“Naam mzee shikamoo pole na safari!”
“Marahaba!vipi umeenda machungani?”
“Ndo nimefika si muda mrefu napoza njaa hapa karibu!”
“Safi sana!”
Mzee Jomo aliingia ndani na kumuacha Lukas anakula,kwa upande wake Lukas alikuwa na hofu kubwa sana!
Mambo aliyoyafanya yalimfanya ajishtukia na kushindwa kabisa kumtazama mzee Jomo machoni!
Wanasema mwizi akimuona askari huwa anajistukia hata kama askari ana mambo yake tu,anaweza kujikuta anakimbia tu!
Alipopata tu upenyo wa kuongea na Selina alimvutia pembeni akamuambia suala la kuondoka!
“Tunaondoka kesho!”
“Lukas!huoni ni hatari baba karudi!”
“Hatuwezi vuruga ratiba yetu!”
“Lukas tusubiri baba aondoke!”
“Hatuna muda kama huondoki sawa mi kesho hutoniona,kama unaondoka ujue unaamka usiku saa tisa utanikuta nakusubiri!”
Lukas aliondoka na kumuacha Selina kasimama akiwa njia panda,hakujua afanyaje?abaki na ndugu zake au akubali kuondoka na mgeni huyu ambaye ndiye aliyemuingiza kwenye ulimwengu wa mapenzi!

Familia ya mzee Jomo ilikuwa na furaha sana siku ile,kawaida akirudi na zawadi kibao kutoka mjini,aliwapa zawadi zao wakafurahi sana!
Hakumsahau Lukas,alimletea suruali na shati jipya kabisa,hakujua kuwa anayemthamini katembea na familia nzima na kama haitoshi anataka kutoroka na mwanaye kipenzi Selina!
Usiku uliingia wakatawanyika Lukas akaingia kwenye makazi yake,alikuwa na mawazo sana kuhusu Selina!
“Itakuwaje hasipotoka,dah ila itabidi niondoke niliyoyafanya hapa yanatisha,huyu mzee ataniua!”
Usingizi ulimchukua akalala,lakini alikuja kushtuka akipapaswa usiku wa manane,alipoamka alimkuta Zahara ndiyo kamvamia usiku ule!
“Wewe unafanya nini?”,aliuliza Lukas kwa mshangao!
“Unajua nachotaka Lukas acha kujichetua,unataka Zubeda akufaidi peke yake,hujanipa siku nyingi nimeijia utamu wangu!”
“Zahara mi leo sijiskii utakuja kesho!”
“Yani kati ya vitu sitaki kuviskia ni huo upuuzi wako,ukitaka niondoke nipe hutaki nalala hapa Zubeda anikute mpaka asubuhi!”
“We unamuwaza Zubeda tu hujui kwamba mzee Jomo karudi”
“Afadhali tena akiona huyo atanipeleka kwa baba halafu baba atanileta unioe!”
“Unasemaje?”
Lukas alijua kabisa Zahara atamharibia mipango yake ya kuondoka!
JE LUKAS ATAFANYA NINI?ATAFANIKIWA KUONDOKA?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 53

Ulikuwa mtihani mkubwa sana kwa Lukas,kwake siku hiyo muda ulikuwa ni kitu muhimu kuliko vyote!
Zahara hakutaka kuelewa kabisa somo siku ile,alichotaka ni penzi la Lukas!licha ya kumkatalia sana lakini hakuelewa somo!
“Lukas we ongea vyote ila penzi utanipa ndiyo niondoke hapa!”
“Lakini nime…!”
Kabla hajamalizia kusema Zahara alimvamia na kuitoa bakora nje,Lukas hakuwa na namna,alichokifanya alimuacha Zahara afanye anachotaka!
“Zahara mi naumwa nakupa bao moja tu hapa kesho uje tutafanya vizuri!”
“Hayo ndiyo mambo sasa siyo nitoke usiku wote huu nirudi bila bao,huo ni ushamba!”
Lukas aliamua kufanya mapenzi na Zahara ili aondoke,alichokifanya ni kutumia staili zilizomchosha haraka Zahara!
Baada ya Zahara kuvunja dafu tatu tu alianza kuomba po!Lukas alipomaliza bao moja tu Zahara akavaa nguo zake!
“Nitarudi kesho umalizie bao zangu!”
Lukas hakuongea neno alimuacha Zahara akiondoka zake,aliona haukuwa muda wa kulala tena,alivaa zile nguo mpya alizoletewa na Mzee Jomo tayari kwa safari!
Kabla hata hajatoka nje alisikia sauti inamuita nje akajua pengine ni Zahara amerudi tena,akaisikiliza tena kwa makini!
“Lukas!Lukaas!”
Hakuamini alipotoka na kumkuta kipenzi chake Selina,ilikuwa bado kidogo tu amfumanie ila bahati ilikuwa upande wake,ni kama shetani alimlinda siku zote.
Kwa furaha ya kumuona Selina alimkumbatia kwa nguvu sana,hakuamini kama kweli Selina ameamua kuacha familia yake na kuongozana naye mjini!
“Selina siamini!”
“Nakupenda Lukas nimekubali kuiacha famili yangu sababu yako!”
“Naahidi nitakupenda daima mpenzi wangu!”
“Tuondoke Lukas baba huwa anatoka nje usiku!”
Hawakuwa na cha kubeba hata Selina alitoka na nguo alizovaa tu,safari ilianza huku Selina akiongoza njia!
Bahati nzuri walipata gari lililokuwa linapeleka mahindi mjini,wakapanda na kuendelea na safari walifika mjini na siku hiyo hiyo wakapata basi la alfajiri la kwenda Dar!
MGENI AKAWA KAONDOKA KIJIJINI!!
********
Mzee Mtata mambo yalikuwa si mambo tena,baada ya kufanikiwa kuwaaaminisha wanakijiji kuwa ameurudisha ule mzimu ulikotoka,alianza kuona mambo yanamwendea kombo!
Ile dawa yake ambayo mkewe mkubwa aliitupa ilimletea matatizo,sababu ilikuwa ni moja ya nguvu yake kubwa ya uchawi!
Ilikuwa inailinda misukule yake na pia iliwafanya hata maadui zake waogope kuingia kwenye ngome yake!
Kumbe siku ile baada ya kuutoa ule mzimu mbele za watu aliupeleka kilingeni kwake akiamini usiku unaofuata ataurudisha kaburini!
Kweli usiku uliingia mzee Mtata akafunga safari mpaka makaburini akafanya manyanga yake kaburi likafunguka na jeneza likatoka kama kawaida!
Tatizo likaja kwenye ule mzimu,aliuita uje lakini haukutokea,hali ile ilimchanganya sana Mzee Mtata!
Alijaribu mara kadhaa lakini hali bado ilikuwa ileile,mzimu haukutokea kabisa alipotaka kulirudisha lile kaburi kwenye hali yake liligoma pia kujifunga!
Mtata alichanganyikiwa kabisa kijasho kilimtoka,kila alichokifanya kaburi lilimzomea tu,muda ulizidi kwenda mpaka kukakaribia kukucha!
Hakuwa na namna alirudi nyumbani kwake na kuliacha kaburi lile wazi,moja kwa moja aliingia kilingeni alipongalia kwenye misukule yake aliuona ule mzimu umekaa umetulia hauna habari!
Aliuangalia kwan hasira lakini hakuwa na cha kuufanya maana ule ni mzimu siyo msukule wake!Alitoka nje kwa hasira akaanza kujiuliza imekuwaje hali ile inatokea?
Baada ya kuwaza sana aliingia ndani kwa mkewe mkubwa akachukua jembe Chiku akabaki kumshangaa!
“Mume wangu wapi na majembe usiku?”
Chiku hakujibiwa kitu,Mtata alitoka moja kwa moja mpaka alipofukia dawa yake ambayo ndiyo inabeba asilimia nyingi ya uchawi wake!
Alifika akachimba lakini kwa jinsi alivyokuwa anachimba aligundua mahari pale pamefukuliwa siku si nyingi,ardhi yake ilikuwa rahisi sana kuchimbika!
Alijipa moyo akaendelea kuchimba lakini hakuona kitu,hakutaka kuamini kuwa dawa yake haipo alichimba shimo refu sana lakini hakuona kitu!
Mtata alichanganyikiwa kabisa hakuamini kama dawa yake haipo,ile peke yake ndiyo ingemuwezesha kuurudisha mzimu kaburini!
Alijiuliza pengine labda alikosea sehemu siyo ile,kila akivuta hisia akili inamrudisha pale pale!
“Hapana ni hapa hapa,sasa imeenda wapi?oooh Maskini ntaadhilika hapa kijijini!”
Mzee mtata alirudi kilingeni akiwa na mawazo,usingizi haukuja alitamani kukuche awaite wake zake na kuwahoji juu ya wapi dawa yake ilipo!
Alikuwa na wasiwasi sana na mkewe mkubwa Chiku,sababu ndiyo msiri wake mkubwa na ndiye peke yake anayejua siri ya dawa ile ya mzee Mtata!
JE NINI KITAENDELEA?MZEE MTATA ATAFANYAJE AKIJUA CHIKU AMEITUPA ILE DAWA?


Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 54

Siku ile Mzee Mtata aliamka mapema akachukua kiti chake na kukaa nje karibu na jikoni kabisa akiwasubiri wake zake waamke!
Kwa alipokaa alikuwa anaona kila mlango wa nyumba za wake zake,katika hali ya kushangaza alimuona mkewe mdogo Vero akitoka mbio mbio ndani na kuanza kutapika kisha akarudi ndani bila kujua mumewe kamuona!
Hali ile ilimshangaza sana mzee Mtata kwa akili ya kikubwa alijua kabisa ile itakuwa mimba tu jambo ambalo hakutaka kuliamini sababu anajua kabisa hana uwezo wa kumpa mimba mwanamke yoyote duniani!
Akiwa kwenye hali ya kujiuliza alishangaa kuona mkewe mwingine ambaye ni Lolenza naye anatoka mbio akatapika na kurudi ndani!
“Hii ni nini?”,alijiuliza Mtata!
Hatimaye wake zake walitoka nje na kushangaa kumkuta mzee yule nje kakaa,mzee Mtata alimuita Chiku!
“Abee mumewangu”
“Naomba waite wenzako wote hapa nina kikao na nyinyi!”
“Sa..sawa mume wangu!”
Sauti ya Mtata ilimtia hofu sana Chiku,hakuongea kama kawaida alionekana ni mtu mwenye hasira sana!
Wake zake walikusanyika kwa pamoja wakakaa kumsikiliza ana nini cha kusema,alionekana amejaa sumu haswa!
“Nauliza hivi nani alichimba dawa yangu pale uwanjani,na aliipeleka wapi?”
Chiku alishtuka sana kusikia vile sababu ni yeye aliitupa ili wapate uhuru wa kufanya mapenzi na Lukas,sababu ile ilikuwa kama inampa machale mume wao!
“Chiku najua ni wewe peke yako unajua niliweka pale ile dawa nambie umeipeleka wapi?”
“Mi..mi…si..si..sjiui mume..!”
“Nyamazaaaa sitaki kusikia upumbavu hapa,nisubirini nije!”
Mzee mtata aliondoka akiwa na hasira akaingia kilingeni kwake,haikujulikana alifuata nini?Huku wake zake wakaanza kutupiana karata!
“Jamani mi simo,Chiku ndiyo uliitupa!”,alisema Vero!
“Hajitoi mtu hapa zilikuwa ni nyege zenu hakuna mtu kujitoa hapa!”,alisema Chiku!
Hakuna aliyejua Mzee Mtata kafuata nini ndani,walikaa kusubiri mpaka alipotoka alikuwa amebeba kinu!
“MUNGU WANGUU!”,Chiku alishtuka baada ya kuona kile kinu sababu alijua maana yake ni nini?
“Nini mbona unashtuka ni nini kwani?”
“Kinu cha kiapo kile tumekwishaaa!”
Mzee Mtata alirudi akiwa na kinu chake akakishusha chini,akamimina maji ndani ya kinu akachanganya na dawa kisha akaongea maneno yake!
Wakati anafanya yake alishangaa sana kumuona mkewe mwingine ambaye ni Tausi akiwa kashika ndimu analamaba muda wote!
Alimezea mate jambo lile akaendelea na jambo lake,alipomaliza kusema maneno yake alikaa huku chungu kikiwa katikati yao!
“Chiku nadhani unajua maana ya hiki kinu,kwa nyie wengine labda niwaambie tu kuwa hiki ni kinu cha kiapo,nitakuuliza kitu unatakiwa useme ukweli,ukitia mikono yako ndani ya hiki chungu kama umedanganya unakauka na kufa hapa hapa!”
“Nadhani mmenielewa,Vero simama ya juu!”
Mzee Mtata alimuamrisha mke wake mdogo asimame akafanya ivyo huku anatetemeka kwa hofu!
“Nadhani umenielewa ukweli wako ndiyo utakuweka hai aya nakuuliza je una mimba?”
Aliuliza swali ambalo lilikuwa nje kabisa na mada aliyokuwa ameianzisha,walibaki wameduwaa,hakuana aliyetegemea swali lile kabisa!
“Nijibu nina mambo mengi ya kufanya,una mimba!”
“Ndiyo!”
“Siyo mimba yangu si ndiyo?”
“Ni..ni…yako mume…!”
“Weka mikono humo usipoteze muda!”
Hapo ndipo palikuwa pagumu,Vero hakutaka kuweka mikono mzee Mtata akamuamsha mkewe Lolenza akasimama!
“Una mimba?”
“Ndiyo mume wangu”
“Kama ni yangu weka mikono kwenye kinu msiniletee mambo ya mzee Nyage na diamond hapa!”
Lole naye alishindwa kuweka mikono akaambiwa akae,akaamshwa Tausi naye alikuwa na mimba lakini hakutia mikono kwenye kinu!
Mpaka hapo ni wazi alijua kuwa wake zake wote wana mimba na siyo mimba zake,sababu hata yeye anajua hana uwezo wa kuzalisha!
Ilifika zamu ya Chiku ambaye aliulizwa swali tofauti na wenzake,Chiku alitetemeka kwan hofu!
“Nambie dawa yangu umeitupa wapi?kama hujaitupa tia mikono kwenye kinu!”
“Mume wangu na…nasema!”
“Ndiyo useme sasa!”
“Nili,,niliitupa!”
“Unasemaje wewe!!!”
ITAKUWAJE MZEE MTATA ATAFANYAJE?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 55

Mzee Mtata alihisi mapigo ya moyo wake yanaenda mbio sana,kijasho kilimtoka jazba na hasira zilimkaba!
“Umeitupia wapi!!!!?”
“Mtoni!”
“Hivi unajua umenimaliza?dah ivi iviiiii daaah!”
Mtata alikosa neno la kusema,alipatwa na kigugumizi,bora ingekuwa imetupwa hata vichakani angesema wakaitafute ila siyo mtoni!
Wake zake wote walikuwa wanamwaga machozi,lilikuwa ni jambo la aibu kwao kusimama mbele ya mume wake na kusema wana mimba lakini siyo zake!
“Kwanini uliitupa?ilikukera nini?”
Chiku hakusema kitu alilia kwa sauti mpaka kwikwi ikamshika,hakuweza kujibu swali la mumewe!
“Sema kabla sijakugeuza nyau hapaaa!’,alifoka akijua njia pekee ya kumpata mwanamke ni kumtia hofu!
“N..nananananasema babaanguaa nasema!”
Chiku kwa hofu alianza kueleza yote mwanzo mpaka mwisho jinsi ilivyokuwa hakuacha hata punje,na mwisho akamtaja Lukas!
“Lukasiiii!!!!”
Alisimama mzee Mtata akiwa haamini kabisa kama kijana aliyeamua kumtibu bure bila malipo na kumpa kinga dhidi ya uchawi wa aina yoyote ndiye aliyewajaza mimba wake zake!
Tiba ya Lukas ndiyo inamfanya saivi mzimu anamsumbua hataki kurudi kaburini,huku mkewe akiwa ametupa nguvu zake mtoni!
“Unamaanisha Lukas ndiyo kawapa mimba hawa !”
“Siyo hao tu na mimi pia nina mimba!”,alijibu Chiku!
“Niniiiiiiii!
Mtata alianguka presha ilipanda akapoteza fahamu na katika kuanguka kwake aliangukia kile kinu cha kiapo yale maji yakamwagikia miguuni,wake zake wakaanza kulaumiana!
“Unaona sasa tatizo umesema kila kitu!”
“Mlitaka nife acheni ujinga njooni tumbebe tumuingize ndani!’
Walimbeba mume wao wakamuingiza ndani akiwa hajitambui kabisa,hali ya mzee Mtata ilikuwa mbaya sana,kwa vile Chiku anajua baadhi ya amadawa akaanza kumtibia!tatizo alimwagikiwa na maji yale miguuni miguu yake ikapooza!

*********

Mzee Jomo aliamka akiwa hana hili wala lile ,alizunguka nyumba yake akapita zizini huku anapiga miluzi,mkononi kashika mswaki waake wa mti!
Alizunguka na kuridhika na mazingira ya nyumba yake,ndipo akafikiria kwenda kumuamsha Lukas maana alimuahidi kumfundisha baadhi ya madawa!
Taratibu akazipiga hatua zake mpaka kwenye kijumba ambacho Lukas amekuwa akiegesha mbavu zake tangu amkaribishe kijijini!
Alifika akagonga sana mlango akimuita Lukas lakini ukimya ulimpa mashaka sana,hakukuwa na muitikio ndipo akaamua kuingia ndani,alishangaa kukuta kitanda kikiwa kitupu!
“Huyu kijana kashakuwa mwenyeji sasa”
Alijisemea mzee Jomokisha akaendelea na mambo yake,hakuwa na wasiwasi aliaminikama ametoka basi hatokuwa mbali!
Suzy alishtuka baada ya kuamka na kumkosa Selina kitandani,kama kuna watu walikuwa wavivu kuamka mapema ni Selina,alijiuliza inakuwaje leo aamke mapema kiukweli alistaajabu sana!
Aliamua kupotezea akiamini pengine mdogo wake kaamua kubadilika,maana walishapiga kelele mpaka wakachoka!
Aliamka akamkuta baba yake nje akamsalimia kisha akaendelea na shughuli zake kama kawaida,ila kadri muda ulivyozidi kwenda ndivyo wasiwasi ulimjaa!

Mama Zubeda kama kawaida aliingia zizini kukamua maziwa,lakini kuna kitu kilimshangaza siku ile,alijisikia kichefuchefu sana akiwa anakamua maziwa hadi akatapika!
Ilibidi amuite Zubeda aje akamue yeye akashindwa kabisa kuendelea,hali ile ilimshangaza sana mzee Jomo ila akachukulia pengine ni homa za kawaida!
Selina ndiye alikuwa binti anayempenda kuliko mabinti zake wote,alimjua binti yake ni mvivu sana kuamka,hivyo alipoona mabinti zake wote wapo nje ila yeye hajaonekana akajua tu atakuwa amelala!
Alivumilia sana mwisho uvumilivu ukamshinda na muda ule hata Lukas naye alikuwa hajaonekana bado!
“Suzy ebhu kaniamshie huyo Selina analalaje mpaka saivi amekua sasa!”
Kauli ile ilimfanya Suzy aanze kuwaza upya ni wapi mdogo wake alipo,alimsogelea baba yake karibu!
“We sinimekwambia ukamwamshe mdogo wako?”
“Baba misijui hata nisemeje?”
“Usemeje ndiyonini?”
“Baba mimi nimeamka sijamkuta Selina kitandani?”
Mzee alisimama kichwa kilimzunguka,alijiuliza binti yake atakuwa ameenda wapi?Haraka akaiita familia yake yote!
“Nambieni Selina yuko wapi na kaanza lini hii tabia?”
“Mume wangu kwa kweli nayaona haya ni mageni kwa wengine naweza kukubali ila siyo kwa Selina hata mi sielewi!”
“Hayo siyo majibu nayotaka kusikia,nataka kusikia mnaniambia Selina alipo!”
“Baba labda kwa mgeni!”,Suzy alijikuta karopoka!
“Nini?umesema nini wewe?unamaanisha Lukas huyu au mwingine?”
Mzee Jomo kijasho kilimtoka akaanza kuunganisha matukio,Suzy alichafua hali ya hewa!

JE NINI KITAENDELEA?ZUBEDA ATAFANYAJE AKIGUNDUA LUKAS KAONDOKA NA MDOGO WAKE?


Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 56

Haliya hewa ilichafuka,Suzy aliyaibua yaliyojificha na kumfanya Mzee Jomo asimame akiwa amefura kwa hasira!
Suzy baada ya kuona daliliya kutokumuona mdogo wake alijua moja kwa moja atakuwa kwa Lukas,na ukizingatia kuwa jana yake aliwaona waliondoka uwanjani kabla hata shughuliya kuutoa mzimu haijaisha!
“Naomba uniambie kila kitu,unajua nini kuhusu Selina na Lukas?”
“Baba mi niliwafumania siku moja kwenye zizi wanafanya mambo ya ajabu,nikamkanya Selina akasema hatorudia lakini jana tulikuwa kwenye shughuli uwanjani kule,ila waliondoka kabla haijaisha,nikawafutailia wakaingia humo kwa Lukas!”
“Kwanini hukumwambia mamayako?”
“Baba nilitaka nikuambie asubuhi!”
“Baba Suzy muongo Lukas ni mchumba wangu,nilikuwa nakusubiri tu urudi nikuambie?”
“Paaaaa”
Mzee Jomo alishindwa kuvumilia alimtandika kofi zito Zubeda akaangukia pembeni akaanza kulia!
“Mama Zubedaaaa hivi ndivyo unavyolea mabinti zako?”
Mama Zubeda alikuwa analia na mengi,aliwaza mpaka hapo ameshea penzi na binti zake wawili Zubeda na Selina!
“Baba unanipiga bure tu Lukas ni mchumba wangu nampenda!”
“Nyamaza kenge wewe!”,alifoka mzee Jomo akaelekea kwenye kijumba cha Lukas akafanya ukaguzi akagundua Lukas katoka na kavaa nguo alizomletea jana!
Alitoka akiwa na hasira isiyoelezeka alizunguka kama chizi,Selina ni binti ambaye alikuja na neema mapema tu,mpaka hapo alikuwa anategemea mwanae ataolewa na tajiri mkubwa mjini,ambaye alishaonyesha nia ya kumtaka binti yake!
Walishaongea na kukubaliana kabisa ilikuwa mahari tu itoke japo hilo suala hakuwa amemshirikisha hata mkewe!
“Nawaambia kama Lukas kaondoka na Selina na nyie mnaondoka hapa!”
“Baba Zubeda kwani hayupo ndani!”
“Unauliza makofi polisi,watoto mpaka wanapelekwa mazizini eti wapo wanaishi na mama!”
Kilio cha mama Zubeda alilia akiwaza mpaka hapo ana mimba na Lukas kakimbia na mwanaye!
Mzee mtata alichukua baiskeli yake akawahi mpaka katikati ya kijiji huko akaiweka baiskeli kwa mtu akapata gari mpaka Sumbwanga mjini!
Aliangaza huku na kule lakinihakuambulia kitu ni wazi alikuwa amechelewa sana,mgeni kaondoka na mwenyeji wake,kamchukua kampeleka mjini!
Alichoka akatafuta sehemu akakaa kwanza akiwa hana hamu na Lukas,Lukas kampokonya dhahabu yake!
“Lukas nakuua,utakauka kama mti,utateketea kama mkaa,nitakufanya majivu!”,alisema kwa hasira mzee Jomo kisha akaanza safari ya kurudi kijijini!

Huku kila mtu alibaki ana sikitikia moyoni hakuna aliyekuwa nauwezo wakumwambia mwenzake,kila mtu alibaki na aibu yake!
Mama Zubeda alikuwa chumbani akiwaza mengi,kitendo cha kushea bakora na binti zake ilikuwa ni aibu kubwa sana kwake,kibaya zaidi Lukas hakumuacha hivi hivi kamuacha na ujauzito ambao anajua kabisa si wa mumewe!
“Lukas mbona hufananii na matendo yako,ivi kweli we ni wa kunichanganya na binti zangu!”,machozi yaliuosha uso wake siku ile!

Suzy licha ya kusema yale mbele ya baba yake kwa kuona wivu ila moyo ulimuuma sana,hasa alipogundua kuwa licha ya Lukas kufanya mapenzi na yeye na Selina pia alikuwa anatoka na Zubeda!
Aliumia kwa upande mwingine alitamani Selina angemshirikisha katika safari ile wakalifaidi wote penzi tamu la lukas!
“Lukas ivi wewe ni binadamu au mnyama?”,alijisemea akiwa haamini !

Kwa Zubeda yeye kilikuwa ni kilio tu kwa kwenda mbele,kati wanawake waliowahi kumpenda Lukas kupitiliza ni Zubeda,lakini ndiyo ivyo tena moyo Lukas ulikuwa kwa Selina!
Johari yeye hakuumia sana ila alikuwa anajicheka tu! Mpakawakati huo alikuwa hajui kabisa alilalaje na Lukas!
“Huyu kaka jamani au mchawi,yani nikamfuata nikavua nguo mwenyewe mmmmh!hapana hii siyo kawaida!”
Siku hiyo hakuna kazi iliyofanyika,hata chakula hakikulika kabisa,kila mtu alikuwa na majonzi yake!
Mifugo ililia zizini hakukuwa na mchungaji,kama walishindwa kujilisha wao wangewezaje kuwalisha wengine?
Mzee Jomo alirudi akiwa mpole tayari alijua kapoteza,alijuta kumkaribisha Lukas nyumbani kwake,kibaya zaidi hajui anaishi wapi?alimpokea kama msaada tu!
Aliikuta nyumba imekuwa kama imepatwa na msiba,tabasamu lilienda likizo kwa muda na haikujuikana litarudi lini!alitamani kujilaumu lakini hakuona alikosea wapi,anachoamini yeye alitenda wema kama binadamu wengine!
Akatamani kumlaumu mkewe lakini akakumbuka ile siku anampokea yule mgeni muharibifu mkewe alimzuia kabisa,yeye akalazimisha!
“Umeumia Lukas hii ni Sumbawanga,pole sana kijana!”

Siku ile ilipita kesho yake asubuhi na mapema mzee Jomo akapanda baiskeli mpaka kwa swahiba wake wa muda mrefu,naye si mwingine ni mzee Mtata!
Aliuamini uwezo wa Mzee Mtata alijua kwake ni jambo dogo sana,kiufupi alitaka kumfanyia Lukas michezo ya kiswahili ikibidi awe hata kipofu kabisa!
Alifika salama kwa Mzee Mtata lakini alichokutana nacho kilimkatisha tamaa,Mtata alikuwa hoi kitandani anaumwa hawezi kutembea!
“Mzee mwenzangu mbona kitandani?”,aliuliza mzee Jomo!
“Acha tu mzee mwenzangu,ninaumwa umwa ila niko sawa!”
“Kuna kazi nataka unifanyie utaweza kweli?”
“Kazi gani tena?”
Mzee Jomo hakumficha kitu alieleza kila kitu jinsi alivyompokea Lukas na mwisho kaondoka binti yake Selina!
“Umesema Lukas kaondoka na binti yako?”
“Ndiyo!”,mzee Mtata presha ilipanda ghafla hadi Mzee Jomo akashangaa!
“Mzee mwenzangu,mzee mwenzangu vipi tena?”
JE NINI KINAENDELEA?MZEE JOMO AKIJUA KUWA LUKAS KAWATIA MIMBA WAKE WA MGANGA WOTE ITAKUWAJE?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 57

Mzee Mtata hakuwa yule katili wa kuogopwa tena,alikuwa mdogo kama pilitoni,aliposikia jina la Lukas,hasira ilipanda na presha ikawa juu!
Machozi yalibisha hodi na hata kabla hajayaruhusu yalitoka kwa wingi,Mzee Jomo alimshangaa sana Mzee mwenzie,amemzoea ni mtu mwenye kiburi na majivuno,hakuwahi kufikiria kwamba kuna siku atatokwa na machozi mbele yake!
“Mzee mwenzangu nini tatizo!”
“Acha tu mzee mwenzangu!”
Bila kuficha kitu japo alijihisi aibu lakini aliamua kumueleza kila kitu mzee Jomo,jinsi alivyomkamata na kumleta kwake!Alieleza mengi sana kuhusu Lukas!
“Mzee Mtata kwa hiyo unamaanisha Lukas kawapa mimba wake zako wote?”
“Ndiyo!”
“Dah!hiki kitoto kumbe kishetani hivi!”
“Nakushauri mzee mwenzangu kaipime familia yako yote,yule kijana sidhani kama ametembea na binti zako wawili tu mpime hadi mkeo!”
“Mkewanguuu hapana hapo nakataaa!”
Mzee Mtata alimueleza jinsi mke wake alikuwa anakuja kwake akisema Lukas ni mdogo wake,kwahiyo ana wasiwasi pia na mkewe!
“Kama kamgusa mkewangu namuua namuua mende yule!”
“Humuwezi!”
“Unasema?”,aliuliza Mzee Joma kwa mshangao!
“Nasema humuwezi na hicho ndicho kinachoniuma mimi,yule kijana nilimuamini sana,kwa upendo niliokuwa nao kwake nilimpa kinga kali sana ambayo hata mimi nikitaka kumfanyia ubaya siwezi,muache tu!”
“Haiwezekeni nasema haiwezekani!”,aliondoka kwa hasira mzee Jomo na kumuacha Mtata anamuita bila mafanikio!

Alirudi kwake akachukua ndimu tatu akazikata kisha akachanaganya na madawa aliyoyajua yeye,alipomaliza aliita familia yake yote!
“Huyo mpuuzi kawatia mimba wake wa mzee Mtata wote,navyoongea na nyinyi hapa Mzee Mtata yuko hoi kitandani!”
“Siyo kweli baba siyo kweli Lukas wanamsi…!”
“Kimyaaa!mwanaizaya wewe!”
Zubeda alijaribu kumtetea Lukas lakini baba yake alimnyamazisha!
“Sasa nisikilizeni hapa,ninawapima mimba!”
Mama Zubeda alishtuka sana,kauli ya mume wake ilimfanya apate hofu kubwa sana,aliamua kujitetea mbele ya mume wake!
“Sasa baba Zubeda kwanini usiwapime watoto mimi mambo yao yananihusu nini?”
“Tena unyamaze Mtata kaniambia kila kitu!naomba mchukue ndimu hizo kila mtu alambe!”
Alisema lakini hakuna aliyeshika ndimu kila mtu alibaki kukodoa macho,mzee Jomo akasimama!
“Msinitanie kila mtu achukue ndimu hapo!”
Kwa hofu wote walichukua ndimu wakiwa wanatetemeka baada ya kulamba wakakaa kusubiri,ile ni dawa ambayo imechanganywa ili kama mtu ana mimba akilamba atahisi kichefuchefu na kutapika!
Johari ndiye alikuwa wa kwanza kutapika wote wakamshangaa,mzee Jomo alijiuliza ina maana na Johari ametembea na Lukas!
Wakati anajiuliza swali lile Suzy naye ngoma ikatiki akarudisha chenji wote wakashangaa ,maana yeye anasema aliwafumania Lukas na Selina!
“Wewe si ulisema umewafumania?”
Kabla hajajibu kitu alishangaa kumuona mkewe anarudisha chenji kumaanisha na yeye naye kitu kimetiki!
“Mamaaaaaaaaaaaaaaa!na wewe!”,binti zake waliuliza kwa mshangao!
Mzee Mtata aliingia ndani akatokana panga akasimama akiwaangalia,wote walikuwa wanatetemeka!
Ajabu Zubeda hakuwa na mimba alisubiliwa lakini hakukuwa na matokeo yoyote,jambo lile llimuuma sana akabaki kulia tu!
Mzee Jomo aliwauliza na wote walikiri kuwa mimba ni za Lukas,alitetemeka kwa hasira alihisi kujutia sana!
“LUKASIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII!!!!”
Alipiga kelele kubwa akiwa haamini kama Lukas ndiye kanmfanyia unyama ule,akiwa katika sintofahamu ghafla alikuja mgeni akiwa ameongozana na binti yake!
Hakuwa mwingine alikuwa ni mama Zahara na Zahara,alipofika tu hakuuliza moja kwa moja akauliza!
“Yuko wapi huyo klidume aliyemtia mimba binti yangui?”
“Kuna nini?”,aliuliza Mzee Jomo!
“Kuna kijana anaishi hapa anaitwa Lukas kamtia mimba binti yangu!”
Kauli ile ilimfanya Zubeda aanguke na kupoteza fahamu,shughuli ikawa imeishia pale!Mzee Jomo hakuwa na namna japo moyoni alisema atamfanya kitu kibaya Lukas!
Siku ile ilipita lakini kesho yake asubuhi walipoamka hawakumkuta Zubeda ,alikuwa ameacha ujumbe kuwa anaenda mjini kumtafuta Lukas!
“Lukas!Lukas!Lukas!”,alilia Mzee Jomo familia yake iligawanyika,mpaka hapo kapoteza binti zake wawili!
JE NINI KITAENDELEA?


Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 58

Kijiji kiliingia gharika,ule mzimu uliokamatwa na Mzee Mtata na kuwahakikishia kuwa hautorudi,ulirudi kwa kasi sasa ukawa unabaka watu mpaka mchana!
Mzimu ule ulikuja na nguvu kubwa sana,safari hii hii ulikuwa unabaka na kupotea,wanakijiji waliogopa hata kutembea hasa mabinti na wanawake!
Siyo ivyo tu misukule nayo ilionekana mara kwa mara ikikatiza mitaani,walionekana hata watu waliosadikika kufa zamani ambo kumbe walikuwa wamechukuliwa na mzee Mtata!
Kucha zao zilikuwa ndefu na nywele zao pia,kiufupi walikuwa wanatisha sana,hawakuwa wakiongea wengine walikuwa wamekatwa ulimi na wengine walikuwa wana ndimi ila zilikuwa nzito kuongea!
Viongozi walifunga safari mpaka kwa mzee Mtata hili wakamuulize imekuwaje mzimu umerudi na kingine ile misukule imetokea wapi?
Walipofika walishangaa kukuta mazingira ya nyumba yakiwa yamebadilika kila kitu kilikuwa ovyo ovyo tu,ng’ombe walikuwa wamekufa na mbuzi pia,wake wa mzee Mtata hawakuonekana!
Inasemekana walikimbia baada ya kuona misukule imetoka na inaanza kufanya fujo,ule mzimu pia ulianza kuwabaka hata wao!
Mazingira ya nyumba yaliwatisha viongozi lakini walijikaza wakaingia kilingeni ambako hawakuamini walimkuta mzee Mtata kafariki siku nyingi mpaka kaoza,pembeni yake ulikuwaa umekaa ule mzimu ila ulipowaona ukapotea!
Viongozi walitoka mbio baada ya kuona tukio lile,hawakuwa na namna mdaiwa wao alikuwa amekufa!
Hata ng’ombe walizompa walizikuta zimekufa zote na mbuzi,ilibidi wakakae upya kutafakari hatima ya kijiji chao ambacho sasa kila kona ni misukule na ule mzimu ulishika kasi!
Baada ya kutafakari sana walimtafuta mganga nguli kutoka kijiji cha jirani ili aje awasaidie kufanya ile kazi arudishe amani kijijini!
Alikuja nguli kutoka kijiji cha jirani ambaye alipofika tu aliitisha kikao cha wanakijiji wote wakakusanyika!
Alifanya manyanga yake mwisho akaamrisha aitwe mtu anayeitwa mzee Jomo,watu walishangaa sana!
Mzee Jomo alikuwa nyumbani na mawazo yake akafuatwa na sungusungu wa kijiji na kupelekwa mpaka kwenye ule umati!
Hakuwa anajua chochote kuhusu wito ule alibaki kushangaa,Mganga alipomuona tu alisema!
“Matatizo yote yameanzia kwa huyu mzee!”
Wanakijiji walishangaa sana na kubaki kuulizana imekuwaje mzee Jomo anahusikaje na mzimu ule,hata mzee Jomo alibaki kushangaa tu!
“Najua mnashangaa ila huyu mzee kuna mgeni alimkaribisha kwake,mzee uongo kweli?”
Kidogo sasa mzee Jomo akaanza kuelewa alitingisha kichwa kuashiria ni kweli alimkaribisha mgeni ,japo mpaka hapo hajui mgeni yule anahusikaje na ule mzimu!
Alipewa nafasi aelezee kilichotokea mpaka akamakaribisha mgeni nyumbani kwake,alisimama kwa masikitiko makubwa sana!
Kwanza aliwataka radhi wanakijiji kisha akahadithia jinsi alivyokutana na mgeni yule na kumpa hifadhi nyumbani kwake!
Alielezea yote kila kitu mpaka alivyotoroka na mwanaye na kuacha amewatia mimba binti zake wawili,ila hakumtaja mkewe!
Bila kuficha alieleza pia kuwa mgeni aliwatia mimba wake wote wa mzee Mtata hadi kupelekea akapata presha iliyomlaza kitandani na kuuchukua uhai wake!
Wanakijiji walishika kichwa walitamani sana kumjua huyo mgeni shujaa aliyeingia kwa mzee Mtata na kuwajaza mimba wake zake wote!
Waliona ni mtu wa ajabu sana,baada ya kumaliza kuongea aliomba radhi tena huku analia machozi,aliumia kuona kumbe mgeni ndiye amesababisha mambo ya mizimu kuja kijijini!
Mganga alisimama na kuanza kuelezea chanzo sasa rasmi kilichopelekea mzee Mtata autoe mzimu kaburini!
Wanakijiji walishangaa kusikia kuwa mgeni alilala kaburini siku tatu ili aweze kurudi mjini,ila mganga alisema pia mzee Mtata alipoteza nguvu nyingi kumpatia kinga mgeni yule ambayo amekufa akijutia mapa leo!
Kila kilichoongewa kilikuwa kama ndoto au filamu fulani iliyoigizwa na waigizaji mahiri sana duniani!
Baada ya hapo yule mganga alifanya manyanga yake na kuutoa hadharani ule mzimu,wanakijiji walitaka kuushambulia lakini akawazuia!
Baada ya hapo akaongozana na wanakijiji mpaka makaburini huko akafika mpaka kaburini ulipotoka!
Walishangaa kukuta kaburi liko wazi na jeneza liko wazi juu likiwa limechakaa sababu ni la zamani sana!
Mganga alifanya yake mzimu ukakubali kuingia kwenye jeneza na kisha akaurudisha kaburini,kanuri likafukiwa,wanakijiji ili kuhakikisha hautokuja tena kutokea waliufukia kwa mawe na kokoto nyingi sana!
Amani ikarejea kijijini tena mganga yule aliiondoa misukule haikuonekana kabisa amani ilirejea kama zamani!
Ndipo hapo likatolewa tamko kubwa kuhusu wageni kuingia ndani ya kijiji hiko,na hapo ndipo chuki dhidi ya wageni ilianzishwa rasmi!
Wageni hawakukaribishwa tena vizuri katika kijiji kile,ukipata mgeni unaenda kumtambulisha kwa mjumbe kwanza na unaulizwa anakaa siku ngapi?
JE NINI KITAENDELEA?USIKOSEEEE!


Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 59

Mzee Jomo alianza kuhangaika huku na kule akitafuta dawa ya kumfanyia ubaya Lukas,lakini kila alipoenda aliambiwa haiwezekani na wengine wakamtapeli tu!
Aliuza mpaka ng;ombe zake akasafiri mpaka Nigeria lakini hakuambulia kitu,kinga aliyoweka mzee Mtata ilikuwa kiboko!
Hatimaye mkewe alijifungua na binti zake wakajifungua pia,watoto ambao ukiwaona unasema huyu ni Lukas mtupu!
Hali ile ilimchefua zaidi mzee yule ambaye aliongeza juhudi za kutaka kumfanyia ubaya Lukas ambaye zote ziligonga mwamba!
Mzee Jomo hakula kwa amani,alikonda kwa mawazo na huzuni,miaka ikakatika watoto wakawa wanakuwa na kibaya walichukua sura ya baba yao mtupu!
Mawazo hayakumuacha salama Mzee Mtata alifariki miaka mitano baadae, na kumuacha mkewe akiwa analea familia!
Wake wa mzee Mtata waliondoka na kwenda kuishi kijiji cha jirani,ambako wengine walishaolewa huku kila mtu akiwa na chata ya Lukas!
Miaka kumi sasa imepita siyo Lukas,Selina wala Zubeda walioonekana kijijini,hakuna aliyewaona wala kupata tetesi za wapi walipo!
Historia ya mgeni ikawa imeishia hapo,mgeni alikuja mwenyewe kaondoka na watu wawili,hakuja na mtoto lakini kaacha watoto!
Mgeni kamuua shujaa wa kijiji hiki aliyeogopwa mpaka na sisimizi,mgeni kamuua mzee Jomo kabla hata ya siku zake!
Mgeni kafufua mizimu,mgeni kaleta mizimu mgeni kaleta taharuki,ni nani atampenda mgeni tena katika kijiji hiki?Nani atamkaribisha mtu hasiyemjua tena katika kijiji hiki?nani?nani atamuamini tena mgeni katika kijiji hiki!Hakuna hakuna hakuna!
MGENI ALISHUSHA THAMANI YA WAGENI KATIKA KIJIJI CHETU,VIJIJI VINGINE WANAFURAHI WAKIPATA WAGENI LAKINI HAPA MGENI ANATOA KUMBUKUMBU MBOVU SANA ILIYOWAHI KUTOKEA!

**************


“EFUUUUUUUUUUUUHHHHHHH!”
Nilishusha pumzi ndefu sana,hakika ilikuwa ni simulizi yenye kusisimua na kusikitisha sana,hata mimi nilikubali kwa namna ile ni haki wageni tuchukiwe!
“Ndiyo hivyo kaka!”
“Aiseeh poleni sana!”
“Tulishapoa ila ndo ivyo hatupendi wageni!”
“Kwahiyo na mimi unanichukia?”
“Kidogo maana umeonyesha utofauti!”
“lakini hujaniambia mwanzo kabisa ulisema ulimpoteza dada yako kisa mgeni!”
“Zahara alikuwa dada yangu,alifariki akijifungua yeye pamoja na mtoto!”
“Dah pole sana!”
Wakati tukiwa pale tunajadili walipita watoto watatu wanacheza ndipo Regina akanishtua!
“Eeeh unamuona yule mtoto?”
“Ndiyo!”
“Sasa yule mtoto wa Johari yule aliyekuwa anamchukia mgeni basi unaambiwa ndo kaizaa kopi yake yani ukimuona huyo wanasema ni sawa na Lukas kabisa kwa wanaomjua!”
“Ebhu muite!”
“Unataka ufanyeje?”
“We muite tu!”
Regina alimuita yule mtoto alipofika akatusalimia kisha nikachukua simu yangu nikampiga picha kama tatu hivi!
“Sasa mbona umempiga picha?”
“Aaah nimependa tu!”

Kiukweli nilikuwa sina sababu ya kubaki kijijini sababu nilikuwa nimemaliza utafiti wangu kwa asilimia zote,mbali na utafiti wangu lakini pia mbali na utafiti nilipata story nzuri ambayo nina uhakika itapendwa sana na wengi!
Niliomba nipelekwe kwa mama Zubeda wakafanya ivyo,haikuwa rahisi lakini kutokana na kwamba niliwaambia nataka niwasaidie kuwatafuta binti zao yaani Selina na Zubeda walikubali nikaongea nao kisha nikawapiga picha ya pamoja na picha moja moja!
Niliaga nikaondoka kijijini huku Regina akionekana kuhuzunika sana,hata mzee wake aliumia akinisihi nibaki lakini sikukubali!
Niliondoka nikiwaahidi kuwa nitarudi na Selina,Zubeda na pia nitamleta Lukas aje aombe msamaha kwa kijiji ili wageni tupokelewe tena kijijini!
Nilipanda gari asubuhi na mapema na kuanza safari ya kurejea Dar,safari yangu ilitawaliwa na tabasamu pana kwa kupata simulizi nzuri!
Lakini kichwani nilitamani kuyajua maisha ya Lukas baada ya kurudi mjini,je ni kweli wabaya wake walimsamehe au mzee Mtata alimuingiza choo cha kike!
Nilifika nikapumzika wiki nzima kisha nikachukua ile picha ya yule mtoto wa Lukas nikaitoa kisha nikamtafuta mchoraji hodari na maarufu sana kwa jina la Masoud Kipanya!
“Mdogo wangu mambo vipi?”
“Safi kaka shikamoo!”
“Ahh unaniona mzee,nilishakukataza kunizeesha nambie vipi hatuonani?”
“Kaka Masoud nina shida!”
“Ipi tena!”
“Nina picha hapa”,nilimpa ile picha akaiangalia kisha nikamuambia!”
“Kaka nataka iyo picha unichoree lakini huyo mtoto akiwa mtu mzima,yani uvute taswira huyo dogo akiwa mtu mzima atafananaje najua unaelewa cha kufanya we mzoefu!’
Nilimuelezea Masoud kwanini naitaka ile picha akakubali kunifanyia,baada ya wiki moja aliniita na kunikabidhi picha tatu zikiwa tofauti nyingine zina ndevu nyingine hazina!
Nilizichukua zile picha nikarudi nyumbani nikazihifadhi,nilitamani sana kumpata Lukas ili anipe stori yake na Selina mjini!
Bado namtafuta na hakika nikimpata nawaahidi nitawaletea simulizi nyingine ya Lukas kama season ya pili ya hadithi hii!
Bado nina shauku ya kumjua Lukas kiundani,nataka nimjue aliishije baada ya kutoka kijijini?

Nawashukuru sana kwa kuwa pamoja unaweza kutoa maoni yako kuhusu simulizi hii,mwisho wa hadithi hii ni mwanzo wa hadithi nyingine!TUTEGEMEE SEASON TWO KAMA NIKIMPATA NDUGU YETU LUKAS!


MWISHOOOOOOOOO**********
JACK MAMBO THE KING OF STORIES****
 
Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 31

Kati ya watu walikuwa na huzuni ya kumkosa Lukas ni Zubeda,hakula wala kufanya chochote,na kama tunavyomjua hana uvumilivu,moja kwa moja akaongoza njia mpaka kwa shoga yake Zahara!
Zahara alipomuona tu alijua tu kutakuwa na tatizo,maana sura aliyoingia nayo siyo kama kawaida yake!
“Shoga vipi una msiba!”,aliuliza Zahara!
Bila kusema neno Zubeda alikaa akashika shavu,jambo lile lilizidi kumtia shaka Zahara!
“Vipi shoga tunatishana,kuna msiba?”
“Bora msiba!”
“Sasa ni nini eti?”
“Mgeni!”
“Mgeni!!!Mgeni kafanya nini ?kaondoka?”
Zahara alishtuka hadi Zubeda akajiuliza kuna nini mbona shoga yake kapata mshtuko namna ile!
“Vipi kwani mbona umeshtuka sana?”
“Mhh..ha..hamna sasa si shem nisishtuke iyo vipi?”
“Basi ndiyo ivyo shemeji yako ana matatizo!”
“kafanya nini?”
Zubeda alimsimulia kila kitu Zahara kuanzia mwanzo mpaka mwisho,na kwamba mpaka sasa mgeni yupo kwa mganga Mzee Mtata!
“Sasa sikia tunaenda kwa huyo mzee!”,alisema Zahara kwa kujiamni!
“Wewe Zahara huogopi?”
“Niogope nini?mi nakuhurumia shoga yangu najua unampenda twende hata ukamuone!”
Zahara alisema huku moyoni mwake akiumia sana,sababu hata yeye alimpenda sana mgeni,Zubeda aliamua kuongozana na rafiki yake kwenda kwa mganga hasijue kama wanashea bakora moja!

Walifika wakapokelewa na kuulizwa shida yao,walisema wana mgonjwa wao pale,ndipo wakapelekwa moja kwa moja kwa mzee Mtata!
“Karibuni!”
“Ahsante baba shikamoo!”
“Marahaba Zubeda umekuwa sasa,ulikuwa mtoto juzi tu!”
“Ahsante baba!”
“Vipi ujio wenu huu niwasaidie nini?”
“Sisi tumekuja kumuona kaka yetu aliyepotelea kwenye shamba lako wakati anachunga!”
“Kaka yako?mbona mama yako kasema kaka yake ina maana wewe na mama yako mmezaliwa tumbo moja?”
“Aaaaah!nimesahau mjomba ni mjomba!”
“Sawa mtamuona ila bado hajakaa sawa tegemeeni chochote!”
Walichukuliwa mpaka kwenye kile kijumba alichomo Lukas wakamkuta kakaa kainama hana habari,kwa furaha Zubeda akamrukia na kuanguka naye kwenye ngozi ile ya ng’ombe!
“Nimekumiss mpenzi jamani mwaah!”
Zahara alihisi wivu lakini alivumilia tu maana akionyesha itakuwa vita kubwa na shoga yake,kilichowashangaza ni Lukas,hakuonyesha kufurahia wala kutabasamu alikuwa anashangaa tu!
“Lukas!”,aliita Zubeda baada ya kuona mgeni amchangamkii!
“Wewe ni nani?mimi naitwa Lukas!”
Kauli zake ziliwaacha hoi moja kwa moja wakajua Lukas hakuwa na kumbukumbu zozote,mpaka hapo hajui chochote!
“Lukas mimi Zubeda!mpenzi wako!”
“Mpenzi!!mi nina mpenzi?”
Machozi yalimtoka Zubeda akamuachia Lukas akaanza kulia kwa sauti kubwa,Zahara naye alishindwa kujizuia akawa analia kwa uchungu,kiufupi hakukuwa na wa kumbembeleza mwingine!
Walikuja kutolewa baada ya kuona kama wanamfanyia fujo mgonjwa anayehityaji utulivu ili kurejesha kumbukumbu zake!
Moja kwa moja Zubeda akaongoza mpaka kwa mzee Mtata akaingia kilingeni bila hata hodi,akamkuta yuko na mteja,machozi yaliufunika uso wake!Zahara alijaribu kumzuia akashindwa!
“Baba!msaidie mjomba wanguuuu…msaidieeee!”
“Zubedaaaaa,usinivurugeee nipo kazini nitakugeuza bata saivi!”
“Nigeuze hata kunguru mjomba wangu apone!”,Zubeda alijibu kwa ujasiri mpaka Zahara na yule mteja aliyekuwa mle ndani wakashika kichwa,kwa wanavyomjua mzee Mtata duh!
Mzee Mtata alimuangalia kwa hasira Zubeda kisha akatoa amri wengine watoke nje wamuache yeye na Zubeda,Zahara alitoka akijilaumu kumleta pale Zubeda ambaye sasa amejitafutia matatizo makubwa kwa kubishana na Mzee Mtata!

JE NINI KITAENDELEA?MZEE MTATA ATAMGEUZA ZUBEDA KUNGURU!

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 32

Hakuna aliyejua ndani ni nini kinaendelea,japokuwa kila mtu alimsikitia sana Zubeda kwa kosa alilolifanya,Zahara alikuwa nje anatetemeka kwa hofu,hakujua angeenda kusema nini kwa mama Zubeda endapo itatokea amepatwa na kitu kibaya!

Ndani baada ya wote kuondoka na kumuacha mzee Mtata na Zubeda,cha ajabu mzee Mtata alibadilika ghafla na kuonyesha tabasamu badala ya ukali!
Jambo lile lilimshangaza sana Zubeda akajiuliza imekuwaje mzee Mtata kawa mpole ghafla?
“Unamtaka Mjomba wako?”
Lilikuwa ni swali la kwanza kutoka kwa Mzee yule mtata kama jina lake,Zubeda alitikisa kichwa kuashiria kukubali!
“Sawa kuna mchezo tunatakiwa tucheze!”
“Mchezo gani?”
“Wa nipe nikupe!”
“Sijakuelewa baba!”
“Yani huelewi vipi hapo?namaanisha yaniii unanipa naniii tu chapchap kisha unampata mjomba!”
“Baba yani unataka uniiiii,we si sawa na baba yangu lakini!”
“Ni sawa ila siyo baba yako!”
“Hapana siwezi baki nae tu!”
Zubeda aliamka kwa hasira akamkuta Zahara nje akamshika mkono na kuanzxa kumvuita ili waondoke!
“Tuondokeee!”
“Kasemaje kwani?”
“Bhana tuondoke muache amchinje amle nyama!”
Zahara hakuwa na namna aliondoka na rafiki yake huku akiwa na shauku ya kutaka kujua Mzee Mtata kasema nini?

***********

Wake wa Mzee Mtata walishaandaa mipango yao,Chiku mke mkubwa yeye ndiye alikuwa anaongoza kundi lile,alijua moja kwa moja mzee Mtata atakuwa kamfanyia dawa yule mgonjwa jogoo wake hasiwike!
Kutokana na kuwa karibu sana na mzee Mtata kwa miaka mingi,tayari alishajua madawa mbalimbali ya kutibu watu!
Kwake haikuwa ngumu kumtibu Kukas ili awape raha,alichokifanya alivizia wakati ambao mzee Mtata ametoka kilingeni,aliingia akachukua dawa aliyoitaka kisha akatoka!
Moja kwa moja akaenda kwa Vero ambaye ndiye mwenye kibarua cha kufanya mapenzi na Luka baada Lole kufeli!
“Naomba ustuangushe!”
“Siwezi yani hapa nawashwa hatari,siwezi kufeli mi mwenyewe nimemiss kufanya mapenzi niridhike!”
“Kazi kwako nimesikia ana kombola kama bunduki ya mkoloni”
“Ndo naitaka hiyo!”
“Hapa ushindwe mwenyewe!”
Chiku aliondoka na kumtakia ushindi Vero kwenye kibarua chake cha usiku,Vero alibaki anaombea kukuche mapema ili akabanjuke na mgonjwa!

Hayawi hayawi mwisho yakawa,ule muda Vero aliusubiri kwa hamu ukafika,alichungulia baada tu ya mumewe kuzama kwenye nyumba ya Chiku mke mkubwa maana ndiyo zamu yake,na yeye akazamia kwenye kijumba cha mgonjwa!
Alimkuta Lukas amejilaza hana habari,alikuwa kifua wazi na pensi yake,kilichomsisimua Vero ni baada ya kuiona bakora ya Lukas ikiwa imelala imejitokeza nje ya pensi!
“Hiiiiii huyu kaka jamaniiiii kumbe kweliiiiii?”
Alisema Vero kwa pupa akachukua kichupa kile cha dawa akamvamia Lukas kitandani moja kwa moja akajipaka ile dawa akaipaka mikononi na kuanza kuichua bakora ya Luka!
Luka akiwa usingizi alihisi uwepo wa mtu mkle ndani,alishtuka kumkuta Vero anahangaika na bakora yake!
Alijua moja kwa moja ni yule yule mdada aliyekuja usiku,alibaki anamuangalia tu lakini kiukweli hakuhisi kitu chochote kabisa!
Vero aliipaka dawa ile bakora hadi akachoka,jogoo bado aligoma kuwika,mwisho alichoka akakaa pembeni akimuangalia Luka kwa matamanio,ni kweli alimtaka lakini tatizo hasimamishi!
“We kaka,kwani we ni shoga!”
“Sijui!”
Vero hakuamini kama kweli anaenda kuikosa bakora ile,alitamani hata aishike fanye vilevile ikiwa imelala!
Ghafla kuna kitu alikumbuka,alikumbuka Chiku alimwambia maneno fulani ya kusema ndiyo ampake dawa!
Alikurupuka akachukua kile kichupa akaanza kuyataja yale maneno kwa ufasaha kisha akamsogelea Lukas,akaishika bakora akaichua kisha alipomaliza akasema yale maneno tena!
Baada ya dakika mbili bakora ilianza kusimama na kukaza misuli mpka ikasimama kabisa,Vero alitaka kuzimia kwa furaha,alimrukia Lukas wakaanguka chini!

JE NINI KITAENDELEA?JOGOO KAWIKA MZEE MTATA KIUFUPI ATAJUTA!!

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 33

Furaha ya Vero ilionekana dhahiri mara baada ya kuona mashine imesimama tena imekaza kweli,kiufupi ilikuwa ni kama mtu mwenye njaa kali ghafla anaona chakula tena kizuri!
Maisha ya Mzee Mtata ni kama yalikuwa ya kitumwa sababu hata kuolewa kwao ni kama Mzee Mtata aliwachota akili,wake wote wa Mzee Mtata ukiwauliza waliolewaje na yule mzee hawajui!
Kiufupi hazikuwa akili zao na kwa lugha nyepesi ni kuwa mzee Mtata aliwafanyia uswahili,inamaanisha Mzee Mtata akimtaka mwanamke anamroga ili ampate!

Vero alikuwa na kiu kikali,wakati anaolewa na yule mzee alikuwa na mpenzi wake aliyempenda,lakini hata yeye haelewi alimkataa vipi na kukubali kuolewa na mzee huyu Mtata!
Tangu aolewe hakuna siku amepata kufurahia mapenzi,Mzee Mtata hajui chochote kuhusu maandalizi na kingine ambacho ni kibaya zaidi ana kibamia!
Vero alimrukia Lukas ambaye ni kama hakuwa na maamuzi yoyote,kwake kila kilichotokea aliona sawa tu!
Kwa pupa Vero alianza kumlamba shingoni Lukas amabaye mwili wake ulikuwa unanukia madawa ya kienyeji kutokana na kuogeshwa madawa kila siku!
Aliishika bakora muda huo alishazitupa nguo zake mbali,hakutaka kuchelewa asali yake ilikuwa imevujia tayari na kutoa utelezi unaomkaribisha mlinaji ndani kiurahisi!
Alimkalia Lukas baada ya kumuona yupo yupo kama zoba tu,aliishika bakora akataka kuiingiza kwa pupa pangoni,lakini aligundua asali yake imekuwa ndogo kutokana na kukaa muda mrefu bila kukutana na mikikimikiki ya nguvu!
Ilibidi apunguze pupa na kuizamisha taratibu bakora ikazama japo kwa tabu,raha aliyoisikia wakati tu bakora inaingia ndani ilimfanya amwage machozi ya raha!
“Ooooooshiiiiii…!”
Taratibu alianza kukizungusha kiuno taratibu akipanda na kushuka,alijipimia saizi yake kwa raha zake!
Uso wake ulikuwa unamwaga machozi tu,Vero alikuwa ananyonga kiuno huku analia!alionekana kujutia kuwa mke wa Mzee Mtata!
Raha kama zile anazikosa sababu ameolewa na mzee Mtata,mganga mabaye amaeshindwa kabisa kujiganga!
“Mhhh!aaaahhhhh!tamuuuuuu aaaaahhhghhhh nakojoaaaa mimi mamaaaa maamaaaa maamama nakufaaa uwiiiiih!”
Vero aliongeza kasi ya kunyonga kiuno chake na muda huo aliiruhusu bakora iingie yote bila kujali ukubwa wake!
Aliizungusha nyonga kama anacheza sebene la kikongo,sauti aliitoa machozi yalimtoka na kujikuta anavunja dafu na kutulia kifuani kwa Lukas huku anahema kwa kasi!

Lukas ni kama akili zake zilikuwa zinarudi kwa mbali,ufahamu wake ukawa unakuja na kupotea,alikuwa anakumbuka kitu kisha kinapotea!
Vero alikuwa ametulia tuli anavuta nguvu ili aanza tena kasheshe zake,ghafla alishtuka baada ya Luka kumshika kiuno chake na kuanza kumpapasa!
“Hiii wewe?umepona?umekumbuka kitu?”
Lukas hakujibu kitu ndiyo kwanza alimpindua Vero na kumlaza kifo cha mende,Vero alishangaa sana maana aliamini yule mgonjwa hajapona ivyo kila kitu atafanya yeye,sasa kule kupinduliwa na kulazwa kifo cha mende kulimshangaza!
Lukas alimuweka kifo cha mende kisha akaanza kumnyonya chuchu zake,kiufupi akili za lukas zilirudi kwa asilimia sabini!
Aliamua kumpa yule mke wa mganga dozi zake za bao tatu ambazo akikupa lazima ukasimulie wajukuu zako!
Kilichofuata baada ya hapo ni sauti ya kilio kisicho na mwisho,Vero alilia mpaka sauti ikakata,alivunja madafu mpaka yakaisha mnazini,Lukas alikuwa katika ubora wake!Lukas karudi!

*********

Mzee Mtata alikuwa ndani ya nyumba ya mke mkubwa akifanya yake,Chiku ni kama alikuwa anamsubiri avunje dafu basi alale,maana hakuna alichojisikia,mumewe alikuwa mbinafsi katika mapenzi anataka ajifurahishe yeye!
Kitendo kile kilikuwa kinawakera wake zake,maana akivunja dafu lake tu analala tena na kukoroma juu!
Mawazo ya Chiku hayakuwa hapo,alikuwa anamuwaza mke mwenzake ambaye ana imani huko alikuwa anapata dozi ya uhakika!
Alitamani kukuche mapema maana siku inayofuata ni zamu yake kuliwa na yule mgonjwa ambaye inasemekana abna bakora kama rungu la komredi kipepe!
Mzee baadab ya kushusha vitu vyake alitulia akajilaza pembeni akimuacha Chiku ana hasira sana,alichukia maisha yale,ni miaka mingi sasa amekuwa akiishi maisha yale!
Mzee Mtata ni kama machale yalimcheza alihisi kama nywele zinzmsisimka na hali ile humtokea kama kuna kitu kinafanyika ambacho siyo kizuri!
“Mkewangu!”,alimuita mkewe!
“Abee!”
“Ebhu tutoke nje!”
“kuna nini mume wangu jamani!”
“Nahisi kuna kitu kinafanyika kwenye ngome yangu ambacho si kizuri!”
Moyo wa Chiku uliingia hofu kubwa akajua mumewe amehisi Vero anachepuka kitu ambacho ni hatari sana kwake pamoja na mgonjwa!
JE NINI KITAENDELEA?ITAKUWAJE MZEE MTATA AKIMFUMANIA LUKAS?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 34

Lilikuwa ni jambo la ghafla sana kutokea,Chiku hakuwa amejiandaa kwa hilo!ilikuwa ni hatari sana kwa Vero kama akifumaniwa na mzee Mtata!
Kufumaniwa kwa Vero kunamaanisha pia ni mwisho wa Lukas,kama ni mwisho wa Lukas ina maana kwamba Chiku na wenzake waliobaki hawatapata penzi la Lukas,jambo ambalo hakukubaliana nalo kabisa!
“Mume wangu una nini leo?”
“Sielewi nahisi ngome yangu inachezewa!”
“Ivi mume wangu ulivyo jabali kweli unawaza kuna mtu wa kukuchezea hapa kijijini?au hujatosheka mume wangu nikuongeze!?”
Ilikuwa lazima akili ya ziada itumike ili kumzuia mzee yule kutoka nje,Chiku aliongea huku anampapasa mzee kifuani!
“Lakini nahisi kuna kitu!”
“Mume wangu usinambie nguvu zako zimeisha mi navyoamini hakuna wa kuingia kuleta fujo hapa!”
“Kweli eeh?”
“Mume wangu wewe ni jabali hapa,na hata mi mwenyewe najivunia kuwa na mume kama wewe!”
“Ila kweli hakuna wa kunichezea Mtata,tulale mkewangu!”
Samson alisalimu amri sembuse Mtata,hiyo ndiyo nguvu ya mwanamke,wanasemaga hakuna mkate mgumu mbele ya chai,kwa mara ya kwanza mzee Mtata akazisaliti hisia zake ambazo zilikuwa za ukweli!
Kama angetoka na kukagua ni wazi Lukas na Vero wangekuwa matatani siku ile,na kwa roho ya yule mzee sijui angewafanya nini?

*********

Kulikucha Mzee Mtata akaelekea kilingeni muda huo Chiku alishaamka alishaamka wamejikusanya na wenzake wanamsubiri Vero aamke!
Walisubiri sana siku hiyo hawakuona mtu mpaka inafika saa nne bado Vero alikuwa hajaamka!
“Jamani huyu Vero ebhu kamwangalieni!”,alisema Chiku!
“Ngoja mi nimpelekee mgeni dawa na chai nimuone kwanza au kapitiwa yuko huko?”
Alisema Lole wakamruhusu akaenda kwa mgonjwa,alimkuta Luka kalala,na kilichomshangaza ni kuona shuka limetuna kwa mbele,jambo lile lilimpa uhakika kabisa kuwa Vero alipata dozi ya uhakika!
Alijkuta damu inaenda mbio mate yakamtoka akatamani aipate bakora muda ule,lakini isingewezekana,kumsaliti mzee Mtata akiwa kwenye kilinge chake ni sawa na kwenda kujisaidia kwenye kambi ya jeshi!
Aliweka vile vitu kisha kishingo upande akageuka na kuondoka zake,alifika akakuta wenzake wanamsubiri kwa hamu!
“Vipi yumo?”
“Hapana hayumo atakuwa kwake!”
Wakati wanajiuliza Vero alitoka ndani akiwa anapiga miayo,tembea yake tu ilionyesha ni mtu aliyechoka sana!
Alikuja taratibu akawasalimia kisha bila kuuliza akazama jikoni wote wakaingia wakamkuta anakula vizi kwa pupa,alionekana ana njaa isiyo kifani!
“Shoga vipi?kwema?”,aliuliza Chiku!
“Jamani niacheni nile kwanza!”
Walibaki wanamkodolea macho mpaka alipomaliza kula akashushia na maji mengi kisha akatulia!
“Yule mkaka muuwaji!”
Hiyo ndiyo ilikuwa kauli ya kwanza kabisa kutoka kwa Vero,kauli ile iliwapa shauku ya kutaka kujua kilichotokea usiku!
Vero aliwasimulia kila kitu kilivyotokea huku akisema amepigwa bao tatu za nguvu zenye ujazo usiyoelezeka kabisa!
Simulizi ile iliwatoa udenda wenzake hasa Chiku ambaye siku hiyo ndiyo ilikuwa zamu yake ya kubanjuka na mgeni!
Baada ya simulizi ile yenye kusisimua,Chiku naye aliwapa simulizi ya kutisha!Aliwaambia jinsi mzee Mtata alivyotaka kushtuka na kutoka nje usiku!
Wote walimsifu kwa kumlaghai mzee Mtata hasitoke nje,la sivyo wangekuwa wanaongea vitu vingine kabisa!
“Msijali mi najua alipoweka kitu kinachomfanya ashtuke kukitokea jambo hapa ngomeni,ntaenda kukitoa wala hatoshtuka tena!”,alisema Chiku mke mkubwa wa Mzee Mtata!
“Wacha weee!mbona atafurahi huyu mzee!”
“Ndiyo akome kuloga watu ili awaowe akijua hana uwezo wa kuwaridhisha,mwenzake kafia gesti juzi katakuja kutufia kifuani aka kazee!”
“Hahahahahahaha!”
Mzee Mtata sasa alikuwa anasalitiwa na kinyago alichokichonga mwenyewe,kama kuna mtu anamjua nje ndani ni Chiku,huyu ni mwanamke anayemuamini sana,alimfundisha hata baadhi ya uganga wake!
Chiku anazijua siri zote za Mzee Mtata,anaujua udhaifu na nguvu zake,alienda mpaka sehemu ambayo anajua mzee yule aliweka dawa ambayo inamuonyesha hatari ikiwepo kwake!
Hakujua ile ni nguvu kubwa ya mzee Mtata,dawa ile ilikuwa inampa nguv kubwa sana,kuitupa ni sawa na kutupa nusu ya nguvu zake,ile dawa ilikuwa inamuongezea nguvu hasa pale alipotumia nguvu nyingi kutibu watu na kadhalika!
Aliifukua na kwenda kuitupilia mbali,akiamini sasa watakuwa huru kabisa kufanya wapendacho na Lukas!
Aliporudi kutoka porini kutupa ile dawa alishangaa kupewa taarifa kuwa Mzee Mtata anamuhitaji kilingeni,alijiuliza kumetokea nini au kajua kuwa ametupa dawa yake?
JE NINI KITAENDELEA?KWANINI CHIKU KAITWA KILINGENI?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 35

Mapigo ya moyo yalimuenda mbio sana,wasiwasi ulimtawala bado hakujua kwanini kaitwa kilingeni!
Mambo yote yanayoendelea ni yeye anahusika,hata tego la Lukas kutosimamisha ni yeye alilitegua,jambo lile lilimuongezea wasiwasi zaidi!
“Jamani naogopa kwani kasemaje?”,aliuliza Chiku!
“Sisi hatujui!”
Taratibu akazipiga hatua kuelekea kilingeni,ungemuona ungemuhurumia kwa jinsi alivyokuwa anatia huruma!
Alifika akakuta Mzee Mtata yuko na mteja,akasubiri mpaka akatoka ndiyo akaingia ndani,alimkuta Mzee Mtata anamsubiri kwa hamu!
“Mume wangu mpenzi umeniita?”
“Keti!”
Alikaa huku akijitahidi kuificha hofu aliyokuwa nayo,anamjua mumewe kumgeuza msukule ni dakika moja tu!
“Nambie mume wangu!”
“Nimekuita hapa nikuulize hapa nikuulize yule mgonjwa anaendeleaje?maana nilikupa wewe jukumu la kumzindua !
“Mume wangu bado hajazinduka,bado kumbukumbu zake zinakuja na kupotea!”
“Ooh sawa jitahidi apone haraka,kwao wananisumbua!”
“Ni icho tu mumewangu?”
“Ndiyo unaweza kwenda!’
Kidogo amani ilirejea moyoni,akiamni mumewe hajagundua chochote bado!Alinyakunya na kuzipa hatua ila kabala hajatoka mumewe alimuita!
“Chiku!”
Moyo ulipiga paah!akageuka moyoni akiwa hofu kubwa,akakutana na tabasamu la mumewe!
“Jana umenionyesha unaniamini sana,umeniita jabali hahahahaha!nadhani hamna kilichotokea,ngome yangu haiwezi kuchezewa hahahahaha!”
Chiku alitabasamu akamwagia sifa mumewe kisha akaondoka zake,moyoni alijisemea,’Mwaka wako huu mzee utaisoma namba!”

Kuanzia siku hiyo sasa ikawa ni dozi tu,walienjoi wapendavyo,ilikuwa ni kila siku mmoja kati yao anapewa bao tatu za mgeni!
Walizidi kupendana na kuheshimu zamu zao za kuchepuka,tabasamu lilitawala nyuso zao,huzuni yao iliondoka kwa muda mfupi!
Aliyepewa jukumu la kumtibu Lukas ni Chiku,ivyo yeye ndiye aliyekuwa anaulizwa hali ya Lukas, na kili siku jibu lilikuwa bado hajapona!
Walimjali sana Lukas japo kwa siri,Lukas aliishi kifalme alikula kuku na mbuzi za kafara akaanza kunawiri na kupendeza sana!
Mzee Mtata ni kama baada ya dawa yake ya kunusa hatari kutolewa akili yake iliganda,hakujua chochote,yeye akiambiwa bado hajapona anaamini bila kusema neno!
Lukas alikula na kushiba hakuwa na mawazo,hata kumbukumbu zake zilisharudi tayari,lakini hata yeye alinogewa na wake wa mganga,na vile walimpenda akajikuta yeye kazi yake ni moja tu kuwatembezea bakora tu!na alizitembeza kweli kweli!

********
Mama Zubeda hakuwa na jinsi alisubiri hizo wiki mbili ziishe ili mgeni arudi tena nyumbani,upweke uliitawala nyumba ile,ni Johari peke yake alikuwa hana habari na Lukas!
Wote walioonja bakora ya mgeni walijikuta katika wakati mgumu,kwa kipindi kifupi alichokaa nao ilikuwa kama wameishi miaka mingi sana!
Mama Zubeda hakutaka kurudi kwa mganga akihofia kuwa Mzee yule angemuomba tena penzi lake,alidhalilika mara moja hakutaka kudhalilika tena!
Baada ya wiki mbili kuisha ndipo hofu uilianza kuwatawala,mgeni hakurudi na siku zilishazidi,hapo Mama Zubeda hakuwa na namna,aliifunga safari mpaka kwa mzee Mtata!
Alifika na kuta mzee Mtata kakaa nje anaota jua,Mzee yule alipomuona alitabasamu kisha wakaingia kilingeni!
“Karibu mpenzi!”
“Shemeji kuwa na aibu ile ilikuwa bahati mbaya mi siwezi kuwa mpenzi wako tuheshimiane kama zamani!”
“Sasa we uliona wapi mtu akuchungulie halfu hakuheshimu kama zamani,we kubai tu tuendelee,pia naweza kukuoa mimi uje uishi hapa!”
“We mzee unazeeka vibaya!hayo hayajanileta hapa nimemuijia kaka yangu wiki mbili zimeisha!”
“Hhahahaha umeufata msukule?”
“Unamaanisha nini?”
“Hajapona bado!”
Mzee Mtata alimuita mkewe Chiku akamuambia ampeleke Mama Zubeda akaone maendeleo ya mghonjwa wake!
Chiku aliongozana na Mama Zubeda huku akiwa na wasiwasi mkubwa sababu anajua Lukas alishapona kitambo ni yeye na wenzake ndiyo hawatakli aondoke!
Mama Zubeda aliingia kwenye kile kijumba na kumkuta mgeni kalala kwa uchovu wa mechi ya usiku!
Chiku alimuamsha akaamka,Lukas alimtambua mama Zubeda kabisa sababu sasa anakumbuka kila kitu!
JE NINI KITAENDELEA?LUKAS ATAKUBALI KUONDOKA NA MAMA ZUBEDA?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 36

Wanasema mbegu huchipua na kumea kwenye rutuba,matunzo aliyopewa Lukas na wake wa Mzee Mtata ulimfanya anogewe na kusahau kabisa familia ya mzee Jomo!
Kitendo cha kumuona Mama Zubeda kulimaanisha kuwa anatakiwa kurudi kwenye familia ya mzee Jomo,nafsi yake bado ilitaka kula raha kwa mzee Mtata!
Alijua lazima ipo siku angerudi lakini si kwa muda ule,bado alitaka kuishi kifalme kwa mzee Mtata,hakujua kuwa anacheza na kiberiti kwenye tanki la mafuta!
“Lukas!”
Mama Zubeda alimuita Lukas kwa furaha lakini cha ajabu alibaki tu anamshangaa,jambo lile klilimtia huzuni Mama Zubeda!
“Lukas hunikumbuki?”
“Wewe ni nani?”
Kauli ile ilimchosha Mama Zubeda machozi yalimtoka,uchungu ulimkaba kwa hasira akatoka mle ndani na kukaa nje akaanza kulia!
Muda si mrefu alishangaa kuona bakuli la supu ya kuku linaingia kwenye kile kijumba hadi yeye mwenyewe akashangaa!
Aliamini labda ndivyo wagonjwa wanakula ivyo pale,hakuwa na namna alirudi kilingeni na kumkuta Mzee Jomo!
“Shemeji kwa hiyo kaka yangu anapona lini?”
“Sijui labda inamsmbua mizimu ya kwao nadhani tumpe wiki mbili tena!”
“Jamani shemeji mbona nyingiiii,mtibu apone ntakupa chochote unachotaka!”
“Hahahahaha!shemeji bhana,utanipa nini?”
“Chochote!”
“Hahahahah!utanipa tigopesa?”
“Nitakupa!”
“Hhahahahahaha!sawaq nipe siku tatu uje umchukue au atakuja mwenyewe!”

Mama zubeda aliondoka akiwa na furaha akiamini baada ya siku tatu tu mgeni atarudi nyumbani!
Ila njia nzima alikuwa anajiuliza kuhusu malinda yake,mchezo mchafu anaoutaka mganga ulimpatia hofu kubwa sana,hakuwa amewahi kufanya vile wala kufikiria kufanya vile!
“Ila kananii kake kadogo bhanaaa,mmh!ila huyu mzee kumbe mchafu hivi?usikute hata wake zake anawafanyia vile!”
Ni maswali aliyokuwa anajiuliza njia nzima,alidhamiria kufanya kila kitu ili Lukas atoke!

********

Chiku alikuwa kwenye kijumba cha mgonjwa akijifanya kama anampa dawa,kumbe alikuwa anapiga naye stori!
“Kwanini umejifanya humjui yule mama?”
“Kwani mnataka niondoke lini?”
“Mhh kwa kweli kati yetu,tunatamani ukae hapa hapa?”
“Hiyo haiwezekani ni lazima niondoke,mume wenu atanishtukia sasa!”
Wakiwa wanapiga stori ghafla Mzee Mtata aliingia ,bahati nzuri walikuwa hawajagusana,Alimkuta Chiku kasimama na bakuli la dawa!
Walishtuka sana ila walijitahidi kuificha hofu machoni kwa mzee Mtata!Chiku alisimama na bakuli lake la dawa!
“Vipi anaendeleaje?”
“Bado mume wangu,hata jina lake halikumbuki!”
“Anatakiwa arudi kwao baada ya siku tatu tu,mlete kilingeni nimshughulikie!”
Kauli ile ilimuumiza Chiku lakini hakuwa na jinsi,hakujua kwanini mume wake ameamua ghafla kuliingilia lile suala,bila kujua kuwa mumewe ameahidiwa tigopesa kama malipo ya kumzindua Lukas!
Mzee Mtata alitangulia huku nyuma wakabaki wawili,kwa hali ilipofikia ni wazi kuwa Lukas anarudi nyumbani!
“Lukas hakuna namna akikutibu jifanye umepona tu!”
“Sawa!”
“Ila tutakumiss sana!”
“Nitakuwa nakuja!”
“Mhh utapata wengine huko,utatukumbuka kweli sisi?”
“Siwezi kuwasahau!”
Hakukuwa na namna tena,Chiku alimuongoza mpaka kilingeni akamuacha ndani anatibiwa kisha akaondoka zake!
Alienda kuwapasha habari zile wake wenzie ambao walisikitika sana kwa taarifa ile,japo waliapa kuwa watakuwa wanamfuata usiku hadi anapoishi ili kupata penzi lake!

Mzee Mtata alichukua dawa akaanza kumfanyia kisha akamfukiza alipomaliza akawasha moto Lukas akauzunguka mara kumi!
Kisha baada ya kuuzunguka alihisi kama akili yake imekuwa nzito,alikaa chini akawa ameinamisha kichwa chake!
“LUKASIIIIIII!”,mzee mtata alimuita kwa nguvu kuona kama Lukasi atakuwa amekumbuka!
JE NINI KITAENDELEA?LUKAS ATAITIKA AU ATAKAUSHA?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 37

Hakuna chenye mwanzo kilichokosa mwisho,kila barabara ina mwisho wake,!Maigizo aliyofanya Lukas yalifikia mwisho,kwa jinsi yule mzee alivyomshughulikia kama angesema hajapona lazima angeshtuka!
Mzee Mtata baada ya kufanya manyanga yake aliamua kujaribu kuona kama tiba yake imefanya kazi,aliamua kumuita kwa nguvu!
“Lukasiiiiii!”
“Naaaaam!naitwa Lukas Mdafu mama yangu anaitwa Jenifa ni mnyakyusa wa mbeya nilizaliwa katika kijiji cha….!”
“BASIIIII!”
Mzee alimkatisha baada ya kuona kijana anataka kutaja mpaka kijiji alichozaliwa,ilionyesha kumbukumbu zilirudi kwa kasi isiyoelezeka,hata Lukas alibaki anajishangaa kwa jinsi alivyoropoka!
Kwa namna yoyote pale hata kama angepanga kuficha kuwa hajakumbuka angeumbuka tu,Mzee alimuangalia kisha akacheka akionyesha kufurahi!
“Kijana sasa umekumbuka utakaa hapa leo na kesho ya tatu watakuja kukuchukua au utaondoka mwenyewe!”
“Sawa mzee!”
“Unaweza kwenda kupumzika!”
Mzee Mtata alimuita mkewe mkubwa kilingeni ili ampe maelekezo,Chiku aliingia akiwa na uso wa huzuni!
“Nimekuita nikuambie huyo kijana kapona tayari,atakaa hapa siku mbili ya tatu ndugu zake watamuijia,kwahiyo endelea kumpa dawa!”
“Sawa mume wangu!”
“kingine naondoka naenda safari kidogo kwa siku mbili,nina kikao kongo kinshasa leo na kesho nitakuwa Nigeria,kwahiyo utabaki kilingeni watibu utakaoweza watakaokushinda waambie wanisubiri!”
“Sawa mume wangu!”

********

Taarifa ya safari ilirejesha tabasamu kwao,wakaona kama wautumie muda ule kuenjoi na Lukas!Baada tu ya Mzee Mtata kuondoka zake kimiujiza kwenda zake kongo,walianza mikakati huku mwenyekiti akiwa Chiku!
Walikubaliana hakuna tena mambo ya zamu,walikubaliana kwa vile zimebaki siku chache wafanye wote tu kwa pamoja!
Kama kuna kitu Mzee Mtata alikosea ni kujaribu kumfanya Lukas msukule,ni mara mia angemuua kabisa hasionekane,kuliko kumsamehe kwa rushwa ya ngono ya mama Zubeda!
Lukas alikuwa ndani anawaza maisha baada ya kutoka pale,ni wakati huo alionekana kuimiss sana familia ya mzee Jomo hasa Selina!
Kati ya wote Selina ndiyo alikuwa moyoni mwake ,bila kujua kuwa Selina ndiyo roho ya mzee Jomo!
Hata yeye hakujua kwanini hisia zake ziko kwa Selina tu,wengine wote ni kama aliwatumia ila kwa Selina ilikuwa tofauti!
Lukas alishindwa kusimamia misimamo yake,kila akisema anaacha kutembea na wanawake wanaomumweka kwenye hatari shetani anajitokeza na kuvunja misimamo yake!
Lukas alikuwa mtu wa kucheza michezo ya hatari kila siku,michezo iliyomkimbiza mjini na kumleta kijijini!

Muda nao ulitaradadi sana,jua likajichimbia mawinguni giza likachukua nafasi yake!Lukas hakujua kuwa usiku ule ni usiku wa vita!
Wake wa Mzee Mtata wamepanga kufanya naye mapenzi wote bila zamu tena kama walivyofanya mwanzoni!Wanafanya vile sababu anaondoka kesho kutwa!
Akiwa usngizini alihisi kama anapapaswa,hakushtuka sababu alishazoea ile hali,ndiyo maisha anayoishi na wale wanawake!
Alijua moja kwa moja muda umefika wa kulipa kuku na supu wanazompa kila siku,alitulia akajifanya amesinzia!
Shuka lilitupiliwa mbali pensi yake ikavuliwa kisha bakora yake ikaanza kupapaswa,tofauti na siku zote alihisi anapapaswa na mikono mingi sana!
Alishtuka alichokiona hakuamini!Wake wote wa mzee Mtata walikuwa ndani ya kile klijumba wakiwa watupu wakiongozwa na Chiku!
“Shiiiiiiiiiih!usiogope mzee hayupo,leo utatupa wote baba sawa neeh?”
Aliongea Chiku lakini Luka hakujibu kitu alichokiona kilimfanya apigwe na butwaa!Kushangaa kwake hakukuwafanya wanawake wale waache kufanya walichodhamiria!
Waliendelea kumgusa sehemu mbalimbali mwingine akimnyonya bakora mwingine kifua mwingine shingo,yaani ilikuwa balaa!
Kwenye kumbukumbu zake anakumbuka mechi kama ile alishaifanya mjini ila kwa wanawake watatu,lakini sasa hii kaongezeka mmoja!
Lukas alitabasamu na kujisemea moyoni,”hivyo ndivyo Lukas vitu anapenda!”
Akiwa hana hili wala lile Vero alimkalia na kuizamisha bakora yote mpaka ndani,alishaizoea sasa siyo kama mwanzoni!
Alianza kuikatikia huku anatoa milio iliyozidi kuwaongezea hisia wake wenzie,alikinyonga kiuno huku anauma meno na kufumba yake!
“Aaaaaaahsssiiiiiiihh jamaniiiiiii tamuuuuuu mmmhhhh…nakojoa!”
Vero alishusha dafu lake kisha akatulia kifuani,akasahau kama kuna wenzake wanaitaka bakora,Lolenza alimvuta na kumuweka pembeni kisha akataka kuikatia ila Luka akakataa,alisimama akamuinamisha kilichofuata hapo ni wimbo usio n kiitikio!
JE NINI KITAENDELEA?LUKAS ATAWEZANA NA HAO WANAWAKE?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 38

Ilikuwa vuta nikuvute patashika nguo kuchanika,mechi ilikuwa kali mpaka nyasi zilijutia kuotea pale,ilikuwa panda shusha,shuka panda!
Raha kulia mpokezane,ndivyo ilivyotokea akitoka huyu analizwa huyu,Lukas alikuwa kishoka siku ile,kama ni mchezaji basi alikuwa ni messi anapiga chenga na kufunga kama Ronaldo!
Siraha zake alizoziamini ni bao tatu tu za nguvu,siku ile alikuwa mgumu sana,mpaka anavunja dafu mbili wale wanawake wote walihisi kama asali zao zinawaka moto!
Lukas kawaida yake ni mpaka aangushe madafu matatu ndiyo kiu yake iishe,alivunja mbili la mwisho kila mtu alikuwa akimgusa anasema nimechoka!
Lukas hakukubali alimvuta Chiku ili abebe mizigo ya wengine,Chiku alikuwa vizuri mno,umbo lake lilikuwa si kubwa sana,alikuwa na bambataa lenye ushawishi!
“Jamani nimechoka mimi we kaka!”,alijitetea lakini Luka aliziba masikio,walianza shoo usiku lakini sasa kulikuwa kunataka kukucha huku Lukas akiwa bado wamoto!
Chiku aliomba aachwe lakini kashachaguliwa,wenzie walipoona mambo yamekuwa magumu walitoka na kuacha Chiku anapelekewa moto!
“Lukasiii nimebwana mkojooo jamaniiiii wee kakaaa!”
Lukas hakuwa na cha msalia mtume,alikuwa bize analitafuta bao lake la tatu kukamilisha hesabu yake ya siku!
Chiku alilia mwisho akanyamaza akasubiri tu Lukas amalize amuachie!Mpaka anashuka Chiku alikuwa hoi hajiwezi na usingizi ukamchukua moja kwa moja akalala mle mle ndani!

*******

Zubeda hakuwa na furaha ,alilimiss sana penzi la mgeni,kwa muda wa wiki mbili zile aliamua kumrudia mpenzi wake,lakini ilikuwa ni kazi bure,mpenzi wake alikuwa kama jogoo kupanda na kushuka!
Msiri wake alikuwa Zahara,ndiye aliyekuwa anamuelezea jinsi alivyommiss mgeni,bila kujua kuwa wote wanampenda mwanaume mmoja!
Hakujua kama Zahara pia alikuwa anatoka kimapenzi na mgeni,tena chanzo kikiwa yeye mwenyewe,Zahara alihamasika kutembea na mgeni sababu ya sifa alizoziskia kuhuhsu bao tatu za mgeni!
“Sasa shoga yangu wewe siku ile tumeenda kwa Mzee Mtata umetoka kilingeni bila hata kusema alichokuambia,umenificha mpaka leo!”
“Mhh!shoga yule mzee mashenzi alinambia eti kama nataka amzindue nimpe penzi!”
“Tobaaaaaa!kile kibabu kilikutaka?”
“Ndiyo ivyo shoga!”
Zahara aliwaza kitu baada ya kusikia kuwa mzee Mtata alimtaka Zubeda,akaona amtumie shoga yake tu,amshawishi ampe penzi mzee Mtata ili mgeni atoke!
“Ila shoga ningekuwa mimi ningempa tu mzee Mtata!”
“Unaongea nini wewe!”,alifoka Zubeda,kitendo cha kumtaka akubali kutembea na mwanaume mwenye umri pengine kuliko baba yake kilimchefua!
“Sasa shoga wewe unafurahi mpenzi wako anateseka huko,utakuwa humpendi wewe,mi nampenda mtu nishindwe kuvua nguo siku moja tu kumuokoa jamani!?”
Maneno ya shoga yake yalimchoma moyoni na kujikuta anashawishika kufanya mapenzi na mzee Mtata kumuokoa mpenzi wake!Bila kujua anaokoa danga la jamhuri!
“Sawa mi ntafanya naye ila siku moja tu!”
“Sasa kwani ameomba mara ngapi jamani ni mara moja tu!”
“Sawa ntafanya!”
“Kwahiyo nikusindikize saivi au?”
“Weeh leo simba wanacheza nadhani ntamaliza kesho twende keshokutwa!”
“Sawa!”
“Ila usinicheke!”
“Sa nikucheke nini na huku unafanya ushujaa kutuokolea mume wetu!”
“Umesema!!!!?”,alijisahau Zahara akaropoka!
“Haaaaa shosti namaanisha unamuokoa shemeji!”
Zubeda aliondoka huku akiwa ameahidiana na Zahara kuwa atampitia kesho kutwa waende kwa mganga kufanya kitendo cha kishujaa,mganga anataka rushwa ya ngono!

*********

Safari ya Mzee kwenda Congo ilifanikiwa kwenye kikao chao cha kichawi,lakini safari ya kwenda Nigeria ilihairishwa,hivyo ilibidi arudi zake nyumbani asubuhi!
Kama kawaida alipanda usafiri wake akatua kilingeni,alibadili nguo kisha akatoka nje,kitendo cha kutoka tu wake zake wakamuona walishtuka sana!
Mpaka muda huo Chiku alikuwa kwenye kijumba cha mgeni kalala hana habari,akiamini mumewe ana safari ya kwenda Nigeria bila kujua mipango siyo matumizi!
Mzee Mtata licha ya kuwa na wake wanne ila upendo ulikuwa kwa mke wake mkubwa,sababu ndiyo msiri wake mkubwa!
Wake zake walimsalimia akaitikia huku moja kwa moja akielekea kwenye nyumba ya Chiku,alifika akaingia akakuta patupu!
“Chiku yuko wapi?”,lilikuwa ni swali kwa wake zake wadogo wote wakaangaliana!
JE NINI KITAENDELEA?WATAMJIBU NINI MZEE MTATA?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 39

Mzee Mtata hakuwa na hofu baada ya kumkosa Chiku kwenye nyumba yake,ila alipata hofu baada ya uwauliza wake zake wengine wakamjibu kwa hofu na kujikanyaga!
Hakutaka kuamini kabisa kwamba mawazo yake yapo sahihi,kwamba Chiku ameanza kumsaliti,ni kitendo kisichowezekana kwake!
Aliamini mke wa Mzee Mtata hakuna anayeweza kuthubutu kumgusa kabisa achilia mbali kumtongoza tu,wote walikuwa wanamuogopa sana mzee yule katili!
“Mnasema hamjui halipo?”
“Ndiyo!”
Mzee Mtata alihisi kichwa kinauma,anajua alishatega alam yake hili jambo likitokea tu ajue lakini mbona mke wake hayupo na hana habari?
Aliingia ndani akatafuta jembe ila wakati anatoka alishangaa kumuona mkewe akiwa amebeba mfuko wa viazi!
Haikujulikana alikuwa anataka kwenda wapi na lile jembe,ila kitendo cha kumuona Chiku akiwa na mfuko wa viazi kilimshangaza na kumpoza!
“Mume wangu umerudi?”
“Ulikuwa wapi?”
“Nilimiss viazi nikaenda shamba mume wangu!”
Mzee Mtata alirudisha jembe ndani akatoka na kiti akakaa,akawasha kiko yake akaanza kuvuta!

********

Chiku alishtuka baada ya kusikia sauti ya mume wake ikimuulizia,alikurupuka hakuamini kama alilala kwa Lukas mpaka asubuhi,yaani siyo kumekucha tu bali ni asubuhi kabisa!
Mapigo ya moyo wake yaliongezeka kasi akajua siku hiyo ndiyo mwisho wa maisha yake,na siyo yeye tu hata Lukas pia!
Muda ule Lukas alikuwa hoi kalala,sifa alizofanya usiku hazikumuacha salama kabisa!Chiku hakutaka kumuamsha Lukas alitaka acheze mwenyewe mchezo ule wa kikomandoo,mchezo wa kifo au kuishi!
Wakati mzee Mtata ameingia ndani kuchukua jembe,Chiku alitoka kama umeme mpaka jikoni kulikuwa na mfuko wa viazi akatoka nalo haraka!
Wake wenzake waliona picha nzima ila walikausha kutokana na kwamba wanashirikiana,na walishaamua kuwa tatizo la mwenzao ni lao!
Chiku alicheza kama pele akafunga kama Ronaldo!wenzake walitamani kucheka lakini walijizuia!

***********

Lukas aliamka akiwa hana hili wala lile,alijinyoosha kutokana na uchovu mkubwa aliokuwa nao!Aliinuka na kukaa kitako huku anapiga miayo ya njaa!
Alikiangalia kile kijumba akavuta picha na kukumbuka filamu ya jana yake,moyoni alisijisemea kama ingekuwa picha ya ngono ingeuza sana,na bila shaka kama ni shujaa wa mchezo angekuwa ni yeye!
Alikumbuka jinsi alivyowasulubisha wake wa Mzee Mtata mpaka wakasalimu amri,
“Lukas!mwanaume wa shoka!”,alijisemea huku akitabasamu!
Alizichua nguo zake na kuzitupia mwilini,aliishukuru sana bakora yake kwa kumuheshimisha japo kuna muda hiyo heshima inamuweka matatani!
Alipomaliza kuvaa alitoka nje huku anapiga mluzi akiimba wimbo wa zuchu hakuna kulala,alishtuka baada ya kumuona mzee Mtata kakaa nje kwenye mlango wa Chiku!
Alikumbuka Chiku alimwambia kuwa mume wao kasafiri,alijiuliza karudi sangapi na kwanini kakaa nje na siyo kawaida yake kabisa!
Mapigo ya moyo yalimdunda kwa kasi huku kijasho chembamba kikimtoka,hakuwa na namna zaidi ya kwenda alipo yule mzee!
“Shikamoo mzee!”
“Marahaba kijana vipi unajisikiaje?”
“Niko vizuri nimekumbuka kila kitu!”
“Hhahahahaha safi kwa hiyo umekumbuka kama uliingiza ng’ombe kwenye shamba langu?”
“Ndiyo mzee samahani sana ni bahati mbaya mimi sijui kuchunga ni mgeni!”
“Aaaah usijali kijana,Vero mkewangu mletee kiti kijana,anaonekana mstaarabu sana!”
Vero alileta kiti Lukas akakaa huku presha yake ikiwa imepungua sana,alijua labda mzee yule kagundua kuwa amelala na wake zake wote usiku wa jana,tena amewapa dozi mpaka wakamkimbia!
“Usijali kijana kesho asubuhi utaondoka hapa,utachagua mwenyewe kusubiri wakufuate au uondoke mwenyewe mi nitakuwa nimekuruhusu!
Walikaa wakapiga storina mzee Mtata ambaye kumbe jkuna muda anakuwa binadamu,Lukas alipata bahati ya kumjua mzee Mtata siku ile!
Aligundua ni mcheshi sana maana stori zake alikuwa anamsimulia anaishia kucheka sana,zilikuwa zinafurahisha sana!
“Kijana unawaonaje wake zangu?Hujawatamani kweli?”
Lilikuwa ni swali la ghafla ambalo hakutegemea kabisa kutoka kwa mzee yule,hakujua kwanini mzee yule amemuuliza swalin gumu namna ile!

JE LUKAS ATAMJIBU NINI MZEE MTATA?

Chombezo………….BAO TATU ZA MGENI!
Mtunzi……………….Jack Mambo
Whtsp………………..0752761388
Call…………………….0716352102
Umri…………………..18+

Sehemu ya 40

Swali lile halikumshtua Luka peke yake ,hata wake wa mzee Mtata walishtuka sana!Hakuna hata mmoja aliyetegemea kama mzee atauliza swali lile!
Mapigo ya moyo yalienda mbio,swali lile lilimfanya Lukas awaze mengi,aliaza pengine yule mzee kashagundua mchezo wake,alipojumlisha na tukio la kurudi ghafla na huku alisema anasafiri siku mbili ilimtia hofu sana!
“Vipi kijana unawaonaje mbona unababaika!”
“Aaah!ni wazuri sana,hongera mzee unajua kuchagua!”
“Hhahahahahahaha!kwenye hii dunia jitahidi sana upate vitu viwili!”
“Vitu gani mzee?”
“Uwezo na umaarufu!ukikosa kimoja uwe nacho kimoja utaishi vizuri,ila ukitaka kuishi kwa amani epuka vitu viwili!”
“Vitu gani mzee!”
“Dhuluma na wake za watu au waume za watu!”
Moyo wa Luka ulipasuka kwa hofu sababu kama wake za watu yeye ndiyo fundi wa kuwachukua,hata wake zake kapita nao wote!
“Sawa mzee wangu hakika nimepata somo kubwa sana leo!”
“Hasiyefunzwa na mamaye ulimwengu upo kwaajili yake!”
Mzee Mtata aliongea vile kisha akaondoka zake na kumuacha Lukas akiwa na maswali mengi,alishindwa kuelewa yale ni maongezi ya kawaida au ni nini?Sababu Mzee Mtata alikuwa kama anamsema!
Lukas alijizoa akaingia bandani kwake akiwa na mawazo mengi sana,siku ile hata chakula alikula basi tu,maneno ya yule mzee yalimpa hofu kubwa!
Usiku wa siku ile hakuna aliyetokea kabisa kwenye gheto lake la muda,nadhani waliogopa maneno ya mzee Mtata au dozi ya jana ilikuwa kubwa!
Lukas alishukuru sana kutokutokea kwao maana kama wangetokea siku ile ingekuwa utata sababu hakuwa na hamu kabisa!

Kulikucha asubuhi Lukas akaamshwa na Mzee Mtata mapema,alitoka akamkuta kajifunga msuli wake anamsubiri!
“Shikamoo mzee!”
“Marahaba kijana,leo ni siku ya kuondoka hapa nimekuamsha nikufanyie dawa!”
“Sawa mzee wangu!”
Mzee Mtata alianza kumfanyia dawa huku na anamchapa na usinga muda huo Lukas ametulia tuli,alipomaliza akaenda naye kilingeni huko akamfanyia madawa yake kisha akamruhusu kuiondoka!
“Mzee samahani!”
“Vipi kuna shida gani tena Lukas!”
“Mzee mi shida yangu nilitaka kujua kama una dawa ya kumsaidia mtu kama alifanya jambo baya sehemu akakimbia hata akirudi sehemu yaani wasahau kabisa wasi…..!”
“Hhahahahahaha!kijanaaaa nishakuelewa mimi ndiyo mzee Mtata hilo kwangu ni jambo dogo sanaaaa!”
“Nisaidie mzee wangu!”
“Kuna jamaa alikuja hapa kachafua hali ya hewa huko mjini,alikuwa jambazi muuwaji anayetafutwa kila kona ya jiji,alikaa hapa siku mbili tu nikamuambia rudi mjini,mpaka sasa anaishi hakuna anayemfanyia fujo!”
“Mzee nisaidie hata mimi nimechafua sana mjini,hapa naishi roho juu juu!”
“Usijali nenda urudi hapa baada ya wiki moja!”
“Sawa Mzee!”
“Ila ukiwa humu unaweza kuaga na kuongea,lakini ukitoka kwenye hii ngome hakikisha ugeuki nyuma na huzungumzi na yoyote mpaka unafika!
“Sawa Mzee ila tatizo sipajui nyumbani vzuri!”
“Usijali utafika wala usiwe na hofu,ila chonde usiongee na mtu usigeuke!”
Lukas alitoka akaingia kwenye kile kijumba punde tu Chiku akaingia huku uso wake umetanda simanzi kubwa,alifika akawa anamuangalia Lukas kwa huruma!
“Kwahiyo ndiyo unaondoka?”
“Ndiyo!”
“Jamani sasa si utakuwa unakuja lakini?”
“Nitakuja msijali!”
Machozi yalimtoka Chiku,ilikuwa ni habari mbaya sana kwao,yeye na wake wenzake ni kama walikuwa wamemgeuza Lukas mume wao!
Maneno ya Mzee Mtata bado yalikuwa akilini,aliogopa lisije likamkuta jambo,alichofanya taratibu akazipiga hatua akatoka kwenye kile kijumba na kumuacha Chiku kasimama!
Wake wengine wa Mzee Mtata walikuwa nje wakamsindikiza Lukas kwa macho na kumuona akitokomea zake kurudi kwenye makazi yake!
Huzuni aliwatawala lakini kila chenye mwanzo kina mwisho,ingawa bado walijipa tumaini kuwa bado Lukas ataendelea kuwapa penzi kama kawaida!

Lukas kama yalivyokuwa maelezo ya mganga alisonga na kukata mitaa akiwa haelewi anakokwenda,isipokuwa nafsi ilimpeleka akiamini anakopita ni njia ya kwenda nyumbani!
Akiwa njiani ghafla anakutana na Zubeda na Zahara ambao walikuwa wanaenda kule anakotoka,Zubeda alipomuona Lukas alishindwa kujizuia ,alimkimbilia na kumkumbatia kwa furaha bila kujua kapewa masharti na mganga!
JE NINI KITAENDELEA?LUKAS ATAVUNJA MASHARTI?
,,,,
 
stori tamu sana na yenye mafunzo yaliyoshiba...kweli hizi ku....ma zinaweza kukupelekea mikosi ya ajabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom