Chochonde,tunapofanya madudu yetu,hebu tuwakumbuke watoto alaaaaa!!

Kwanini mimba zilazimishwe kutoka, wakati mna uwezo wa kuzuia mimba isitungwe vipi kama wewe ungetolewa ungengia JF ukiwa akhera? gharama za uzuiaji zinapatikana bure jamani. Inasikitisha sana kusikia / kuona watoto wakinyanyasika mitaani.

TaiJike ila idadi kubwa ya watu hawajafanikiwa kuzuia mimba kwa njia hizo,nadhani ni asilimia chache sana.Hata hivo tukitoa tutakuwa tumefanya mbinu ya kumwepusha yule mtoto ambaye angezaliwa ktk mazingira magumu.
btw nimekumiss bby
 
Inafahamika kuwa,inapotokea mtoto akazaliwa "nje ya ndoa",mtoto yule ndo anaadhibiwa kwa kuitwa jina baya sana,eti mtoto haram(silipendi kabisa jina hili).Pia mwanandoa mmoja anapocheat na akagundulika na ndoa kufa bado watoto wanakuja kupata adhabu ya kuishi malezi ya mzazi mmoja na pengine malezi ya hatari kama mzazi mmoja hatakua imara,na pengine mzazi atawatelekeza watoto na watoto kubadilika jina na kuitwa watoto wa mtaani utafikiri mtaa ndo umewazaa,au huitwa "chokoraa" kwa sababu ya starehe ya mtu mmoja.Yapo matatizo mengi yanayosababisha viumbe hawa wateseke usiku kwa baridi kwa sababu hawana pa kulala kisa mama au baba maisha yamemshinda na kuwatelekeza.Hivi dhambi hizi kubwa namna hii ni mwanadam mwenye akili anazifanya kweli?Wengine unakuta ana watoto utafikiri ameahidiwa zawadi kwa kuzaa,watoto wenyewe shule hawaendi kama wanaenda hawana hata viatu na shati la shule halijulikani rangi,hivi umelazimishwa kuzaa?Jamani haya majina sijui mtoto haram,mtoto wa mtaani n.k,nani kayaleta?Kwanini tuwaadhibu watoto kwa makosa yetu?Jamani tunapofanya madudu hebu tukumbuke viumbe visivyo na hatia aidha vitakavyopatikana kutokana na kitendo hicho au kama unacheat na una watoto,hebu fikiri ukijulikana wanao watakua na maisha gani?

hayo nayo maneno
 
Picture this;
Kisha hao watoto wakikua either wawe changudoaz au majambazi. Majambazi wataua watu na kuacha watoto wengine yatima ambao yamkini wakaja kuwa tena watoto wa mitaani. Changudoa wataambukiza ukimwi wanandoa watoto watabaki yatima na wataongeza idadi ya watoto wa mitaani....and so on and so on! Hili ni janga la kijamii- linakuja kuwapata hata wasiohusika!


Petcash,what a circle that is?Linipitaga pale fire siku moja nikawakuta watoto wawili wamefanana,nafikiri ni mtu na dada ake wako age sawa na watoto wangu,walikuwa wanacheza kwa upendo kabisa huku wanaendelea kuomba hela,machozi yalinitoka kwamba inawezekana wale watoto ni makosa madogo ya sisi wazazi yamepelekea wale watoto kuwa pale.Kwamba ni tamaa au uzembe wa mtu mmoja unasababisha watoto wale kuwa hapo walipo.

Na lifestyle ya sasa hivi watoto wale kuja kujikomboa ni miujizi ya mwenyezi mungu,sio kama generation yetu mtu uliweza kutoka from nobody to somebody kwa kuzingatia elimu ya bure,sio kama sasa
 
mi nachukia sana mtu mzima akiwa anakojoa anaambiwa kojoa baby
wakati mtoto akikojoa anachapwa tena wote tendo hilo hulifanya wakiwa
kunako sita sita........sasa hapo wakitumia kinga ile kitu inabaki kwenye kinga wakati
inahitajika ule ujoto aahahahahahahahahaha
 
Kutoa mimba ni kuua kama kuchinja tu na ni Dhambi

Tuheshimu ndoa zetu na Tumwogope Mungu
 
Back
Top Bottom