Enzi hizo bana, unajidai upo chobisi na Kishtobe wako mnapeana Ma-lovedavi, Duh nimekumbuka mbali " Enzi ya Chobisi". Ngoja na leo niingie Chobisi zangu za zamani, Karibuni Chobisi tulambe w/end wakulu mitaa yetu
:rofl::madgrin:
Mitaa gani? Tandale kwa mfuga mbwa?
Enzi hizo bana, unajidai upo chobisi na Kishtobe wako mnapeana Ma-lovedavi, Duh nimekumbuka mbali " Enzi ya Chobisi". Ngoja na leo niingie Chobisi zangu za zamani, Karibuni Chobisi tulambe w/end wakulu mitaa yetu
:rofl::madgrin: