Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,278
- 7,946
Kwenye miaka ya 1980s kulikuwa na mtu anaandika graffitti maarufu ikiitwa 'Chite Spy'. Graffiti hii ilikuwa inapatikana kwenye vituo vyote vya manasi ya UDA, kwenye vyoo bya umma, kwenye mabamgo ya matangazo na hata kwenye kingo za madaraja. Kwenye miaka ya 2000's sijawahi kuiona hii graffiti hadi leo hii. Maswali ninayotaka kuwauliza wana JF wakongwe ni kwamba; (1) Je huyu mwandishi wa Chite Spy alikuwa ni nani? (2) Je vyombo vya usalama vilishindwa kunmkamata? na (3) Je inawezekana alishafariki?