Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Una mke weye?
Tai,come next feb'2013 naomba uwe my valentine!
Una mke weye?
Tatizo lako na wewe umezidi kunikoleza,punguza bana,halafu mwambie zinduna kuwa bishanga is fully occupied,aache kuninyatia.Inakuhu?
Mie mwenyewe ndo namweka Bishanga mjini, ana jeuri huyo?
imagination nayopiga vinalia kwa kukosa mama yao muda mrefu
chit chat bila bishanga haiwezekani.....
Mnachosahau ni kuwa na wake zangu naondoka nao,sijui mtajimwaga na nani?
Hehehee The secretary umeharibika lolWa kufikirika?angalia usije kwenda kumtongoza SALMA2015 utarudi umepata KORODANI CONCUSSION
Hehehee The secretary umeharibika lol
Hayo maneno umeyatoa wapi?
Hehehee The secretary umeharibika lol
Hayo maneno umeyatoa wapi?
Mmmh.... Judgement!! Watu mna misamiati nyie....LOL!
Erick52 za miamko? Huyo Katibu ni mashauzi tu, kafa kaoza kwa Bishanga, asikuchanganyie mistari !
Alishaonjeshwa ile makitu ya asili ya Bukoba, ile ya kufanya kwa above'above ! Not goes far interior!
Chezeiiya maRemote ya Bk weyee!
Mnachosahau ni kuwa na wake zangu naondoka nao,sijui mtajimwaga na nani?