donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,040
- 21,513
Wakuu,
Habari za asubuhi? Wengine ndio tunatoka job since yesterday ndio tunaingia majumbani kwetu now. As wakuu wengine washatangulia church, hebu watu wajitolee waendeshe ibada hapa sasa hivi ili nasi wengine tupate kubarikiwa kwa maana neno lasema wakusanyikapo wawili watatu katika jina langu nami hua kati kati yao (whether virtually or physically).,haya watumishi tuanze kazi.
Habari za asubuhi? Wengine ndio tunatoka job since yesterday ndio tunaingia majumbani kwetu now. As wakuu wengine washatangulia church, hebu watu wajitolee waendeshe ibada hapa sasa hivi ili nasi wengine tupate kubarikiwa kwa maana neno lasema wakusanyikapo wawili watatu katika jina langu nami hua kati kati yao (whether virtually or physically).,haya watumishi tuanze kazi.