Chirwa, Ngoma wanaisaidia Azam?

Ukitoka Yanga Kwa mbwembwe utaacha mpira Yanga
Ukifuatilia sana unaweza kubaliana na huyu jamaa. Maana wachezaji wengi ambao huonekana ni wazuri wakiwa Yanga hubadilika na kuwa wa hovyo wakienda Simba na ama Azam kwa sasa. Hali hii ni tofauti na kinyume chake. Ni wachache sana waliofanya vyema (kuanzia miaka ya tisini). Kidogo Aswile, Kipese, Kizota, Mwanamtwa, Nemes. Ila kwa wanaotoka Yanga na kwenda timu zingine kisha Simba/Azam hao sawa mf. China, Muso. Ila kwa wanaotoka Simba/Azam kwenda yanga karibu wote mambo huwanyookea. Mogella, Gaga, Method, Yondan, SMG, Makunda, Ajib, Gadiel, nk. Nadhani yanga ni makini zaidi wanapochukua mchezaji toka timu pinzani na wanaangalia kiwango kwa makini tofauti na Simba/Azamu, wao huchukua tu mradi katoka Yanga.
 
Azam wanapesa Ila hawajui kuzitumia,maana makombo yote ya Yanga yanafail,angalia Domayo,kavumbagu,saiz ngoma na chirwa,baadaye makambo naye watamchukua,huwa najiuliza wanshindwaje kununua wachezaji wazuri wakati pesa wanayo?
Chirwa hana akili timamu, kafuata hela tu pale. Mchezaji mwenye akili timamu hawezi kugomea mechi hata siku moja kwasababu yoyote ile. Wachezaji wote wenye akili wanagomea kuongeza mkataba kwenye timu yenye mambo yanayomkera sio kugomea mechi na kwenda kulima mahindi nyumbani kwao, Ngoma naye alijifanya anaumwa sana.
 
Kwani Kuna nini Azam.
Mi naona Azam inafanya vizuri tu kwenye ligi ya Tanzania.

-Azam tayari ni mabingwa wa Mapinduzi Cup mwaka huu wa 2019 na wamelichukua mara tatu mfululizo.
-Azam inashika nafasi ya pili kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Tanzania.

Au mnata Azam ifikie kiwango cha TP Mazembe ?



Sent using Jamii Forums mobile app
Azam hawana falsafa hadi leo. mara wanakuza vipaji, mara wanasajili lonya, mara wanauza wachezaji
 
vipi Kamusoko naye kahama timu maana naye Hanna kitu...
Ni issue ya Muda tu...siyo Kwasababu eti Ngoma na Chirwa wamehama Yanga
Ina maana mkuu umeshindwa kutambua kwamba Kamusuko kaitumikia Yanga kwenye kiwango bora kabisa na sasa kiwango kimeshuka sababu ya umri?!
 
Nakubaliana nanyi ,Azam ktk suala la usajiri huwa wanabugi, ndio timu haijui inataka aina gani ya wachezaji

Mara waseme wanakuza vipaji kwa kupandisha vijana wao

Mara waje na hawa akina Ngoma
Inaonekana 10% pale lipo sana ,na Mzee Pluijm kaliona hilo anaenda nao sawa

MTC | 101|
Walichobugi Azam ni kumuondoa Saad Kawemba tu.
Huyo ndiyo Peter Kenyon wa bongo.
Wakachukua mswahili Abdul Mohamed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukifuatilia sana unaweza kubaliana na huyu jamaa. Maana wachezaji wengi ambao huonekana ni wazuri wakiwa Yanga hubadilika na kuwa wa hovyo wakienda Simba na ama Azam kwa sasa. Hali hii ni tofauti na kinyume chake. Ni wachache sana waliofanya vyema (kuanzia miaka ya tisini). Kidogo Aswile, Kipese, Kizota, Mwanamtwa, Nemes. Ila kwa wanaotoka Yanga na kwenda timu zingine kisha Simba/Azam hao sawa mf. China, Muso. Ila kwa wanaotoka Simba/Azam kwenda yanga karibu wote mambo huwanyookea. Mogella, Gaga, Method, Yondan, SMG, Makunda, Ajib, Gadiel, nk. Nadhani yanga ni makini zaidi wanapochukua mchezaji toka timu pinzani na wanaangalia kiwango kwa makini tofauti na Simba/Azamu, wao huchukua tu mradi katoka Yanga.
Umesahau kuwa
Amri Kiemba alitoka Yanga akaja simba akawa mchezaji bora wa league
Mohammed Simba Banka naye alitoka Yanga akaenda simba akawa kiungo bora wa league
Rashid Gumbo alitoka Yanga akaenda Simba alifanya vizuri sana kwenye League.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifia basi hata walivowanunua Kipre Tchetche, Wawa, Mugiraneza, Nyoni, Yakub Mohamed, Razack Abarola! Yaani kabisa unaidharau timu ambayo imekupa watu kama John Bocco, Shomari Kapombe, Gadiel Michael, Erasto Nyoni! Kwa wivu huu na kama hamuoni umuhimu wa Azam, nachekea kusema ngumu sana kama taifa kuja kuona umuhimu wa timu kama Mtibwa ama Singida!

Lakini pia msijisahaulishe mchango wa Azam Fc Ktk soka la Tanzania! Leo hii ikitajwa national team, takribani nusu ya wachezaji Ktk profile zao wataitaja Azam Fc!
Azam wanapesa Ila hawajui kuzitumia,maana makombo yote ya Yanga yanafail,angalia Domayo,kavumbagu,saiz ngoma na chirwa,baadaye makambo naye watamchukua,huwa najiuliza wanshindwaje kununua wachezaji wazuri wakati pesa wanayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa wanamaliza hasira zao za aibu ya SPORTPESA! Huu Uzi ni ushahidi wa ile roho yetu ya kitanzania! Timu inajisifu imesajili kikosi cha 1b afu kinachofanywa uwanjani hakieleweki lkn anamalizia hasira kwa Azam! Mwingine anachangisha bakuli lkn anailaumu Azam ambayo budget haijawahi kushindwa kumlipa mchezaji!

Kuna vilabu pale Kariakoo hata kulipa makocha na wachezaji tu... Mgogoro! Kuna wakati mpk wanashtakiwa FIFA ndio wanalipa! Lakini nao wanailaumu Azam!
Kwani Kuna nini Azam.
Mi naona Azam inafanya vizuri tu kwenye ligi ya Tanzania.

-Azam tayari ni mabingwa wa Mapinduzi Cup mwaka huu wa 2019 na wamelichukua mara tatu mfululizo.
-Azam inashika nafasi ya pili kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Tanzania.

Au mnata Azam ifikie kiwango cha TP Mazembe ?



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walichobugi Azam ni kumuondoa Saad Kawemba tu.
Huyo ndiyo Peter Kenyon wa bongo.
Wakachukua mswahili Abdul Mohamed

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio ukweli, Abdul ni mswahili wa kiwango cha juu mno halafu ana roho mbaya kushinda maana ya roho mbaya yenyewe. Azam walibugi sana kwa huyu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom