SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,079
- 7,976
Tanzania ni nchi pekee dunia iliyogundua chakula kiitwacho Chips mayai. Hii ni kusema kuwa Tanzania ni moja ya mataifa yanayojita ya kigunduzi katika dunia ya tatu!
Hivyo tukiwa tunasherehekea miaka 50 ya huru tutatembea kifua mbele Mat*** nyuma tukijivunia ugunduzi huu.
Dar ndio sehemu kuu ya ugunduzi huu hasa maeneo ya Kinondoni!
Tanzania ni wagunduzi mkuu.Tuligundua ng'oka 11 pamoja na ngetwa.