Kahindi95
Member
- Mar 7, 2019
- 31
- 95
Kuna mambo mengi sana yananung'unikiwa na WATANGANYIKA huku hali ikiwa tofauti sana upande wa pili wa Muungano(ZANZIBAR)
Wakati Rais wa Zanzibar akiwakingia kifua wananchi wake dhidi ya kodi za dhulma, hali inazidi kuwa mbaya sana upande wa Tanganyika.
Tozo sasa zimefikia hatua ya kututoa uhai.
Mfumuko wa bei usiomithirika
Hali ya maisha kuwa mbaya kupita kiasi
Wakati haya yote yanaendelea hakuna hatua yoyote inayofanyika ya kukabiriana na haya matatizo.
UPANDE WA ZANZIBAR HALI NI SHWARI KABISA. HAKUNA TOZO ZA KIPUMBAVU KAMA BARA.
BEI YA MAFUTA IKO CHINI
BEI YA BIDHAA IKO CHINI
Sasa najiuliza kwa Tanganyika kuna tatizo gani?
Au ni kwasababu tunaongozwa na MAMA WA KAMBO?
Hasikii wala hahisi maumivu yetu?
Au ameamua kutukomoa?
Ni nani atatuokoa WATANGANYIKA na haya mateso?
TUNAONGOZWA NA MZANZIBAR AMBAYE ANAFANYA KILA JAMBO KWA MANUFAA YA WAZANZAIBARI WENZAKE.
NI MUNGU PEKEE ATAKAYETUOKOA
Wakati Rais wa Zanzibar akiwakingia kifua wananchi wake dhidi ya kodi za dhulma, hali inazidi kuwa mbaya sana upande wa Tanganyika.
Tozo sasa zimefikia hatua ya kututoa uhai.
Mfumuko wa bei usiomithirika
Hali ya maisha kuwa mbaya kupita kiasi
Wakati haya yote yanaendelea hakuna hatua yoyote inayofanyika ya kukabiriana na haya matatizo.
UPANDE WA ZANZIBAR HALI NI SHWARI KABISA. HAKUNA TOZO ZA KIPUMBAVU KAMA BARA.
BEI YA MAFUTA IKO CHINI
BEI YA BIDHAA IKO CHINI
Sasa najiuliza kwa Tanganyika kuna tatizo gani?
Au ni kwasababu tunaongozwa na MAMA WA KAMBO?
Hasikii wala hahisi maumivu yetu?
Au ameamua kutukomoa?
Ni nani atatuokoa WATANGANYIKA na haya mateso?
TUNAONGOZWA NA MZANZIBAR AMBAYE ANAFANYA KILA JAMBO KWA MANUFAA YA WAZANZAIBARI WENZAKE.
NI MUNGU PEKEE ATAKAYETUOKOA