Chini ya uongozi wa Rais Samia viwango vya furaha kwa Watanzania vyaongezeka mitaani

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,185
9,626
Ndugu zangu watanzania,

Maisha Ni pamoja na kuwa na furaha Moyoni,Ni pamoja na kufurahia uwepo wako Duniani,Ni pamoja na kufurahia aina ya maisha unayoishi,Ni pamoja na kufurahia aina ya uongozi uliopo madarakani kwa namna unavyogusa maisha yako ya kila siku.

Serikali na uongozi uliopo hasa Rais wa nchi una mchango mkubwa Sana katika furaha za wananchi wake,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa Hali ya umaskini imekithiri nchini,uonevu Ni mkubwa,Udikiteta umeshika hatamu,watu hawana Uhuru wa kuzungumza na kutoa mawazo yao,Watu hawawezi wakawa na amani katika mioyo Yao ikiwa mtu Anamaliza chuo kikuu anabaki anaishi kwa kukata Tamaa pasipo matumaini ya kupata ajira au mkopo kupitia halmashauri au mtaji wa kufungua biashara mtaani,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa mtu akienda hospitalini anakosa dawa muhimu na kusumbuliwa au kuzungushwa au kucheleweshwa kupata huduma.

Watu hawawezi wakawa na furaha ikiwa hawasikilizwi Wala kusaidiwa wawapo na changamoto,hawana wa kumlilia au kumtegemea Kama msaada wao au mtetezi wao au sauti Yao dhidi ya uonevu wa aina yoyote Ile au changamoto ya aina yoyote.

Katika kipindi hiki Cha uongozi wa Rais Samia furaha ya watanzania mitaani imekuwa ni kubwa Sana,Mioyo ya watanzania imechanua kwa furaha na amani,imejaa upendo na Tabasamu,Wanafuraha kwa kuwa wanasikilizwa na serikali yao ya mama Samia,Wana furaha kwa kuwa wanapata huduma za kijamii kwa wakati na karibu yao pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, Hakuna anayelizwa Wala kuumizwa,hakuna anayeonewa au kukandamizwa.

Anayekwenda hospitali anamatumaini ya kupokelewa vizuri,kusikilizwa na kupewa huduma Bora na stahiki,Anayekwenda mahakamani ana matumaini ya kupata haki yake kwa haki bila kuinunua haki yake ,Anayefaulu na kuchaguliwa kidato Cha Tano au chuo kikuu ana uhakika wa kutimiza ndoto zake bila kikwazo kwa kuwa mzigo wa gharama zote umebebwa na serikali ya Rais Samia ili hata watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini waweza kupata Haki ya Elimu.

Anayeingia shambani ana uhakika wa kulima kwa kuwa mbolea zinapatikana vizuri na soko la mazao ni la uhakika na hivyo kumlipa mkulima jasho lake,watanzania Ni vicheko na furaha mioyoni mwao,Hawana tatizo na mama Yao na Rais wao Mama Samia,Hata tupitiapo changamoto wanakuwa wenye Subira na uvumilivu kwa kuwa wanajuwa Ni kipindi Cha mpito na ha Hakiwezi kikadumu Milele Kama kovu la ajali ya Gari.

Furaha hiyo ndio imepelekea nchi kuwa Tulivu,yenye amani na usalama wa kutosha,Hii ndio imepelekea umoja wa kitaifa kuimarika Sana wakati huu,furaha hii ndio imepelekea watanzania kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za ujenzi wa Taifa letu.

Ni furaha kila eneo Ni furaha kila mahali,Ni furaha kwa watu wote,Ni furaha kwa vyama vyote,ni furaha kwa Dini zote,Ni furaha kwa Rika zote na jinsia zote,Ni furaha katika vijiwe mitaani,Ni furaha masokoni,minadani,michezoni,vilabuni,mashambani,kwenye magari na Hadi vyuoni kwote Ni furaha tu kwa watanzania wote.

Hii ni kutokana na usikivu alionao mh Rais na utayari wa kumsikiliza kila mtu,kukaa na kuzungumza na kila mtu,kumpa nafasi mtu yeyote kuzungumza alilo nalo Moyoni mwake,kutenda haki katika kila maamuzi afanyayo,Kuzungumza lugha inayoeleweka kwa kila mtu,kutia faraja na pole kwa yeyote apataye tatizo au janga,kusimama nawananchi wakati wa shida na kutoa suluhisho kwa kero yoyote Na kuwapigania watanzania wakati wote.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana Mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
 
4EDD450A-998A-443E-B1EC-1D2157D0ED41.jpeg
 
Nakubaliana kabisa na hili.
Tatizo tu fwedha mfukoni ndo zimepotea, lakini fedha ina thamani.
Mama amezileta fedha mitaani kupitia miradi mbalimbali inayojengwa na serikali Yake lakini pia kwa kwa sisi wakulima ni Kama mh Rais ametuwekea fedha mifukoni maana Bei ya mazao Ni nzuri Sanaa tangia wakati wa mavuno
 
Huyo mamako huku kanda ya kati wakulima wa alizet hatuna hamu naye, ameshindwa kulinda viwanda vidogovidogo vya ndani karuhusu mafisadi kuingiza mafuta kutoka nje matokeo yake bei imeanguka vby
 
Tunaye Mungu anayesikiliza shida zetu. Ibilisi yule alitupwa motoni. Mama ni Mtumishi wa Mungu, ana hofu ya Mungu. Maouvu na ubatili hayatajirudia tena. Wote tumefurahi

Ndugu zangu watanzania,

Maisha Ni pamoja na kuwa na furaha Moyoni,Ni pamoja na kufurahia uwepo wako Duniani,Ni pamoja na kufurahia aina ya maisha unayoishi,Ni pamoja na kufurahia aina ya uongozi uliopo madarakani kwa namna unavyogusa maisha yako ya kila siku.

Serikali na uongozi uliopo hasa Rais wa nchi una mchango mkubwa Sana katika furaha za wananchi wake,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa Hali ya umaskini imekithiri nchini,uonevu Ni mkubwa,Udikiteta umeshika hatamu,watu hawana Uhuru wa kuzungumza na kutoa mawazo yao,Watu hawawezi wakawa na amani katika mioyo Yao ikiwa mtu Anamaliza chuo kikuu anabaki anaishi kwa kukata Tamaa pasipo matumaini ya kupata ajira au mkopo kupitia halmashauri au mtaji wa kufungua biashara mtaani,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa mtu akienda hospitalini anakosa dawa muhimu na kusumbuliwa au kuzungushwa au kucheleweshwa kupata huduma.

Watu hawawezi wakawa na furaha ikiwa hawasikilizwi Wala kusaidiwa wawapo na changamoto,hawana wa kumlilia au kumtegemea Kama msaada wao au mtetezi wao au sauti Yao dhidi ya uonevu wa aina yoyote Ile au changamoto ya aina yoyote.

Katika kipindi hiki Cha uongozi wa Rais Samia furaha ya watanzania mitaani imekuwa ni kubwa Sana,Mioyo ya watanzania imechanua kwa furaha na amani,imejaa upendo na Tabasamu,Wanafuraha kwa kuwa wanasikilizwa na serikali yao ya mama Samia,Wana furaha kwa kuwa wanapata huduma za kijamii kwa wakati na karibu yao pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, Hakuna anayelizwa Wala kuumizwa,hakuna anayeonewa au kukandamizwa.

Anayekwenda hospitali anamatumaini ya kupokelewa vizuri,kusikilizwa na kupewa huduma Bora na stahiki,Anayekwenda mahakamani ana matumaini ya kupata haki yake kwa haki bila kuinunua haki yake ,Anayefaulu na kuchaguliwa kidato Cha Tano au chuo kikuu ana uhakika wa kutimiza ndoto zake bila kikwazo kwa kuwa mzigo wa gharama zote umebebwa na serikali ya Rais Samia ili hata watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini waweza kupata Haki ya Elimu.

Anayeingia shambani ana uhakika wa kulima kwa kuwa mbolea zinapatikana vizuri na soko la mazao ni la uhakika na hivyo kumlipa mkulima jasho lake,watanzania Ni vicheko na furaha mioyoni mwao,Hawana tatizo na mama Yao na Rais wao Mama Samia,Hata tupitiapo changamoto wanakuwa wenye Subira na uvumilivu kwa kuwa wanajuwa Ni kipindi Cha mpito na ha Hakiwezi kikadumu Milele Kama kovu la ajali ya Gari.

Furaha hiyo ndio imepelekea nchi kuwa Tulivu,yenye amani na usalama wa kutosha,Hii ndio imepelekea umoja wa kitaifa kuimarika Sana wakati huu,furaha hii ndio imepelekea watanzania kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za ujenzi wa Taifa letu.

Ni furaha kila eneo Ni furaha kila mahali,Ni furaha kwa watu wote,Ni furaha kwa vyama vyote,ni furaha kwa Dini zote,Ni furaha kwa Rika zote na jinsia zote,Ni furaha katika vijiwe mitaani,Ni furaha masokoni,minadani,michezoni,vilabuni,mashambani,kwenye magari na Hadi vyuoni kwote Ni furaha tu kwa watanzania wote.

Hii ni kutokana na usikivu alionao mh Rais na utayari wa kumsikiliza kila mtu,kukaa na kuzungumza na kila mtu,kumpa nafasi mtu yeyote kuzungumza alilo nalo Moyoni mwake,kutenda haki katika kila maamuzi afanyayo,Kuzungumza lugha inayoeleweka kwa kila mtu,kutia faraja na pole kwa yeyote apataye tatizo au janga,kusimama nawananchi wakati wa shida na kutoa suluhisho kwa kero yoyote Na kuwapigania watanzania wakati wote.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana Mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
 
Ndugu zangu watanzania,

Maisha Ni pamoja na kuwa na furaha Moyoni,Ni pamoja na kufurahia uwepo wako Duniani,Ni pamoja na kufurahia aina ya maisha unayoishi,Ni pamoja na kufurahia aina ya uongozi uliopo madarakani kwa namna unavyogusa maisha yako ya kila siku.

Serikali na uongozi uliopo hasa Rais wa nchi una mchango mkubwa Sana katika furaha za wananchi wake,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa Hali ya umaskini imekithiri nchini,uonevu Ni mkubwa,Udikiteta umeshika hatamu,watu hawana Uhuru wa kuzungumza na kutoa mawazo yao,Watu hawawezi wakawa na amani katika mioyo Yao ikiwa mtu Anamaliza chuo kikuu anabaki anaishi kwa kukata Tamaa pasipo matumaini ya kupata ajira au mkopo kupitia halmashauri au mtaji wa kufungua biashara mtaani,Watu hawawezi kuwa na furaha ikiwa mtu akienda hospitalini anakosa dawa muhimu na kusumbuliwa au kuzungushwa au kucheleweshwa kupata huduma.

Watu hawawezi wakawa na furaha ikiwa hawasikilizwi Wala kusaidiwa wawapo na changamoto,hawana wa kumlilia au kumtegemea Kama msaada wao au mtetezi wao au sauti Yao dhidi ya uonevu wa aina yoyote Ile au changamoto ya aina yoyote.

Katika kipindi hiki Cha uongozi wa Rais Samia furaha ya watanzania mitaani imekuwa ni kubwa Sana,Mioyo ya watanzania imechanua kwa furaha na amani,imejaa upendo na Tabasamu,Wanafuraha kwa kuwa wanasikilizwa na serikali yao ya mama Samia,Wana furaha kwa kuwa wanapata huduma za kijamii kwa wakati na karibu yao pasipo ubaguzi wa aina yoyote Ile, Hakuna anayelizwa Wala kuumizwa,hakuna anayeonewa au kukandamizwa.

Anayekwenda hospitali anamatumaini ya kupokelewa vizuri,kusikilizwa na kupewa huduma Bora na stahiki,Anayekwenda mahakamani ana matumaini ya kupata haki yake kwa haki bila kuinunua haki yake ,Anayefaulu na kuchaguliwa kidato Cha Tano au chuo kikuu ana uhakika wa kutimiza ndoto zake bila kikwazo kwa kuwa mzigo wa gharama zote umebebwa na serikali ya Rais Samia ili hata watoto wanaotoka familia za kipato Cha chini waweza kupata Haki ya Elimu.

Anayeingia shambani ana uhakika wa kulima kwa kuwa mbolea zinapatikana vizuri na soko la mazao ni la uhakika na hivyo kumlipa mkulima jasho lake,watanzania Ni vicheko na furaha mioyoni mwao,Hawana tatizo na mama Yao na Rais wao Mama Samia,Hata tupitiapo changamoto wanakuwa wenye Subira na uvumilivu kwa kuwa wanajuwa Ni kipindi Cha mpito na ha Hakiwezi kikadumu Milele Kama kovu la ajali ya Gari.

Furaha hiyo ndio imepelekea nchi kuwa Tulivu,yenye amani na usalama wa kutosha,Hii ndio imepelekea umoja wa kitaifa kuimarika Sana wakati huu,furaha hii ndio imepelekea watanzania kumuunga mkono mh Rais katika juhudi zake za ujenzi wa Taifa letu.

Ni furaha kila eneo Ni furaha kila mahali,Ni furaha kwa watu wote,Ni furaha kwa vyama vyote,ni furaha kwa Dini zote,Ni furaha kwa Rika zote na jinsia zote,Ni furaha katika vijiwe mitaani,Ni furaha masokoni,minadani,michezoni,vilabuni,mashambani,kwenye magari na Hadi vyuoni kwote Ni furaha tu kwa watanzania wote.

Hii ni kutokana na usikivu alionao mh Rais na utayari wa kumsikiliza kila mtu,kukaa na kuzungumza na kila mtu,kumpa nafasi mtu yeyote kuzungumza alilo nalo Moyoni mwake,kutenda haki katika kila maamuzi afanyayo,Kuzungumza lugha inayoeleweka kwa kila mtu,kutia faraja na pole kwa yeyote apataye tatizo au janga,kusimama nawananchi wakati wa shida na kutoa suluhisho kwa kero yoyote Na kuwapigania watanzania wakati wote.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana Mzalendo na mpenda nchi yangu. 0742-676627
Kama huna hela mfukoni, usijidanganye wala kudanganya wenzio kuwa una furaha.
 
Kama huna hela mfukoni, usijidanganye wala kudanganya wenzio kuwa una furaha.
Ukifanya kazi huwezi ukakosa hela mfukoni,mfano kwa sisi wakulima muda huu hata ukipalilia mahindi au kulima kwa mtu tu unajipatia hela yako na kufanyia mambo yako,kikubwa usiwe mtu wa kuchagua kazi,fanya kazi yoyote iliyo Halali,kuiba ndio dhambi na jinai,ukiwa kijana tumia nguvu zako kujipatia kipato Cha halali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom