Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Katibu mkuu wa CCM Dk Bashiru Ally amesema kulikuwa na mchwa ndani ya ccm waliochota hela za chama mpaka kukifanya kubakiwa na million 5 tu kwa mwaka mzima! Lakini upepo umebadilika baada ya kuingia rais Magufuli sasa chama kinafunga mwaka na hadi billion 20 kwenye akaunti!.
Moja ya watu waliobanwa na kuzitema hizo mali ndio hao wanaoandika waraka uchwara kulenga kumchafua mwenyekiti wa ccm ,rais Magufuli.
Ni bora wanachama na wafusi wa chadema wakaiga mfano wa rais Magufuli na kuanza kuhoji na kujua mali na ruzuku ya chama zinaenda wapi.
Nina uhakika wakifanya hizi watagundua mengi sana kwa sababu kila unapofika uchaguzi Mbowe amekuwa analalamika chama hakina hela na kuamua kukikopesha kwa pesa zake binafsi! Upuuzi huu haukubaliki na lazima uhojiwe.
Moja ya watu waliobanwa na kuzitema hizo mali ndio hao wanaoandika waraka uchwara kulenga kumchafua mwenyekiti wa ccm ,rais Magufuli.
Ni bora wanachama na wafusi wa chadema wakaiga mfano wa rais Magufuli na kuanza kuhoji na kujua mali na ruzuku ya chama zinaenda wapi.
Nina uhakika wakifanya hizi watagundua mengi sana kwa sababu kila unapofika uchaguzi Mbowe amekuwa analalamika chama hakina hela na kuamua kukikopesha kwa pesa zake binafsi! Upuuzi huu haukubaliki na lazima uhojiwe.