THEGENTLEMAN1996
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 518
- 590
ndugu ...
nimeoa mwaka wa pili sasa ila ninafanya tendo la ndoa kwa dakika zisizozidi tano,nakua nimesha "mwaga"
sasa naona kama ni tatizo
kama kuna msaada wa tiba au dawa nahitaji sana.
kama ni mazoezi ya mwili nafanya tangu nikiwa mdogo sana.
balanced diet ipo.
nipo mwanza...
nimeoa mwaka wa pili sasa ila ninafanya tendo la ndoa kwa dakika zisizozidi tano,nakua nimesha "mwaga"
sasa naona kama ni tatizo
kama kuna msaada wa tiba au dawa nahitaji sana.
kama ni mazoezi ya mwili nafanya tangu nikiwa mdogo sana.
balanced diet ipo.
nipo mwanza...