China yazindua 5G technology nchi nzima. Mitandao yote ya simu kutoa 5G kuanzia Ijumaa

siyo sahihi kuifananisha China na nchi yoyote ya Afrika . Ni mbingu na ardhi

Nxhi ambayo haifati democracy and rule of law ni nchi za kis3ng3 hata iwe tajiri kiasi gani!

China ni nchi ya kis3ng3 kupita maelezo!

Na sijafananisha China na Africa!

Nimejaribu kuchukua totalitarian tendencies za Jiwe anazoiga huko China!

Jiwe sio nchi,ni kakiongozi ndani ya nchi yenye misingi ya demokrasia mwaka 30 sasa,yeye kua na udikteta uchwara sio eti ndio msingi wa nchi kama nchi!

Atleast Africa tuna demokrasia ya kuchechemea,China ni mavi jumlisha mavi matupu!

Halafu mijitu inayo enjoy demokrasia tangu imezaliwa halafu leo inashadadia China ni majitu ya kupimwa akili kabisa!

HongKong wanakufa kutetea demokrasia and rule of law wewe mavi ya Tandale unashabiki totalitarianism ya China mainland under mafia clique CCP?
 
CGTV huamini, bbc huamini, sasa unataka news source ipi?

Wameshakwambia wanafanya commercial deployment wewe unakataa.

Wewe twambie sources zako zinasemaje maana hueleweki unachokiandika.

Siamini China ina deploy 5G now!

It can never happen now!

Never!

Wanachofanya ni ku upgrade speed ya 4G basi!

Hakuna 5G anywhere in China!

Propaganda za CCP hizo!

Siamini anything coming out of totalitarian governments all over the world China and Russia included!

DPRK included!

Na serikali ya Jiwe included!

Even Kagame included!

Etc

Manchi ya kipumbavu haya yanayotesa raia zake binafsi,very stupid governments!

Marekani inaenda kutesa raia wa mataifa mengine huko kuchukua mali,haya manchi ya kidikteta yanatesa na kuua raia zake kabisa wa nchi zao wenyewe!

Fvck em!
 
Duh,sipati picha hiyo kasi yake itakuaje.
Teknolojia inakwenda kwa kasi sana,wakati huku kwetu 3G tu mtihani,wenzetu wapo kwenye 5G
 
Hapa Dar kuna sehemu ukikaa network inaingia ma kutoka. Labda wenzetu wakiwa 10G sisi ndo tutakuwa 5G. Tcra wangepambana kuhakikisha 4G inakuwa nchi nzima bila mkwamo wowote
 
Hapa Dar kuna sehemu ukikaa network inaingia ma kutoka. Labda wenzetu wakiwa 10G sisi ndo tutakuwa 5G. Tcra wangepambana kuhakikisha 4G inakuwa nchi nzima bila mkwamo wowote
Hata huko Marekani na nchi zilizoendelea hakuna anaeweka 4g Vijijini, ni gharama sana kuweka mitambo yake, mtandao utapata faida gani kuweka mnara sehemu watumiaji ni kama 10 tu?
 
Watu wa upinzani mnashida kweli mimi niko njombe na mtandao unasoma 3G sasa sijui wewe uko mkoa wa Zambia nini
Hapa kwetu TTCL tu imewashinda ukitoka pembeni ya Mji mtandao unasoma E. Miikoani ndio kabisa hata picha Whatsapp haufungui.
 
Nxhi ambayo haifati democracy and rule of law ni nchi za kis3ng3 hata iwe tajiri kiasi gani!

China ni nchi ya kis3ng3 kupita maelezo!

Na sijafananisha China na Africa!

Nimejaribu kuchukua totalitarian tendencies za Jiwe anazoiga huko China!

Jiwe sio nchi,ni kakiongozi ndani ya nchi yenye misingi ya demokrasia mwaka 30 sasa,yeye kua na udikteta uchwara sio eti ndio msingi wa nchi kama nchi!

Atleast Africa tuna demokrasia ya kuchechemea,China ni mavi jumlisha mavi matupu!

Halafu mijitu inayo enjoy demokrasia tangu imezaliwa halafu leo inashadadia China ni majitu ya kupimwa akili kabisa!

HongKong wanakufa kutetea demokrasia and rule of law wewe mavi ya Tandale unashabiki totalitarianism ya China mainland under mafia clique CCP?
Hiyo ndo wanayoitaka wao
 
Back
Top Bottom