China yawawekea vikwazo viongozi 28 wa Trump ndani yake yupo Mike Pompeo

Wachina mpaka leo, kila siku wanaenda Ulaya na America kutafuta wawekezaji. China kwa sasa ndiyo nchi inayoongoza kwa kuvutia mitaji mikubwa toka nje. Makampuni ya Ulaya na America huwekeza wastani wa dola bilioni 80 kwa mwaka.

Ili makampuni yaliyoko China yapate mitaji ya kutosha yanalazimika kujiandikisha kwenye share markets za Europe, America na Australia.

Watu wanaikuza China kuliko uhalisia. Kuna mambo kadhaa ndio ukweli kuhusu China:

1) kwa kiasi kikubwa, China haifanyi ugunduzi wa kiteknolojia. Wao huwa wanakopi kwa njia rasmi za kibiashara au kwa kuiba

2) China bado ni nchi inayoendelea, na kundi kubwa la Wachina ni maskini

3) Katika maendeleo ya watu, China ni nchi ya 89 Duniani. Inazidiwa hata na baadhi ya nchi za Afrika kama Botswana

4) China ni nchi ya pili kwa ukubwa wa pato la Taifa Duniani lakini kiuhalisia ipo chini sana ikilinganishwa na US. Ukubwa wa pato unatokana na ukubwa wa nchi na uwingi wa watu, na siyo kutokana na mifumo bora ya uchumi kama ilivyo kwa mataifa ya Ulaya na America.

5) Asilimia kubwa ya makampuni makubwa yaliyopo China, siyo ya wachina bali ni ya nchi za Magharibi. Kampuni pekee kubwa ya China ni HUAEI

6) Ni uwongo kuwa China imeikopesha US. Pesa ambayo serikali ya Beijing huwa inaidai Washington ni ya mauzo ya government treasury bills. Serikali ya China ili kutaka kujiimarisha na kutengeneza faida huwa wanapenda kununua treasury bills za US

7) Makampuni yote ya nchi za Magharibi yaliyowekeza China yana bima maalum ambayo inayafanya yasipate hasara yoyote kama endapo yatalazimika kufunga na kuondoka. Na yakifanya hivyo, uchumi wa China utayumba kwa kiasi kikubwa kuliko itakavyotokea kwa nchi za Magharibi. China inalijua hilo, ndiyo maana inajiegemeza sana Afrika.

8) Kilichoibadilisha China kwa kiasi kikubwa ni uwekezaji mkubwa wa nchi za Magharibi nchini China baada ya China kuachana na mifumo ya uchumi wa kijamaa. Wachina kwa miaka mingi wameishi katika uchumi duni.
kuna watu humu wakisikia marekani anadaiwa na china, wanajua marekani walienda kukopa fungu kwa wachina.
 
Kuwasema wachina n.k tunaona Rais lakini kuwatukuza USA ndio tunaona sawa, he wajua hizo computer za wa USA, wenyewe wanaweza kupata information zilizoko kwenye kifaa chako.

Kwanza unajua historically computer USA zilikuwa for military purpose, hivyo walivyo weza kugundua vitu vingine ndio kuachia computer for commercial purposes.

Je, ulishawahi kuwatakia USA nakuomba Radhi
Usifananishe ushilawadu wa USA na Wizi wa data ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa taifa. China kafumwa anaiba data za AU watu wanajadili mambo ya nchi zao.
 
Hizo ni hisia zako tu!Kuna sheria zimewekwa juu ya uuzwaji silaha,watu hununua silaha kupitia black market,jambo ambalo ni illegal!
Kwenye vikosi vya UN Congo,hata Tanzania tumo na tunalinda amani!Hayo mengine unayosema hayana ushahidi!
Sudani wana rasilimali gani?Angalia wanavyouwana!
Msimtafute mchawi,waafrica wengi tuna matatizo ya kiuongozi!
Waasi wengi wanatumia ma- 47..
47 ni silaha ya mrusi, lakini ajabu analaumiwa marekani kuwa ndiye anawawapa silaha wahasi.
 
Hujaona mikataba ya uchimbaji wa Nickel, uranium, Neon, nk. inayosainiwa? Hii nchi tajiri asikwambie mtu, majuzi tu ndiyo yalikuwa yanatukwamisha!
Hayo maneno tu ya wanasiasa!!toka huo wimbo wa majizi kuwa ndio yalikuwa yanaiba huu ni mwaka wa sita sasa!!kukopa kupo pale pale, huduma za jamii bado zinasua sua!toka awamu hii ya tano iingie 2015, hadi sasa kwa mwananchi wa kawaida anaweza akajivunia nini kuwa amepata unafuu?!!deni la taifa ndio hilo limekuwa kwa kiwango cha kutisha!!ndio huo mgodi utakao toa ajira milioni8?!! Hahaaa, wanyonge wanakimbia miji yao kisa kulazimishwa kuchangia ujenzi madarasa!!huwezi ukaendesha nchi bila kufuata utaratibu wa bajetilinalokuja kichwani ndio hilo hilo??
 
Wachina mpaka leo, kila siku wanaenda Ulaya na America kutafuta wawekezaji. China kwa sasa ndiyo nchi inayoongoza kwa kuvutia mitaji mikubwa toka nje. Makampuni ya Ulaya na America huwekeza wastani wa dola bilioni 80 kwa mwaka.

Ili makampuni yaliyoko China yapate mitaji ya kutosha yanalazimika kujiandikisha kwenye share markets za Europe, America na Australia.

Watu wanaikuza China kuliko uhalisia. Kuna mambo kadhaa ndio ukweli kuhusu China:

1) kwa kiasi kikubwa, China haifanyi ugunduzi wa kiteknolojia. Wao huwa wanakopi kwa njia rasmi za kibiashara au kwa kuiba

2) China bado ni nchi inayoendelea, na kundi kubwa la Wachina ni maskini

3) Katika maendeleo ya watu, China ni nchi ya 89 Duniani. Inazidiwa hata na baadhi ya nchi za Afrika kama Botswana

4) China ni nchi ya pili kwa ukubwa wa pato la Taifa Duniani lakini kiuhalisia ipo chini sana ikilinganishwa na US. Ukubwa wa pato unatokana na ukubwa wa nchi na uwingi wa watu, na siyo kutokana na mifumo bora ya uchumi kama ilivyo kwa mataifa ya Ulaya na America.

5) Asilimia kubwa ya makampuni makubwa yaliyopo China, siyo ya wachina bali ni ya nchi za Magharibi. Kampuni pekee kubwa ya China ni HUAEI

6) Ni uwongo kuwa China imeikopesha US. Pesa ambayo serikali ya Beijing huwa inaidai Washington ni ya mauzo ya government treasury bills. Serikali ya China ili kutaka kujiimarisha na kutengeneza faida huwa wanapenda kununua treasury bills za US

7) Makampuni yote ya nchi za Magharibi yaliyowekeza China yana bima maalum ambayo inayafanya yasipate hasara yoyote kama endapo yatalazimika kufunga na kuondoka. Na yakifanya hivyo, uchumi wa China utayumba kwa kiasi kikubwa kuliko itakavyotokea kwa nchi za Magharibi. China inalijua hilo, ndiyo maana inajiegemeza sana Afrika.

8) Kilichoibadilisha China kwa kiasi kikubwa ni uwekezaji mkubwa wa nchi za Magharibi nchini China baada ya China kuachana na mifumo ya uchumi wa kijamaa. Wachina kwa miaka mingi wameishi katika uchumi duni.
Duh mzee umeielezea China kamaa Tabora yani..yani kama hawanabuwezo wowote inashangaza😀😀
 
Wanabodi,

Siku moja tu baada ya kuachia nafasi yake serikalini, Waziri wa mambo ya nje (secretary of state) wa Marekani aliyemaliza muda wake, Mr Mike Pompeo, pamoja na jamaa wangine waliokuwa kwenye serikali ya Trump, wamewekewa zuio la kuingia nchini China.

Pompeo ambaye siku ya mwisho ya uongozi wake alitangaza kuwawekea vikwazo vya visa kuingia Marekani baadhi ya viongozi wa Tanzania akiwatuhumu kuvuruga uchaguzi, amezuiliwa kuingia China kwa kutuhumiwa kufanya kampeni ya kuichafua China, kuvuruga mahusiano kati ya China na USA, na kuingilia na kuhatarisha maslahi binafsi ya China.

Kila muosha huoshwa!

===

Hapo jana tarehe 20 Jan. China imetangaza kuwawekea rasmi vikwanzo viongozi 28 walio kuwa kwenye serikali ya Trump.

Miongoni mwa viongozi hao ni Secretary of State anayemaliza Muda wake Mike Pompeo.

Pia viongozi wengine ni kama trade chief Peter Navarro, National Security Advisers Robert O'Brien na John Bolton, Health Secretary Alex Azar, U.N. ambassador Kelly Craft and former top Trump aide Steve Bannon.

Sanction hiyo ni pamoja na kutoruhusiwa kuingia China, Hong Kong na Macao.

Pia makampuni na mashirika yoyote yenye uhusiano na viongozi hao, hayata fanya biashara na China.

China wanasema Sanction hiyo ni kutokana na viongozi hao, kwa nyakati tofauti kuingilia na kutoa maneno machafu kuhusu Chine yenye lengo la kuichafua na kuiangusha kiuchumi.

ZAIDI SOMA
China imposes sanctions on 28 Trump-era officials including Mike Pompeo and Steve Bannon for interfering 'in China's internal affairs'

China says it wants to cooperate with President Joe Biden's new US administration, while announcing sanctions against "lying and cheating" outgoing secretary of state Mike Pompeo and 27 other top officials under Donald Trump.

Key points:​

  • Beijing accused the outgoing and former officials of undermining China's interests and offending the Chinese people
  • They will be banned from entering mainland China, Hong Kong or Macao
  • Companies and institutions associated with them will be restricted from doing business with China
The move was a sign of China's anger, especially at an accusation Mr Pompeo made on his final full day in office that China had committed genocide against its Uyghur Muslims, an assessment that Mr Biden's choice to succeed Mr Pompeo, Antony Blinken, said he shared.

In a striking repudiation of its relationship with Washington under Mr Trump, the Chinese foreign ministry announced the sanctions in a statement that appeared on its website around the time that Mr Biden was taking the presidential oath.

Mr Pompeo and the others had "planned, promoted and executed a series of crazy moves, gravely interfered in China's internal affairs, undermined China's interests, offended the Chinese people, and seriously disrupted China-US relations", it said.

The other outgoing and former Trump officials sanctioned included trade chief Peter Navarro, national security advisers Robert O'Brien and John Bolton, health secretary Alex Azar, UN ambassador Kelly Craft and former top Trump aide Steve Bannon.

The 28 ex-officials and immediate family members would be banned from entering mainland China, Hong Kong or Macao, and companies and institutions associated with them restricted from doing business with China.

John Bolton was among the other outgoing and former Trump officials sanctioned.(AP: Susan Walsh)
China has imposed sanctions on US politicians in the past year, but targeting so many former and outgoing US officials on inauguration day was an unusual expression of disdain.

'All of that speaks to an effort to commit genocide'​

Mr Pompeo, who unleashed a barrage of measures against China in his final weeks in office, announced on Tuesday that the Trump administration had determined that China had committed "genocide and crimes against humanity" against Uyghur Muslims.

Mr Blinken said he agreed with Mr Pompeo's genocide assessment.

China has repeatedly rejected accusations of abuse in its western Xinjiang region, where a United Nations panel has said at least 1 million Uyghurs and other Muslims had been detained in camps.

Responding to the Xinjiang allegations, Chinese foreign ministry spokeswoman Hua Chunying told a media briefing on Wednesday: "Pompeo has made so many lies in recent years, and this is just another bald-faced lie".

"This US politician is notorious for lying and cheating, is making himself a laughing stock and a clown," she said.

Space to play or pause, M to mute, left and right arrows to seek, up and down arrows for volume.

Mr Blinken said he agreed with Mr Pompeo's genocide assessment.
Ms Hua said China hoped "the new administration will work together with China in the spirit of mutual respect, properly handle differences and conduct more win-win cooperation in more sectors".

"We hope the new US administration can have their own reasonable and cool-minded judgment on Xinjiang issues, among other issues."

However, Twitter has locked the account of China's US embassy for a tweet that defended China's policies in the Xinjiang region.

The Chinese Embassy posted this month saying that Uyghur women were no longer "baby making machines", citing a study reported by state-backed newspaper China Daily.

The tweet was removed by Twitter and replaced by a label stating that it was no longer available.

The US social media platform said the tweet violated the firm's policy against "dehumanisation".

"We've taken action on the Tweet you referenced for violating our policy against dehumanisation, where it states: We prohibit the dehumanization of a group of people based on their religion, caste, age, disability, serious disease, national origin, race, or ethnicity," a Twitter spokesperson said on Thursday.

Reuters
Hata sie tumwekee huyu mjinga
 
Na wewe acha porojo,kwani ukimfungia mtu binafsi mfano Pompeii,kesho Biden akaweka mtu mwingine kama katibu wa mambo ya nje,unadhani mambo ya kiofisi yatakwama?
Usijifanye mjuaji,kumfungia Mmarekani fulani kwenda China hakuwezi kukwamisha masuala ya nchi na nchi!Tena unakuja kumfungia mtu aliyemaliza muda wake ofisini😁😁😁!

Wabongo kwa kujifanya wajuaje,umenichekesha sana😁😁!
Mkuu ssa kama ni pointless basi hata marekani kufungia watu pia si pointless au??
 
Dependency to who? This convo will just get weird if you don't even know Africa depends on who...
First of all you know we depend on each other.
On the second point your know since after independence, we have been relying on western countries or our former colonial "masters"
What surprise me it is your cry about our dependency on "China" while b4 that it was ok to U ??
Thirdly it is not only us on this, though that one should not be a defence, but the key thing is for us to invest on education on one hand and on another hand we should invest on research and development, which at the moment due to meagre resources we can not, balance it correctly , while at the same time we are investing on infrastructure.
 
Usifananishe ushilawadu wa USA na Wizi wa data ambazo zinaweza kuhatarisha usalama wa taifa. China kafumwa anaiba data za AU watu wanajadili mambo ya nchi zao.
U ought to be out of ................., huo ushalawadu una husu nini which is vital to USA
 
First of all you know we depend on each other.
On the second point your know since after independence, we have been relying on western countries or our former colonial "masters"
What surprise me it is your cry about our dependency on "China" while b4 that it was ok to U ??
Thirdly it is not only us on this, though that one should not be a defence, but the key thing is for us to invest on education on one hand and on another hand we should invest on research and development, which at the moment due to meagre resources we can not, balance it correctly , while at the same time we are investing on infrastructure.
If I ask you for a reference to show dependence among Africa is a two way traffic will you be able to present such reference?

Me crying? Ok.

By looking at your key things are you implying that our president aim to transform Tanzania into industrial state is not doable?
 
If I ask you for a reference to show dependence among Africa is a two way traffic will you be able to present such reference?

Me crying? Ok.

By looking at your key things are you implying that our president aim to transform Tanzania into industrial state is not doable?
To be independent is not an overnight issue.
Kwenye industrialisation kuna vitu vingi
1. Tools za kukuwezesha kuwa indepent ,this is a different thing with what we are trying to do now
Which is
2. Processing or value addition of what we produce e.g. hayo mafuta ya alizetti, kuna issue ya sukari, kuna issue ya nyuzi za pamoja n.k.
3. Production of the raw material we need iwe alizetti, mawese, pamba, miwa n.k
So understand we are on a journey , play you part not asking if it "doable" ask if it is achievable
 
Hawa jamaa kweli maboya....In short Trump kawaweza... Na angeendelea kuwa rais wangejamba sana wachina mana Xiaomi wamewekwa na wao kwenye list ya HUAWEI japokuwa wao kidogo wamefanyiwa unafuu
Hii kwako inakusaidia vipi? Unafaidikaje kampuni za China zikifanyiwa figisu za kibiashara?
 
,,, kwa dhulma na mauwaji ya kikatili waloyafanya dhidi ya nchi za kiislamu hayo ndio malipo yake,, na bado kitawapata kibwa zaidi ya hilo.
Dhuluma gani wamezifanyia nchi za kiarabu? Mauaji gani ya kikatili wameyafanya dhidi ya waarabu? Obama alivyovamia Libya mliufyata kwa sababu eti ni muislamu mwenzenu na mkashabikia kuuwawa kea Ghadafi mwislamu mwenzenu. Hebu Mambo mengine bora tukae kimya.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom