Yaani anacho kisema USA, wewe unakishadadia, sawa sawa na propaganda za weapons of mass destruction za iraq , it seems hujui international politics za black mailing etcI see a wide minded person using U r
Hakuna nchi katika zilizoendelea ambazo hazimchunguzi mwenzake, kuna tofauti kati ya USA kutumia hackers ama ku plant chips kwenye target yao na CHINA kutumia HUAWEI kuiba data za serikali.