Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Kwahiyo hao wazungu ndio walikuwa na utu wenyewe walikuwa hawauwaini eti eeh??Aisee wew mwanamke ni mjinga. Waafrika wamekuwa kwenye vita miaka yote hata kabla ya Ukoloni...
Kwahiyo hao wazungu ndio walikuwa na utu wenyewe walikuwa hawauwaini eti eeh??Aisee wew mwanamke ni mjinga. Waafrika wamekuwa kwenye vita miaka yote hata kabla ya Ukoloni...
Huyo anatetea asicho kijua huyo ndio miongoni mwa wale wanao amini kuwa wazungu walikuja Africa kutuletea ustarabu tu na si vinginevyo ila huyo mzungu akimuita nyani anaanza kulalamika kuwa anabaguliwa.Kama wewe sio mjinga zaidi yangu nitajie bara ambalo hawajawahi kuwa na empire wars?
Hizi vita kama ya DRC sio Kati ya waafrika ni Kati ya Mabeberu na waafrika
Hunielewi na mimi sikuelewi😂😂 tutakuakua hatuelewaniHakuna kitu kama hicho...
Serikali ya Peking ina mfumo ule ule mmoja wa kiasiasa tangu enzi na enzi na hakuna nchi iliyoiga mfumo huo...
Dah! My Africa.China imewauma Huawei kufanywa ilichofanywa na wakina Trump.
Sisi nchi za Afrika tuko wapi? Huyu China kwa kutumia mitambo aliyowapa AU alikua anaiba data za vikao kila siku usiku na tulishindwa hata kumtaka aombe radhi.
Dependency inatumaliza.
Na hawa ndio wanatumika kama mangungo wa msovero na Tundu wa BelgiumHuyo anatetea asicho kijua huyo ndio miongoni mwa wale wanao amini kuwa wazungu walikuja Africa kutuletea ustarabu tu na si vinginevyo ila huyo mzungu akimuita nyani anaanza kulalamika kuwa anabaguliwa.
Una ubongo wa bata.Na hawa ndio wanatumika kama mangungo wa msovero na Tundu wa Belgium
Una ubongo wa bata.
Kamzalie Korosho mkono uende kinywani. Ndiye mungu wakoInawezekana wewe una ubongo wa konokono ndio maana akili yako nzito sana kung'amua mambo.. Ila sio shida bata mimi ni hodari na makini kuongoza watoto kama wewe
Hilo la kuzaa lilishafanyika sawasawa. Sema lingine😂😂😂Kamzalie Korosho mkono uende kinywani. Ndiye mungu wako
Tafuta KAZI halali, matumizi ya Tigo 🍑 hayana sustainabilityHilo la kuzaa lilishafanyika sawasawa. Sema lingine😂😂😂
Mimi nafanya matumizi halali ya njia iliyoamriwa na mwenyezi Mungu.Tafuta KAZI halali, matumizi ya Tigo 🍑 hayana sustainability
Peace and loveHunielewi na mimi sikuelewi tutakuakua hatuelewani
Hawa jamaa tofaut na siasa huwa wanafanya biashara ndio maana wachina wamesisitiza hawatofanya biashara na makampun ambayo wanamafungamano nayo.China nao wamesubiri muda wake ueshe ndipo wapanue kinywa au ni kujikosha sasa ataenda kutafuta nini China? Iphone?
Aah..
Hao pimbi wa China hawana jipya. Aende kutafuta nini huko, bidhaa feki?
Hawa jamaa kweli maboya. In short Trump kawaweza. Na angeendelea kuwa rais wangejamba sana wachina mana Xiaomi wamewekwa na wao kwenye list ya HUAWEI japokuwa wao kidogo wamefanyiwa unafuuChina nao wamesubiri muda wake ueshe ndipo wapanue kinywa au ni kujikosha 😂😂😂 sasa ataenda kutafuta nini China? Iphone?
Huyo mama uliyemkot ni miongoni wa wauaji na watesaji, sidhani ikiwa ataona cha maana katika komenti yakoUlipaswa kumshukuru Mungu wako kwa kuwepo na taifa kama Marekani!Tofauti na hapo waafrica mngeuawana kama kuku na hakuna aambaye angejali!Mngeweza kutesana na kufungana na huyo Mchina yeye akaangalia maslahi yake na kuondoka kama haoni chochote!Usisahau hilo kumshukuru Mungu kwa hilo!