Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,654
- 28,913
Waafrika wepi? Au unaamanisha kina kingai ambao kazi yao kubwa ni kujaza tu vyoo vyao vya vituo vya polisi?Sasa Waaafrika tuutumie huu mwanya wa 3WW kujiimarisha na kuwa ma great power.
Vinginevyo tutaendelea kuwa watumwa miaka nenda uje