BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
Wanajeshi wa Ukrein wapoje?Mkuu hawa ni wale raia wa kujitolea hakuna mwanajesh wa Ukraine hapo kama mwanajesh, jeshi la russia jana limerejeshwa nyuma walikotoka 100km., Ukrain saiv wanashambulia wao na sasa hata hiyo Cremea wanaitaka wenywe ukraine
Putini sasaiv kidole chake hakiondoki kwenye button ya nuclear ni wakati wowote atabonyeza vita ya ground ameshindwa bila kutegemea
Urusi wamerudishwa km 100 kutoka Wapi ? Maana jeshi la urusi lipo katika miji tofauti tofauti.
Usisahau kuweka na kavideo kidogo