Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Inaelekea hata maana ya kufuatilia hauijui. Kwani wewe hapo umefuatilia au imeisoma mahala tu.Watz ni wavivu sana kufatilia mambo
Inaelekea hata maana ya kufuatilia hauijui. Kwani wewe hapo umefuatilia au imeisoma mahala tu.Watz ni wavivu sana kufatilia mambo
Pengine ameishia darasa Kama la kwakoUmeishia darasa la ngapi??
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Kigeni wa China Zhao Lijian amesema kuna wasiwasi kwa asilimia kubwa kuwa Marekani kupitia Jeshi lake ndio wahusika wakuu waliopandikiza corona China na kwamba ugonjwa huo haukuanzia eneo la Wuhan,China bali ulianzia Marekani.
Source: Chinese NewsView attachment 1387707
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Kigeni wa China Zhao Lijian amesema kuna wasiwasi kwa asilimia kubwa kuwa Marekani kupitia Jeshi lake ndio wahusika wakuu waliopandikiza corona China na kwamba ugonjwa huo haukuanzia eneo la Wuhan,China bali ulianzia Marekani.
Source: Chinese NewsView attachment 1387707
[/FAKE News
Brother! Hii inafikirisha na jawabu si kwa bahati mbaya inavyoonekana na sikujua kwamba type za hivyo virus ni tofauti kwa nchi zilizokumbwa!Hakuna cha kumtafuta mchawi wala nini sijui!! Soma wana sayansi wanasema nini kwanza:Wanasema kuna strain za Corona tano na zote zina patikana huko Marekani, wakati China ina strain moja tu ambayo ni tofauti zile zilizo kumba Italy, Iran na Ufaransa: Maambukizi Barani Afrika yametokana na abiria/watalii kutoka faransa,Italy, Ujerumani na USA sio Uchina, sasa swali ni: kwa nini USA liwe niTaifa pekee Duniani linalo host type zote za Corona virus, je, hii ni bahati mbaya au??
Watu badala ya kusikiliza uchambuzi wa kisayansi wanakimbilia propaganda za kutaka ku demonise China na communist party in particular.
Brother! Hii inafikirisha na jawabu si kwa bahati mbaya inavyoonekana na sikujua kwamba type za hivyo virus ni tofauti kwa nchi zilizokumbwa!Hakuna cha kumtafuta mchawi wala nini sijui!! Soma wana sayansi wanasema nini kwanza:Wanasema kuna strain za Corona tano na zote zina patikana huko Marekani, wakati China ina strain moja tu ambayo ni tofauti zile zilizo kumba Italy, Iran na Ufaransa: Maambukizi Barani Afrika yametokana na abiria/watalii kutoka faransa,Italy, Ujerumani na USA sio Uchina, sasa swali ni: kwa nini USA liwe niTaifa pekee Duniani linalo host type zote za Corona virus, je, hii ni bahati mbaya au??
Watu badala ya kusikiliza uchambuzi wa kisayansi wanakimbilia propaganda za kutaka ku demonise China na communist party in particular.
sasa kiongozi kama ni mfumo tu wa cashless mbona tumeshaanza kuutumia na hatuja ulalamikia au ndo mpaka waue watuWakubwa wa dunia washakula sadaka yao wametosheka sasa hv huu ugonjwa utapotea kusikojulikana utarudi 2030 kipindi hiko ndo utalazimisha dunia iingie kwenye cashless system kuleta serikali moja.
But 2020 ndio mwaka wa mipango yao mikuu...so hii corona ni onjesho tu la YAJAYO.....So kaeni mkao wa kula.......April lazima kuna Jipya linakuja......stay tune..
Sent using Jamii Forums mobile app