China yapata maendeleo makubwa katika ujenzi wa miundombinu

ldleo

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
1,010
1,033
VCG211265116293.jpg


Na Caroline Nassoro

Mkutano mkuu wa 20 wa Chama cha Kikomunisti cha China CPC utafanyika tarehe 16 Oktoba hapa Beijing. Lakini kabla ya kufanyika kwa Mkutano huo, ikiwa sasa watu wa China wanakuwa katika mapumziko ya siku saba ya kusherehekea miaka 73 ya kuzaliwa kwa taifa la China, siku ya taifa inayoangukia tarehe mosi, Oktoba, tuangazie mafanikio ambayo China imeyapata katika miaka hii 10 tangu Xi Jinping achaguliwe kuwa katibu mkuu wa Kamati Kuu ya CPC, leo hii tukiangazia suala la ujenzi wa miundombinu.

China ni nchi iliyopata maendeleo makubwa katika sekta ya ujenzi wa miundombinu, si tu ya barabara, bali pia reli, bandari, viwanja vya ndege na madaraja. Tukitolea mfano wa daraja linalounganisha mikoa ya Hong Kong na Macau na jiji la China bara la Zhuhai, ambalo lilizinduliwa Oktoba mwaka 2018 na rais wa China, Xi Jinping. Daraja hilo lina urefu wa kilomita 55 na ujenzi wake uligharimu dola za kimarekani bilioni 20. Takriban kilomita 30 za daraja hilo zimepitia baharini kwenye mlango wa Mto Pearl.

Mwaka uliofuata mwezi Septemba, uwanja mpya wa kimataifa wa ndege ulifunguliwa mjini Beijing. Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Daxing una ukubwa wa mita 700,000 za mraba, ambazo ni sawa na ukubwa wa viwanja 98 vya soka.

Si hayo tu, China pia imepata maendeleo makubwa katika miundombinu ya mawasiliano, ambapo teknolojia ya mtandao wa 5G inaongoza kwa kutumiwa na wananchi wengi. Idadi ya vifaa vilivyounganishwa kwenye mtandao wa 5G nchini China pia imezidi milioni 310, na kuchukua zaidi ya asilimia 80 ya jumla ya dunia nzima.

Mapema mwezi Machi mwaka huu, gazeti la The Wall Street la Marekani lilisema kuwa, China inaongoza duniani katika kujenga miundombinu ya mtandao wa 5G, hasa kutumia teknolojia hiyo katika viwanda, migodi ya makaa ya mawe, viwanda vya meli na maghala.

Gazeti hilo lilisema, China inaonekana kuongoza katika kutumia mtandao wa 5G wenye uwezo mkubwa katika maeneo mengi ya viwanda, ambao unalenga kutumia teknolojia hiyo kusaidia kujiendesha katika viwanda vinavyohitaji watu wengi na michakato ya hatari ya viwanda, na kutarajia kuongeza uwezo wa uzalishaji.

Wizara ya Viwanda na Teknolojia ya Habari ya China imesema, mpaka kufikia mwezi Julai mwaka huu, idadi ya watumiaji wa simu za 5G nchini China ilifikia milioni 475. Pia Wizara hiyo imesema, hadi kufikia mwisho wa mwezi Julai, China ilikuwa imejenga takribani vituo milioni 1.97 vya msingi vya 5G, kwa miji yote ya ngazi ya wilaya, kaunti na asilimia 96 ya majiji yalikuwa na mtandao wa 5G.

China inaendelea kutoa kipaumbele katika ujenzi wa miundombinu mipya ya mitandao ya 5G, na juhudi pia zinafanywa ili kupanua wigo wa mitandao ya hali ya juu hadi maeneo ya vijijini, na kupanua kikamilifu matumizi ya njia mpya za biashara katika maeneo ya vijijini.

Kutokana na hayo, ni wazi kuwa, China imepata maendeleo makubwa katika sekta ya ujenzi wa miundombinu ya barabara, reli na viwanja vya ndege, lakini pia imepata maendeleo makubwa katika sekta ya miundombinu ya mawasiliano kupitia teknolojia ya mtandao wa 5G.
 
Hongera yao na bora waliacha siasa zao za ujamaa na kuanza kukumbatia ubepari mdo mdo vinginevyo wangekuwa zama wa mawe.
 


Na Caroline Nassoro

Mkutano mkuu wa 20 wa Chama cha Kikomunisti cha China CPC utafanyika tarehe 16 Oktoba hapa Beijing. Lakini kabla ya kufanyika kwa Mkutano huo, ikiwa sasa watu wa China wanakuwa katika mapumziko ya siku saba ya kusherehekea miaka 73 ya kuzaliwa kwa taifa la China, siku ya taifa inayoangukia tarehe mosi, Oktoba, tuangazie mafanikio ambayo China imeyapata katika miaka hii 10 tangu Xi Jinping achaguliwe kuwa katibu mkuu wa Kamati Kuu ya CPC, leo hii tukiangazia suala la ujenzi wa miundombinu.

China ni nchi iliyopata maendeleo makubwa katika sekta ya ujenzi wa miundombinu, si tu ya barabara, bali pia reli, bandari, viwanja vya ndege na madaraja. Tukitolea mfano wa daraja linalounganisha mikoa ya Hong Kong na Macau na jiji la China bara la Zhuhai, ambalo lilizinduliwa Oktoba mwaka 2018 na rais wa China, Xi Jinping. Daraja hilo lina urefu wa kilomita 55 na ujenzi wake uligharimu dola za kimarekani bilioni 20. Takriban kilomita 30 za daraja hilo zimepitia baharini kwenye mlango wa Mto Pearl.

Mwaka uliofuata mwezi Septemba, uwanja mpya wa kimataifa wa ndege ulifunguliwa mjini Beijing. Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Daxing una ukubwa wa mita 700,000 za mraba, ambazo ni sawa na ukubwa wa viwanja 98 vya soka.

Si hayo tu, China pia imepata maendeleo makubwa katika miundombinu ya mawasiliano, ambapo teknolojia ya mtandao wa 5G inaongoza kwa kutumiwa na wananchi wengi. Idadi ya vifaa vilivyounganishwa kwenye mtandao wa 5G nchini China pia imezidi milioni 310, na kuchukua zaidi ya asilimia 80 ya jumla ya dunia nzima.

Mapema mwezi Machi mwaka huu, gazeti la The Wall Street la Marekani lilisema kuwa, China inaongoza duniani katika kujenga miundombinu ya mtandao wa 5G, hasa kutumia teknolojia hiyo katika viwanda, migodi ya makaa ya mawe, viwanda vya meli na maghala.

Gazeti hilo lilisema, China inaonekana kuongoza katika kutumia mtandao wa 5G wenye uwezo mkubwa katika maeneo mengi ya viwanda, ambao unalenga kutumia teknolojia hiyo kusaidia kujiendesha katika viwanda vinavyohitaji watu wengi na michakato ya hatari ya viwanda, na kutarajia kuongeza uwezo wa uzalishaji.

Wizara ya Viwanda na Teknolojia ya Habari ya China imesema, mpaka kufikia mwezi Julai mwaka huu, idadi ya watumiaji wa simu za 5G nchini China ilifikia milioni 475. Pia Wizara hiyo imesema, hadi kufikia mwisho wa mwezi Julai, China ilikuwa imejenga takribani vituo milioni 1.97 vya msingi vya 5G, kwa miji yote ya ngazi ya wilaya, kaunti na asilimia 96 ya majiji yalikuwa na mtandao wa 5G.

China inaendelea kutoa kipaumbele katika ujenzi wa miundombinu mipya ya mitandao ya 5G, na juhudi pia zinafanywa ili kupanua wigo wa mitandao ya hali ya juu hadi maeneo ya vijijini, na kupanua kikamilifu matumizi ya njia mpya za biashara katika maeneo ya vijijini.

Kutokana na hayo, ni wazi kuwa, China imepata maendeleo makubwa katika sekta ya ujenzi wa miundombinu ya barabara, reli na viwanja vya ndege, lakini pia imepata maendeleo makubwa katika sekta ya miundombinu ya mawasiliano kupitia teknolojia ya mtandao wa 5G.
Sawa, asante kwa taarifa.
 
Kuna makala nilikuwa napenda kuzifuatilia ZBC 2 za 'Amazing China' zikionyesha jinsi hawa jamaa walikotoka na Sasa waliko, jinsi walivyopiga maendeleo makubwa..Naweza kuzipata wapi Tena maana sizioni Tena siku hizi zbc 2
 
Kuna makala nilikuwa napenda kuzifuatilia ZBC 2 za 'Amazing China' zikionyesha jinsi hawa jamaa walikotoka na Sasa waliko, jinsi walivyopiga maendeleo makubwa..Naweza kuzipata wapi Tena maana sizioni Tena siku hizi zbc 2
Fuatilia CGTN documentary channel [ YouTube/ TV] au CGTN News.
 


Na Caroline Nassoro

Mkutano mkuu wa 20 wa Chama cha Kikomunisti cha China CPC utafanyika tarehe 16 Oktoba hapa Beijing. Lakini kabla ya kufanyika kwa Mkutano huo, ikiwa sasa watu wa China wanakuwa katika mapumziko ya siku saba ya kusherehekea miaka 73 ya kuzaliwa kwa taifa la China, siku ya taifa inayoangukia tarehe mosi, Oktoba, tuangazie mafanikio ambayo China imeyapata katika miaka hii 10 tangu Xi Jinping achaguliwe kuwa katibu mkuu wa Kamati Kuu ya CPC, leo hii tukiangazia suala la ujenzi wa miundombinu.

China ni nchi iliyopata maendeleo makubwa katika sekta ya ujenzi wa miundombinu, si tu ya barabara, bali pia reli, bandari, viwanja vya ndege na madaraja. Tukitolea mfano wa daraja linalounganisha mikoa ya Hong Kong na Macau na jiji la China bara la Zhuhai, ambalo lilizinduliwa Oktoba mwaka 2018 na rais wa China, Xi Jinping. Daraja hilo lina urefu wa kilomita 55 na ujenzi wake uligharimu dola za kimarekani bilioni 20. Takriban kilomita 30 za daraja hilo zimepitia baharini kwenye mlango wa Mto Pearl.

Mwaka uliofuata mwezi Septemba, uwanja mpya wa kimataifa wa ndege ulifunguliwa mjini Beijing. Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Daxing una ukubwa wa mita 700,000 za mraba, ambazo ni sawa na ukubwa wa viwanja 98 vya soka.

Si hayo tu, China pia imepata maendeleo makubwa katika miundombinu ya mawasiliano, ambapo teknolojia ya mtandao wa 5G inaongoza kwa kutumiwa na wananchi wengi. Idadi ya vifaa vilivyounganishwa kwenye mtandao wa 5G nchini China pia imezidi milioni 310, na kuchukua zaidi ya asilimia 80 ya jumla ya dunia nzima.

Mapema mwezi Machi mwaka huu, gazeti la The Wall Street la Marekani lilisema kuwa, China inaongoza duniani katika kujenga miundombinu ya mtandao wa 5G, hasa kutumia teknolojia hiyo katika viwanda, migodi ya makaa ya mawe, viwanda vya meli na maghala.

Gazeti hilo lilisema, China inaonekana kuongoza katika kutumia mtandao wa 5G wenye uwezo mkubwa katika maeneo mengi ya viwanda, ambao unalenga kutumia teknolojia hiyo kusaidia kujiendesha katika viwanda vinavyohitaji watu wengi na michakato ya hatari ya viwanda, na kutarajia kuongeza uwezo wa uzalishaji.

Wizara ya Viwanda na Teknolojia ya Habari ya China imesema, mpaka kufikia mwezi Julai mwaka huu, idadi ya watumiaji wa simu za 5G nchini China ilifikia milioni 475. Pia Wizara hiyo imesema, hadi kufikia mwisho wa mwezi Julai, China ilikuwa imejenga takribani vituo milioni 1.97 vya msingi vya 5G, kwa miji yote ya ngazi ya wilaya, kaunti na asilimia 96 ya majiji yalikuwa na mtandao wa 5G.

China inaendelea kutoa kipaumbele katika ujenzi wa miundombinu mipya ya mitandao ya 5G, na juhudi pia zinafanywa ili kupanua wigo wa mitandao ya hali ya juu hadi maeneo ya vijijini, na kupanua kikamilifu matumizi ya njia mpya za biashara katika maeneo ya vijijini.

Kutokana na hayo, ni wazi kuwa, China imepata maendeleo makubwa katika sekta ya ujenzi wa miundombinu ya barabara, reli na viwanja vya ndege, lakini pia imepata maendeleo makubwa katika sekta ya miundombinu ya mawasiliano kupitia teknolojia ya mtandao wa 5G.
Haya ndio mambo ambayo China inatakiwa ku focus nayo sio vita na US, Angejariu kuingia huu mkenge angekuwa kama mwenzake saiv askari anawapeleka vita ata bulet proof hana, buti za vitani wale jamaa laki laki tatu wameambia wanunue kwa hela zao
 
Dunia ya Sasa, nchi zote zina practice mixed economy. Hakuna nchi ambayo ni 100% capitalist or socialist

1. Economy ya nchi inakuwa regulated na central bank. Kitendo tu cha kuwa regulated hapo ina maanisha "economy is not free"

2. Nchi nyingi zina hizi zinazoitwa " State owned corporation/enterprises".. ambazo utakuta wanafanya hivi kwenye key sectors, kama madini, energy, technology etc.

3. Nchi zinatunga sheria Kali Sana kulinda biashara zake against biashara za nchi nyingine.
 
Central bank ina regulate vipi uchumi wa nchi?
Dunia ya Sasa, nchi zote zina practice mixed economy. Hakuna nchi ambayo ni 100% capitalist or socialist

1. Economy ya nchi inakuwa regulated na central bank. Kitendo tu cha kuwa regulated hapo ina maanisha "economy is not free"

2. Nchi nyingi zina hizi zinazoitwa " State owned corporation/enterprises".. ambazo utakuta wanafanya hivi kwenye key sectors, kama madini, energy, technology etc.

3. Nchi zinatunga sheria Kali Sana kulinda biashara zake against biashara za nchi nyingine.
 
State capitalism ni kama mashariki ya Ujenzi ya China yanayowezeshwa na serikali ya China kuja kuchukua tenda za kujenga barabara na reli Africa, kuchimba mafuta Africa na benki zenye mkono wa serikali ya China zinazokepesha hiyo miradi.
State Capitalism si ndivyo, Unafahamu features za :-
i, State Capitalism
ii, Socialist Market Economy
iii, Preliminary stage of Socialism
 
State capitalism ni kama mashariki ya Ujenzi ya China yanayowezeshwa na serikali ya China kuja kuchukua tenda za kujenga barabara na reli Africa, kuchimba mafuta Africa na benki zenye mkono wa serikali ya China zinazokepesha hiyo miradi.
Nenda kasome upya kuhusu State Capitalism nenda pia kasome kuhusu Socialist Market Economy in China , Preliminary Stage of Socialism in China na Socialism with Chinese characteristics wenda kuna vitu vipya kuhusu ujamaa wa China utapata.

: Katika dunia hii ni ngumu kuiendesha nchi kwa 100% pure socialism au 100% pure capitalism.
 
Back
Top Bottom