Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Kweli kabisa mkuu kajaa kashikia mifumo yote ya pesa ambazo ni silaha hatari sana kwetu na uchumi wetu bila dola sisi ni wafu jiwe kajitaidi miondo mbinu je kuna ambao unaingiza pesa za kigeni 🙆
In terms of the US dollar it's about time, its coming to an end. I can see the future in Gold. Just check the price of gold recently climbing from around 1300 per ounce to about 1900. Things are changing and there is a new Sheriff in town.
 
Sasa wewe unashangaa china vichaa kumuonya Marekani!! Mbona ata Omar Al Bashir alishawai kuwaonya Marekani. Yuko wapi saivi???

sasa Omar hio inaeleweka, china waskie tu! saaahv aanaanza china then anafuata USA , na akipoangalia russia anachukua second postiion, mm nachopenda ni the way wana monitor dunia, atleast things ziende kwa mpangilio
 
  • Thanks
Reactions: mmh
inamilikiwa na shirika binafsi linaitwa THE FEDERAL RESERVE, serikali ya marekani haina mamlaka yoyote kufuatilia hili shirika, so inafuata sheria jinsi shirika litawaambia
😂😂😂😂 we jamaa acha kutulisha matango pori. Unajua maana ya federal reserve wewe????

Hivi Ccm mnaona humu tupo majinga mliyoyajaza hapo Lumumba eeh????
 
Toa mfano wa rasrimali anazoiba
Kampuni za kichina kuanzia znazoendesha michezo ya kubahatisha Kwanza asilimia kubwa wachina hawana work permit lakini hawabuguziwi kabsa Yan wamegonga Visa tu wanafanya biashara hawana bissness permit. We uoni kaka au kusikia kwa kenge mpaka atoke damu masikioni.
 
sasa Omar hio inaeleweka, china waskie tu! saaahv aanaanza china then anafuata USA , na akipoangalia russia anachukua second postiion, mm nachopenda ni the way wana monitor dunia, atleast things ziende kwa mpangilio
Acha kulishwa matango pori wewe. Yaani China aliye na aircraft carrier 1 tu na mskampuni yake yote yanategemea soko la hisa la marekani ndo amzidi Marekani kiuchumi au kijeshi???? Thubutu yenu!!!

Tena huyo Russia ndo mtoe kabisa maana ameishia kutengeneza silaha tu , kiuchumi ni kama marehemu sasa.

Waambieni wachina wenu waondoe jamaa zao wanaouza maji na karanga manzese na kariakoo alafu baadae wafufue kiwanda cha urafiki. Hawaiwezi Marekani na hawatoiweza kamwe
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Kila siku tulikua tunawaambia humu ndani hii nchi ishauzwa China ... msione flyover hizo mnazo shabikia tuberoshe mazingira ya utu kwanza mkatuona sisi maboya ...

Walikua wanakazinia ooh mabeberu mabeberu haya kikowapi Sponsor kashindwa kuvumilia kajotokeza hadharani ... mkatengeneza na misemo kuwalaghai mafala wenu wa Lumumba Eti :

"... hii nchi tajiri sana ..."

Oooh mara eti

" ... mimi niko pamoja na wanyonge ... "

Sasa uko pamoja na wanyonge wakati umewauza uchina ndio mana hata mishahara umeshindwa kuwaongeza, mchina kakubana mpaka unashindwa kupumua wananchi hawana amani maisha magumu kama jiwe la kimondo ...

Eti kajenga uchumi, uchumi gani wakati uchumi wa nchi umeuweka rehani kwa wachina huna hata pa kukoholea wamekutight huna pumzi kiasi inabidi ufanye matumizi bila budget kupitishwa na bunge maana huna pa kutokea ... rasilimali zoote unazoligia kelele unagawana na wachina we unabakia na peanuts

Tatizo lenu Lumumba shule ndogo wwngi mmefanywa mafala mnawaburuzwa tu hata hamuelewi mantiki na chanzo cha hivyo mnavyonadi kila siku flyover sijui SGR ... haki ya mungu I wish mngejua gharama ya hicho mnachokifurahia

Yaani mtu yupo zake huko Mahenge au Kakola huko hajui kama kawekwa rehani uchina kwa ajili ya hicho wanaakiita ujenzi wa miundo mbinu na wala huyo aliemuweka rehani hajui lini atamkomboa hali yakuwa mtoto wake hata uniform yakuvaa shule hana mwingine yupo kijiweni hana ajira

Haya huyo mzazi mwenyewe mshahara hajaongezwa na hajui sababu ya kutokuongezwa huo mshahara kwa miaka mi 5 halafu anadanganywa eti tulikua tunajenga uchumi kwanza na kumbe kawekwa rehani bila ya yeye kujua

Unamkuta mtu ananuka jasho kwa kushindia vipande vya tikiti maji halafu anasimamisha mishipa ya shingo kwa kupiga kelele huku kabana pua eti ... "Bagufuli Bitano Tena" tena unamkuta anashangilia CCM Oyeee!! Huku anakata viuno anacheza Jeje ya Diamond au Mediocre ya Ali Kiba kwenye kampeni

Pumbavu kabisa sikiliza sera sio kucheza Jeje na Mediocre fala wewe kwani mlisikia kuna mashindano ya Fiesta sasa mpeni mitano tena muone kazi kudadeki mtapauka mtakua kama vipande vya mihogo ya kuvunda shwaini kabisa Mxieusssszzzz!!!


Hebu stukeni nyie acheni uzwazwa !!!

# NI YEYE 2020
 
China ni kidampa tu kwa Marekani we dogo!! Marekani ni Taifa kubwa na mkileta ujinga wenu watamfanyia huyo Jiwe wenu kama walivyomfanyia Manuel Noriega
Nakuona unakomaa!

Mkuu Lisu hawezi kuwa rais popote duniani hadi anaingia kaburini.

Uchaguzi huu utakuwa wa uwazi kabisa maana Lisu hana kitisho chichote mbele ya chama tawala zaidi ya kuwa kibaraka wa Amsterdam.

Huu uchaguzi Lisu atapigwa kihalali kabisa na kupata 20% yake.

Najua hata leo ungesikia Marekani imepaki manowari zake pale feri, ila ndio hivyo zinabaki kuwa ndoto tu.

Kama unafikri USA inamsaada sana kwa chadema kuingia ikulu, kamuulize Besige wa Uganda kaishia kula virungu na mpaka leo hata ugavana anaishia kuusikia redioni pamoja na vitisho vya USA kwa Museven.
 
Acha kulishwa matango pori wewe. Yaani China aliye na aircraft carrier 1 tu na mskampuni yake yote yanategemea soko la hisa la marekani ndo amzidi Marekani kiuchumi au kijeshi???? Thubutu yenu!!!

Tena huyo Russia ndo mtoe kabisa maana ameishia kutengeneza silaha tu , kiuchumi ni kama marehemu sasa.

Waambieni wachina wenu waondoe jamaa zao wanaouza maji na karanga manzese na kariakoo alafu baadae wafufue kiwanda cha urafiki. Hawaiwezi Marekani na hawatoiweza kamwe
Dreaming is good for your health.
 
In terms of the US dollar it's about time, its coming to an end. I can see the future in Gold. Just check the price of gold recently climbing from around 1300 per ounce to about 1900. Things are changing and there is a new Sheriff in town.
Mkuu hizi ni matumaini tu ya ARV
 
Nakuona unakomaa!

Mkuu Lisu hawezi kuwa rais popote duniani hadi anaingia kaburini.

Uchaguzi huu utakuwa wa uwazi kabisa maana Lisu hana kitisho chichote mbele ya chama tawala zaidi ya kuwa kibaraka wa Amsterdam.

Huu uchaguzi Lisu atapigwa kihalali kabisa na kupata 20% yake.

Najua hata leo ungesikia Marekani imepaki manowari zake pale feri, ila ndio hivyo zinabaki kuwa ndoto tu.

Kama unafikri USA inamsaada sana kwa chadema kuingia ikulu, kamuulize Besige wa Uganda kaishia kula virungu na mpaka leo hata ugavana anaishia kuusikia redioni pamoja na vitisho vya USA kwa Museven.
Uchaguzi wa wazi huku Wakurugenzi mamluki wakitorokea mlango wa nyuma kukwepa kuapisha mawakala wa Chadema ! mmekwisha nyie wanafiki wakubwa !
 
hapana sijui tuelimishe wewe unaojua,
Ukome kutoa matango pori kwenye jukwaa la great thinkers kilaza wa Lumumba wewe
6A894934-F3BF-489C-B7EA-429BBAC92563.jpeg
 
Back
Top Bottom