Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,798
- 156,935
kuongeza wapiga kuraMtuwekee child benefits ili tufyatuane vizuri
kuongeza wapiga kuraMtuwekee child benefits ili tufyatuane vizuri
Alimaanisha mafao, naona wewe umefanya tafsiri sisisi. Umetafsiri Kiingereza cha form two 😂😂😂haa haa yaani hujui child benefits hadi sasa? zaa tu utaona hapo mbeleni.
Is not your faulthaa haa yaani hujui child benefits hadi sasa? zaa tu utaona hapo mbeleni.
BAVICHATanzania hatupangii watu kuwa na watoto wangapi wala Tanzania hatuna Hospital special za kutoa mimba kama China! Sasa sijui mnaongea nini inawezekana hamjui. Uzazi wa mpango wa Tanzania ni ushauri ambao hata US upo hii inasaidia kuondokana na watu kutokupata watoto wakati hawako tayari na kuhakikisha watoto wanapishana miaka. Sababu kubwa ni kutokana na ukweli kwamba Africa bado tuna vifo vya uzazi. Vilevile uzazi wa utotoni. China wameruhusu kutoka mmoja mpaka wawili wa tatu serikali inatoa mimba! Mnajua hilo au mnaongelea China bila kujua.
Wewe unaejua uko China, mnavyofanya na wachina wenzenu mtujulisheTanzania hatupangii watu kuwa na watoto wangapi wala Tanzania hatuna Hospital special za kutoa mimba kama China! Sasa sijui mnaongea nini inawezekana hamjui. Uzazi wa mpango wa Tanzania ni ushauri ambao hata US upo hii inasaidia kuondokana na watu kutokupata watoto wakati hawako tayari na kuhakikisha watoto wanapishana miaka. Sababu kubwa ni kutokana na ukweli kwamba Africa bado tuna vifo vya uzazi. Vilevile uzazi wa utotoni. China wameruhusu kutoka mmoja mpaka wawili wa tatu serikali inatoa mimba! Mnajua hilo au mnaongelea China bila kujua.
Tukijifanya wabishi tukafyatua watoto, izo dawa za uzazi wa mpango,ARV, TB, Surua, na chanjo za watoto watatuuzia sasa apo tutajifia na kurudi ktk idadi ile ile. Mzungu mtu wa maesabu sanaKujifananisha na taifa ambalo halipokei misaada ya mpango wa uzazi,ARV, tb, utapiamlo, mabusha na matende, be serious
Wamegundua utajiri wa nguvu kazi walahi!Pamoja na wingi wao wameamua kuzaana
Uko wrong 99.999...%Ni jambo jema. taifa ni watu. nashauri serikali yetu ipige marufuku kuingiza vifaa vyote vinavyoregulate uzazi wa mpango. taifa letu idadi ya watu bado ni ndogo. kwa hili binafsi namuunga mkono mh. jpm...
una muhoji" mtu anayejiita" Kichaa" !?tattizo wengi hamjui uzazi wa mpango ninini kama boss wenu mzee wa fyatueni. tanzania hatuna sheria ya limiti ya watoto. idadi ya kuzaa ni nguvu zako tangu zaman. kinacho zuiwa ni kuzaa kwa mpangilio. hata sijui JPM alikua anapinga nn. kwamba nyie huyu boss wenu alitaka kila mwaka watu wazae yaan huyu yuko miez sita huku mama mimba nyingine??
Sababau nyingine ni kuwa idadi yao kwa sasa haiongezeki na hao wazee wakishaondoka hapo baadae idadi yao itapungua mpaka kufikia kweye milioni 700 hivi, kwa hiyo ilibdid wabadilishe sheria.Hao Wachina wala hawatazaa sana kihivyo hasa ktk zama hizi ambapo uchumi wao sasa utaanza kuporomoka kufuatia zile Trade Tariffs za Marekani.
Gharama ya maisha nchini China inapanda kwa kasi na maisha ni magumu ndio maana Wachina wengi wanaenda nje kwenda kutafuta maisha hadi wengine wanaishia kufanya tu umachinga ugenini.
Na kwa kuwa kwa sasa Wachina wana idadi kubwa ya wasomi spidi yao ya kuzaa kiuzoefu haiwezi kuwa kubwa kwani penye idadi ndogo ya wasomi birth rate huwa juu. Huku tuendako uchumi wa China unatarajia kuanza kushuka.