Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
pamoja na kelele za zuma rais wa south africa kuomba wasimnyonge serikali ya china leo imeitimisha kesi ya madawa ya kulevya ya miaka mitatu iliokuwa ikimkabili dada etu wa kizulu akiwa anahangaika na maisha kuweka life super bahati mbaya akakanyaga nchi isiyo na mwelekeo kwenye mambo hayo
Leo nasikiliza redio bbc wanasema dadaetu ambae jana nchi za afrika kama tano ziliomba china wasimnanii leo amehitimsha maisha ya kula ugali wa bure na a/c ya bure mjini ZOUNG-ZANG
MWANGA WA MILELE AKUPEE EE BWAANA NA ........AKUANGAZIE UPUMZIKE KWA AMANI
Leo nasikiliza redio bbc wanasema dadaetu ambae jana nchi za afrika kama tano ziliomba china wasimnanii leo amehitimsha maisha ya kula ugali wa bure na a/c ya bure mjini ZOUNG-ZANG
MWANGA WA MILELE AKUPEE EE BWAANA NA ........AKUANGAZIE UPUMZIKE KWA AMANI