junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 976
ni ngumu sana kuamini kwamba UG ishindwe kulipa kale ka hela, hata Museven mwenyewe anaweza kulipa kwa pesa yake ya mfukoniChina ni mkoloni mbaya sana. Hamna sehemu hata moja aliyopora rehani kisha akakiri
Anapata mshahara mkubwa sana bila shaka.ni ngumu sana kuamini kwamba UG ishindwe kulipa kale ka hela, hata Museven mwenyewe anaweza kulipa kwa pesa yake ya mfukoni
kabisa na amepiga hela nyingi mno congo paleAnapata mshahara mkubwa sana bila shaka.
Uganda na Congo hata wakipataga constipation wakashindwa kunya utasikia huyo Ni Kagame tu kasababisha.Mastermind wa hii kitu ni Paul.kagame
Kwenye constipation umeniuwa mbavu mkuuUganda na Congo hata wakipataga constipation wakashindwa kunya utasikia huyo Ni Kagame tu kasababisha.
😄😄😄 Uganda hata Corona ilivyoingia kwao walisema popobawa kutoka Rwanda ndio wameleta hio Corona huko Uganda, siku 1 Waziri wao mwingine wa mazingira akasema Uganda ni chafu kwa sababu Rwandair hua inabeba uchafu wa takataka kutoka Rwanda na kuurushia uganda.Imagine akili Kama hizo mkuu 😄😄😄😄Kwenye constipation umeniuwa mbavu mkuu
UN ni USA sasa toka lini CHINA aiogope USA kwamba atamuwekea vikwazo ama??Hawezi kukiri wanaogopa UN
Umemaliza kila kitu mkuu.Uganda hata Corona ilivyoingia kwao walisema popobawa kutoka Rwanda ndio wameleta hio Corona huko Uganda, siku 1 Waziri wao mwingine wa mazingira akasema Uganda ni chafu kwa sababu Rwandair hua inabeba uchafu wa takataka kutoka Rwanda na kuurushia uganda.Imagine akili Kama hizo mkuu
Madikiteta hawa wamewabebesha Wananchi mizigo mizito kwa maslahi yao binafsi.Kwa kipindi kirefu nchi nyingi barani Afrika zimekuwa zikiikumbatia uchina kama rafiki aside na masharti I napokea swala la maendeleo.
Linalotokea Uganda, Kenya, Zambia na Angola nadhani itakuwa funzo kubwa
View attachment 2027872