China Vijijini........ Xi Jinping Vows No Poverty in China by 2020. That Could Be Hard...

Jambazi

JF-Expert Member
Jan 18, 2014
16,642
18,636
image_650_365.jpg
o-CHINA-POVERTY-facebook.jpg
rural-poverty-in-china_opt.jpg
url2.jpg
0013729e42ea121655ab0e.jpg
csm_DSC_0398_342__Large__China_Jerry_87fc2bfba0.jpg
images
M_Id_251817_China_poverty.jpg
001372acd50f11ae8de403.jpg
images
 
Ni ngumu kiasi kwa muda huo,ingekuwa by 2025 possible ila baada ya CCP kupitisha "thoughts" zake ziingine kwenye katiba kama za MAO anaweza
 
That's Xi's pipedream of the year to eradicate extreme poverty the rural Chinese residents have knowing that the Chinese living in extreme poverty is about ¾ of China population, and the government itself is unable to cub the problem within that period of less than 3 years.
 
It is hard until it is done!

By the way hizo picha hata kwa Trump zipo! Sema hawakuonyeshi so huwezi kuziona.
 
Taifa letu lina umri wa miaka 50 lakini watu wanavyopiga kelele utadhani nchi hii ni sawa kiumri na mataifa mengine kama Marekani ingawa nako bado umaskini upo. Swala hapa ni kujituma! Porojo wanazoleta Ukawa hazitaifikisha hii nchi popote.
So miaka 50 unaona inafanana na hali yetu ? Nakukumbusha tu southa africa ina miaka 23
 
Wanaweza ila sio by 2020 maana ni karibu mnooo but by 2030 they can kwani kazi yanapiga haya majamaa sio kitoto 24 hrs a day.
 
China imefanya maajabu ambayo hayajawahi kuotokea kwa kasi ya kukua uchumi, kwa miaka 30 raia million 500 wametoka kwenye umasikini na kuingia katika maisha ya kati , uchumi umekuwa ukipanuka 10% kila mwaka na imeza kuwa uchumi wa pili kwa ukubwa duniani .
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom