#COVID19 China: UN yaitaka China kumwachia huru Raia aliyefungwa kwa kuhoji namna Mamlaka zinavyoshughulikia Covid-19

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Umoja wa Mataifa umetoa rai kwa China kumwachia huru Zhang Zhan (38) ambaye alihukumiwa kifungo baada ya kuhoji namna Mamlaka zinavyoshughulikia mlipuko wa COVID19.

Zhang alisafiri kwenda Wuhan Februari 2020 ambapo aliripoti kuhusu janga la Corona kupitia simu yake ya mkononi. Alikamatwa Mwezi Mei na kuhukumiwa kifungo cha miaka 4 kwa kuchochea ghasia Desemba 2020.

Familia yake pamoja na Ripoti kadhaa zinadai anakaribia kifo kutokana na mgomo wa kula.
===

The United Nations has urged China to release a citizen journalist jailed for her coverage of the country’s Covid-19 response and who her family say is close to death after a hunger strike.

The UN rights office voiced alarm at reports that 38-year-old Zhang Zhan’s health was deteriorating rapidly and that her life was at serious risk from the hunger strike.

“We call on the Chinese authorities to consider Zhang’s immediate and unconditional release, at the very least, on humanitarian grounds, and to make urgent life-saving medical care available, respecting both her will and her dignity,” UN spokeswoman Marta Hurtado said.

Zhang, a former lawyer, travelled to Wuhan in February 2020 to report on the chaos at the pandemic’s epicentre, questioning the authorities’ handling of the outbreak in her smartphone videos.

She was detained in May 2020 and sentenced in December to four years in jailfor “picking quarrels and provoking trouble” – a charge routinely used to suppress dissent.

She has conducted several hunger strikes to protest against her conviction, sentencing and imprisonment, and her family recently warned that she had become severely underweight and “may not live for much longer”.

Hurtado said the UN rights office had repeatedly raised concerns over Zhang’s case with the Chinese authorities since her arrest last year.

It had sought “clarification on the criminal proceedings taken against her as a consequence of what appear to have been her legitimate journalistic activities”, Hurtado said.

Zhang is among a group of four citizen journalists – along with Chen Qiushi, Fang Bin and Li Zehua – detained after reporting from Wuhan.

Hurtado stressed that “the free flow of relevant information is of particular importance in the early stages of crisis situations such as public health emergencies”.

“We reiterate our call to all states to ensure that all emergency measures, including with regard to freedom of expression and media freedom, introduced in response to the Covid-19 pandemic are strictly necessary, proportionate to their legitimate aim and non-discriminatory.”

Source: The Guardian
 
Wanafiki tu hao,
Kuna wanaouwawa kabisa tena na wao wenyewe,
Iwe huyo anayetaka kujiua mwenyewe?
Wazungu ni shida kwa dunia hii,
Dunia ingekuwa mahali salama bila wazungu
 
Hajatishiwa upanga ila analazimisha kufa, hana tafauti yoyote na wanaojitoa mhanga
Sacrifice ni sacrifice tu haijalishi ni ndogo au kubwa .. mfano mtu flan anayejua Siri z serikali akikamatw na adui hatarishi huwa hasemi anajiua mwenyewe ..
 
Back
Top Bottom