CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,789
- 1,782
Habari ya China kuamua kupiga marufuku biashara ya meno ya tembo imenikuna hasa. China itatekeleza marufuku hiyo hatua kwa hatua kufikia mwishoni mwa 2017. China na Marekani zilikubaliana kupiga marufuku biashara ya meno ya tembo ili kulinda wanyama hao wasitoweke duniani. Soko la meno ya tembo la China limekuwa kikwazo kikubwa cha mapambano dhidi ya ujangili. Habari kamili hapa New york times
China Bans Its Ivory Trade, Moving Against Elephant Poaching
China Bans Its Ivory Trade, Moving Against Elephant Poaching