The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,436
- 17,081
Serikali ya China imesema inapinga vikali hatua ya Marekani kulenga kuyadhoofisha ama kuyaua makampuni ya kimtandao ya kichina.
China imeitaka Marekani kuendelea kuweka mizania sawa ya kibiashara badala ya kutaka kuyawekea vikwazo vya kibiashara makampuni ya kichina.
Juzi jumapili Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bwana Pompeo alisema Rais Donald Trump anadhamiria kuyaongeza makampuni mengi zaidi ya kichina kwenye black list ya makampuni yanayohatarisha usalama wa nchi.
China expresses opposition after U.S. threatens actions against Chinese software firms
China imeitaka Marekani kuendelea kuweka mizania sawa ya kibiashara badala ya kutaka kuyawekea vikwazo vya kibiashara makampuni ya kichina.
Juzi jumapili Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Bwana Pompeo alisema Rais Donald Trump anadhamiria kuyaongeza makampuni mengi zaidi ya kichina kwenye black list ya makampuni yanayohatarisha usalama wa nchi.
China expresses opposition after U.S. threatens actions against Chinese software firms