Ata mwezi haujapita uku ameanza mkaba koo Zambia.Juzi tu, tumeambiwa China to aid Africa (Tanzania inclusive) with no strings attached!
Kwa mwendo huu mpaka Yesu anarudi atakuta tunapewa misaada tu. May be by then itakuwa zamu ya India au Vietnam kutukusanya kutupa mikopo na maelekezo…Waafrica tunatia aibu sana duniani hapa, yaani mchina kawakusanya wote beijing ili awape msaada na kuwakopesha lakini wenyewe kwenye vichwa vyetu tunashindwa hata kufanya forum pale Addis ababa ili tujadili namna ya kujitegemea na kuweka mikakati ya pamoja ili Africa ijitegemee..
Yaani so kwamba Wamarekani wanatupenda sana mpaka kuwa na "wasiwasi" Wa nchi zetu kupoteza Uhuru wetu, ambacho hawakisemi ni wao kupoteza ushawishi ktk nchi za AfrikaHapo kwa wamarekani kuwa na “wasiwasi” wa nchi za africa kupoteza uhuru wake…