Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,799
- 4,195
Juzi nimeenda clinic mojanhapa mjini...Kwahiyo hakuna wanaokufa au waliokufa apo kwenu Tz?
Mazungumzo na daktari nikamwambia nilikuwa kwenye timu ya kitafiti mikoa ya pembezoni kwa miezi miwili.. na najisikia.uchovu na kichwa kinauma.
Wamerun tests on me.. Sana wameangalia Malaria, am mkojo. Na sio hata Full blood picture.. wamelamba 99k. Nimeongea na junior doctor GP, ambaye hata 10k ya consultation siwezi mlipa, prescription ilikuwa ni vitamin c, zinc, vitamin d, na Antibiotic.
Just like these small outlets zinavyotumia huu ugonjwa na habari zake kukamua watu pesa.. na big corporations are doing the same.
BTW swala la watu kufa halijaanza leo.. watu wameendelea kufa since the beginning of time. Kufa kupo. Unadhani kuivaa barakoa na korona isikupate miraculously utapaa kama Enoch!?