China na Russia kamwe hawawezi kutumia hiyo chanjo ya mRNA ya kampuni ya Pfizer (Billgate) na BioNTech (Mjerumani): Kwa nini Afrika tulazimishwe?

Sasa kwa nini tusinunue chanjo toka China? Kwanza ni rafiki zetu wa damu na juzi tu Waziri wao wa mambo ya nje alikuwa Chato. Wao kazi yao ni kutupiga ban kwenye nchi zao.

Bidhaa zetu nyingi zinatoka China. Kwa nini hii bidhaa ya mRNA tulazimishwe kuinunua kutoka kwa mabeberu hawa trna kwa bei yao kubwa mara 100 ukilinganisha na ile chanjo ya China? Halafu ya China ni original, haina RNA.
Acha kupotosha, watu nani amelazimishwa kuwa ni lazima anunue dawa toka ulaya?!mbona algeria wao wameagiza URUSI?mbona nchi za ulaya nyingine zimeagiza chanjo ya URUSI?!!
 
Hiyo tunayoiita chanjo inayotengenezwa na kampuni ya Pfizer ikishirikiana na kampuni ya BioNTech ya ujerumani si sawa na chanjo zinazojulikana ambazo hutumia virusi vya ugonjwa huo huo vilivyopunguzwa makali (attenuated live viruses). Hawa wanatumia genetically engineered manufactured synthetics za genetitically coded mRNA to instruct our DNA in the genes of our cells (nucleas chromosomes) to produce certain proteins which are thought to be protective or curative of certain diseases including cancer diseases.

Utafiti wa kutumia synthetic mRNA kutibu au kukinga magonjwa ya cancer, rabies, zika etc ni wa siku nyingi. Hata hivyo dawa au chanjo za magonjwa hayo zinazotumia genetic mRNA hazikuweza kupata approval ya kutumika kwa binadamu kutoka FDA. Kwa sababu ya taharuki, hofu na wasiwasi wa janga hili la covid - 19 FDA imezipa emergency approval dawa/ chanjo hizo za mRNA. Hazijapitia hatua zote za kimchakato za usalama kama inavyotakiwa kisayansi. Inaelekea waafrika baada ya kujazwa hofu na pesa kupenyezwa walitumika kama guine pigs katika utafiti wa usalama na uwezo wa dawa hizi. Utafiti huo haukuoneshwa kwani ulikuwa unethical.

Chanjo za covid 19 zinazotengenezwa China na Urusi ndizo chanjo halisi zinazotumia live attenuated sars- cov-2, kirusi kinachosababisha covid-19. Urusi na Uchina kamwe haziwezi kutumia hizo chanjo za mRNA kutoka Pfizer/ BioNTech. Ni kipi cha ajabu Tanzania chini ya rais mwanasayansi wa level ya PhD kuzikataa au kuzitilia mashaka hizo chanjo zao za mRNA. Kama tutaamua kuchanja tutatumia chanjo toka China au Russia kwani hizo hazichezi na DNA zetu. Chanjo zinazotumia live attenuated viruses ni rahisi kuzi verify. Hizo za mRNA huwezi ukatambua code (ujumbe) zilizobebeshwa hizo RNA.

Halafu ukweli ni kuwa Afrika ugonjwa huu si tishio hata kidogo. Takwimu ambazo tumelazimishwa na WHO kwamba hata wale ambao hawana ugonjwa lakini wame test positive kwa baadhi ya antigens za cov-2 tuwahesabu kama ni wagonjwa (covid-19), ni kitu ambacho si sahihi na hakikubaliki kisayansi. Unachokonolewa pua kutafuta kama una hizo antigen wakati antigen hizi ungaliweza kuzipata kwenye kinyesi au kwa kuchokonolewa kwenye mkundu. China sasa hivi wanatumia kipimo cha kinyesi au rectal swab which is easier and more convinient. Halafu WHO inatulazimisha tupimane sana na vipimo hatupewi bure, ni za ghari takribani Tsh laki moja kila kipimo - wanatukopesha.

Takwimu wanazozitaka siyo za prevalence wala incidence ya ugonjwa au wa virusi hao wa cov-2 kiepidemolojia nakisayansi. Ndiyo maana Trump aliiondoa USA kwenye shirika hili la WHO kwa kuvurunda kwake kuhusu suala hili. Kama ni kutaka kujua prevalence ya virusi hivi ni vyema a scientific prevalance survey of an unbiased sample population ikafanyika. Si hizi takwimu za kujumlisha contact tracing, patients and carriers.Virusi hivi vimekuwapo duniani tangia zaidi ya miaka million 50 iliyopita. Binadamu amekuwapo hapa duniani kwa miaka million tano tu. Dunia imekuwapo kwa miaka billion tano (after the Big - Bang)!

Hata kwa hizo takwimu tulizolazimishwa kukusanya bado Afrika corona si tatizo la kutufanya tutaharuki. Kwa mfano Kenya ambayo population yake ni 55 million kwa kipindi cha mwaka mmoja ni watu elfu 90 tu ndiyo wame test kuwa na antigen za corona kwenye pua zao, yaani elfu nane tu kwa mwezi! Na wanaofikiriwa kufa kwa corona (kama primary cause of death) hawazidi elfu moja kwa mwaka. Na wengi wa hawa waliokufa walikuwa na magonjwa yao mengine kama kisukari, pressure, congestive cardiac failure, renal failure, cor pulmonary, bronchoathma (pumu) etc. Wala corona haikuwa the primary cause of death. Kwa sababu ya woga na taharuki iliyojengwa kuhusu corona wagonjwa wote hawa wenye changamoto la upumuaji (dypsnoea and tachpnoea) wamekuwa wakikimbiwa au kuogopwa na wauguzi/ madaktari na kupelekea wasipate huduma sahihi ya magonjwa yao na kusababisha vifo vyao. Tumeshuhudia hadi migomo ya wauuguzi, madaktari na watoa huduma za afya wengine.

Taharuki hii kwa nchi za Afrika ndiyo wazungu wanataka ili wapate watu wa kujaribia dawa au chanjo za ugonjwa huu na pia kupiga pesa. JPM kawagusa penyewe. Ndiyo maana hawakuchelewa kuwawaya - mara oh jiandae kupokea chanjo za msaada (lakini mkopo) za mRNA etc.

Inasikitisha sana Kanisa katoliki kupitia Padre wake machachari wa Baraza la Maaskofu Tanzania, anayeitwa Kitima, bila ushahidi wa kisayansi wala ridhaa ya malaka husika, ghafla kwa taharuki limeamua kuvunja utulivu wa nchi yetu uliokuwapo dhidi ya virusi hivi. Nchi ilikuwa imetulia chini ya ulinzi wa Mungu kwa kutambua kuwa ugonjwa huu hauna tiba wala kinga na kwamba kinachoua kwenye ugonjwa huu hasa ni ile hofu na taharuki na si ukali wa virusi hivi. Hizo barakola, social distancing na lockdown hazisaidii cho chote (useless) na hapa kwetu zina madhara zadi (dangerous) au haviwezekani. Wazungu wamefanya hivyo hazikusaidia chochote. Sweden hawakufanya hivyo kama sisi and are much better! Waafrika waliouawa kwa risasi kwa sababu ya kukiuka masharti ya lockdown ni wengi kuliko waliouawa na corona.

Hata hizo barakola za grade ya juu zinazouzwa Sh elfu kumi kwa moja ambazo zinapaswa kubadilishwa kila baada ya nusu sasa, bado uwezo wake wa kuzuia virusi hivi ni 60% tu. Hivi vya nguo vikibadilishwa kila nusu saa uwezo wake ni 20%. Ukikaa nayo muda murefu (zaidi ya saa)yenyewe ndiyo inakuwa source ya kukuambukiza. Hizo PPEs wanazotakiwa kuvaa watoa huduma wa afya bei yake ni sh laki tano, na zinatakiwa kubadilishwa kila saa moja (disposable).

Na bado udhibiti wake wa virusi hivi ni kama 80% tu! Haya mambo si rahisi scientifically. Isitoshe barakola nyingi zinazoingizwa nchini zinaelekea zilishapandikizwa virusi vya corona. Barakola hizi zinasaidia tu kupunguza hofu kwa wasiojua lakini ni more risk na hatari sana hasa zinapotumika visivyo. Kumuamini Mungu kunatoa hofu hii bila risk yo yote. Na hichi ndicho rais wetu alichokuwa amekifanya kuanzia mwezi April 2020. Vifo vya corona vilitoweka baada ya wananchi kuondokewa na hofu. Walimuamini Mungu, waliamini nyungu na dawa zingine za asili. Sasa kanisa katoliki limeturudisha tulikotoka - kwenye hofu na taharuki. Vyama vya upinzani na mabeberu wame take advantage. Tusikubali.

Social distancing kwa mazingira yetu ni next to impossible na lockdown ndiyo balaa zaidi.

Vita vya dunia ya sasa zinatumia silaha za kibiolojia za mRNA.

Achana Na conspiracy theories.

Ukiamua ku base all ur arguments kwenye science sawa.

Lakini Mara science Mara hearsays huo no utoto Na inaonesha how weak your arguments are!

Chanjo duniani zimekuwepo for about a hundred years Na hizo conspiracy zilikuepo toka enzi hizo.

Na dunia haipo stagnant technology inabadilika usi demonize chanjo Mpya kisa hisia zako leta scientific proof kuwa hazifanyi kazi au madhara yake tutakuelewa.
 
ilikuwaje corona ikapungua maambukizi mwaka jana June to July?

Pili,imekuwaje imerudi tena six months later tena kwa spidi?

Haya ni mambo tunapaswa kuyatafakari na kuyafanyia kazi kitaalamu.

Ukiishakuwa na jambo si la kawaida duniani kote,unapaswa kulipigia mstari nyumbani kwako kuhakikisha liko controled kwa mazingira yako.

Ni zipi medical,social na economic impact kwa sasa na baadae?Zitatuathiri vipi na tunachukua mkondo gani kuminimise damages?

Nini kinaendelea huko kwa wenzetu kuhusu ugonjwa huu,umetokeaje,wanapambana nao vipi,wanapanga nini kwa sasa na baadae?Mipango yao inatuathiri vipi na mipango yetu itawaathiri vipi wao?

Nani wa kushirikiana nae kwa ukaribu zaidi katika janga hili?

Mwisho kabisa naomba serikali yetu iwe makini sana na anything concerning "gene modifications" na "DNA alterations".Eneo hili tusipelekeshwe kabisa,tujipe mda wa kutosha kabla ya kukubaliana na chochote kuhusu hili...narudia tena,bora tuendelee kufa kwa kuenenda taratibu kwenye masuala ya tafiti zinazohusu modifications za maumbile ya kiasili mpaka tutakapojiridhisha nazo kuliko kuzikubali tu haraka haraka,please,please,please.
Sio kwamba inapungua. Herd immunity!! population kubwa ya jamii ikisha kuwa infected Na virus kwa mda Fulani ataonekana yupo dormant.

But virus ni viumbe vyaajabu wanatabia ya ku Mutate zinatokea new strains ambazo zinaleta wave Mpya ya infection. So hata hii nayo itakuwa dormant tu soon hasa kwetu coz tupo clueless mtaani hatufati any healthy guidelines but the question inakuja at what cost? How many people will die ? We Will never know
 
Dr Uchwala:
China wameagiza 51 million doses za Ujerumani/Pfizer - (Fosun)
Westerners hawajaagiza hata dose moja iliyotengenezwa na China
Wachina wanagomea kuchanjwa vaccine yao wanataka imported kwa sababu yao haiko transparent
Brazil announces 50.4% efficacy of Chinese vaccine

Nyie mnakaa kupotosha tu!! Are you paid by Russian and Chinese? blood communist
Kwakweli nawaogopa sana wachina kwenye issue za medical .

Wachina bado ni infants kwenye hizo nyanja.
 
Kwani na sisi tukitengeneza chanjo yetu tukwaambia waithibitishe kunatatizo? Hatutaki watulazimishe za kwao
 
Dada yangu tunapaswa kuzinduka kuhusiana na hivi vitu tunazopewa za bure bure. Unadhani wanatupenda kweli kwa kutusambazia mikondomu ya lukuki ya bure? Tunajua walichoweka katika hiyo mifuta ya mikondomu? Mbona bombadier na dreamline hawatupi bure? Kwa nini Mchina na Mrusi haruhusu mikondomu yao kuingia nchini kwao?

Dada yangu hawa jamaa wana lao kuhusu sisi watu wa Afrika. Hii kampuni ya Pfizer ndiyo mtengenezaji na msambazaji pekee wa Viagra kwenye nchi za Afrika. Kwa nini? Madhara ya viagra ni makubwa. Tumekuwa tukishuhudia wanaume wakifia guest kwa sababu ya viagra. Combination ya viagra na kakorona na ka mRNA mwanaume huchomoki nakuambia!

Wewe dada yangu unadhani ni kwa nini sasa hivi asilimia 52% ya wanaume wa Tanzania wana Erectile Dysfunction (ED)? Unakuta kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25 hajiwezi hadi atumie viagra. Huu ndiyo mchezo wa kuletewa vitu vya bure bure. Hizo ARVs tunazoletewa bure kwao hazitumiki. Wao wana dawa kabambe zaidi zinazoua kabisa virusi hivyo, sisi tunapewa za kuvifubaisha tu! Kwao ukimwi haupo na kama upo ni kidogo sana na hauwauwi na kodomu hawavai tena.
We kama ni Dr aisee ni hasara kwa hili taifa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wee vipi unauliza u trillionaire wa Bill Gate. Kwenye hizi vaccine za mRA za korona kupitia kampuni zake za Pfizer na Moderna hadi sasa ameshauza chanjo za thamani ya USD 23 trillion.

Na hii ni ndani ya mwezi mmoja tu! Si mchezo. Hii biashara ya dawa na chanjo huwezi kuilinganisha na biashara nyingine yo yote hapa duniani kwa kutengenezq fweza. Kampuni za kutengeneza madege na magari ni nothing ukilinganisha na chanjo au dawa au hata kondomu tu.
Acha upumbavu wewe. Unaonekana hujaenda shule unaongea mambo ya mtaani tu. Unaijua 23 trillion dollars you fool !!! Unaongelea uchumi mzima wa marekani ambao umejengwa for hundreds of years.
 
mkuu kuna muda nawaza kama endapo watazuia kuingia kwenye nchi zao kisa tu hatujapata chanjo, wasitishe kila cha muhimu nchini kisa chanjo. unachosema ni sahihi na JIWE anajitahidi ingekuwa maraisi waliopita ni lazima tungekua LOCKDOWN.

Hakuna ugonjwa mbaya kama hofu watu hivi sasa tumejazwa hofu kubwa, tena tunaambiwa hii covid ya sasa ni hatari kuliko ile ya kwanza, cha ajabu wao bado ligi na michezo inaendelea kule kwao. Hapa ndio utagundua kwa nini walitaka idadi ya wagonjwa iwe inatangazwa kila siku tena iwe inatajwa kila siku badala ya kurecord kimya kimya kama inavyofanyika kwa magonjwa mengine, tena idadi ya wagonjwa iwe inaongezeka badala ya kushuka, na pia utashanga kwa nini mke wa Bilgate alitabiri Africa tutakufa kama kuku na pia utajiuliza ni kwa nini Biligate amekuwa akizungumzia utishio wa covid utadhani yeye ni waziri wa afya.

Mimi napongeza msimamo wa Mh. Rais asikubali kufuata mkumbo, wananchi tunapaswa kuchukua tahadhari na kuendelea na shughuli zetu kama kawaida. Ni ajabu kuona nchi za Africa zimeshindwa kudhibiti vifo vinavyotokana na malaria, njaa, mafuriko, na ajali za barabarani ambavyo ndio vinagharimu maisha ya raia kwa wingi eti leo wanatumia njia za matajiri wa magharibi kudhibiti na kujikinga na covid.

Corona itakuja na mengi, binafsi naiona kama hii issue imekaa kibiashara zaidi, sikatai kwamba hakuna coron, corona ipo ila kwa jinsi inavyopaishwa wengi wanakufa na kwa hofu. Embu tujiulize, mbona mafua yamekuwa tishio kwa wazungu miaka nenda rudi mbona hakuna chanjo yake? Sisi wa Afrika tukiugua mafua ndani ya siku saba yanaisha yenyewe. Kumbe kuna uwezekano wazungu wangeamua kututia hofu kwenye mafua basi na sisi tungeanza kufa kwa hofu ya mafua then tungeambiwa tumekufa kwa mafua.

Ifike mahala viongozi wetu wajitambue, kwa mujibu wa maandiko mamlaka yeyote yametoka kwa Mungu, tuliona awamu ya kwanza Mh. Rais alikataa lockdown dunia ikamshanga lakini baadae karibu dunia nzima ilifuata njia zake lakini sijaona hao WHO wakimpa tuzo. Naamini na kwenye hii awamu ya pili ataibuka kidedea tena
 
Hata mimi niko Rwanda acha ujinga. Chanjo za covid zinazoletwa Africa kwa mpango wa WHO unaoitwa COVAX ni za kampuni ya AstraZeneca zilizotengenezwa kutokana na attenuated live chimpanzee adenovirus kwa utalaam wa Oxford University ya UK. Hizi zinatumia jokofu la kawaida kama chanjo zingine na zinaweza kutunzwa kwa miezi 6 kwenye hizo cold chain zetu za chanjo. Hizi ndizo wanatumia South Africa, India, Ulaya na kwingineko duniani ukiacha USA, China na Russia. Rwanda hamuna uwezo wa kuzitunza chanjo hizo za USA kwenye hizo -94 degrees F hadi kwa mchanjwaji huko vijijini. Achilia mbali hiyo cost ya USD 33 per dose ikilinganishwa na USD 4 per dose ya AstraZeneca. Achilia mbali uwezo wa wanasayansi wenu kutokuwa nayo ku verify hizo genetical instructions zilizobebwa na hao messenger RNA!

Mimi ni scientist mbobezi, ninajaribu kuwaelimisha kuhusu ugonjwa huu, wewe unaleta ujinga wako wakati hujui cho chote kuhusu sayansi hii. Jukwaa la Jf pia ni la kuelimisha jamii ya watanzania. Wewe wa Rwanda usitake kutuvuruga. Au kuna waliokutuma? Nyie huko endeleeni kuwekwa lockdown na kuchanjwa madawa msiyoyajua na kuvalishwa barakoa zilizobebeshwa corona na hao mabepari ili muweze kukopeshwa tu USD. Umeniudhi sana, ninamwomba rafiki wa taifa letu Mh. Paul Kagame anisamehe kwa kusema haya niliyoyasema. Na uwezekano ni mkubwa kuwa hili linalojiita Shift ni jitu la hapa hapa ufipa linalotafuta kick ya kisiasa kwenye kila jambo.
Wewe hujabobea kwenye sayansi yoyote unaongea utumbo tu.

Na kama una PhD ( philosophical doctor) au MD ( medical doctor) hiko chuo walichokupa inabidi kifungwe Na kishtakiwe Kutengeneza janga mtaani.
 
Hawa wazungu wamehakikisha wameua elimu yetu kwa kuifanya digital only. Yaani hatufundishi tena ile original. Utakuta medical students wetu wanafanya human anatomy dissection kwenye computer yenye digital cadaver. Laboratory technician anafundishwa kutumia tu kutumia computerized machines zinazopima vipimo vyote. Kazi yake ni ku press tu a button kwenye hiyo mashine na kupata results ya hiko kipimo. Hafundishwi kufanya Gimsa stain manually kwani inafanywa na digital machine iliyokuwa fed na gimsa application na mzungu. Utakuta daktari hawezi kufanya diagnosis bila CT scan au MRI machine. Hafundishwi tena manual science ya kuweza kufanya diagnosis bila hiyo mashine ya CT scan. Yaani yeye anaiamini hiyo CT scan kuliko brain yake kwani brain yake haikufundishwa hivyo. Kwa hiyo yeye hawezi kutengeneza digita applications za hiyo CT scan kuiboresha na hivyo anavyotaka CT scan hiyo imfanyie.

Wenzetu wazungu wanakazana na hiyo original education ya manual na kui advance. Digital applications wanazitengeneza tu kurahisisha kazi za manual walizozigundua. Sasa sisi tunaona utumiaji wa hizo automated applications kuwa ndiyo elimu. Kwa hiyo mtu hata wa darasa la saba tu unaweza kumfundisha kufanya vipimo vyote anavyofanya laboratory technician wetu ndani ya mwezi mmoja tu na hawatakuwa na tofauti ye yote ya maana.
Ila we jamaa ni kilaza beyomh measure.

Unaijua hata MRI scanner? unawezaje kufanya diagnosis inaofanywa Na hio machine kwa kumuangalia mtu .
 
Hiyo tunayoiita chanjo inayotengenezwa na kampuni ya Pfizer ikishirikiana na kampuni ya BioNTech ya ujerumani si sawa na chanjo zinazojulikana ambazo hutumia virusi vya ugonjwa huo huo vilivyopunguzwa makali (attenuated live viruses). Hawa wanatumia genetically engineered manufactured synthetics za genetitically coded mRNA to instruct our DNA in the genes of our cells (nucleas chromosomes) to produce certain proteins which are thought to be protective or curative of certain diseases including cancer diseases.

Utafiti wa kutumia synthetic mRNA kutibu au kukinga magonjwa ya cancer, rabies, zika etc ni wa siku nyingi. Hata hivyo dawa au chanjo za magonjwa hayo zinazotumia genetic mRNA hazikuweza kupata approval ya kutumika kwa binadamu kutoka FDA. Kwa sababu ya taharuki, hofu na wasiwasi wa janga hili la covid - 19 FDA imezipa emergency approval dawa/ chanjo hizo za mRNA. Hazijapitia hatua zote za kimchakato za usalama kama inavyotakiwa kisayansi. Inaelekea waafrika baada ya kujazwa hofu na pesa kupenyezwa walitumika kama guine pigs katika utafiti wa usalama na uwezo wa dawa hizi. Utafiti huo haukuoneshwa kwani ulikuwa unethical.

Chanjo za covid 19 zinazotengenezwa China na Urusi ndizo chanjo halisi zinazotumia live attenuated sars- cov-2, kirusi kinachosababisha covid-19. Urusi na Uchina kamwe haziwezi kutumia hizo chanjo za mRNA kutoka Pfizer/ BioNTech. Ni kipi cha ajabu Tanzania chini ya rais mwanasayansi wa level ya PhD kuzikataa au kuzitilia mashaka hizo chanjo zao za mRNA. Kama tutaamua kuchanja tutatumia chanjo toka China au Russia kwani hizo hazichezi na DNA zetu. Chanjo zinazotumia live attenuated viruses ni rahisi kuzi verify. Hizo za mRNA huwezi ukatambua code (ujumbe) zilizobebeshwa hizo RNA.

Halafu ukweli ni kuwa Afrika ugonjwa huu si tishio hata kidogo. Takwimu ambazo tumelazimishwa na WHO kwamba hata wale ambao hawana ugonjwa lakini wame test positive kwa baadhi ya antigens za cov-2 tuwahesabu kama ni wagonjwa (covid-19), ni kitu ambacho si sahihi na hakikubaliki kisayansi. Unachokonolewa pua kutafuta kama una hizo antigen wakati antigen hizi ungaliweza kuzipata kwenye kinyesi au kwa kuchokonolewa kwenye mkundu. China sasa hivi wanatumia kipimo cha kinyesi au rectal swab which is easier and more convinient. Halafu WHO inatulazimisha tupimane sana na vipimo hatupewi bure, ni za ghari takribani Tsh laki moja kila kipimo - wanatukopesha.

Takwimu wanazozitaka siyo za prevalence wala incidence ya ugonjwa au wa virusi hao wa cov-2 kiepidemolojia nakisayansi. Ndiyo maana Trump aliiondoa USA kwenye shirika hili la WHO kwa kuvurunda kwake kuhusu suala hili. Kama ni kutaka kujua prevalence ya virusi hivi ni vyema a scientific prevalance survey of an unbiased sample population ikafanyika. Si hizi takwimu za kujumlisha contact tracing, patients and carriers.Virusi hivi vimekuwapo duniani tangia zaidi ya miaka million 50 iliyopita. Binadamu amekuwapo hapa duniani kwa miaka million tano tu. Dunia imekuwapo kwa miaka billion tano (after the Big - Bang)!

Hata kwa hizo takwimu tulizolazimishwa kukusanya bado Afrika corona si tatizo la kutufanya tutaharuki. Kwa mfano Kenya ambayo population yake ni 55 million kwa kipindi cha mwaka mmoja ni watu elfu 90 tu ndiyo wame test kuwa na antigen za corona kwenye pua zao, yaani elfu nane tu kwa mwezi! Na wanaofikiriwa kufa kwa corona (kama primary cause of death) hawazidi elfu moja kwa mwaka. Na wengi wa hawa waliokufa walikuwa na magonjwa yao mengine kama kisukari, pressure, congestive cardiac failure, renal failure, cor pulmonary, bronchoathma (pumu) etc. Wala corona haikuwa the primary cause of death. Kwa sababu ya woga na taharuki iliyojengwa kuhusu corona wagonjwa wote hawa wenye changamoto la upumuaji (dypsnoea and tachpnoea) wamekuwa wakikimbiwa au kuogopwa na wauguzi/ madaktari na kupelekea wasipate huduma sahihi ya magonjwa yao na kusababisha vifo vyao. Tumeshuhudia hadi migomo ya wauuguzi, madaktari na watoa huduma za afya wengine.

Taharuki hii kwa nchi za Afrika ndiyo wazungu wanataka ili wapate watu wa kujaribia dawa au chanjo za ugonjwa huu na pia kupiga pesa. JPM kawagusa penyewe. Ndiyo maana hawakuchelewa kuwawaya - mara oh jiandae kupokea chanjo za msaada (lakini mkopo) za mRNA etc.

Inasikitisha sana Kanisa katoliki kupitia Padre wake machachari wa Baraza la Maaskofu Tanzania, anayeitwa Kitima, bila ushahidi wa kisayansi wala ridhaa ya malaka husika, ghafla kwa taharuki limeamua kuvunja utulivu wa nchi yetu uliokuwapo dhidi ya virusi hivi. Nchi ilikuwa imetulia chini ya ulinzi wa Mungu kwa kutambua kuwa ugonjwa huu hauna tiba wala kinga na kwamba kinachoua kwenye ugonjwa huu hasa ni ile hofu na taharuki na si ukali wa virusi hivi. Hizo barakola, social distancing na lockdown hazisaidii cho chote (useless) na hapa kwetu zina madhara zadi (dangerous) au haviwezekani. Wazungu wamefanya hivyo hazikusaidia chochote. Sweden hawakufanya hivyo kama sisi and are much better! Waafrika waliouawa kwa risasi kwa sababu ya kukiuka masharti ya lockdown ni wengi kuliko waliouawa na corona.

Hata hizo barakola za grade ya juu zinazouzwa Sh elfu kumi kwa moja ambazo zinapaswa kubadilishwa kila baada ya nusu sasa, bado uwezo wake wa kuzuia virusi hivi ni 60% tu. Hivi vya nguo vikibadilishwa kila nusu saa uwezo wake ni 20%. Ukikaa nayo muda murefu (zaidi ya saa)yenyewe ndiyo inakuwa source ya kukuambukiza. Hizo PPEs wanazotakiwa kuvaa watoa huduma wa afya bei yake ni sh laki tano, na zinatakiwa kubadilishwa kila saa moja (disposable).

Na bado udhibiti wake wa virusi hivi ni kama 80% tu! Haya mambo si rahisi scientifically. Isitoshe barakola nyingi zinazoingizwa nchini zinaelekea zilishapandikizwa virusi vya corona. Barakola hizi zinasaidia tu kupunguza hofu kwa wasiojua lakini ni more risk na hatari sana hasa zinapotumika visivyo. Kumuamini Mungu kunatoa hofu hii bila risk yo yote. Na hichi ndicho rais wetu alichokuwa amekifanya kuanzia mwezi April 2020. Vifo vya corona vilitoweka baada ya wananchi kuondokewa na hofu. Walimuamini Mungu, waliamini nyungu na dawa zingine za asili. Sasa kanisa katoliki limeturudisha tulikotoka - kwenye hofu na taharuki. Vyama vya upinzani na mabeberu wame take advantage. Tusikubali.

Social distancing kwa mazingira yetu ni next to impossible na lockdown ndiyo balaa zaidi.

Vita vya dunia ya sasa zinatumia silaha za kibiolojia za mRNA.


Huna akili.
 
Ila we jamaa ni kilaza beyomh measure.

Unaijua hata MRI scanner? unawezaje kufanya diagnosis inaofanywa Na hio machine kwa kumuangalia mtu .
Kiazi sana huyu jamaa.
Na usikute yupo kwenye inner circle ya meko
 
Hata humu jamii forums maadui wa watanzania mpo, wewe na aina yako mpo wengi na nia yenu ni kuleta hofu kuu lakini hii vita tutaishinda sababu wazalendo wengi na watu wa Mungu tunao wengi na hii vita tutaishinda

Sent using Jamii Forums mobile app
Adui wa Tanzania namba moja niwewe.

Haujali hata maisha ya watanzania wenzako.


Usichanganye terms hizi "uzalendo" Na "ujinga"

Kuwa mjinga sio uzalendo.
 
Mkuu, hii ni vita kubwa sana, na currently watanzania na nchi ya Tanzania tuko vitani baada ya tamko la JPM , sisi tunaojua mambo ya kijasusi tumeshaona response kubwa ya maadui ambayo kubwa mojawapo ni kuwatumia watanzania humu humu kuleta confusion, lakini mwisho wa siku TUTASHINDA!

Sent using Jamii Forums mobile app
What is ur education Mr/Mrs/Miss

Mada iliyopo hapa inahusiana vipi Na vita unayohisi tupo. By the way tunapigana Na nani Na kwasababj zipi
 
Kanunue kama watakupa na dawa zote nenda kanunue kwao urusi na china
Kwani wewe kiongozi unaponunua dawa ya mswaki ndipo unaponunua oil filter, makabati ya vyombo, uniform, visu, mashuka, nondo, sabuni, vitabu vya wanao nk!?
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom