kwa mtoa hoja na wengine wenye akili mgando kumjadili nyerere kwamba ameiangusha tanzania kwa kukosa maono au uzembe ni sawa na wewe mwenyewe kukosa maendeleo ukiwa na miaka 50 toka uzaliwe na kumlaumu babako na mamako kuwa walikosa maono. sasa wewe mwenye maono lete maendeleo basi...hakuna kitu....pambafu kabisa....mmekaa kula rushwa hakuna mnachoweza kazi maneno ya kishogashoga Kwenye mitandao.
Mnafikiri maendeleo yanakuja kwa porojoporojo za kipumbavu?
Fanyeni kazi.
Mnafikiri maendeleo yanakuja kwa porojoporojo za kipumbavu?
Fanyeni kazi.