China, Libya, Dubai, wote tulikuwa level moja kiuchumi; naweza sema Nyerere alikuwa na maono hafifu sana

mbere

JF-Expert Member
Mar 5, 2015
6,969
6,460
Ee sasa nisemeje, wenzetu wako mbaali kweli kweli kama ni mafuta tulikuwa nayo, madini, aridhi n.k kwanini hakuyachimba sasa hayo madini.

Leo tungekuwa kama USA au Dubai.
Nyerere tunamsifia bure tu, hakujituma kama wenzie.
Leo tunakopa kama nchi $500 milioni tena kwa siri
Leo tuna tunatembelea daladala jijini
Leo tunawaza kutovuna , tunategemea mvua za mungu wakati dubai pakavuuuu, mafuta tu yanawatoa.
Kwani nyerere alishindwa nini kuita wachimbaji akawasimamia.


Ahhh Nyerere mimi hapana jamani
 
Inasikitisha sana
Sasa mkuu alishindwa nini kuita wachimbaji wakachimba, kama alivyofanya Gadaf na mafuta,
Eti hatuna uwezo sasa alitegemea tungepateje uwezo
Hakuna na uelewa
Hakuwa na uwezo
Mi naweza sema kabisa
 
Acheni utani basi kipindi hicho uchumi wa tz ulikuwa sawa na nchi hizo ukiuwepo? Au ndo ule uchumi wa kwenye makaratasi
 
Acheni utani basi kipindi hicho uchumi wa tz ulikuwa sawa na nchi hizo ukiuwepo? Au ndo ule uchumi wa kwenye makaratasi
Tena avanter yako hiyo ni ya huyo mzee
Tulikuwa hatuna tofauti kubwa na libya
Wala china mkuu. Tofauti ilikuwa ndogo , kama angewatumia wawekezaji wakachimba tanzanite kama wenzie wa nchi nyingine walivyofanya tungekuwa mbali
Maino maono sasa nani anayachimba kwa alivyoviacha aridhini
Alikuwa na maono hafifu.
Biashara asubuhi
 
kipindi icho kipaumbele ilikuwa ni kuiunganisha nchi baada ya uhuru na kipindi hicho elimu ilikuwa bado sana kungekuwa na mikataba mibovu zaidi ya tunayoiona sahivi.alisema tukija elimika tutazitumia rasilimali zetu lkn leo tumewaruhusu wachimbe wanafaidi wachache tatizo ni sisi yeye alitimiza malengo aliyoweka kipindi chake.
 
kipindi icho kipaumbele ilikuwa ni kuiunganisha nchi baada ya uhuru na kipindi hicho elimu ilikuwa bado sana kungekuwa na mikataba mibovu zaidi ya tunayoiona sahivi.alisema tukija elimika tutazitumia rasilimali zetu lkn leo tumewaruhusu wachimbe wanafaidi wachache tatizo ni sisi yeye alitimiza malengo aliyoweka kipindi chake.
Wai!!!!!
tena Dubai ndo hakuna wasomi kabisaa enzi hizo
Mambulula tu.
Wangekuwa wao na tanzanite nadhani wala Gadaff wa watu asingekufa maana angekuwa na nguvu kubwa mno
Uchina tulikuwaga level moja tu kiviwanda na uncivililaised lakini
NYERERE NDO CHANZOOOOOO
Eti Tanzania hii kuna mtu anachukua take home ya serikali 250000
UUUUWIIIIIII
 
Baada ya kuona mkataba wa Williamson Diamond na mikataba mingine ilivyosainiwa kwa hila, Nyerere aliona ni vyema kusubiri Tanzania iwe na wasomi wa kutosha ambao wataweza kusimamia mikataba.

Baada ya uhuru alijua kabisa kuwa hakukuwa na wasomi wengi wa kuweza kukabiliana na ulaghai wa mabeberu. Alipokufariki mabeberu yalifahamu mali iliyopo Tanzania na waliifaidi kama ng'ombe alienguka kila mtu anajikatia kipande na kuondoka.
 
Wako ni upi?
Mtizamo wangu,nadhani Nyerere alichukua nchi ikiwa kwenye hali mbaya kwenye nyanja zote elimu,hospitali nk.Njia sasa sahihi kwa muda huo ilikuwa ni kuwekeza kwenye elimu vinginevyo hio mikataba ya madini na mingine wangeboronga kuliko hata sasa hivi,sasa nafikili alitumia muda mwingi kwenye elimu kwanza ndio maana tuko hapa.
 
Ee sasa nisemeje, wenzetu wako mbaali kweli kweli kama ni mafuta tulikuwa nayo, madini, aridhi n.k kwanini hakuyachimba sasa hayo madini.

Leo tungekuwa kama USA au Dubai.
Nyerere tunamsifia bure tu, hakujituma kama wenzie.
Leo tunakopa kama nchi $500 milioni tena kwa siri
Leo tuna tunatembelea daladala jijini
Leo tunawaza kutovuna , tunategemea mvua za mungu wakati dubai pakavuuuu, mafuta tu yanawatoa.
Kwani nyerere alishindwa nini kuita wachimbaji akawasimamia.


Ahhh Nyerere mimi hapana jamani

Acha uongo wewe , tumia japo akili kidogo ya kutafakari mambo. Miaka ya 60 china wamekuja kututengenezea Rail ya Uhuru Dar to Kapili, wakaleta engine na behewa zilizotengenezwa huko huko china, utasemaje tulikuwa nao sawa kimaendeleo?

Muwe mnaangalia fact kabla ya kupost upuuzi wa vijiweni
 
kipindi icho kipaumbele ilikuwa ni kuiunganisha nchi baada ya uhuru na kipindi hicho elimu ilikuwa bado sana kungekuwa na mikataba mibovu zaidi ya tunayoiona sahivi.alisema tukija elimika tutazitumia rasilimali zetu lkn leo tumewaruhusu wachimbe wanafaidi wachache tatizo ni sisi yeye alitimiza malengo aliyoweka kipindi chake.
Tena wee jama usinishangaze Mugabe ana digree ngapi unajua lakini? Ila yeye na nchi yake ni maskini
Sisi tulikuwa na madini hadimu
Kila kitu hadimu, hafi mlima vivutio, mafuta, Aridhi, kwani kwa Gadaff walisoma kwanza?
 
Maon yako ila KILA AWAMU NA MAMBO YAKE ,KAZI KUBWA ALIOIFANYA NYERERE KWANZA NI KUAKIKISHA TUNAKUA HURU, PILI KURUFANYA TUWE KITU KIMOJA KWA KUTUUNGANISHA, ALIONDOA UBAGUZ NA UKABILA ILI TUCHAPE KAZI NDIO WAKAANZISHA VIJIJ VYA UJAMAA, ALAFU AKASEMA TUNAKAZI KUBWA TATU KUPIGA VITA UMASIKIN, MARADHI NA UJINGA NA MENGINE MENGI ,ILA KWA AWAMU YA NYERERE HAYO NDO YALIKUA MAMBO MAKUBWA ALIYOPAMBANA NAYO ,NA ALIFANIKIWA KWA ASILIMIA KARIBIA ZOTE ILA SIO MIA



NAWASILISHA MCHANGO
 
Mtizamo wangu,nadhani Nyerere alichukua nchi ikiwa kwenye hali mbaya kwenye nyanja zote elimu,hospitali nk.Njia sasa sahihi kwa muda huo ilikuwa ni kuwekeza kwenye elimu vinginevyo hio mikataba ya madini na mingine wangeboronga kuliko hata sasa hivi,sasa nafikili alitumia muda mwingi kwenye elimu kwanza ndio maana tuko hapa.
Elimu ambayo imefanya hasara ya kuzipoteza lasimali tena!!
 
Tunaomba takwimu za nchi hizo ili tulinganishe na Takwimu za Tanzania.Bila takwimu sisi ambao hatukuwepo kwa wakati ule tutashindwa kufuatilia..Ila kwa ufupi kiuchumi tumepiga hatua tukiongozwa na busara za viongozi waliopita na waliopo.Kumbuka kila zama na kitabu chake.
 
Acha uongo wewe , tumia japo akili kidogo ya kutafakari mambo. Miaka ya 60 china wamekuja kututengenezea Rail ya Uhuru Dar to Kapili, wakaleta engine na behewa zilizotengenezwa huko huko china, utasemaje tulikuwa nao sawa kimaendeleo?

Muwe mnaangalia fact kabla ya kupost upuuzi wa vijiweni
Huwa wanasoma tu-maandishi tu bila kuhoji akili zao. Wanapaswa kusomewa al-badr hawa.
 
Kuna mzee ar alimpa kila kijana wake eka moja na kuwajengea room 2 ndani ya hiyo eka. Mpaka kijana aliekuwa la saba. Wako 5. Mzee akafariki miaka 3 iliopita, mpaka sasahivi kuna vijana wameshauza kila kitu na wanapanga kwa majirani zao. Je mzee wa watu wakiarusha alifanya kosa? Sawa na baba wa Taifa alifanya kosa kusubirisha assert kwa kizazi kijacho? Alikosea mengi Ila hata robo ya mazuri aliyofanya hakuna atakae fikia.
 
Back
Top Bottom