Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,867
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanachukua pia na zesco yaani shirika la umeme wa zambia wakitoka huko wanakuja hapa kwetu
Nimeona hii kitu nikacheka sana !Kina Mangungu bado wanaishi Africa!
atakusikia sasa ?Hii nilimtahadharisha mkulu kwa uzi huu
Magufuli umekosea kuwapa wachina ujenzi Bagamoyo. Bandari na jeshi ni strategic, economic and security move - JamiiForums
Wanajifanya ndio kimbilio la kutembezea bakuli hadi wanafikia hatua wanawadharau usaHii ni nzuri kabisa. Oh mikopo nafuu mikopo nafuu kumbe uwezo wakulipa mdogo.
Mkuu ilikubidi usikitike sana maana njia hiyo hiyo iliyotumika zambia ndiyo itatumika na huku kwetuNimeona hii kitu nikacheka sana !
Ashakwambia hataki ushauri wa mtu yeyote maana fomu ya kuingia uwanjani alijichukuliaHii nilimtahadharisha mkulu kwa uzi huu
Magufuli umekosea kuwapa wachina ujenzi Bagamoyo. Bandari na jeshi ni strategic, economic and security move - JamiiForums
Bado watakuja na bongo kuuchukua wa kwetuUwanja watauhamishia China?
We've got to be very careful with what we read to understand the larger implications of these campaigns.
Pasipokuwepo na miundo mbinu, barabara, reli, bandari, n.k., kelele ni zaidi ya hizo. Tunaambiwa Afrika hatuwezi kuendelea sababu ya kukosa miundombinu.
Haya, tunajikamua iwezekanavyo, hata kwa kukopa ili tujenge hizo miundo mbinu. Wao na mashirika yao hawataki kutukopesha, kwamba hatukopesheki. Wakikopesha kiduchu, kelele dunia nzima inasikia na masharti hata ya kuingiliwa chumbani kabisa, mbali ya kulazimishwa tukubali tamaduni zao.
Mchina akijenga reli na kuiendesha kama alivyofanya na reli ya Kenya , Mombasa/Nairobi - ; mara hao wanakuja mbio kutafuta kuvuruga (sabotage) kwa kulazimisha kujenga expressway ya njia sita Mombasa/Nairobi, ili hiyo reli mpya ife! Hii kweli ndio akili nzuri?
Wakati umefika, tujitambue. Kama hatutaki ya Mchina tuseme waziwazi kwa sababu zetu wenyewe, sio sababu za kupangiwa.
hahaa hapa kwetu " ccm waasemaga kuwa awamu hii haikopi pesaWanachukua pia na zesco yaani shirika la umeme wa zambia wakitoka huko wanakuja hapa kwetu
Sasa hivi deni la taifa ni karibia sh ngapi vile?hahaa hapa kwetu " ccm waasemaga kuwa awamu hii haikopi pesa
hahaa hapa kwetu " ccm waasemaga kuwa awamu hii haikopi pesaWanachukua pia na zesco yaani shirika la umeme wa zambia wakitoka huko wanakuja hapa kwetu
aisee " usinipe headache tafadhaliSasa hivi deni la taifa ni karibia sh ngapi vile?