China kushitakiwa kwa hasara ya kiuchumi iliyosababishwa na Corona

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,498
51,092
Kampuni moja huko Marekani inakusudia kuishitaki Mahakamani Serikali ya China kutokana na mismanagement ya ugonjwa wa Corona katika siku za awali kitendo kilichopelekea ugonjwa huo kusambaa duniani na kuleta hasara kubwa za kiuchumi.

Kampuni hiyo inasema Serikali ya China ilijua tatizo toka mapema lakini ikaficha na matokeo yake ugonjwa ukasambaa Duniani na kuleta athari kubwa za kiuchumi.

Kampuni hiyo imesema kampuni nyingi zinataka kujiunga kwenye hiyo kesi na kuonya kuwa iwapo China haitoleta ushirikiano basi wataomba Mahakamani asset zake kama vile meli zao za mizigo zikamatwe.

Wakati huo huo watafiti walioandika chapisho lao la kisayansi kuhusu ugonjwa wa Korona wanasema zaidi ya asilimia 80%ya waliothirika na virusi vya Korona katika miezi ya awali ya ugonjwa huo hawakuripotiwa.

Maelezo kamili, cheki hii video

 
Hiki kirusi nahisi ilikua namna ya China kutoa tamko kwa Marekani, kwamba wana mavitu yenye uwezo wa kuitesa dunia hivyo Marekani waache tabia za kuwachokonoa.

Maana kimeitesa dunia na Marekani balaa ya kupita maelezo ilhali kule Uchina wamekidhibiti na hali kurudia ya kawaida.

Hii inatakikana kuiangalia kwa upana sana.
 
I bet they'll f*ck you too.
US anakusaidia wewe kila iitwayo leo, saa, dakika na sekunde what do you do for them?
kwa msaada gani hasa I've never need their help



et kwa hisani ya watu wa marekani kummer mae
 
kwa msaada gani hasa I've never need their help



et kwa hisani ya watu wa marekani kummer mae
Acha matusi ya kishamba.
America imeipatia mwezi February TPDF (JWTZ) Trillions of money, inatoa laki mbili kwa kila mtanzania kila mwezi haya ni machache katika meeengi wanayofanya grow up kid na uniambie Iran anaifanyia nini Tanzania

Mashia wajinga sana
 
Mchina Sio maguful kwamba utakamata vitu vyake tu kijinga kijinga ao wanaropoka tu na hiz zitabak kua story
Kampuni moja huko Marekani inakusudia kuishitaki Mahakamani Serikali ya China kutokana na mismanagement ya ugonjwa wa Corona katika siku za awali kitendo kilichopelekea ugonjwa huo kusambaa duniani na kuleta hasara kubwa za kiuchumi.

Kampuni hiyo inasema Serikali ya China ilijua tatizo toka mapema lakini ikaficha na matokeo yake ugonjwa ukasambaa Duniani na kuleta athari kubwa za kiuchumi.

Kampuni hiyo imesema kampuni nyingi zinataka kujiunga kwenye hiyo kesi na kuonya kuwa iwapo China haitoleta ushirikiano basi wataomba Mahakamani asset zake kama vile meli zao za mizigo zikamatwe.

Wakati huo huo watafiti walioandika chapisho lao la kisayansi kuhusu ugonjwa wa Korona wanasema zaidi ya asilimia 80%ya waliothirika na virusi vya Korona katika miezi ya awali ya ugonjwa huo hawakuripotiwa.

Maelezo kamili, cheki hii video



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha matusi ya kishamba.
America imeipatia mwezi February TPDF (JWTZ) Trillions of money, inatoa laki mbili kwa kila mtanzania kila mwezi haya ni machache katika meeengi wanayofanya grow up kid na uniambie Iran anaifanyia nini Tanzania

Mashia wajinga sana
Acha kupoteza muda. Hiyo ni elimu ngumu kwa wengine na hawawezi kukuelewa
 
Back
Top Bottom