Waangalie sana bagamoyoWatchina sio Taifa la kubeza kwani ni wababe haswa na wakiamua hakuna wa kuwafanya kitu
Hawakukurupuka na tatizo ni viongozi waroho wanaoingizwa mkenge kwa tamaa zao
China anahodhi mpaka sehemu kubwa ya bahari huko kwao na wanamuogopa haswa majirani zake
Sisi tunakaa kumsema eti vitu fake wakati sisi ndio tunaishi maisha fake
Africa itabebwa na China kama tusipoangalia
Dj walete "praise team" ya uhuruChinese lenders, especially Exim Bank, were uncomfortable with Kenya’s push for extension of the debt service suspension with rich nations, prompting delays in disbursements to projects funded by Chinese financiers.
This forced Nairobi to drop its push for the debt repayment holiday extension by China for fear of straining relations with Kenya’s biggest bilateral creditor.
MhhhJambu ndugu zangu
Mimi Kuna jambo ambalo linanipa maswali mengi lakini majibu Sina
nataka kuhuliza
Ivi Kweli tunavyo muomba Mungu ndivyo Kweli Mungu uhombwa? au yaani kufika chumbani kwako unakuja magoti na kuanza kuomba Mungu au kufika kanisani na kuanza kuomba Mimi naona Kuna tatizo
Nina rafiki yangu mmoja ivi kwao dasca
Anzisha uzi wako uulize hili swali, hapa watu wanajadili siasa na uchumiJambu ndugu zangu
Mimi Kuna jambo ambalo linanipa maswali mengi lakini majibu Sina
nataka kuhuliza
Ivi Kweli tunavyo muomba Mungu ndivyo Kweli Mungu uhombwa? au yaani kufika chumbani kwako unakuja magoti na kuanza kuomba Mungu au kufika kanisani na kuanza kuomba Mimi naona Kuna tatizo
Nina rafiki yangu mmoja ivi kwao dasca
Hiyo ndo habari ya mjini tulikuwa tunasikia tuu huko zambia wachina wameshika airport kwaajili ya deni sasa limemkuta jirani. Tuwe makini na wakopeshaji hawa wanaoganga njaa kama uchina.
View attachment 1948738View attachment 1948739
Hiyo ndo habari ya mjini tulikuwa tunasikia tuu huko zambia wachina wameshika airport kwaajili ya deni sasa limemkuta jirani. Tuwe makini na wakopeshaji hawa wanaoganga njaa kama uchina.
View attachment 1948738View attachment 1948739