MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,756
- 48,402
mkulima alipwe!!!😂😂😂
Yaani hawa ndio wenye rekodi dunia yote ya ndege zao kushikliwa kisa wameshindwa kulipa madeni ya watu.....ni wazembe sana hawa.
mkulima alipwe!!!😂😂😂
Ndio wanajiandaa kuchukua Mombasa portJamaa wameanza kuwasili kimya kimya ku-take position Questions Raised As Large Groups Of Asians Land In Kenya Daily
Hizo fedha kwa kiasi kikubwa viongozi wameipiga wenyewe ww ukiambiwa ufisadi Kenya unadhani pesa wanatoa wapi!!?Mikataba inayoingiwa na hawa viongozi nashindwa kuelewa walifungwa macho wasione maandishi au upuuzi wa kupewa chochote ili wawauze wananchi,ngozi nyeusi ina shida kubwa mno
Hapo serekali ya Kenya haina cha kusema.....manake wakipiga kelele tu wanabinywa kwenye deniNdio wanajiandaa kuchukua Mombasa port
Ngozi nyeusi tuna matatizo sana,yaani kwa maendeleo yetu jitu linakula rushwa ili lipaye yeye huku wengine wakiteseka kwa mikataba mibovuHizo fedha kwa kiasi kikubwa viongozi wameipiga wenyewe ww ukiambiwa ufisadi Kenya unadhani pesa wanatoa wapi!!?
Kumbe source ni Opera newsJamaa wameanza kuwasili kimya kimya ku-take position 👉👉👉 Questions Raised As Large Groups Of Asians Land In Kenya Daily 🤣🤣🤣
Opera news sio source ni platform yenye inatumika ku disseminate news kutoka sources tofauti., so u may know maana ya source, umeelewa?,., Nikama tu radio station, they are not the source of any news, they only disseminate..,Kumbe source ni Opera news
hebhana!!! wanakuja kuchukua kilicho chao. hofu imeanza kuniingia mwilini. soon tutakuwa matekwa ndani ya nchi yetu. mtuombee majirani ili tuweze kuvuka salamaNdio wanajiandaa kuchukua Mombasa port
Tuliwaambia hawa wachina watakuja kuifanya kitu mbaya sana africa ushindani wao na USA tutaumia sisi africa maana watasomba kila resource zetuhebhana!!! wanakuja kuchukua kilicho chao. hofu imeanza kuniingia mwilini. soon tutakuwa matekwa ndani ya nchi yetu. mtuombee majirani ili tuweze kuvuka salama