MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,400
- 1,704
Unaficha nn!? si useme tu ni Ndugai!Tatizo si uchina Bali vichwa boga tunaowakabidhi madaraka.juzi kuna kichwa water mmoja alikanusha kuwa wachina hawana nia ya kutupiga
Unaficha nn!? si useme tu ni Ndugai!Tatizo si uchina Bali vichwa boga tunaowakabidhi madaraka.juzi kuna kichwa water mmoja alikanusha kuwa wachina hawana nia ya kutupiga
Kuna shida hapaJambu ndugu zangu
Mimi Kuna jambo ambalo linanipa maswali mengi lakini majibu Sina
nataka kuhuliza
Ivi Kweli tunavyo muomba Mungu ndivyo Kweli Mungu uhombwa? au yaani kufika chumbani kwako unakuja magoti na kuanza kuomba Mungu au kufika kanisani na kuanza kuomba Mimi naona Kuna tatizo
Nina rafiki yangu mmoja ivi kwao dasca
Safi sana! watu wa namna hii siwapendi!! unaandika kitu kisichoendana na mada, si uanzishe mada yako!!Anzisha uzi wako uulize hili swali, hapa watu wanajadili siasa na uchumi
Hiyo ndo habari ya mjini tulikuwa tunasikia tuu huko zambia wachina wameshika airport kwaajili ya deni sasa limemkuta jirani. Tuwe makini na wakopeshaji hawa wanaoganga njaa kama uchina.
View attachment 1948738View attachment 1948739
😇WAKUU MNAONA KAMA MIMI AU TUMUACHE TU NA MAPENGO YAKE..Jambu ndugu zangu
Mimi Kuna jambo ambalo linanipa maswali mengi lakini majibu Sina
nataka kuhuliza
Ivi Kweli tunavyo muomba Mungu ndivyo Kweli Mungu uhombwa? au yaani kufika chumbani kwako unakuja magoti na kuanza kuomba Mungu au kufika kanisani na kuanza kuomba Mimi naona Kuna tatizo
Nina rafiki yangu mmoja ivi kwao dasca
Acha kuvuta bangi kijana ona madhara yake sasa.Jambu ndugu zangu
Mimi Kuna jambo ambalo linanipa maswali mengi lakini majibu Sina
nataka kuhuliza
Ivi Kweli tunavyo muomba Mungu ndivyo Kweli Mungu uhombwa? au yaani kufika chumbani kwako unakuja magoti na kuanza kuomba Mungu au kufika kanisani na kuanza kuomba Mimi naona Kuna tatizo
Nina rafiki yangu mmoja ivi kwao dasca
Jibu swali train yenu inatumia diesel au umeme? Mbona swali rahisi sana unaruka ruka mzee
Maana yake ni kulipa deni la China.Endelea kujitutumua kidogo utausogeza uzi, wenzako walianza na kiherehere kama chako na wameshahema, nyie mpaka sasa mnajua nini maana ya SGR.
Nyang'au kapigwa mtama wa ulimiujanja kwishaa
Maana yake ni kulipa deni la China.
Deni linalipwa na limekua likilipwa na tunaendelea kuteleza kwa SGR, yaani kadiri tunavyolipa ndivyo tunazidi kumiliki bonge la reli, kilomita karibia 600km zote za kwetu yaani tu hadi raha, halafu biashara ya usafiri wake inazidi kunoga, matumizi yanaongezeka.
Haya yote hauwezi ukayaelewa maana kwenu huko hakuna SGR, mumekua mkiimbishwa hadithi za alfu ulela kwa miaka kadhaa huku Mturuki akichimba mahandaki na kujizolea mahela......hehehe.
Uzi sasa upo kwenye ukurasa wa tano, usogezeni au ndio mumeishiwa bando.
Wewe ndiye umeachwa unahangaika humu, wenzako wameshapunguza kiherehere....heheheHamjawahi lipa deni SGR. Ilipoisha grace period tu, serikali ikaanza kuomba extension ya kuanza kulipa instalments.
Ur maza fucker so what if u speak EnglishBut Kenya is a powerhouse of Africa, with huge gdp, they also speak English.
Wewe ndiye umeachwa unahangaika humu, wenzako wameshapunguza kiherehere....hehehe
Endelea kunogesha uzi.
mkulima alipwe!!!😂😂😂Hehehe nawacheka sana mnavyohangaika kusubiri tushindwe, mumefungua nyuzi humu za Mchina kuchukua bandari tangu 2018....hehehe hadi raha.
Sisi tunateleza kwa SGR na sasa imeungwa hadi mjini kati, kwenu huko Mturuki bado anachimba mahandaki, hata kasafu ka Dar-Moro mlikua muanze kutumia miaka kadhaa imepita bado ni stori.
Nyie huko ndio tumezoea vituko vya mindege yenu kukamatwa kisa mumeshindwa kulipa hela ya watu...