China kuchukua bandari ya Mombasa kufidia Deni lao kwa Serikali ya Kenya

Waangalie sana bagamoyo

Tamaa zitawapelekea waiweke rehani
Na China ndio nia yao kubwa kuchukua bandari nyingi

Sio tu kwa ajili ya biashara bali kwa vita yoyote ya baadae wao watakuwa wamejenga pa kujihami

Rejea kule Pacific wametengeneza kisiwa cha artificial chenye ukubwa wa kilometres 3,500
Na ukipita juu yake unapewa onyo wanawaza kuishusha ndege yako

Sasa mkicheka na bunge wanaweza kusaini
 
Eti mkuu MK254 ,

Ni kweli hii kitu,na kama ni kweli itakuaje sasa?

Hizi hapa nyuzi huwa mnafungua kuhusu bandari yetu kuchukuliwa na Wachina, mlianza kuandika 2018, mkaandika 2019 sasa naona mumekurupuka tena mwaka huu, ila SGR yetu inapiga hela na deni tunaendelea kupunguza....


 
Hizi hapa nyuzi huwa mnafungua kuhusu bandari yetu kuchukuliwa na Wachina, mlianza kuandika 2018, mkaandika 2019 sasa naona mumekurupuka tena mwaka huu, ila SGR yetu inapiga hela na deni tunaendelea kupunguza....


Tuliwaambia na sasa shabaa ya mchina imeanza kuonekana mchina ana ajenda kuu ya siri kuhusu bandari za africa na mashirika ya umeme pamoja na sekta ya uchukuzi na usafirishaji ,tatizo lenu wakenya hamtaki kuamini kuwa mchina ana tamani hiyo bandari yenu iwe yake
 
Jambu ndugu zangu

Mimi Kuna jambo ambalo linanipa maswali mengi lakini majibu Sina

nataka kuhuliza

Ivi Kweli tunavyo muomba Mungu ndivyo Kweli Mungu uhombwa? au yaani kufika chumbani kwako unakuja magoti na kuanza kuomba Mungu au kufika kanisani na kuanza kuomba Mimi naona Kuna tatizo

Nina rafiki yangu mmoja ivi kwao dasca
kwanin mkuu?
Nadhan we are the victim of mazoea
 
Hizi hapa nyuzi huwa mnafungua kuhusu bandari yetu kuchukuliwa na Wachina, mlianza kuandika 2018, mkaandika 2019 sasa naona mumekurupuka tena mwaka huu, ila SGR yetu inapiga hela na deni tunaendelea kupunguza....


Mkuu,jibu hoja, hilo gazeti hayo maneno tumeyaandika sisi?

Acha viroja na hasira,jibu hoja mbona kama unapanic broo?

Unafikiri mwerevu kama mimi naweza kufurahia mali ya mwafrika imilikiwe na asiye mwafrika kimabavu kama wanavyotaka kufanya hao wachina?
 
Mkuu,jibu hoja, hilo gazeti hayo maneno tumeyaandika sisi?

Acha viroja na hasira,jibu hoja mbona kama unapanic broo?

Unafikiri mwerevu kama mimi naweza kufurahia mali ya mwafrika imilikiwe na asiye mwafrika kimabavu kama wanavyotaka kufanya hao wachina?

Swali haliwezi kujibiwa unavyotaka wewe, unajibiwa kama lilivyo, nimefanya kukukumbushia tu kwamba mumejaza server za watu na hizi story lakini sisi tunaendelea kupiga hela za SGR na deni linaendelea kupungua....
Nyie huko miaka kadhaa sasa tangu muambiwe mtaanza kutumia SGR na mpaka leo bado Mturuki anachimba mahandaki huko keshajichukulia hela mpaka basi.
Ona mnavyotesa wasafiri jameni...bibi na ndala anahangaika kupitia dirishani, maisha ya dhiki sana hayo.
2938414_Screenshot_20210922-210732_Instagram.jpg
 
Mkuu,jibu hoja, hilo gazeti hayo maneno tumeyaandika sisi?

Acha viroja na hasira,jibu hoja mbona kama unapanic broo?

Unafikiri mwerevu kama mimi naweza kufurahia mali ya mwafrika imilikiwe na asiye mwafrika kimabavu kama wanavyotaka kufanya hao wachina?
Kwa hilo gazeti umeona wameandika anything kuhusu bandari ya Mombasa kuchukuliwa? vilaza kwa ubora wao
 
Hiyo ndo habari ya mjini tulikuwa tunasikia tuu huko zambia wachina wameshika airport kwaajili ya deni sasa limemkuta jirani. Tuwe makini na wakopeshaji hawa wanaoganga njaa kama uchina.
View attachment 1948738View attachment 1948739
propaganda hiyo.., mimi naumbua propaganda hadi kwenye mishipa yenu.., soma taarifa kamili 👇 👇 👇 , nionyeshe sehemu China wamesema watachukua bandari ya Mombasa? Kenya sio fukara kama Tanzania ya propaganda, mkulima anawadai., jiangalie kwanza..,

Headline potovu., Kenya is not seeking., haija amua, it's a consideration, an available option, among many..., wivu itauwa watanzania.,


Soma taarifa kwa utaratibu.., ama nikutafutie taifa leo ya kiswahili.., naona mko ovyo kizungu.., hamuelewi chochote zezeta..,

Kenya seeks IMF aid to repay China loans​

TUESDAY SEPTEMBER 21 2021
CBK-sirima


Public Debt Management Office Director General Haron Sirima. FILE PHOTO | NMG

Kenya is considering using reserves from the International Monetary Fund (IMF) to compensate for Chinese loans it repaid after the Treasury dropped an earlier request to defer debt payments.

The Treasury says it could use its additional allocation of IMF reserves in Special Drawing Rights (SDR) assets, which can be converted to government-backed money, as one of the options to plug the budget hole.

SDRs are the IMF’s unit of exchange based on sterling, dollars, euros, yen and yuan, and can be used to settle obligations like repayment of foreign public debt.

Director-general for public debt management office at the Treasury Haron Sirima said Kenya has an a raft of options including “use of additional SDR allocation by the IMF” to fill the cash hole left after Nairobi started to service loans from China in July.


Kenya had expected to extend a debt repayment moratorium from bilateral lenders, including China, which started in January 2021, by another six months to December 2021, saving it from making payments of nearly Sh50 billion to Beijing lenders.

Chinese lenders, especially Exim Bank, were uncomfortable with Kenya’s push for extension of the debt service suspension with rich nations, prompting delays in disbursements to projects funded by Chinese financiers.

This forced Nairobi to drop its push for the debt repayment holiday extension by China for fear of straining relations with Kenya’s biggest bilateral creditor.

Dr Sirima said the Treasury has other options, including seeking grants from development partners, changing the funding for “specific” capital projects to public–private partnership (PPP) and tapping the IMF reserves.

“In addition, (we also have option) to rationalise further expenditures to the extent of forgone DSSI funding,” he said in an interview with the Business Daily.

The IMF is expected to play a role in shaping policy that would require the government to implement tough conditions across many sectors.

The conditions are tied to the fund’s multi-billion shilling loan facilities to Kenya where money flows straight into the budget to top up the public purse.

Under the administration of former President Mwai Kibaki, Kenya kept away from this type of credit, with most of the support from institutions like the IMF and the World Bank coming in the form of project support.

The G20 countries, including Belgium, Canada, Denmark, France Germany, Italy, Japan, Republic of Korea, Spain and the USA, rescheduled payments of Sh32.9 billion in principal and interest due between January and June to the next four years with a one-year grace period.

Kenya sought an extension of the debt relief from G20 countries to December, eyeing additional savings of Sh39 billion.

Dr Sirima says response to Kenya’s request for the G20 relief has been “positive”.

Kenya spent Sh99.73 billion less than the cash it had initially budgeted for servicing external debt for the year ended June 2021, partly on the back of the six-month debt relief.

While China is a G20 member and a signatory to the deal, a large proportion of its loans to Kenya has been made on a commercial basis by government agencies, quasi-public corporations and by state-owned banks, such as China Development Bank and Exim Bank of China.

China has sought to negotiate its debt relief deals separately, but applying the same terms as the G20 countries while reserving the right on size and which loans will attract the moratorium.

President Uhuru Kenyatta’s administration has largely taken loans from China since 2014 to build roads, bridges, power plants and the standard gauge railway (SGR).

This started after Kenya became a lower-middle income economy, locking her out of highly concessional loans from development lenders such as the World Bank.

The terms of China’s loan deals with developing countries are unusually secretive and require borrowers to prioritise repayment to Chinese state-owned banks ahead of other creditors. A cache of such contracts was revealed in an earlier report by Reuters.

The dataset -- compiled over three years by AidData, a US research lab at the College of William & Mary -- comprises 100 Chinese loan contracts with 24 low- and middle-income countries, a number of which are struggling under mounting debt burden amid the economic fallout from the Covid-19 pandemic.

It uncovered several unusual features, including confidentiality clauses that prevent borrowers from revealing the terms of the loans, informal collateral arrangements that benefit Chinese lenders over other creditors and promises to keep the debt out of collective restructurings -- dubbed by the authors as “no Paris Club” clauses, the report said.

The Paris Club is a group of officials from major creditor countries whose role is to find solutions to the payment difficulties of debtor countries.
 
Swali haliwezi kujibiwa unavyotaka wewe, unajibiwa kama lilivyo, nimefanya kukukumbushia tu kwamba mumejaza server za watu na hizi story lakini sisi tunaendelea kupiga hela za SGR na deni linaendelea kupungua....
Nyie huko miaka kadhaa sasa tangu muambiwe mtaanza kutumia SGR na mpaka leo bado Mturuki anachimba mahandaki huko keshajichukulia hela mpaka basi.
Ona mnavyotesa wasafiri jameni...bibi na ndala anahangaika kupitia dirishani, maisha ya dhiki sana hayo.
2938414_Screenshot_20210922-210732_Instagram.jpg
Kama nakuona unavyotapatapa siku zote muda ni mwalimu mzuri sana .Endeleeni kujisifia kila kitu sie watazamaji
 
Kama nakuona unavyotapatapa siku zote muda ni mwalimu mzuri sana .Endeleeni kujisifia kila kitu sie watazamaji

Hehehe nawacheka sana mnavyohangaika kusubiri tushindwe, mumefungua nyuzi humu za Mchina kuchukua bandari tangu 2018....hehehe hadi raha.
Sisi tunateleza kwa SGR na sasa imeungwa hadi mjini kati, kwenu huko Mturuki bado anachimba mahandaki, hata kasafu ka Dar-Moro mlikua muanze kutumia miaka kadhaa imepita bado ni stori.
Nyie huko ndio tumezoea vituko vya mindege yenu kukamatwa kisa mumeshindwa kulipa hela ya watu...
 
Kwa wale mnaowasifia hawa watu ni marafiki zetu. Haya sasa!!! Watu wabaya sana hawa nachukia sana kuwaona wakizidi kuongezeka katika nchi mbali mbali za Kiafrika. MK254
Unaonaje rais wenu bora kabisa hapa EAC bwana Uhuru anavyoupiga mwingi?
 
Swali haliwezi kujibiwa unavyotaka wewe, unajibiwa kama lilivyo, nimefanya kukukumbushia tu kwamba mumejaza server za watu na hizi story lakini sisi tunaendelea kupiga hela za SGR na deni linaendelea kupungua....
Nyie huko miaka kadhaa sasa tangu muambiwe mtaanza kutumia SGR na mpaka leo bado Mturuki anachimba mahandaki huko keshajichukulia hela mpaka basi.
Ona mnavyotesa wasafiri jameni...bibi na ndala anahangaika kupitia dirishani, maisha ya dhiki sana hayo.
2938414_Screenshot_20210922-210732_Instagram.jpg
Ndio jibu la hoja iliyopo mezani?
 
Back
Top Bottom