Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 11,161
- 13,983
Kwani Waislamu wameikosea nini China?
Anzia hapo mada yako
Anzia hapo mada yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
China iendeleze Moto huo huo kuuwa hao wajinga wanaojifanya wapigania diniThe world shrugs as China locks up 1 million Muslims
China has detained an estimated 1 million to 2 million Uighur Muslims in the region of Xinjiang, and millions more live one step away from detention under the watchful eye of the Chinese Communist Party.
Why it matters: It has been two years since the internment camps first came to light internationally, and a series of reports from Xinjiang have made vivid the scale of the abuses. Yet foreign governments and corporations are content to pretend it isn't happening.
"If right now, just about any other country in the world was found to be detaining over 1 million Muslims of a certain ethnicity, you can bet we’d be seeing an international outcry," says Sophie Richardson, china director for Human Rights Watch.
"Because it's China, which has enormous power in international institutions these days, it's hard to muster any response at all."
"There has been this almost childlike hope that as China gets wealthier and more secure it would change" and adapt to international norms, Richardson says. Instead, China is using its economic clout and influence at the UN to undermine those norms.
China has long waged a campaign of "assimilation and cultural destruction" in Xinjiang, but under President Xi Jinping it has "dramatically escalated," says Omer Kanat, a prominent Uighur activist. "The camps are designed to eradicate the Uighur's religious and ethnic identity once and for all."
China used to deny the camps existed; it now claims they're voluntary and designed to root out extremism.
But a new Human Rights Watch report reveals Chinese authorities use an app to track nearly every aspect of Uighurs' lives and deem activities that have nothing to do with terrorism — keeping to oneself, using too much electricity, donating to a mosque — suspicious.
"These dubious criteria are being used to identify large numbers of people, many of whom are then arbitrarily locked up," Richardson tells Axios.
Even those who aren't locked up live under constant surveillance, as a recent NY Times interactive demonstrates.
What they're saying:
Prime Minister Imran Khan of Pakistan, which borders Xinjiang but has a deep economic reliance on China, told the FT in March: "Frankly, I don't know much about" what’s happening to the Uighurs.
Indonesian President Joko Widodo gave a similar answer, despite leading the world's largest majority-Muslim country.
UN Secretary-General Antonio Guterres appeared to tiptoe around the issue on a visit to China last week.
Meanwhile the CEO of Volkswagen, which has a factory in Xinjiang, claimed last month that he was "not aware" of the mass detentions.
The Organization of Islamic Cooperation went so far as to praise China in March for "providing care to its Muslim citizens," while in February Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman defended China's "right" to crack down on its Muslim citizens "for its national security."
The U.S. and EU have spoken out, as has Turkey, but as a Council on Foreign Relations report points out, "no country has taken action beyond issuing critical statements."
Between the lines: "This is a difficult issue to address precisely because China has the world's second-largest economy" and is "ruthless" when challenged, says John Herbst, a former longtime diplomat now at the Atlantic Council. "Countries are not going to make this a critical issue in their relations with China."
What to watch: "What's happening in Xinjiang now didn’t happen overnight," Richardson says. "If analysts like us didn't see this coming — and I freely admit we didn't — I wonder what we're missing that’s coming next."
Watu waliozama Sana katika dini ni wapumbavu haswaNdio maana watu wa dini huonekana wapumbavu,yani huko china hawataki wakristo wala waislamu na hubomoa nyumba zao za ibada ila ajabu wakristo na waislamu wenyewe ndio kwanza wanasemana wenyewe kwa wenyewe kutokana na hilo tukio. Yani wanasahau kuwa wote wawili hawatakiwi huko.
Kama hata mwana mfalme wa Saudia amewalinda na wale ndio wanajiona waislamu wa kweli sasa nyie waislamu wa ku-import tu dini ndio mtaongea nini.
Na wakisumbuliwa kwenye nchi zao sehemu ya kwanza kukimbilia ni kwa "makafir",Ulaya na America especially, USA and Canada.Marekani ambayo akina kimsboy wanaitukana kama nchi ya makafiri inawapa waislam uhuru wa kuubadu.
Mbona Manji kaangaishwa na pesa alikuwa anazo?ukishakua na pesa dunia hii hakuna wa kukubabaisha kamwe!
na aliyemhangaisha kaambulia nini?Mbona Manji kaangaishwa na pesa alikuwa anazo?
China iko sawa kabisa,Uislamu ni Dini ya shetani,kuachia Uislamu ustawi ni kuruhusu mauaji ya raia wasio na hatiaChina hawapendagi ujinga kwenye mambo ya utaifa!
Fuatilia hata wakristo kuna nyakati husumbuliwa wanapotanguliza dini mbele badala ya utaifa.
Kuna majasusi wa nchi maadui hujificha kwenye hizi dini, kuna magaidi hujificha kwenye hizi dini, kuna wauza madawa ya kulevya hufanya hivyo pia.
Serikali ya China inafanya kuziba ufa kuliko kuja kujenga ukuta mzima
Hizi dini zimekuwa chanzo cha machafuko, ubaguzi, ugaidi na uhalifu mwingine mwingi maeneo mengi ya dunia.
Mfano mzuri hapo Zanzibar tu wenye baa, wenye migahawa nk wanasumbuliwa na biashara zao kisa tu kina watu wa dini fulani wapo kwenye mfungo eti!
Kwani huwezi kufunga wewe kama wewe bila kuwabughudhi wengine? Ndivyo hivyo Mungu wenu anataka kila mtu afunge kwa lazima?
Enyi watu wa dini jaribuni kuwa wastaarabu ili muende sambamba na dunia inavyotaka.
Ninyi mkiwa katikati yetu, sisi tusiokuwa na dini huwa hatuwasumbui kama mkifata sheria za nchi.
Bahati mbaya nyie mnataka sheria zenu za kipumbavu zuwekwe hadi kwenye katiba ya nchi jambo ambalo tutalipinga kwa nguvu zote!
Heshimuni sheria za nchi, kaa ndani kwako fanya ibada yako na ikitokea mkikusanyika, basi nfundishane mazuri na ya kujenga sio kubomoa. Tena mkikusanyika muwe wastaarabu sio makelele masaa kwa masaa.
Na hili unalisemeaje ni cancer pia au ni upele?China wanafanya jambo la maana sana, linatakiwa kuigwa na Dunia nzima ili tuwe salama.. Tumalize hii cancer
Sasa hilo ni neno la Yesu kwa wafuasi wake .je Allah na Muhammad wanasemaje?kuna aya Muhammad anasema yeye hajui atafanywa nini siku ya kiama wala wafuasi hajui watafanywa nini.Wachina wanaua Wakristo, Waislam na watu mbalimbali.
Neno la Mungu linasemaje kuhusu mauaji ya watumishi?
Furahini mjapo teswa kwa ajili ya jina Langu
agiza soda ntalipaChina hawapendagi ujinga kwenye mambo ya utaifa!
Fuatilia hata wakristo kuna nyakati husumbuliwa wanapotanguliza dini mbele badala ya utaifa.
Kuna majasusi wa nchi maadui hujificha kwenye hizi dini, kuna magaidi hujificha kwenye hizi dini, kuna wauza madawa ya kulevya hufanya hivyo pia.
Serikali ya China inafanya kuziba ufa kuliko kuja kujenga ukuta mzima
Hizi dini zimekuwa chanzo cha machafuko, ubaguzi, ugaidi na uhalifu mwingine mwingi maeneo mengi ya dunia.
Mfano mzuri hapo Zanzibar tu wenye baa, wenye migahawa nk wanasumbuliwa na biashara zao kisa tu kina watu wa dini fulani wapo kwenye mfungo eti!
Kwani huwezi kufunga wewe kama wewe bila kuwabughudhi wengine? Ndivyo hivyo Mungu wenu anataka kila mtu afunge kwa lazima?
Enyi watu wa dini jaribuni kuwa wastaarabu ili muende sambamba na dunia inavyotaka.
Ninyi mkiwa katikati yetu, sisi tusiokuwa na dini huwa hatuwasumbui kama mkifata sheria za nchi.
Bahati mbaya nyie mnataka sheria zenu za kipumbavu zuwekwe hadi kwenye katiba ya nchi jambo ambalo tutalipinga kwa nguvu zote!
Heshimuni sheria za nchi, kaa ndani kwako fanya ibada yako na ikitokea mkikusanyika, basi nfundishane mazuri na ya kujenga sio kubomoa. Tena mkikusanyika muwe wastaarabu sio makelele masaa kwa masaa.
Dunia haiko kimya Asia Bibi si smetotoka pia story yake illiandikwa Sana , kingine hizo hazitolewi na serikali ya Pakistan Bali watu pia inawezekana huyo dada kalifanya kosa kweli sema adhabu watu wanayotaka kumpa ni Kali sanaPakistan Wakristu wanauwawa na kufungwa kwa kusingiziwa kuwa wamemkashifu Muhamad na dunia ipo kimya. Vumilia tu duniani hakuna haki.
Hajalala nje ila alilala jela kitu ambacho hata mie masikini sijawahi.na aliyemhangaisha kaambulia nini?
umesikia Manji akilala nje?
yeye kalala jela ila katoka & maisha bado mswano...wewe ukilala jela ukitoka utaendelea pale ulipoishia??Hajalala nje ila alilala jela kitu ambacho hata mie masikini sijawahi.
Kumbe unajua maisha yalivyo na ndiyo maana nikasema huyo mwenyewe lakini kalala jela ila masikini sijawahi kulala huko,sasa wewe uliposema ukiwa na hela sijui hakuna wa kukusumbua ulisahau kuwa maisha hayana guarantee?yeye kalala jela ila katoka & maisha bado mswano...wewe ukilala jela ukitoka utaendelea pale ulipoishia??
unajitapa kutolala jela ndugu?? omba kwa unayemwabudu sana akuepushie & hilo maisha hayana garantii siku zote hasa kwenye puuzi kama hizi za kiafrika