Billy Kimber
Member
- May 20, 2022
- 89
- 193
Mwaka 1973 Kiongozi wa kipindi hicho wa China Mao Zedong wakati akiwa kwenye mkutano na Katibu Mkuu Kiongozi wa Marekani Henry Kissinger alipendekeza kutoa takribani wanawake milion 10 wa kichina kwenda Marekani.
Mao aliamini kuwa China ni nchi masikini na ina wanawake wengi ambao ni mzigo kwa taifa.Lakini pia aliamini kwa kufanya hivyo kutachochea biashara baina ya nchi hizo.
Wakati wa maongezi Mao alianza kwa kutoa ofa ya maelfu ya wanawake kwa USA lakini baadae alipandisha dau na kuahidi kutoa wanawake wa Kichina milioni 10.
Kissinger aliishia kucheka tu
Mao aliamini kuwa China ni nchi masikini na ina wanawake wengi ambao ni mzigo kwa taifa.Lakini pia aliamini kwa kufanya hivyo kutachochea biashara baina ya nchi hizo.
Wakati wa maongezi Mao alianza kwa kutoa ofa ya maelfu ya wanawake kwa USA lakini baadae alipandisha dau na kuahidi kutoa wanawake wa Kichina milioni 10.
Kissinger aliishia kucheka tu