China: Hatuna nia ya kukamata mradi wowote Afrika kwa sababu ya mkopo

Hapo juu ulidai wanataaluma ndio mafisadi na walitufikisha hapa. Sasa kama hatuamini wasomi ndio tutaamini watu wa mtandaoni ndio wana uelewa na uzalendo?
Kidogo ungesema iundwe kamati kma ya prof.Osoro ipitie mikataba na itoe mapendekezo ila sio mkataba uwe mtandaoni wkt 90% ya waTZ hawana elimu na experience na sheria za kodi na mikataba.

Tutafanya subjective interpretation. Mfano economic benefit unakumbuka tulivyopotoshana humu mitandaoni kuwa ni faida (Mapato Ukitoa gharama za undeshaji) 50 kwa 50!!

Ndio mnataka interpretation za hivyo? Au ni bora zipite kwa tume yenye brains za kuweza kuchambua the ripoti yao ndio ije public
Tunapotoshana pia tukijadili mikataba ambayo hatujaisoma. Weka wazi. Ukweli hauwezi kupingwa. Kilichoandikwa kitajulikana.
 
Dammnnnn! Speculations through and through. Now, who's telling lies.
And this is what happens when secrecy happens to be the driving force behind corrupt dealings that make up the majority of the controversial undertakings that cliques occupying "white houses" in Africa impose on their subjects. All of a sudden the wife comes home to find property and children thrown out of the house because the house they've been living in was sold by the head of the family to someone else without their knowledge or consent!
The perpetrators walk the streets Scott free but excessively rich, the Executive and all the other so called Pillars of the Constitution "shut their mouths" - while the majority of the population remains poor and destitute without any help or hope whatsoever.

Kwa sasa hivi, hapa Tz kuna mjadala wa bandari ya Bwagamoyo unaoendelea. Kuna kila sababu ya Mama kuhakikisha tunapewa taarifa muafaka zinazohusiana na huo mradi/mkataba na Wachina. Nje ya hapo, itabidi tumjue aliyetuloga - yuko hai au keshakufa?! Vinginevyo, Waafrika tumelaaniwa
 
Whether uliwachagua or not ndio mbunge wako, so kazi yako ww ni kumbana adai mikataba ipelekwe bungeni. Kama wananchi hamuwezi kuwasimamia wabunge wenu then udhaifu unakua wa wananchi sio bunge.

Kila mtu akikutana na mbunge analia lia hana mtaji, sijui katapeliwa hati n.k ila hakunaga mtu anaehoji mambo ya kibunge kma sheria au regulations.

So shida inaanzia kwenu kabla ya bungeni
Kuna bunge au genge la wahuni tupu?
 
Dammnnnn! Speculations through and through. Now, who's telling lies.
And this is what happens when secrecy happens to be the driving force behind corrupt dealings that make up the majority of the controversial undertakings that cliques occupying "white houses" in Africa impose on their subjects. All of a sudden the wife comes home to find property and children thrown out of the house because the house they've been living in was sold by the head of the family to someone else without their knowledge or consent!
The perpetrators walk the streets Scott free but excessively rich, the Executive and all the other so called Pillars of the Constitution "shut their mouths" - while the majority of the population remains poor and destitute without any help or hope whatsoever.

Kwa sasa hivi, hapa Tz kuna mjadala wa bandari ya Bwagamoyo unaoendelea. Kuna kila sababu ya Mama kuhakikisha tunapewa taarifa muafaka zinazohusiana na huo mradi/mkataba na Wachina. Nje ya hapo, itabidi tumjue aliyetuloga - yuko hai au keshakufa?! Vinginevyo, Waafrika tumelaaniwa
Naunga mkono hoja yako mkuu wangu
 
Ni lini mikataba ilikua wazi Tanzania? Kuanzia wa SGR mpaka Ya Gesi ila kuna aliewahi kuhoji? Kipindi Tanzania inajitoa OGI mbona hamkupinga mlikaa kimya ila leo ndio mnahoji mikataba iwekwe wazi kwa sheria ipi? Hamkujua OGI ndio ilibana serikali kuweka wazi mikataba yote public?
Ni kweli mikataba haijawahi kuwa wazi Tz na ndo maana watu wanalia. Ni kwamba wanaona ingekuwa wazi nao wangechangia. Lkn kuna ukweli gani hapo?
Je, kwa mfano, mikataba hiyo iwekwe mitandaoni km. JF, ingetekelezeka? Tungeonekana watu wa aina gani?
Nafikiri wanaoingia/fanya majadliano wanafanya maksudi kwa manufaa binafsi huku wakiingizaaufisadi yao humo. Kiasi kwamba value for money haina nafasi
 
Je, kwa mfano, mikataba hiyo iwekwe mitandaoni km. JF, ingetekelezeka? Tungeonekana watu wa aina gani?
Na hili ndio napinga, nadhani ndio maana hta JPM aliteua timu ya wataalam kupitia mikataba na sheria kuona loopholes ila kusema mikataba iwekwe JF sijui website as much as nasupport hilo ila tutapata subjective opinions kuliko za kitaaluma.

Mfano serikali ilipoweka wazi makubaliano yake na Acacia/Barrick kwamba watagawana 50-50 economic benefits kuna watu humu walitafsiri kuwa ni Net profit ndio inagawanywa pasu kwa pasu!! So unaweza ona laymen tunavyokua na emotional judgement kuliko taaluma.

Ambacho hta sheria ya TEITI inataka ni mikatana kupelekwa bungeni kupitia kamati ya sheria na uwekezaji wanaichambua then ipelekwe floor ya bungeni ichambuliwe wazi wote tuone. In fact, kwenye hizo kamati huwa wanakaribisha maoni ya wananchi kifungy kwa kifungu so bado linawezekana kama tutabana sheria zilizopo.

Sasa kama wabunge na wasomi wetu hatuwaamini je tutaamini watoa maoni mitandaoni??
 
Huo mkataba wauweke hapa,hivi wewe unapokopa huwa unaonesha mkataba wa mkopo wako hapa?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kuna tofaut ya mkopo wa taifa na mtu binafsi maana mkopo wa taifa rais hatoi ela zake mfukoni kulipa so lazima wataolipa wajue wanalipia nini na kwasababu gani , na je tukichelewa kulipa kuna penalty gan , maana athari za huo mkopo upo kwa wananchi na si rais na bodi yake ya mawaziri
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Back
Top Bottom