ukipita hapa mchana au asubuhi ni frem tu iliyofungwa kama frem zingine za biashara...asubutuuuu
pita apo kuanzia saa moja jioni na kuendelea alafu uone iyo set-up yao utazimia na roho yako.....wahudumu classic, setup nzuri ya nje na ndani...watu wazuri hakuna maboya boya yanayokunywa apo....parking zenye gari kali aaaah sana....karibuni china bar salasala hutojutia mda wako....
pita apo kuanzia saa moja jioni na kuendelea alafu uone iyo set-up yao utazimia na roho yako.....wahudumu classic, setup nzuri ya nje na ndani...watu wazuri hakuna maboya boya yanayokunywa apo....parking zenye gari kali aaaah sana....karibuni china bar salasala hutojutia mda wako....