themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 963
- 3,268
Yaani kwa mtu asiyejua maswala ya biashara namna mchina alivyokuwa mafia ndio anaweza kumtetea, ila mchina sio mtu mzuri kabisa linapokuja swala la uharamia wa biashara ya mtu.
Wazungu wamekaa zaidi ya miaka 100 wakitengeneza brand zao kwa shida kama LV, FENDI ,TIMBERLAND ,CLARKS, GIORGIOARMANI, GUCCI , HISENSE, SONNY, PHILIPS , CHANNEL , CAT , NIKE ,PUMA, halafu anatokea mchina anakuzia bidhaa ya yenye chapa Ya Gucci sh 5,000.
Yaani ni kwamba anaharibu brand za watu kwa kutoa bidhaa feki, mwisho wa siku wenye brand zao wanakosa mapato na hichi kitu kinawakera sana wazungu. Kinachowakera zaidi ni namba mchina anavyopata ushawishi mkubwa Africa kwa kutumia mgongo wa wazungu akiuza bidhaa feki kitu ambacho kinayaathiri makampuni mengi ya Japan, Ulaya hadi Marekani.
Jux aliwahi kuja na Brand yake ya African boy akawa anatengeneza nguo zake hadi kofia kwa brand yake, mwisho wa siku mchina akawa anafyatua kopi anauza kwa bei chee zinamwagwa hapo kariakoo hadi Jux akaanzisha operation ya kukamata bidhaa feki ambazo zinafuatuliwa kwa jina lake.
Mara nyingi wachina wameshakamatwa wanaviwanda bubu wakitengeneza konyagi hadi kvant feki, kuna siku niliona wamekamatwa wanatengeneza soda feki. Yaani wanaathiri uchumi wa nchi hadi watengenezaji wa bidhaa original wanawaharibia, maana kuna kipindi watu walikuwa wanalalamika baadhi ya pombe kali wakinywa kama zimechakachuliwa kumbe nyuma ya pazia watu wanacheza na brand za watu.
Anachotafutiwa mchina sasa hivi ni kuingia mtegoni tu, ili apigwe ban ya kusafirisha bidhaa zake sehem alizokuwa na ushawishi, ili wazungu warudishe tena ushawishi wao. Maana bara la Africa, wazungu wamekuja kushtuka washachelewa kuwa mchina kashawapiga gape kubwa kibiashara hadi Asia huko bidhaa za kichina hazikamatiki.
Wazungu wamekaa zaidi ya miaka 100 wakitengeneza brand zao kwa shida kama LV, FENDI ,TIMBERLAND ,CLARKS, GIORGIOARMANI, GUCCI , HISENSE, SONNY, PHILIPS , CHANNEL , CAT , NIKE ,PUMA, halafu anatokea mchina anakuzia bidhaa ya yenye chapa Ya Gucci sh 5,000.
Yaani ni kwamba anaharibu brand za watu kwa kutoa bidhaa feki, mwisho wa siku wenye brand zao wanakosa mapato na hichi kitu kinawakera sana wazungu. Kinachowakera zaidi ni namba mchina anavyopata ushawishi mkubwa Africa kwa kutumia mgongo wa wazungu akiuza bidhaa feki kitu ambacho kinayaathiri makampuni mengi ya Japan, Ulaya hadi Marekani.
Jux aliwahi kuja na Brand yake ya African boy akawa anatengeneza nguo zake hadi kofia kwa brand yake, mwisho wa siku mchina akawa anafyatua kopi anauza kwa bei chee zinamwagwa hapo kariakoo hadi Jux akaanzisha operation ya kukamata bidhaa feki ambazo zinafuatuliwa kwa jina lake.
Mara nyingi wachina wameshakamatwa wanaviwanda bubu wakitengeneza konyagi hadi kvant feki, kuna siku niliona wamekamatwa wanatengeneza soda feki. Yaani wanaathiri uchumi wa nchi hadi watengenezaji wa bidhaa original wanawaharibia, maana kuna kipindi watu walikuwa wanalalamika baadhi ya pombe kali wakinywa kama zimechakachuliwa kumbe nyuma ya pazia watu wanacheza na brand za watu.
Anachotafutiwa mchina sasa hivi ni kuingia mtegoni tu, ili apigwe ban ya kusafirisha bidhaa zake sehem alizokuwa na ushawishi, ili wazungu warudishe tena ushawishi wao. Maana bara la Africa, wazungu wamekuja kushtuka washachelewa kuwa mchina kashawapiga gape kubwa kibiashara hadi Asia huko bidhaa za kichina hazikamatiki.