KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,756
- 2,998
Acha porojo mkuu!Ebu weka Aya za matini ya hayo maneno kama wewe siyo mzushi tujadili.Issa haijulikani alikiwepo lini ,koran inasema alikuwa mjomba ake musa
Pia issa alisulubiwa kwa mujibu wa koran allah alidanganya watu kwa Kuweka isa bandia msalabani ,ndipo hapo allah akatengeneza dini ambayo iliamini isa kasalubiwa kwa uongo wake , allah akakaa miaka zaidi ya elfu akaja akasema niliwadanganya na yule alikuwa sio isa ila ni clone yake
Na allah akaanza kuwalaani wale walio amini uongo wake